Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜SEASON 03  N0 41๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
Gonga94 ยท Stories

AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜SEASON 03 N0 41๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Baada ya kuzisoma zile msg kwenye cm ya boo nilishindwa kubakia kule chumbani nilitoka nikaenda chumbani kwa nice nikajifungia huko nikalala na mwanangu...... mwili wote ulikuwa unatetemeka mapigo ya moyo ndo usiulize๐Ÿ˜๐Ÿ˜ nilijihisi kufa mbona hamkuniambia kuwa kumpenda mwanaume kwa moyo wako wote ni makosa makubwa sana๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† mlitaka hadi nife ndo mje mniimbie parapanda ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น boo alivyotoka bafuni hakunikuta chumbani kwetu moja kwa moja alikuja hadi chumbani kwa nice akaanza kugonga huku akiwa ananiita majina matamu mke wangu nakuomba unifungulie tuongee please naomba msamaha wa dhati kutoka kwako na ninakuahidi nitafanya chochote unachokitaka na sitorudia tena kufanya kosa kama la leo๐Ÿ˜ง๐Ÿ˜ง...... boo im not your wife mimi ni mpenzi wako tu fikilia umeanza kunionyesha haya kwenye uchumba kwenye ndoa si utaoa kabisa au utahama nyumbani uniache peke yangu na mtoto wangu๐Ÿคจ๐Ÿคจ hivi kweli ni wewe ndo umefanya hivyo au naota nilishindwa hata kunyamaza nikaona nimjibu tu๐Ÿ˜ž๐Ÿ˜ž.... ni mbishi aliendelea kuweka msimamo wake ya kwamba alitingwa tu na kazi kule ofisini kwake ndo ikabidi azimalizie hadi huo usiku.... niliumia kwanini anqnidanganya na wakati mimi nilienda hadi ofisini nikakuta pamefungwa๐Ÿ˜ฆ?!

Alizidi kunibembeleza akiniomba nimfungulie sikufungua paschal alilala palepale mlangoni๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†..... niamka asubuhi nikafungua mlango kwa ajiri ya kwenda kumuandalia kifungua kinywa ale kabla ya kwenda ofisini si ndo nikamkuta pale mlangoni alichukua blanketi akajifunika na kusinzia pale kwenye mlango wa chumba cha nice..... baada ya kuufungua ule mlango boo alikurupuka kutoka usingizini aliamka pale chini akataka kunikumbatia nilimnasa kibao bado nilikuwa na hasira sana nilienda nikachukua ile shati yenye lipstick nikaanza kumpiga nayo nilimwambia boo I hate you๐Ÿ’”๐Ÿ’” paschal hakuwahi kufikilia kama kuna siku naweza kumtamkia vile alikwisha jiaminisha kuwa ninampenda na siwezi kumuacha๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’..... baada ya kumwambia kuwa ninamchukia nilimtupia ile shati nikamuonyesha na ile ile lipstick nilirudia tena kumwambia ya kwamba ninamchukia ameuvunja moyo wangu na sitokaa nikamwamini tena niliongea huku nikiwa nabubujikwa na machozi nilikimbia nikarudi kule chumbani kwa nice nikaendelea kujifungia huko paschal alimpigia baba yake simu akawa amekuja pale..... aliniita nikamwelezea kile kilichotusibu nilimwambia baba ya kwamba hiyo jana usiku baadaya paschal kuchelewa mimi nilikwenda hadi ofisini kwake kumtafuta lakini hakuwepo kwanini ananidanganya?!....

Paschal alikuwa hajui kama jana mimi nilienda hadi ofisini kumfuatilia..... baada ya kunisikia pale nikiwa namwelezea baba yake alishtuka๐Ÿ˜Œ๐Ÿ˜Œilibidi akiri tu kwa baba yake kuwa ni kweli kakosea alikiri kuwa ni kweli alinidanganya lakini alimuahidi baba yake ya kwamba tutasolve na hayatojirudia tena......

Baba paschal alituweka chini akatushauri sanaa baada ya hapo aliondoka akatuacha sisi pale nyumbani paschal alinipigia magoti๐Ÿคฆโ€โ™€๏ธ akaniomba msamaha nilichukua simu yake ili nimuonyeshe zile msg zilizotumwa usiku kwenye simu yake nilikuta tayari kaishazifuta bahati nzuri nilishaziscreen shot nikajitumia kwenye simu yangu niliichukua simu yangu nikamuonyesha zile msg nikamuuliza huyu ni nani ndo uliyekuwa naye jana siyo?! Alikaa kimya jamani niliumia maumivu ambayo sijui hata niyaelezee vipi yani nilitamani hata kujiua siku ile nililia huku nikiwa namuomba aniambie ukweli boo why unaniumiza sikuwahi kuzania kama ipo siku na wewe utakuwa hivi nini kimekubadirisha jamani..... hakuongea kitu alinigeuzia mgongo akaishiakuyafuta machozi yake lakini hakuongea kituโ˜บ๏ธโ˜บ๏ธ..... nilijiuliza huyu ana matatizo gani kwanini hanishirikishi..... nilimwambia kuanzia leo nahama chumba na ninakupatia siku tatu za kuniambia ukweli laa sivyo mimi hapa kwako nitaondoka na mtoto wangu...... nilienda fungua kabati langu nikaanza kutoa nguo ili nihamishie chumbani kwa nice boo alinizuia alinishikilia kwa nguvu akaniambia my love haiko kama unavyofikilia niamini basi nakupenda wewe hakuna chochote kibaya nilichokifanya japo ni kweli jana usiku nilikuwa na mwanamke hatukufanya kitu niiamini et ni kazi tu.... kaziโ˜บ๏ธโ˜บ๏ธโ˜บ๏ธ kazi my foot๐Ÿ˜๐Ÿ˜ yani unawezaje kukaa na mwanamke hadi usiku mkubwa kiasi kile alf unanimbia et kazi๐Ÿ˜ฟ๐Ÿ˜ฟ kazi which?! Kazi ya kupigana makiss siyo๐Ÿ˜ฐ๐Ÿ˜ฐ nilimsukama paschal nikamwambia nakuchukia na sitokaa nikakwamini tena๐Ÿฅฒ๐Ÿฅฒ.......

Duh mapenzi yanaumiza๐Ÿฅน๐Ÿฅน usiombe hii ikakutokea yani ni zaidi ya maumivu๐Ÿ˜ kwa kusema kweli nampenda sana๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ lakini kwa zile hasira nilijikuta tu memwambia hivyo kuwa namchukia mdomo kazi yake ni kuropoka tu moyo wangu unampenda sana Boo wangu nilitoka kule chumbani nikamuacha huku akiwa analia siku hiyo alishindwa hadi kwenda kazini tulishinda nyumbani hatuna maelewano mazuri.... mwisho wa siku niliamua kumpatia msamaha kwa sababu kila muda alikuja kunipigia magoti na kuomba msamaha.....yani nampenda kiasi kwamba nikimnunia mimi ndo ninayeumia zaidi๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น.... maisha yaliendelea ile nyumba niliyokuwa naikarabati kule tanzania ilikamilika tulirudi tanzania kwa ajiri ya kwenda kukutana na familia yangu tumalize tofauti zetu nilimwalika na dada yangu prisca ambaye anakaa nchini oman tukakutana tanzania kwa ajiri ya kwenda kumaliza tofauti zilizokuwepo kati yangu na wazazi wangu...... wazazi wangu waliniomba msamaha niliwasamahe nikairudisha ile nyumba yetu mikononi kwao tulifanya sherehe kubwa pale nyumbani walifurahi sana walilia machozi ya furaha๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น maelewano mazuri na umoja kati yangu na familia yangu vikajirudi tena tulifurahi kwa pamoja...... nilibakia nyumbani kwetu kwa sababu boo alipanga kuja kunichumbia rasmi nyumbani kwetu๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ mr paschal alikuja nyumbani kwetu kunichumbia alinivisha pete ya uchumba rasmi mbele ya familia yangu achana na ile pete ya kisanii aliyonivishaga kipindi kile cha kwanza kule nyumbani kwake๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น my boo alinilipia mahali kwa wazazi wangu kwa ajiri ya kunioa mimi ilikuwa ni furaha sana kwangu na familia yangu...... baada ya mahali tarehe ya ndoa yangu na mr paschal ilipangwa tulipewa baraka za kutosha baada ya hapo tulirudi nchini marekani kwenda kujiandaa na mipango ya harusi yetu!.... tuliandaa card na kuzisambaza kwa ndugu jamaa na marafiki..... nice tayari alikuwa ameshatiza miezi mitatu lakini nilikuwa cjaanza kwenda kazini nilipanga kuanza kazi baada ya ndoa tukishatoka honeymoon ndo nianze kwenda kazini rasmi kama Mrs Paschal๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ..... boo wangu yeye alikuwa anaendelea kwenda kazini kama kawaida.....

Siku moja Ilikuwa ni asubuhi mida ya saa nne baada ya boo kuondoka kwenda kazini mimi na mwanangu tulibakia zetu nyumbani mida hiyo ya saa nne nilikuwa niko chumbani kwa nice napanga nguo zake kabatini pale nyumbani nilipata ugeni alikuja isabella kuniita akaniambia nje kuna mgeni anahitaji kuonana na mimi..... mgeni gani!? Nilimuuliza isabella..... madame mimi hata simjui ni mdada furani hivi cjawahi hata kumuona..... mdada๐Ÿ˜ง๐Ÿ˜ง nilijihoji kichwani nilitoka kule chumbani kwa nice nikaingia chumbani kwangu nilichungulia dirishani kwa kule nje niliona gari kali sana ikiwa imepakiwa nilijiuliza huyo dada atakuwa ni nani!? Mbona huku marekani bado cjaanza kutengeneza marafiki wa karibu sana kiasi cha kunitembelea nyumbani kwangu bila taarifa..... hebu wacha niende nikaonane naye..... nilianza kushuka ngazi taratibu huku nikiwa namuwazia huyo mgeni aliyeko nje ni nani huyo?! Niliifika chini nikaingia jikoni kwenye kabati nikachukua glass then nikaelekea kule zilipo wine nikachukua chupa ya wine niliimimina wine kwenye glass nikaibugia yote baada ya hapo niliongeza nyingine kwenye glass nikawa nimetoka kwenda kuonana na huyo mgeni aliyeko nje....

Nilisogea hadi jirani na ile gari ni gari ya pesa nyingi sana kule kwenye gari alishuka mlimbwende wa kizungu kidada chembamba alf kinaonekana kishari hatari....."hello" nilimsalimia.....hakuitikia alitelemka kwenye gari yake akarudishia mlango wa gari baada ya hapo alisimama akaiegemea ile gari yake aliishusha miwani yake akaanza kunicheki kwa dharau sana nilimuuliza wewe ni nani na una shida gani?! Alicheka kwa dharau sana kisha akaniuliza unataka kunijua mimi ni nani?! Mimi ni mke wa mr paschal..... alinijibu hivyo huku akiwa anatafuta kitu kwenye mkoba wake..... alitoa card akawa amenirushia ile card niliichukua nikaifungua ni card zetu zile za mwaliko wa harusi..... we malaya tutaona kama paschal atadumu na wewe utaolewa tu kwa muda lakini nitamchukua kutoka kwako..... aliniambia yule dada huku akiwa ananinyali sana mimi huwa ni mpole sana lakini sipendi dharau huwezi kuja kuniita malaya nyumbani kwangu...... nilicheka kicheko cha kinafiki sana baada ya hapo nilikunywa wine kidogo nilijigeuza kwa nyodo ili yule kahaba wa kizungu auone vizuri mwili wangu baada ya hapo nilimsogelea nikamvua ile miwani yake nikaitupa kule mbali nilimumwagia ile wine machoni kwake alianza kupiga kelele na kunifuata akitaka tupigane ile glass ya wine niliipigiza kwenye kioo cha gari yake mlinzi alikimbia kuja kutuachanisha alipiga simu kwa paschal akamwambia huku nyumbani kwako kumekucha mzee baba.....

Itaendeleaaaaaaa
Tangazo - SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜SEASON 03 N0 41๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜


Baada ya kuzisoma zile msg kwenye cm ya boo nilishindwa kubakia kule chumbani nilitoka nikaenda chumbani kwa nice nikajifungia huko nikalala na mwanangu...... mwili wote ulikuwa unatetemeka mapigo ya moyo ndo usiulize๐Ÿ˜๐Ÿ˜ nilijihisi kufa mbona hamkuniambia kuwa kumpenda mwanaume kwa moyo wako wote ni makosa makubwa sana๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† mlitaka hadi nife ndo mje mniimbie parapanda ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น boo alivyotoka bafuni hakunikuta chumbani kwetu moja kwa moja alikuja hadi chumbani kwa nice akaanza kugonga huku akiwa ananiita majina matamu mke wangu nakuomba unifungulie tuongee please naomba msamaha wa dhati kutoka kwako na ninakuahidi nitafanya chochote unachokitaka na sitorudia tena kufanya kosa kama la...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaah-imetosha-boss-season-03-n0-41

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaah-imetosha-boss-season
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ SEASON 02 (21_25)
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ SEASON 02 (21_25)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 66 na 67

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 66 na 67

597
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 64 na 65

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 64 na 65

545
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 68

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 68

376
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 45๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 45๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

374
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

323
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 12 na 13

55
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 10 na 11

41
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 7 na 8

37

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.99K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.65K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.43K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.26K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.25K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.23K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 ๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 ๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 ๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 45๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 45๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on ๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  ๐Ÿ’•๐Ÿ’•๐Ÿ’•* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE ๐Ÿ’•๐Ÿ’•๐Ÿ’•* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Nikawa Sina budi kukubali nilivokumbuka ndoto ya Jana nikaogopa asije Freeman akafa kwasababu yangu Mimi, nilivokubali yule baba alifurahi akataka Hadi kunibeba ingawa alikuwa Hana nguvu akaniambia twende sasa na...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 61 na 62 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 61 na 62
@majario LIVE

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 58 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 58
@majario LIVE

Mh zayd. Akasogea mpka nilipokaaa na yeye akavuta kiti akakaa karibu yangu. Ila uzuri tu ili darasa lilikuwa halina ata. Mtu. Akanambia eeh , ina maana faridah hukusikia salamu yangu....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest