Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 MY TRUE LOVE STORY   SEHEMU YA 19 - 20
Gonga94 · Stories

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 19 - 20

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Yule baba alikuwa anaongea kwa upole na kwa busara ya hali ya juu, yaan maneno yake yote tuliyaelewa vyema kabisa, nabil akamuangalia baba yake wa mchongo kisha akasema “ nampenda sana mama na nakupenda sana wewe, ila naomba nikawaone hata wazaz wangu, na nitaongea nao, na ninakuhakikishia hawatakuwa na shida kabisa kwa mimi kuwa kijana wenu ila angalau tu wajue kuwa nipo hai, kwa sababu nimesikia mama yangu hajawah kuacha kulia kuanzia aliponipoteza…

Yule baba alituelewa, na tukalala, na kesho yake nabil aliamka na kupika chakula ambacho alikuwa anakipenda sana mama yake, na mama yake akafurah sana, kisha wakawa wanataniana sana, yaan mpaka utapenda maisha yao, na mimi siku hio sikujichanganya nao, maana najua mimi ndio tishio lake kubwa…

Basi baada ya siku hio nabil au kwa jina lingine omari, akataka turudi nduruma tuende tukatoe taarifa kuhusu uzima wake…

Tumefika usiku, ila tulifikia kwa akina omari, kwa sababu mimi ndio nimeshaolewa tena, na wakati tunafika nyumba yao ilishakamilika na wazazi wake wakawa wameanza kupata nuru na mwanga hata kidogo…

Mama yake alipomuona ni kama hakuamin, akaanza kulia. Ikabidi omari akamkumbatie mama yake, na baada ya muda mfupi baba yake nae akaja, alikuwa huko unguuni, wakaanza kupiga story na omari akasimulia maisha yake yote na kuwaomba sana Yule mama akishakuja kuwaona wamkatae kuwa hawampendi, sio kwa sababu labda wanataka mali, ila ni kwasababu wanataka kumtengenezea mazingira mzuri ya kuamin kuwa omari ni wakwake pekee yake, kwa usalama wa afya na akili yake….

Baba yake hakuwa na shida, ila mama yake akawa anasema kuwa hawez kumkana mwanae, kisa mwanamke mwingine, ila omari alimchukua mama yake na kwenda kuzngumza nae sana, basi mwisho mama yake akamuelewa…

Basi bana tukarudi dar, na yule mama bado alikuwa na hasira na mimi, ila sijui hata mume wake pamoja na nabil walimuambia kitu gani, akapoa akawa ananichangamkia kama kawiada, na baada ya muda flani tikaerudi tena nduruma mkoani Arusha kwenye familia ya akina omari na wamefika tu baba na mama yake omari wakaanza kuwafukuza, kumbe yote yalikuwa ni maigizo na mimi nikawa nawasema vibaya, sasa huyu mama mwingine akawa ananiona mimi ni mka mwana bora sana, nikaomba niende kwetu kuwatambulisha, na wazaz wangu walishaambiwa hali ilivyo hivyo hawakuwa na shida, basi tukarudi kuendelea na maisha yetu kama kawaida, na yule mama akawa ndio Yule mama ambae alikuwa ana upendo kuanzia nakutana nae…

Omari alikuwa anawasiliana vyema na familia yake, na alikuwa ana toa misaada sana kijijin, na kuhusu wale watu ambao walitufanyia ukatili, huyu baba wa omari wa kufikia akasema tumuachie hilo yeye atamalizana nalo…

Na kweli baada ya miaka mingi wakakamatwa, na walishajiaminisha kuwa hali ilishakuwa shwari, na baada ya kukamatwa sijui hata Yule baba alitengeneza mazingira gani kwa sababu walifungwa na kupewa hukumu za kukaa zaidi ya miaka 30 jela…

Kuhusu shenaiza wazaz wake walikuja kumchukua, ni kweli alikuwa anampenda sana omari, ila kuishi na mwanaume asiekupenda ni sumu kubwa sana, hivyo akapewa talaka kabla hata hajaguswa kimwili na mume wake, na faisal alikujaga kwenye ndoa yangu na omari na akatupa baraka zote na maisha yetu yakawa yanaendelea kwa upendo na amani ya ajabu….

SIKU ZOTE USIPOTEZE TUMAINI KWA MWENYEZI MUNGU, NA KAMA RIZKI YAKO IPO HAKUNA MTU HATA MMOJA ANAEWEZA KUICHUKUA..
MWISHO
Tangazo - nitakusemea kwa baba unaniumiza
nitakusemea kwa baba unaniumiza
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 19 - 20


Yule baba alikuwa anaongea kwa upole na kwa busara ya hali ya juu, yaan maneno yake yote tuliyaelewa vyema kabisa, nabil akamuangalia baba yake wa mchongo kisha akasema “ nampenda sana mama na nakupenda sana wewe, ila naomba nikawaone hata wazaz wangu, na nitaongea nao, na ninakuhakikishia hawatakuwa na shida kabisa kwa mimi kuwa kijana wenu ila angalau tu wajue kuwa nipo hai, kwa sababu nimesikia mama yangu hajawah kuacha kulia kuanzia aliponipoteza…

Yule baba alituelewa, na tukalala, na kesho yake nabil aliamka na kupika chakula ambacho alikuwa anakipenda sana mama yake, na mama yake akafurah sana, kisha wakawa wanataniana sana,...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-true-love-story-sehemu-ya-19-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-true-love-story-sehemu-ya
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 15
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 15
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 11
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 11
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 12
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 12
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 14
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 14
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 10
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 10
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 16
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 16
MY TRUE LOVE STORY    SEHEMU YA 17
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 17
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 18
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 18
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 13
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 13
MY TRUE LOVE STORY   SEHEMU YA 9
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 9
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 7
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 7
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 4
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 4
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

9.96K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.45K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.28K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.05K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.01K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.96K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

1.93K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest