Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
Gonga94 · Stories

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa moro busy sana na kazi, basi bwna , siku ya kwanza nikiwa moro sasa ,nilianza kumpigia zena simu kuanzia saa 2 asubuh mpaka saa 10 jioni hajapokea, oyaaaa nilipagawa kinoma noma, yani nilivurugwaa , wivu ulinijaaa sana , wivu ulinijaaa mnooo, yani nikawa nawaza uyu anafanya nn mpaka apokei simu , au ana mwanaume leo, pigaa simu sanaaa, unajua nilivurugwa yani sikuw sawa kabisaa ,akiri haikuwa imetulia ata kidogo, mpaka ibraaa kaniuliza we vp mbona kama hauko sawa, shida nn, nikasema daah mwanangu , sielewi leo toka asubuh nampigia simu zena lakini hapokei simu yangu kabisaaa, ananivuruga kinoma

Ibraaa akaningalia kisha akaanza kucheka, akanmbia sasa kinachokuvuruga nini? Unavurugwa na zena au mwanao, nikasema amna mwanangu ,mi nataka kumuulizia mwanangu tu, ibraaa akacheka akanmbia wapi wewe, apo zena ndo anakuchanganya, endelea kuwa hivyo hivyo watu now hawajali ana watoro wangapi , wanaoa tu,utashangaa siku zena anakwambia anaolewa , mh nikaona ibraa nae ananivvuruga tu,nikaona nivunge, nikafanya kazi pale mpaka usiku saa 2, apo sasa tukaludi hotels, basi tukakubaliana na ibraa kuwa mi naingia room kwangu na yeye kwake, tukaoge na kuchange nguo kisha tunaingia club ,tukakamate wachumba si unajua tena kila mkoa lazima upoe na mchumba

Basi mm nimefika room nikaanzaa kumpigia tena simu zena khaaa apokei, nikamaind kinoma yani kwa nn hapokei simu, uyu anatombwa nn , mbona hataki kunipokelea simu yangu , kwa nn yani , daaah sikuwa sawa, basi kila mdaa nampigia nakwambiaa ,pigaa sana , nilivurugwaa ,apo sio kwamba namuwaza mtoto hakuna, nawaza anafanya nn tangu asubuh mpaka sasa hapokei simu zangu, mi sikuoga wala sikujiandaa kwa kutoka, nilikuwa nampiga simu zena tuu, mpaka ibraa kaja kugonga mlango wangu, nikamwambia ingiaaa, asee anaingia ananikuta ata viatu sijavuaa, na wala sijajiandaa kwa chochote, ibraa akaniuliza we bwana vp hatuendi ama ,mbona hujajiandaa kwa chochote , nikasema kaka zena mpaka now hapokei simu yangu naendaje, atakuwa yupo na mwanaume uyu si ndio ubraa, ataniharibia mwanangu , mana mwanangu bado mdogo sana

Ibra akanmbia daah alafu umeanza kumpigia tangu saa ngapi, nikasema tangu saa 2 asubuh ata kazini sijaingia na nikawa simpati na mpaka sasa simpati, ananichukuliaje uyu mwanamke, ibraaa akasema daaah uyo atakuwa kakamatiwa kaka, alafu sa hizi itakuwa mshikaji kamkamatia kwa juu ,alafu zena anamkatia mauno na alivyo na matako makubwa yule demu, uyo jamaa alomkamatia leo atakuwa anafaidi kisengee, alafu mwanao katupwa kule tu kinalia alafu watu hawakajali wala nn, watu wanakula utamu sa hizi, nikamwambia aya toka ndani umu we msengee, ibraa akacheka sana akanmbia we umeenza lini kumuonea wivu zena, et mwanao anaalibiwa acha uongo we unampenda zena, apo unaumia na wivu, kajiandae bwana twenzetu ukakamate demu na wewe, kesho utampigia atakuwa kashamliza kutombwa atapokea simu yako tu , twenzetu kaka

Daah ibraa anajua kunitania msenge uyu ,na kugongelea msumali kwenye kidonda, yani anajua jinsi ya kunikomesha, nikasema mi siendi sina mood na mwanamke , ahaaa ibraa akicheka mpaka akakaa chini, akasema weeee kwa ajili ya zena leo unakataa mwanamke mwengine, ahaaaa alafu zena mzuri bwana, sa hizi itakuwa kawekwa chali, jamaa anashindiliaa tu, nikainuka na ngumi, ibra akatoka haraka chumbani kwangu uku anacheka , mi nikaenda kufunga mlango wangu, aseeeee ile nimetulia ndo naona namba ngeni inanaipigia sas, mi nikapokea chapu, nikasikia haloo baba arishaina, aseeee nilijikuta moyo umepoa mnooo, nilishajua ni sauti ya zena, nikamuuliza kwa sauti ya kulalamika ,kwa nn hupokei simu yangu tangu asubuh zena , akanmbia jamani pole mi simu nimeibiwa , jana wamekata dirisha uku nyuma wmenichukulia simu, ila aloiba naona hajaizima ,daaah apo ndo moyo unashuka sasa, nikasema kweli? Akanmbia ndio , hii simu ndgo nimemuagiza shey banana ,mda sio mrefu, nikasema umeibiwaje simu na ilikuajee, akanmbia jana mwanao kanisumbua sana ,so nilivyolala nikawa nimechoka na simu nimeweka kitandani kwa pembeni, ndo wakakata nyavu uku, wamebeba simu , nikasema sawa, kiukweli nilikua ntamani kumuhamisha , ata kakakae sehemu nzuri

Mana kule anapoishi yeye ni uswahilini sana na ndo mana ameibiwa ,nikajua vibaka ni wengi,ila naanzaje kwa nilivyo zingua mwanzo ,nikajua zena hatakubali, na ntaaanzisha ugomvi tu, basi nikamwabia sawa pole, naludi kesho kutwa ntakuletea simu sawa , akanmbia sawa asante, nikasema vp madogo wanaendeleaje, akanmbia wako powa ,nikasema sawa ummy yuko wapi, akanmbia yupo sebleni anaangalia katooni mimi nipo chumbni, nikasema sawa muite niongeee nae, akanmbia mh utanimaliza salio langu, nakata kisha piga wewe, nikasema powa , kweli akakata simu na mm ndo nikapiga, kweli nikaanza kuongea na simu, yani naanza kumchimba mtoto kuwa kweli mama kaibiwa simu, nisije kuwa napigwa na kitu kizito, ummy tena akanieleze kama uyo mwizi wakati anaiba alikuwepo, yani mpaka nikawa nacheka, basi nikajikuta mda mwingi nimepoteza kupiga story na ummy, mpaka saa 5 kasoro, ndo mama yake kampkonya simu, akanambia mtaongea kesho basi , anatakiwa kulala kesho shule, nikamwmabia sikia kuwa makini basi , usiweke vitu vya maana ,pembeni ya kitanda kama kuna wazi ukoo ,akanmbia sawaa, daah nilitamani bado niongee nae ,ila sasa nongea nn, naogopa ata kumwambia nampendaa , mana daah namuelewa zen ,kwa niliyomfanyia naanzaje sasa kujiongelesha mbwa mm,

Basi akaniaga kuwa anataka kupumzika, nikasema sawa basi uwe na usiku mwema mrembo, mh ata hakunijibu akanikatia simu tu ndwiiii, nikaona eeh kweli ndio , basi bwana apo sasa na mimi ndo nipata amani ya moyo, na kwa mala ya kwanza tangu nianze safari zangu, nikalala hotel bila ya mwanamke, sikutaka tu, nikaogaa zangu, nikaagiza chakura ,nikala,kisha nikapanda kitandani kupumzika, ahaaa nilikuwa namfikilia sana zena, saa 7 hivi nikajikuta nimmis sana nikampigia kwa ile namba mpya sasa ,na zena akapokea , akanmbia ehhhh nambie , nikasema ahaa haujalala bado , akanmbia ahaaa nimestuka tu, mwanao alikuwa analia ,nimembadilisha nguo, nikasema ahaa sawa nami nimehisi tu atakuwa analia ndo nikaona nikupigie, nikamsikia zena nacheka.kisha akanmbia, sikia nikwambie millan, nakuona sana , ila tambua kuwa mm na wewe tutabaki kuwa wazazi tu, usikae ukategemea kuwa mie ntaludiana na wewe hilo suala usahau ndugu yangu, na halipo kabisaa, daah ilinikata hii, nikasema zena kwani bado una hasira tu na mm, tumezaa now ujue mi na wewe tunalea sas, ebu acha hizo zena, akanmbia bwana mi nalala kwaheri nikakatikwa na simu ndwiii. Dooh

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*



Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa moro busy sana na kazi, basi bwna , siku ya kwanza nikiwa moro sasa ,nilianza kumpigia zena simu kuanzia saa 2 asubuh mpaka saa 10 jioni hajapokea, oyaaaa nilipagawa kinoma noma, yani nilivurugwaa , wivu ulinijaaa sana , wivu ulinijaaa mnooo, yani nikawa nawaza uyu anafanya nn mpaka apokei simu , au ana mwanaume leo, pigaa simu sanaaa, unajua nilivurugwa yani sikuw sawa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-millan-46-47

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-millan
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
AFANDE MILLAN😎 41 to 42
AFANDE MILLAN😎 41 to 42
* *AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO*     SEHEMU YA THELATHINI
* *AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* SEHEMU YA THELATHINI
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43
*AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27*
*AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27*
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
AFANDE MILLAN😎 1 na 5
AFANDE MILLAN😎 1 na 5
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

1.11K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

1.07K
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

504
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

243
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

240
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

232
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

229
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

133
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5

110
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

102

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.39K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.81K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.3K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.82K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS 🥰 yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. 🔴 Maamuzi yaliyotangazwa: 💵 Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL ⚽. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL ⚽.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43
@majario LIVE

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest