Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
Gonga94 · Stories

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SONGA NAYO.......

Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu

"Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.."

Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama yangu akiongea huko, nilijua bila shaka anamkaribisha Anfrey, basi mama Bless mie nikabadili nguo kisha nikatoka

Mkumbuke kwamba sikuweza kupokea funguo za gari, nilisogea na kuketi moja ya sofa. Mama alimuandalia Anfrey chakula.

Basi wakaati Anfrey anakula Hakim alikuja kumchukia Bless huku akinikonyeza nitoke nje, mimi ni nani nikatae na huku umbea ndio maisha yangu, chapu nikatoka nje

"Dah sis, unajua wewe una nyota kali haya tuambie yule nani..?,"

Baada ya kufika nje, kaka zangu wakarundikana wote hapa wanataka kumjua Anfrey kama ni mchumba wangu, Hebu ngoja kwanza niwatambulishe kaka zangu maana toka mwanzo sijawaambia kabisa

Okay love, kama nilivyosema awali sie tumezaliwa watoto nane na wote tupo hai na kibaya zaidi tunaishi kwa wazazi waetu 😂 ikiwa mamalao ndio kabisa ninaongoza kwa kukaa nyumbani

Kaka zangu wote wameshamaliza elimu ya msingi na secondary so wapo nyumbani ila wanafanya vibarua vidogo vidogo ambayo vinaweza kuwaingizia pesa

Sasa ngoja niwatambulishe majina yao ili kama kuna wadada mmevutiwa nao muwatafute kabisa ili mimi npate mwanamke mwenzangu wa kumuita wifi 🥰

Sasa mimi ndio wa kawanza, naitwa Mira yes Miranda 🥰 wa pili anaitwa Eliazar, na number tatu Eliakim ila tumezoea kumuita Hakimu na dume la nne Elisha 🥰 nyie huyu mkaka yuko 🔥

Yani Elisha ni muhandsome pia ni mtulivu sana bro wangu, hanaga papara na anahuryma sana kaka ayangu huyu mungu azidi kumuinua na sio yeye tu bali wote

Anafuatia huyu pasua kichwa wa familia 😆 Ezra, yani Ezra bwana sijui akili zake zina matope au mayai, maana huyu dogo akili zake anazijua mwenyewe walah

Kuna siku huyu dogo bwana tulikuwa tumekaa nje wanafamilia ila baba ndio hakuwepo, punde bana akapita mdada flan hivi huyo dada ameolewa na ana maumbile ya kawaida sana

Yani maumbile yake, yako hivi ni mwembamba wa wastani hana shape ila tako ndio analo lakini ni gumu 😂, sasa siku hiyo mdada wa watu sijui aliweka nini maana tako lilikuwa limelainika ile mbaya

Ezra atabaki kuwa Ezra bwana, si akajikuta anaongea tena mbele ya mama

"Yani tako la mama mussa huwa halieleweki kabisa, leo unaliona gumu kesho laini saivi hapo limetepeta na halina muelekeo kabisa.."

Nilicheka sana hii siku, mama akawa analalamika kuwa simfundishi Ezra tabia njema, sasa kama mtu amechagua maisha yake ya nini kumfatilia na sio kama ni mfundishe mimi

Ezra ni kijana mkubwa na ninamuheshimu mno so kuwa nakaa na kuanza kumueleza huku jamaa linajua zuri na baya....

Haya sasa anafuata huyu hapa Six boy Emmanuel, nyie wazazi sijui walipania kwenye kuita majina maana madume yote herufi zao za mwanzo zinaanza E kasoro mimi tu

Tabia ya Emmanuel ni mzee wa totozi, 😂 kuzaa watoto wengi hasara tupu maana hawakosi vibaka hata jambazi lazima litakuwemo

So me nimejiwekea mipango ya kuwa na watoto watatu tu huku bless ndio akiwa mtoto wa kwanza, basi bwana maneno mengi ya nini, tuendelee sasa linafuata hili domo zege la familia Eliya

Ila Eliya 😂 yani Eliya acheni aitwe Eliya maana ni muoga harafu ako na aibu huyu kijana na sijui kama ana mchumba kweli maana kutongoza tu hawezi

Hata mimi dada yake kunitazama tu aibu 😅 huyu kijana kuna mda huwa ananikera sasa, yani muda wote yeye ako ana aibu tu kama mwanamke vile dah nachoka mimi 😆

Sasa kuna hili la mwisho yani hili dogo hasara tupu, huyu dogo ni mbea yani hakikisha siri zako humwambii huyu dogo la sivyo unazikuta zishafika kwa mama Mira,...

Nazani mmewajua kaka zangu bwana, basi tuendelee pale tulipoishia aaah tumeishia wapi kweli yes nimekumbuka bwasi bwana nikamtazama hawa kaka zangu maana ni waongo sana

"Umbea tu ndio unawasumbua hebu nipisheni mimi.."

Niliongea huku nikitaka kuingia ndani, nikavutwa tena nikajikuta niko katikati yao 😂 kuwa na kaka raha sana maana muda wote watakuwa wanakulinda tu

Basi wakawa wananisisitiza niseme

"Ni mtoto wa boss wangu.."

"Mh mtoto w boss na akuletee zawadi ya gari..??"

Eliudi kama kawaida yake akaongea

"Eti..??"

Na wenzake wakadakia

"Sikilizeni nyie, yule ni mtoto wa boss wangu na hatuna mahusiano yoyote baina yetu , hizo zawadi hata huko Oman alikuwa akiniletea sana so naomba mkae kwa kutulia.."

Niliongea kisha nikarudi zangu ndani, basi msaa yalisogea hatimae muda wa Anfrey kuondoka uliwadia, so ikabidi nitoke nikamsindikize lakini nilishangaa baada ya kufika kwennye garai akanikabizi fungo za gari..

"Za nini hizi..??"

Nilimuuliza

"Ni zako mama Bless.."

Majiraniiii itaneni huku mje muone nimepewa funguo za gari, niliwehuka pale pale na kuanza kulembelea kidole kimoj 😂 maana kupewa gari tena lenye bei kubwa kiasi kile ni bahati bwana tena kubwa......

ITAENDELEA........

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16


SONGA NAYO.......

Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu

"Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.."

Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama yangu akiongea huko, nilijua bila shaka anamkaribisha Anfrey, basi mama Bless mie nikabadili nguo kisha nikatoka

Mkumbuke kwamba sikuweza kupokea funguo za gari, nilisogea na kuketi moja ya sofa. Mama alimuandalia Anfrey chakula.

Basi wakaati Anfrey anakula Hakim alikuja kumchukia Bless huku akinikonyeza nitoke nje, mimi ni nani nikatae na huku umbea ndio maisha yangu, chapu nikatoka nje

"Dah sis, unajua wewe una nyota kali haya tuambie yule nani..?,"

Baada ya kufika nje, kaka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miranda-binti-yangu-sehemu-ya-16

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miranda-binti-yangu-sehemu-ya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 41 to 42

AFANDE MILLAN😎 41 to 42

1.03K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

819
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

537
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

414
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

161
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

109
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

94
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu

85
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5

83
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

76

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.66K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.38K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.81K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.29K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.89K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.81K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.62K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.56K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS 🥰 yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. 🔴 Maamuzi yaliyotangazwa: 💵 Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL ⚽. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL ⚽.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43
@majario LIVE

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final
@majario LIVE

SEHEMU YA 19 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Asubuhi Mr Marvel alipoenda chumbani kwa Noela kama kawaida yake ili kumuamsha, anakuta chumba kipo kimya, hakuna mtu wala baadhi ya vitu vya Noela havipo😳. Anadhani labda ameenda chuo...

AFANDE MILLAN😎 41 to 42 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 41 to 42
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Sehemu ya 41 Basi bwana , zena alivyoniona mnazani alisimama,hapana bali ndo kwanza akaongeza speed ya kuelekea kwake ,na mm nikawa namfata kwa haraka ili asije akajifungia, basi zena akaingia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest