Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Mlige akanambia sikia sio kila wanachosema wazazi wnapatia. Nooo kma mama yako amesema anakupa radhi. Ukiludiana na mm ata mm mama yangu kanambia hivyo hivyo. Lakin faridah mi bila wewe nashindwa. Unazani mi napenda kusaliti ndoa. Hapana faridah. Nashindwa kila nnaposikia habari zake. Nashindwa nnapokuona .naomba sana tusifatishe wazazi. Na naomba sana usitoe mimba yani ukitoa mimba yangu faridah .sijuh ntakufanya nn. Na safari hiii mimi wala sitakusamehe . Mh mimi nikawa nalia mana ata mimi bwana namtaka na nampenda sana tu. Ila sasa mazingira ni magumu . Nikawa nalia. Mlige akanambia kuwa makini na ujauzito wangu. Lia unavyitaka ila ikitoka iyo mimba utanibeba nakwambia. Kisha uyoo akafungua mlango akaondoka ndo na mama anaingia chumbani kwangu.

Mama akanmbia yani nakwambiaje uyo mlige wako ntampeleka polisi na ntampigia bab yako kumuelezea uhu uchafu wako mjinga ww. Mie nikawa nalia tu. Heee nashika simu nakuta matusi jamani ni yanatoka kwa mama mlige na kwa yusta . Mbona nilikoma mimi. Yani sikuwa swa kabisaaa. Nikazima na simu tu. Basi zikapita siku 3 sijawasha simu na mama kaninunia. Na hizo siku 3 zote ambazo sipatikani mlige anakuja nyumbani anaingia kinguvu . Et anakuja kuniona.yani hajali kuhusu watu kabisa. Mi mpaaka nikawa namkattaza kwamba sio sawa. Hataki kunielewa .namjua nikajua apa anapelekwa na hasira na ujeuri wake. Basi ndo ikawa hivyo. Siku iyo kaja nakwambia mama yangu kamwambia ondkka usingiiee kwa farida. Loooh kama hamsikii kaingia chumbni kwangu. Kisha kafunga mlango. Mie nilikuw nimelala.mpaka nimeamka. Namsikia mama ana bwata kweli kwi. Mlige akatoa simu akanipa. Akanmbia mi siwez kulala sijajua hali yako na ya mtoto wangu tumboni. So chukua hii simu nishaweka na laini kila kitu . Tutakuwa tunawasiliana umo. Mie nikasema sawa . Hakukaaa sana akaondoka. Nyieee mlige jeuri.sijapata kuona

Basi ayo ndo yakawa maisha yangu. Sijuh yusta akiamua kuja kutukan kwetu na mama yake . Sie tunafunga mlango ndani. Watachamba apo kwrli kweli. Et wanamuita mama yangu mwanga. Na mie mwanag tunamloga mligee. Basi mama analia tu. Mie nabaki kimya ata cha kufanya sina. Ata road nikawa siendi mana habari ni zangu tu. Mh sikuwa naenda kabisaa. Basi apo mlige yeye ananipigia simu tunaongea .japo sina raha nae sasa. Na pesa ananitumia na kashanambia . Jiwazishe jilize. Jione una matatizo sana. Ila iyo mimba ikitoka utanibeba. Mi nafanyaje sasa. Basi napambana na tumbo languu. Mpaka matusi nikawa nishazoea sasa. Nikalea mimba mpak ikafika miez 7 . Apo mlige anatka mpaka tuonane hatki kuelewa. Ni mm ndo namkatalia nilimwambia tu tuzae na tuleee basi . Ila aendelee na mkeo. Mlige wala hakunijibu. Ila siku akiamua kuja hakuna cha kuomba ruksa wala nn. Anakuja. Na yusta akaacha kuja kunifanyia fujo nyumbani sijuh alimpiga mikwara ataa sielew

Basi ikawa hivyo yani. Mi nikawa nalea sasa tumbo lake. Yani ni ndani tu . Nikienda road kwa emergency sanaa. Basi siku iyo nipo nyumbani. Mlige kaja. Mh ana ata kusema.nakuja uyu baba. Mama yangu akawa ata salamu za mlige hataki. Ila mlige hajali . Mi.nikainua nikaingia chumbani na yye akaja . Nikakaa kitandani. Nikamuuliza vp mbona leo sahizi. Mana kaja usiku. Akanmbia ahaaaa mi najisikia kulala na wewe leo. Mh uyu baba mbona ana shida lakini. Nikamuuliza wewe una nn . Huoni kama tunaandamwa na tuna majanga mlige . Ebu nenda bwana..ahaaa mi apa hunitoi yani siondoki . Kma hutaki nilale apa jiandae tukalale njeee. Khaaaa . Na mtumbo wa miez 7 . Anataka kunisumbua. Nikamwambia we huoni hali yangu mlige . Mi sitaki presha now ebu niache nipumzike. Akanambia sawa kwani mi naenda kukuchosha noo . Mi nimekumisss nataka tukalale wote . Nataka kusikia joto la mwanangu. Mh nikamwambia hapana mama hataniruhusu. Mh basi akanambia swa et kanikalisha hataki kuondoka .nyoeee uyu baba

Mi nikamwambia ondoka kwako bwana. Et usinipagie bwana. Basi kajikalisha mpka saa 7 mama ndo kaja kumfukuza ndo kalizika🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌. Et aya bwana naondoka watu washaanza kunifukuza. Mpaka nikawa nacheka. Ndo uyoo anaondoka. Ndo ikawa hivyo . Siku anakuja ndani anajifungia mpaka saa 8 za usiku. Mpaka afukuzwe na mama. Ndo ananiaga anaondoka. Siku iyo nipo na mama . Mama akawa ananingalia sana. Mpaka nikawa najistukia mama akaniuliza we yule baba umempa nini kwani. Mie kimya. Mama aknmbia au umemroga kweli mlige ww. Mbona unampelekesha yule baba eeeh. Mie nikasema jamni mam hadi wewe unaona mie mchawi . Sijamfanya kitu. Mama akasema hapana sio kwa kukupenda uku. Ata kama ndo tuseme we mtoto mdogo mbichi. Mbona yusta nae mbichi. Khaaa . Mi akij ap namfukuza nakwambia sitaki mabaalaa. Mie nikajinyamazia . Kwanza uyo mlige mwenyewe mnazani anakubali kufukuzika bila ya kuniona sio kweli.

Basi mie nikalea mimba mpaka miez 8. Apo nikimuona yust namkwepa naogopa kupigwa shoga yenu. Siju iyo sasa ilikuwa ni mida ya mchana . Rahul ametoka shule . Akanisalimia nikamuitikia. Akambia mama mi sitaki ugali leo nataka chipsi kuku lleo na mayai. Loooh . Nikamwambia koma usinihalibie bajeti zangu . Ugaki ule bibi kakufunikia .et sitaki mimi mama mwambi baba elly anitumie hela. Nikamwmabia nyoooi ukome kushobka na mababa wa wenzio. Toka apaa. Akanuna akajibanza pembezoni mwa mlango et kanuna.. ila nikajisikia vibaya na pesa nnayo . Kwa nn mwanagu asile alichokitaka. Nikamwambia aya nyanyuka twendeee ukale unachokitaka. Mjinga wewe. Ndo iwe mwisho leo kunipangia cha kukila. Basi mwanangu akafurahi mnooo nakwambia . Akakenua uyoooo

Bibi mie nikainuka. Kujikokota tu. Mana mtumbo ule kule. Basi nikamshika mwanagu tukaend mpka wanapouza chipsi bala balani kabisa. Akagiza anachokitaka nkwambia. Namwambia vizur yule muuza chipss. Eka mayai mengi umo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌 mama yangu atalipa. Nyiee uyu mwarabu koko ana visaa. Aseeee tupo pale tunasubir chips nikastuka nnaitwa na sauti ambayo naijua vizuri sana. Nikageuka haraka nyieeeee nilistuka ssna namuona zayd pale . Mh nikamshika mwanangu mkono vizur haraka. Zayd akanambia woow una mimba sasa. Umependeza sana . Umekuwa mrembo kweli kweli na mimba imekupenda. Nikasema we zayd unataka nn . Ebu achana na mimi. Akanmbia unazani nimekufat wwewr. Nooo . Nimefata damu yangu ya kiarabu. Huwa haiendi mbali kabisaa. Nipe mwanangu we uendelee kufanya umaraya wako . Weeeee . Nikamwambia mpumbavu ww. Ukitaka kumchukua uyu mtoto labda kwanza mm nife ndo ntakupa uyu. Yani kwanza niue mm. Kisha nakupa mwanangu. Weeeee namjua michezo yake uyu . Akanihalibie mtoto thubutu

Weee akaanza kunivutaaa . Et amchukue mwanagu nilimbana rahuli. Yani nilisema uyu laba atoke na mkono. Ila mwili ni wangu. Rahul akawa analia si anaumia tunamvuta . Aseeee hana ata huruma. Anamvuta tu mtoto. Mi naona mwanagu anakia anambia mma mkono ananitoa naumia mama. Weee alfu mwanangu alivunjika mkono mi nikamuachia nakwambi. Uku nalia pale. Akamvuta upnde wake mtoto akanmbia hautkaaa ukamuona mwanangu tena. Naondoka nae uyu. Nikajua uyu ataenda kumfanua shiga mwananagu. Ile anataka kugeuka. Mh kakutana na mligeee. Nyieeeee mlige akamuuliza uyu mtoto unampeleka wapi zayd?

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117


Mlige akanambia sikia sio kila wanachosema wazazi wnapatia. Nooo kma mama yako amesema anakupa radhi. Ukiludiana na mm ata mm mama yangu kanambia hivyo hivyo. Lakin faridah mi bila wewe nashindwa. Unazani mi napenda kusaliti ndoa. Hapana faridah. Nashindwa kila nnaposikia habari zake. Nashindwa nnapokuona .naomba sana tusifatishe wazazi. Na naomba sana usitoe mimba yani ukitoa mimba yangu faridah .sijuh ntakufanya nn. Na safari hiii mimi wala sitakusamehe . Mh mimi nikawa nalia mana ata mimi bwana namtaka na nampenda sana tu. Ila sasa mazingira ni magumu . Nikawa nalia. Mlige akanambia kuwa makini na ujauzito wangu. Lia unavyitaka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-116-na-117

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

917
MY WANGU❤️ sehemu ya 113

MY WANGU❤️ sehemu ya 113

763
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

535
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

287
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10

161
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4

124
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

102
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

79
BLACK BUTTERFLY 🦋 1

BLACK BUTTERFLY 🦋 1

69
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*

54

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.23K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.97K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.34K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.32K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
@majario LIVE

Mlige akanambia sikia sio kila wanachosema wazazi wnapatia. Nooo kma mama yako amesema anakupa radhi. Ukiludiana na mm ata mm mama yangu kanambia hivyo hivyo. Lakin faridah mi bila...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘
@majario LIVE

Baada ya ile simu ya mme wangu kuita niliipokea mimi kisha nikamuwekea mme wangu sikioni kwa sababu yeye mkononi kwake alikuwa kambeba mtoto..... nilimsikia baba lia akiwa anaongea kwa machungu...

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

BLACK BUTTERFLY 🦋 1 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 1
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa “ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?” Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye...

Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni Post Mpya
Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni
@majario LIVE

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic “rich girl, poor...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8
@majario LIVE

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka...

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115* Post Mpya
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
@majario LIVE

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm...

MY WANGU❤️ sehemu ya 113 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
@majario LIVE

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari...

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYO…… “Wewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza “Huyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. “Sikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. “Working with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest