AAAAH IMETOSHA BOSS๐๐ N0 72...73๐๐
Baada ya ile simu ya mme wangu kuita niliipokea mimi kisha nikamuwekea mme wangu sikioni kwa sababu yeye mkononi kwake alikuwa kambeba mtoto..... nilimsikia baba lia akiwa anaongea kwa machungu na masikitiko ya hali ya juu alimwambia paschal kuwa binti yangu ameshindwa kupambana๐ฐ๐ฐ ameondoka katika uso wa dunia๐ฐ๐ฐ kipenzi changu ameniacha peke yangu๐ฐ mikono yangu ilianza kutetemeka machozi yalianza kunitoka baba yake lia alituambia kuwa lia amefariki ameaga dunia binti yangu hatunaye tena๐ฐ๐ฐ zilikuwa ni taarifa mbaya sana kwetu.... kumbe ndiyo maana mtoto alilia kwa sauti nahisi alimlilia mamake๐ญ๐ญ๐ญ simanzi zilitawala katika nyuso zetu..... paschal alisikitika sana kiukweli hakutegemea alimtizama mtoto wake huku machozi yakiwa yanamtililika nilienda nikambeba yule mtoto nilimuacha alie ili kuondoa machungu moyoni mwake......
Baada ya muda nilimfuata nikamuomba anyamaze imetosha sasa kulia mme wangu.... aliniambia wife..... Junior ๐ญ๐ญ nilimuondoa hofu nilimwambia mimi nitamlea junior nitasimama kama mama kwake na wala sitombagua nitamlea kama mtoto wangu wa kumzaa....kumbuka nawe unamlea shazil kama mwanao na haujawahi kunionyeshea kuwa wewe siyo baba yake...... baada ya kumwambia paschal vile alinikumbatia then akaniambia asante..... tulifunga safari tukaelekea kule nyumbani kwao na lia..... tulishinda kule nyumbani tukiomboleza usiku mie nilirudi nyumbani paschal nilimuacha kule msibani....kama mjuavyo lia alikuwa na kidonda cha operation asingeweza kukaa sana mazishi yake ilibidi tu yapelekwe haraka haraka...... baada ya kifo chake siku ya kesho yake tulimpumzisha katika nyumba yake ya milele๐ญ๐ญ rest in peace lia ๐ bado junior niko naye yuko katika mikono salama ninamlea kama mama kwake na anajua mimi ni mama yake kutokana na vile ninavyomhandle vizuri..... Kila siku tunakuombea dua njema upumzike kwa amani......
Baada ya mazishi ya lia.... nilikaa nyumbani miezi tisa kwa ajiri ya kumcare yule mtoto wake kwa sababu bado alikuwa mdogo sana alihitaji kuwa katika mikono ya mwanamke ambaye anaelewa namna na kumhudumia mtoto mchanga... sikutaka kumuachia msaidizi wa kazi wala mtu mwingine yeyote lia kabla hajafa aliomba sana tumlelee mtoto wake vyema.....niliamua kuifanya hiyo kazi mwenyewe kwa mikono yangu kwa usaidizi wa Mme wangu na uwepo wa Mwenyezi Mungu kila kitu kilienda sawa๐๐... Alhamdulilah junior alikua tena bila shida yoyote ile baada ya junior kutimiza miezi 9 nilimtafutia mtu wa kumlea ikabidi namm sasa nirudi ofisini kwangu niendeleee na majukumu ya kulijenga taifa๐๐ tayari mtoto alikuwa kaishaanza na kutembea hakuwa na shida yoyote....alikuwa anabakia nyumbani na mlezi mie naenda kazini..... Nice na shazil tyr wao walishaanza kwenda shule siku nyingi tu.....
Ilikuwa ni jioni mida ambayo nilikuwa natokea ofisini kwangu kuelekea nyumbani kwangu mme wangu alinipigia simu akaniomba nipitie mjini ili niende nikamchukulie junior vifaa vyake vya kujifunzia kusoma na kuandika.... niligeuza gari nikarudi mjini nilifika katika maduka ambayo ndo yalikuwa yanauza hizo vitu nilizokuwa nazihitaji......niliegesha gari yangu pembezoni mwa barabara nikatelemka mdogomdogo nilianza kutembea kwenda kule madukani..... kwa mbele nilimuona mtu kama Hemed๐คฃ๐คฃ๐คฃ niligeuza haraka huku nikiwa naificha sura yangu asinigundue๐๐ hemed tangu nilipoondokaga kule nyumbani kwake nilikata kabisa mawasiliano naye namba zake nilifuta nikatia block hatukuwa kabisa na mawasiliano nilifanya vile ili kuepusha ukaribu nae si mnajua mambo ya maex๐คฃ๐คฃhawachelewi kukushawishi et๐๐ unakuja jikuta umeshamrudia bila taarifa.... sikutaka ile kauli ya kuwa wazazi hawaachani ijiinue kwangu nop๐ซฐ๐ซฐ
Baada ya kugeuka haraka haraka kwa nyuma yangu nilihisi ni kama kuna mtu anakuja huku akiwa anakimbia nilivyogeuka nilimuona hemedi akiwa ananikimbilia huku akiwa ananiita pendo please nakuomba usimame tuongee nakuomba mamangu๐๐ sikutaka kabisa kujenga ukaribu na hemed kule nilipoegesha gari yangu ni pembezoni mwa barabara niliwahi haraka kwenye gari nilipanda zangu kwenye gari nikaiwasha na kuanza kuondoka kule kwenye ile sehemu pale๐ฃ๐ฃ niliiondoa gari kwa kasi ili niweze kumkimbia yule ex wangu king'ang'anizi sikutaka hata apajue kwangu nilihofia anaweza kunifuatilia kwa nyuma na kweli hiyo ndo ilikuwa nia yake nilikuwa namwangalia kwenye site mirror alienda haraka akapanda kwenye gari lake ili aweze kunifuatilia mimi aliondoa gari kwa kasi sana aliingia barabarani bila kutizama kulia wala kushoto kama kuna gari lolote linalokuja.....hemed alienda kugongana uso kwa uso na gari dogo lililokuwa linaelekea kule alikokuwa anatokea yeye๐ฐ๐ฐ hemed macho yake alikuwa anaangalia kule nitakoelekea ili nisimchenge yeye hakuangalia barabara kuu anakoingia kuwa magari yanapita muda wote nikiwa zangu busy kudrive kwa kasi ili nipotee machoni kwa Hemed mara nilisikia kishindo๐ฃ๐ nilivyoangalia kwenye site mirror nililiona gari la hemed likiwa limechakaa vibaya hatari๐ช๐ช nilichanganyikiwa nilishindwa niendele au nirudi๐ฐ๐ฐ hapana siwezi kuendelea hebu Acha nirudi nikamwangalie hali yake๐ช๐ช.....alipata ajali mbaya sana.....
Niliiondoa gari yangu barabarani nikaiweka pembezoni mwa barabara baada ya hapo nilitelemka nikaanza kukimbia kuelekea kule ilikotokea ajari nilikuwa nakimbia huku nikiwa naita hemed๐ฐ๐ฐ nilifika pale nikakuta tayari watu wameshaanza kuwaokoa watu waliokuwemo ndani ya zile gari mbili zilizopata ajari ambapo gari moja ilikuwa ni ya Hemed na gari ya pili sikujua ni ya nani kwa muda ule.....hemed alitolewa kule kwenye gari akiwa amepoteza fahamu walimlaza pale pembeni wakaanza kumpepea..... nilisogea pale namm nikawa nampepea huku nikiwa nalia๐ช๐ช nilimuita majina yote huku nikiwa namsihi aamke bado mtoto wake anamhitaji sana.....police walifika pale wakatuondoa watu wote kisha wale wahusika wa ajari ambulance ilikuja kuwachukua na kuwawahisha hospital......nilirudi haraka kwenye gari langu nikaifuata ile ambulance hadi katika ile hospital walikopelekwa akina hemed..... walishushwa kwenye ambulance haraka na kuingizwa katika vyumba vya kupatiwa matibabu...... nilishuka kwenye gari langu nikasimama pale huku nikiwa natokwa na machozi nilikuwa najiulaumu why sikusimama ili niweze kumsikiliza hemed huenda hayo yote yasingetokea....
Nikiwa nimesimama nje ya ile hospital si nikaanza kuona kizunguzungu ๐ฃ๐ฃ kadri nilivyozidi jikaza ndo nilikuwa nazidi kujihisi vibaya mwilini kwangu nilijisogeza nikaenda liegemea gari langu ili nisidondoke nilianza kuita msaada pale kwa sababu hali yangu ilizidi kubadirika alikuja nurse mmoja akanishikilia.... vipi una shida gani nilimwambia najisikia vibaya ninahisi kichefu chefu na kizungu zungu ๐ฃ๐ฃ nasikia kutapika๐คฎ๐คฎ๐คฎ nilianza kutapika yani kitumbo kilianza kuvurugika ghafla tu hali ya mwili wangu ikachefukwaa hatarias yule nurse alimuita mlinzi ili wasaidiane kuniingiza ndani kule hospitalini nikapatiwe matibabu..... niliwaomba wanichukulie mkoba ndani ya gari then wailock milango yote ya gari baada ya hapo walinisaidia kunishikilia hadi kule ndani hospital nilipewa kitanda nipumzike nilimpigia mme wangu paschal nikampa taarifa ya sehemu niliko na hali yangu ilivyo... aliniambia kuwa atafika muda siyo mrefu kwa ajiri ya kuja kuniona.....doctor alikuja kunichukua vipimo baada ya hapo alitoka.... haikupita muda paschal alifika kule hospital alifika akanikiss kwanza then akaniuliza vipi nini kimekupata mine๐ฅน๐ฅน hakuna shida kubwa sana ila tu niwape hongera..... alijibu doctor aliyekuwa kashikilia makaratasi ya majibu ya vipimo vyangu...... hongera๐พ๐พ mbona hongera?!๐๐....
Itaendeleaaaa......
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni