Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm basi ata niwe na kumbu kumbu yake tu.. mama akainukaaa . Akaendaa kumuita daktari aseee ile daktari kafika tu. Nikamuuliza vp kuhusu mimba yangu. Akanmbia tulia faridah. Kuipata kazi kama hizi nichek mm mtunz kwa namba sefurisaba nanesita sabatisa sitatatu sitatatu.usinunue kwa wez utaumia sana. Mimba ipo sawa japo imepata mtikisiko kidogo. Ila ipo sawa na upo salama kabisa. Aseeee ndo nashusha pumzo. Nilikuwa nasikia maumivu sana ..mwilini koteee. Yni kunauma aseeeee.. mama wala hakuongea na mm. Nikajua kakasilika . Mh na apa nishaumbuka na kila kipo wazi kuwa bibi mie nilikuwa natembea na mlige. Mh aibu mnoo. Mama alikuwa kavimba kweli.kweli. mda uo uo mlige ndo anaingia hospital .ni anatwetwa nakwambia.ata hajamsalimia mama

Amefika anahema ananiuliza unaendeleajee. Mama yangu faridash nambie kakumiza wapi. Vpo kuhusu mtoto wetu.mi.mpaka naona aibu mana mama.ni anatuchora na mjicho mkari mpaka nikawa naogopa. Mlige ata hajali yani. Nikasema elly mi niko powa naendelea vzur. Akanmbia nambie mimba haijtoka. Akasema hapana haijatoka. Et anambia inuka twende. Khaaaaa . Mama akamwambia we mlige unataka kumpeleka wapi mwanangu. Et mlige ndo anastuka. Ahaaa mama kumbe upo shikamoo. Mama akasema marhaba aya muache apo anaendelea vizur. Mlige akasema.ahaaa sawa mama. Mma akamwsmbia alfu wewe mlige we si una mke wewe. Kwaiyo ulikuwa unamsaliti mkeo unakuja kutembea na uyu mjinga mwenzio mpkaa mmetiana mimba. Unaona leo mkeo alichomfanya mwanangu anataka kumuua..na kuniita mimi mwanga nakuroga wewe. Mlige akasema. Samahani mma. Mama akamwambia ebu ondoka kwanza apa hospital. Mlige akaniangalia mimi.nikamkonyeza kwamba aende . Mlige akanmbia ntakupigia. Kisha akaondoka. Mie nikabaki na mama ni ameninunia ile mbayaaa jamani

Basi Asubuh ndo tukaruhusiwa pale hospital nikiwa naendelea vuzur tu na bills zote alilipia mlige . Nyieee mama ni kaninunia vibaya sana. Tumefika nyumbani kimewaka.nyieee mama kaniwakia ile mbayaaa. Alinisema alinambia we una akiri wwwe. Kwaiyo wewe na shoga yako ya mnashea bwana si ndio. We si ulisema humtaki wewe. Leo kiko wapi na mimba umembeba fisadi mkubwa. Mie kimya. Mama akiongea sana akanmbia unananidhalilisha mm mshenzi wewe. Mie nikanyamaza kimyaaa .mama aliongea sana . Mi.nikaingia zangu chumbani . Nikajipumzisha .mda uo uo mlige ananipigia .mie nikapokea uku nalia .mloge akanmbia naomba usilie kabisa. Naomba unyamaze faridah swa naeleea setuation unayopitia.

Na mm napitia pia. Ila kuwa strong . Nakupenda sana faridah. Naomba tulia na ulilax mwanamke wangu ntakupigia baadae.nikasema sawa kisha nikakata simu. Ile nakata tu . simu nyengine inaingia pale. Naangalia aliyenipigia mh ni namba ngeni . Mie nikapokea .nyiee si mama yake mligee. Nilikomaaa. Nilitukunwa na uyu mama mpaka nilijuta. Alinibadilikia hakuwa yule tenaa. Si anajua mambo niliyomfanyiaga mwane kile kipindi.Alinambia we mtoto huna haya wew. Tena hun aya wala hujui vibaya mshamba wa maisha na mali ww. We si ulipata mwarabu ilukampandisha mapresha mwanngu. Si ulikuwa unataka kuniulia mwanangu leo unamuona mzuri. Eeeh leo unamuona mtamu eeeh..umeenda dar umetombwa tombwa umechunda mpaka umezalishwa. Unakujaa kumsumbua mlige. Sikia nakwambia iyo mimba yako sio ya mlige na kama familia ya mlige hatukutambui tunamtambua mkewe yista tu. Mshenzi mkubwa unanilogea mwanangu msenge ww. Nikaona mambo yasiwe mengi nikakata simu .presha juu juu.

Mh ile nakata simu namsikia na mama anaongea na simu ila anatukanwa piah. anatukanwa kweli kweli mana mama aliweka.simu loud .doooh nilivyochunguza vizur . Nikagundua anaonngea na mama yake mlige. Asee namsikia mama yanggu anajitettea e.et kama mimi mchawi sawa bwana mungu atanilipia. Mi mwenyewe sikuwa najua lolote. Nyieee mama yangu kugombana hawezi kabsa. Ila leo namponza mama yangu anatukanwa rohooo iliniuma sana. Moyo uliuma mnioo. Yani nikawa najisikia vibaya sanaaa. Vibaya mmnooo . Aseeee nikasikia mma mpka analia kisha akata skmu. Akaja chumbani kwangu na hasira . Akanambia kwa nn unanidahlilidha wewe. Ona leo mie natukankka mchawi kwa ajili yako .kwanini huna akiri na hauna msimamo wewe. Kuipata kazi kama hizi nichek mm mtunz kwa namba sefurisaba nanesita sabatisa sitatatu sitatatu.usinunue kwa wez utaumia sana.Mwanaume kashaoa unaenda kumpanulia mapaja.yako mshenzi wewe. Mie kimyaa eeeh mama sijuh ndo hasira aknifata. Akaanza kunipiga mangumi ya mgongo. Na hali yangu hiii. Nililia nyieee.mama Akaniachia akanmbia yani wewe nataka uachane na mlige mala moja na ukiendelea nae nakupa radhi .nakwmabia. nakumwagia radhi mmi. Utaenda kutafuta mama yako alokuzaa labda sio mm. Mh mie nikawa nalia tu. Mama kafikia hatua kubwa mpaka anataka kunipa radhi

Nyieee mie nikatulia . Usiku mwanaume ananipigia.sikumpokellea . Akapiga ttena sijapokea . Akapiga tena.sijapokea.nikamtumia sms .nikmwambia kuanzia. Leo mimi.na wewe basi.mi.mimba ntatoa tu. Baki.na mkeo . Mama anataka kunipa radhi mi siwez tena mligee. Asee mlige. Akanipigia simu. Akanmbia wewe usipanik nakuja apo kwenu .nikifika mitaa ya apo kwemu ntakustua uje tuongee.nikasema mimi sitaki. Na elewa tu kuwa sikutaki. Mama yako. Kanipigia simu kanitukana na kamtukana na mama yangu.mi siyatakia aya mahusiano.mlige akasema umezoea kuniacha au sio. Sikia sasa we kumamako safari hiii siachiki unanielewa wewe. Na nakufata apo apo kwenu sasa ujue kama nimepagawa . Mbona nilishngaaa mlige leo anatukana. Ata sinamjibu kanikatia simu .

Nikamkatia simu kisha nikamblock. Doooh dakika chache .nasikia mlango unagongwa kwa nguvu. Mie nilikuwa nipo chumbani kwangu ata sielewi. Dakika 2 mlige kaingia mpaka chumbani. Akafunga na mlango . Tukawa wawili tu. Apo mama anaggonga mlango wangu kwa nje et we mlige toka uende kwa mkeo usinitafutie mabalaa mimi.nimesema nenda kwa mkeo sitaki kesi. Mm nilishangaa nilimwambia elly umefata nn. Akanambia nimekufata wewe . Sikia faridah. Acha kuangalia mioyo ya watu
Ebu tujiangalie mimi na wew. Naelewa sana kjwa wewe unanaipenda mimi. Na hunipendei. Pesa. Faridah una hisia za kweki na mimi kumbuka mimi ndo nimekufundisha mapenzi ww ..na mimi ndo mwaname pekewe nakupeda ssna wewe. Leo unatka kuua mtoto wangu kisa. Sikiiza sio mama yako wala mama yangu anaeweza kutuingialia mimi na wewe au umezoea kuniacha na kunipa maumivu killa.siku ebu nambie nambie faridaah. Mh nikawa natetemeka nampenda kweli uyu baba ila mama kanambia atanipa radhi maogopa mimi . Nikasema hapana mlige mi sitaki aya mahusiano .we baki na mkeo .mlige akapiga ngumi ukutani kwa hasira uku anatetemeka mh

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*



Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm basi ata niwe na kumbu kumbu yake tu.. mama akainukaaa . Akaendaa kumuita daktari aseee ile daktari kafika tu. Nikamuuliza vp kuhusu mimba yangu. Akanmbia tulia faridah. Kuipata kazi kama hizi nichek mm mtunz kwa namba sefurisaba nanesita sabatisa sitatatu sitatatu.usinunue kwa wez utaumia sana. Mimba ipo sawa japo imepata mtikisiko kidogo. Ila ipo sawa na upo salama kabisa. Aseeee ndo nashusha pumzo. Nilikuwa nasikia maumivu sana...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-114-na-115

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

1.13K
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

595
MY WANGU❤️ sehemu ya 113

MY WANGU❤️ sehemu ya 113

470
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

433
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

195
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

174
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

108
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4

105
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

83
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

77

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.22K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.96K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.33K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.32K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

BLACK BUTTERFLY 🦋 1 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 1
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa “ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?” Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye...

Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni Post Mpya
Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni
@majario LIVE

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic “rich girl, poor...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8
@majario LIVE

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka...

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115* Post Mpya
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
@majario LIVE

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm...

MY WANGU❤️ sehemu ya 113 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
@majario LIVE

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari...

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYO…… “Wewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza “Huyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. “Sikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. “Working with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO...... "Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.." Alilalamika yule mwanafunzi. ( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..) Nikamshushia kingine...

AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo Post Mpya
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
@majario LIVE

utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivyopangwa awali na kubainisha kwamba kanuni zinaruhusu. Akizungumza na chombo kimoja cha Habari...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘
@majario LIVE

Ucjali lia mimi tayari nimeshakusamehe na ninakuombea kwa mwenyezi mungu akuponye uweze kurudi kwenye hali yako ya kawaida.... lia aliomba msamaha kwa paschal kutokana na vishawishi alivyokuwa akimpatia na hivyo...

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
@majario LIVE

Nikasem na mm pia simkumbuki. Rahul akasema unamkumbuka mma.si yule alikua nanibeba . Nikasema simjuh mbona unanilazimisha. Mwanangu si ndo akakumbuk akasema ni elly bibi. Anaitwa bab elly. Uzuri...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest