Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8
Gonga94 Β· Stories

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SONGA NAYO....

Basi kama mwalimu nikamwambia Lizy apite akae, kweli na yeye akaenda na kukaa, kisha nikawatazama hao wanafunzi sasa walikuwa wananiangalia hao na mimi nikatoa mimacho yangu yote nje na mshipa wa kichwani nikaukaza sasa na kuzungumza

"Yoyote ambaye atamfukuza Lizy darasani nitakula nae sahani moja, nyie si mnajifanya ni sikio la kufa basi endeleeni maana hamjui cheo changu wala wazazi wangu kifupi mimi natembea na mabodyguard, kaka yangu ni police, baba yangu ni mwanajeshi na dada ni askari sasa mtu ajichanganye aone cha moto na hiyo mikasi yenu..."

Nilitoa mkwala kweli kweli, ambao kwa namna moja uliwafanya watulie na kuogopa, kisha nikaondoka zangu πŸ˜‚

Baada ya kutoka mle darasani nikaelekea mpaka staff nimefika huko nikakaa zangu, akaingia madam Penina, huyu dada alikuwa ameshanielewa kitambo tu ila sema anaogopa kuniambia

Basi Madam Penina baada ya kufika hapo akasogea mpaka kwenye meza yangu na kukaa kwa juu huku akinitazama kwa macho ya uchu nyie

"Nikusaidie nini..?"

Baada ya kuona ananiangalia sana ikabidi nimuulize

"Aaahh Sir Henry hivi umeoa..??"

( hili ndo lililokuleta hapa, hata hivyo fresh tu ukijichanganya nitakukula ohooo )

"Hapana muda bado wa mimi kuoa..."

"Mh lakini mbona unaonekana mdogo hivyo..??"

( πŸ™„ kama naonekana mdogo twende geto nikakuonyeshe kama mimi ni mdogo au mkubwa..)

"Aah ni mwili tu jamani..."

"Sawa.."

Alijibu kifupi huku akiniangaliaa, moyoni najiwazia tu ajichanganye aone namna nitakavyomshughulikia kwanza amenikera kwa kumpiga Lizy we ngoja

Basi madam penina aliniangalia sana mpaka alipotosheka mwenyewe akanyanyuka na kuelekea kwenye meza yake lakini hakuacha kuniangalia.

Muda ulienda hatimae break ilifika na wanafunzi wote wakaenda kwenye canteen kupata kifungua kinywa, upande wangu nilikuwa nimeboeka sana yani ikabidi nitoke nje nikazunguke zunguke huko ili kidogo nichangamshe akili

Basi nikatoka nikawa natembea tembea naangalia namna wanafunzi ambavyo wanachezesha makalio yao wanaponiona πŸ˜‚ lakini mimi sikuwa najali kabisa

Nikaendelea na safari lakini nilifika sehemu na kumkuta Lizy akiwa amekaa na msichana flan hivi wakiongea na kupiga story, japokuwa alikuwa anapiga story ila alionekana kuwa na njaa sana.

Nilimuonea huruma nikamuita, akaja mpaka nilipokuwa huku akimuacha rafiki yake anatuangalia sisi, nikaangalia huku na huko kama kuna mtu anatuona nikakuta kweli tunaangaliwa

Nilichofanya nikatoa buku, kisha kwa sauti kubwa ambayo mwanzo ilisikika kwa sauti lakini mwishoni ilikuwa ya kunong'oneza

"Nenda canteen, ( hapa nilitamka kwa sauti ) ukanywe chai (kwa kunong'oneza )

So ikawa kwa hivi

"Nenda canteen, ukanywe chai.."

Nilisema hivyo kwa sauti na wanafunzi wakaelewa namuagiza canteen , basi binti akanishukuru huyo akaongozana na rafiki yake mpaka canteen

Upande wangu nikabaki naabasamu tu, sijui huyu binti amenipa nini walah πŸ˜‚ yani najikuta namuonea huruma kabisa dah mniokoe mapema mimi nisije kujikuta nampenda mwanafunzi wangu jamani...

Muda nao ulikimbia mapumziko yakaisha na kila mtu akaingia kwenye majukumu yake, kama kawaida upande wangu nikaingia form two kwenda kufundisha kiswahili

Nilifundisha kalibia lisaa limoja, aisee toka mwanzo nawaambia kazi ya ualimu ni ngumu lakini pia inahitaji uvumilivu mkubwa sana.

Maana wakati nafundisha wanafunzi walikuwa wanapiga sana kelele, ikabidi nimwambie monter wa darasa aniandikie majina ya wapiga kelele hapo kidogo wakatulia..

Ilipita kama miezi miwili hivi, huku nikiwa na muwaza sana Lizy yani binti sijui hata aliniwekea nini walah, nilikuwa namuwaza mpaka kipindi cha kula πŸ˜†

Basi ikiwa ni siku nyingine kama kawaida kipindi cha remedial kilifika nilienda kwenhe group langu na kukuta wanafunzi wwangu wameshafika wananisubiri tu

Na siku hiyo nilikuwa nimewaambia wanafunzi wanunue counter book maalumu za kufanyia test, sasa hiyo siku nilitakiwa kukagua kama wamenunua kweli au laah

Basi nikaanza kukagua mmoja mmoja kumbuka kila kundi linakuwa na wanafunzi zaidi ya 10, so ilikuwa kazi ngumu,. Wakati nakagua kagua pale nikamfikia Lizy ajabu huyu binti hakuwa na hilo counter.

Nilimuangalia bila kummaliza kuna mwanafunzi akaongea

"Yani huyu Lizy amepewa pesa na shangazi yake ya kununua counter lakini amekula yote, saivi hapo amejitilisha huruma kweli..."
Mwanafunzi yule alisema kwa kunong'ona ila nilimsikia, nikamgeuki na kumuangaliaa, bana mimi Henry nilikuwa sitaki kabisa kumsikia mtu akimsema Lizy

So yule mwanafunzi ni kama alijichanganya walah nilimpiga fimbo ya mgongo hiyo ambayo ilimuingia kabisa mpaka kwenye utu wa mgongo, na vile alikuwa hajawaa sweta sasa awee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎ

"Me nafundisha unaanza kuongea nani amekupa ruhusa ya kuongea..??"

Nilimuuliiza kwa ukali..

"Samahani mwalimu..."

Alisema yule mwanafunzi huku akilia kabisa, kuna namna niliona nimemuonea bure lakini na yeye akome kuropoka hovyo hovyo πŸ˜‚

Niligeuka na kumuangalia lLizy, nakaona kanatetemeka yani kama kanasikia baridi, hapo nilijua tu ananiogpa bΓ da ya kumcha yule mwanafunzi

"Haya na wewe Counter lipo wapi..??"

Nilimuuliza kwa sauti ya ukali

"Aaah sir ah nili.... aah yani..."

"Ongea vizuri unaongea kama hujala asubuhi bana..."

"Sir naomba unisamehe, ukweli me naishi na shanngazi yangu amesema hana hela ya kununua..."

Yule mwanafunzi akadakia tena

"Uongo uongo, me Leah ameniambia kabisa kuwa umepewa hela ukaila yote.."

Nilichofanya ni kumshushia kiboko kingine kisha nikatulia πŸ˜‚

ITAENDELEA............

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8


SONGA NAYO....

Basi kama mwalimu nikamwambia Lizy apite akae, kweli na yeye akaenda na kukaa, kisha nikawatazama hao wanafunzi sasa walikuwa wananiangalia hao na mimi nikatoa mimacho yangu yote nje na mshipa wa kichwani nikaukaza sasa na kuzungumza

"Yoyote ambaye atamfukuza Lizy darasani nitakula nae sahani moja, nyie si mnajifanya ni sikio la kufa basi endeleeni maana hamjui cheo changu wala wazazi wangu kifupi mimi natembea na mabodyguard, kaka yangu ni police, baba yangu ni mwanajeshi na dada ni askari sasa mtu ajichanganye aone cha moto na hiyo mikasi yenu..."

Nilitoa mkwala kweli kweli, ambao kwa namna moja uliwafanya watulie na kuogopa, kisha...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/wewe-ni-wangu-sehemu-ya-8

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi wewe-ni-wangu-sehemu-ya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

1.15K
MIMI SIKUACHIπŸ₯°  SEHEMU YA 58

MIMI SIKUACHIπŸ₯° SEHEMU YA 58

726
*MY WANGU❀️*   *sehemu ya 109 na 110*

*MY WANGU❀️* *sehemu ya 109 na 110*

705
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 68...69πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 68...69πŸ’˜πŸ’˜

580
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 59 na 60

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 59 na 60

412
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7

159
*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3

*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3

88
MY CRAZY BOSS 07

MY CRAZY BOSS 07

88
*REALLY LOVE Chapter 20

*REALLY LOVE Chapter 20

82
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE*

40

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.21K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.93K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.7K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.1K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.49K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.42K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.33K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.32K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Basi kama mwalimu nikamwambia Lizy apite akae, kweli na yeye akaenda na kukaa, kisha nikawatazama hao wanafunzi sasa walikuwa wananiangalia hao na mimi nikatoa mimacho yangu yote nje na...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6
@majario LIVE

Chapter 5 Kulikucha ila hata leo nilichelewa kuamka maaana dada pia inavyoonekana jana alichoka sana hivyoo na yeye pia alilala sana hakuamka pia nikajikuta nimeshtuka saaa moja ikabidi tu niwahi kujiandaa...

Baby Guddu, whose real name is Shahinda Baig, was one of the most loved child stars of her time. The daughter of filmmaker M. M. Baig Post Mpya
Baby Guddu, whose real name is Shahinda Baig, was one of the most loved child stars of her time. The daughter of filmmaker M. M. Baig
@majario LIVE

, she began acting when she was just three years old and quickly became a favorite among audiences for her innocent charm and natural expressions. During the 1970s and early...

Sad 😒 : Mtayarishaji mkongwe wa filamu Bollywood  M.M Baig, baba wa aliyekuwa msanii mtoto maarufu wa zamani Baby Guddu, Post Mpya
Sad 😒 : Mtayarishaji mkongwe wa filamu Bollywood M.M Baig, baba wa aliyekuwa msanii mtoto maarufu wa zamani Baby Guddu,
@majario LIVE

na aliyeshiriki katika kutayarisha filamu kama Razia Sultan pamoja na kuongoza filamu ya Chhoti Bahu, alikutwa akiwa amefariki nyumbani kwake, msemaji wake bwana Hanif Zaveri amethibitisha. Kwa mujibu wa taarifa Baig...

Nottingham Forest beat FenerbahΓ§e 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie. Post Mpya
Nottingham Forest beat FenerbahΓ§e 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie.
@majario LIVE

Nottingham Forest beat FenerbahΓ§e 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie. The VΓ­tor Pereira era is off to a winning start βœ…

Suniel Shetty has been married to Mana Shetty (born Monisha Kadri) since December 25, 1991, and their love story is truly old-school Post Mpya
Suniel Shetty has been married to Mana Shetty (born Monisha Kadri) since December 25, 1991, and their love story is truly old-school
@majario LIVE

. They met back in the 1980s and dated for almost nine years before getting married. Coming from different cultural backgrounds, their relationship did face resistance initially, but love and...

🚨 Al Ahly climb to second place in the Egyptian Premier League table after securing a 1–0 win over El Gouna. Post Mpya
🚨 Al Ahly climb to second place in the Egyptian Premier League table after securing a 1–0 win over El Gouna.
@majario LIVE

The decisive moment came through Emam Ashour, whose goal proved enough to seal all three points and keep the title race firmly alive. #AfricaSoccerZone #AfricanFootball

Jackie Shroff has been happily married to Ayesha Shroff since June 5, 1987, and their love story is one of the most real and long-lasting in Bollywood Post Mpya
Jackie Shroff has been happily married to Ayesha Shroff since June 5, 1987, and their love story is one of the most real and long-lasting in Bollywood
@majario LIVE

. Ayesha, who was a former model and appeared in the film Teri Baahon Mein (1984), has always been Jackie’s biggest strength. She stood by him even before fame came...

*REALLY LOVE Chapter 20 Post Mpya
*REALLY LOVE Chapter 20
@majario LIVE

fahima hakujibu kitu akarudi ndani naseven nae akarudi ndani, sasa ndonini miseme mbele za watu alisema fahima "siili uniamini kama nakazi nyingi alisema. seven sasa kwani nisipokuamini wewe unaumia nini alisema fahima unadhani ni...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE*
@majario LIVE

Mhh CEO alinitizama tuu maana, kisha akatabasamu hujafukuzwa kazi, ila ni vile tu hujaelewa nilikuwa naamaanisha nini hapo, binti sikusem kwa nia ya kukufukuza kazi basi nikisema pengine kuna siku...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

59 MPAKA 60 MWISHOOOO 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Ahaaa basi nikamtoa na t shirt ya juuu. Wala hajabisha tena . Nikamfungua na sidiria yake. Kisha naikabugia ziwa lake la kushoto nikaliingiza mdomoni. Weeeeeee. Akaanza...

*MY WANGU❀️*   *sehemu ya 109 na 110* Post Mpya
*MY WANGU❀️* *sehemu ya 109 na 110*
@majario LIVE

Aseeeee ata nikifurah ndo sio wangu ni mume wa mtu. Basi nangalia missed calls mama kanipigia sana . Wee mimi wala sikutaka kumpigia mama nikamtumia tu sms.mama mi naludi keshi...

MY CRAZY BOSS 07 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 07
@majario LIVE

SONGA NAYO Asubuhi wa kwanza kuamka nilikuwa mimi,nilijikuta na uchovu wa ajabu sana,nikaona niamke nielekeee chooni kukojoa Ile natoka tu kwenye shuka 😳😳nikagundua nipo uchi wa mnyamaπŸ₯²hapo ndo akili ikanirudi nikagundua yaliyojiri...

MIMI SIKUACHIπŸ₯°  SEHEMU YA 58 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° SEHEMU YA 58
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Wakati nawaza pale akaja yule muuzaji na baadhi ya sampo ya vitu vya kike vya gharama kweli dah mfukoni pesa ya kufosi na uhakika wa kupokelewa zawadi sina ila fresh...

*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3 Post Mpya
*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3
@majario LIVE

SEHEMU YA...... 1 ilikuwa ni majira ya Jioni nyumbani kwa Kijana Tajiri aliefahamika kwa jina la ABDUL. Kijana ambae alijaaliwa kuwa msomi na kuweza Kupata kazi Nzuri. Hali ile ilimpelekea kuishi nyumba moja...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest