Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
18 Feb 2026
3 views
VYOTE NDANI GONGA94
MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu!
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Mimi ni kijana wa miaka 36, nimeoa na ndoa yangu ina miaka 7 sasa, binafsi sijabahatika kupata mtoto. Kama kawaida huko mwanzoni nilijua kuwa matatizo ni ya mke wangu, akawa anaenda hospitali, mara anaambiwa mambo ya hormonal inabalance, kuna wakati anaambiwa kuwa ana uvimbe anatumia dawa lakini hakubahatika kupata ujauzito.
Mwaka juzi hali ilikua mbaya, nikajikuta naanza kuwa na hasira, namkasirikia mke wangu na kuona kama ananichelewesha, katika kipindi hicho chote nilikua sijawahi kuchepuka lakini watu wengi walinishauri kuchepuka kutafuta mtoto kwani umri unaenda, kweli nilifanya hivyo lakini kuna dada mmoja wakati niko naye namuambia matatizo ya mke wangu aliniambia kitu ambacho kilinichanganya sana.
“Mbegu zako mbona maji hivi, mimi mwenyewe ex wangu alikua kama wewe ananisumbua kuhusu mtoto kumbe yeye ndiyo mwenye shida!” Hapo ndipo niligundua kuwa, kumbe alikua kaolewa na mume wake alikua akimnyanyasa sana walivyoenda kupimwa wote mwanaume ndiyo akakutwa na tatizo hivyo akamuacha na sasa hivi anataka mtoto.
Wakati nakutana na huyo Dada nilimuambia kuwa mke wangu hazai hivyo alivyoona mbegu zangu ziko hivyo aliniacha kabisa kwani yeye hakua anataka mapenzi bali mtoto. Baada ya kuniacha kwakweli nilihisi kuchanganyikiwa, kwakua mke wangu kila akienda hospitalini aliambiwa sijui ana viuvimbe nikajua ni yeye sikuwahi kupima. Nilijipanga na kwenda mkoa mwingine nikapimwa nikaambiwa mbegu ninazozalisha ni maji tupu hivyo siwezi kumpa mwanamke ujauzito.
Ilikua ni siku ngumu sana kwangu, nilipima sehemu nyingine kama nne lakini jibu lilikua ni lilelile. Nakumbuka nilikua safarini ile narudi sina furaha mke wangu ananiambia kuwa ana ujauzito wangu. Sikuuliza sana nilikua na mawazo, nikaendelea kumhudumia mpaka akajifungua na sasa hivi ana mtoto ambapo bila kupima DNA kwa kuangalia tu magroup ya damu najua kuwa si mtoto wangu.
Sababu ya kuja kwako ni hivi, najua mke wangu kanisaliti na kwenda kuzaa na mwanaume mwingine, sijawahi kumfumania wala hanionyeshi dharau yoyote. Ananijali kama mume wake na mtoto ananipenda sana, lakini nashindwa kuelewa nitaishije na mtoto ambaye si wangu? Vipi siku moja Baba yake akija, nawaza nifanye nini kwani mwanzo niliamua kukubali hivyo hivyo, ila kwasasa mke wangu ananiambia ana ujauzito mwingine.
Najua mimba si yangu kwani nimepima tena bado tatizo lipo sasa nifanye nini naona kama kachepuka tena, nahisi kuchanganyikiwa na sijui cha kufanya. Mtoto kaniheshimisha, kuna watu wengi walikua wananidharau, nyumbani nilikua naonekana kama mtoto yaani kama sina akili ila baada ya mtoto kila kitu kimebadilika lakini nawaza hivi nitalewa watoto wa watu mpaka lini, nishauri, nimuambie mke wangu ukweli niachane naye au nivumilie tu na nivumilieje?
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY CRAZY BOSS 06
Majira ya saa saba yalifika ambapo mimi na boss tuliongozana wote hadi kwenye kikao Kama ilivyodesturi boss wangu yupo ...
MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu!
Mimi ni kijana wa miaka 36, nimeoa na ndoa yangu ina miaka 7 sasa, binafsi sijabahatika kupata mtoto. Kama kawaida huko mwanzoni nilijua kuwa matatizo ni ya mke wangu, akawa anaenda hospitali, mara anaambiwa mambo ya hormonal inabalance, kuna wakati anaambiwa kuwa ana uvimbe anatumia dawa lakini hakubahatika kupata ujauzito.
Mwaka juzi hali ilikua mbaya, nikajikuta naanza kuwa na hasira, namkasirikia mke wangu na kuona kama ananichelewesha, katika kipindi hicho chote nilikua sijawahi kuchepuka lakini watu wengi walinishauri kuchepuka kutafuta mtoto kwani umri unaenda, kweli nilifanya hivyo lakini kuna dada mmoja wakati niko naye namuambia matatizo ya mke wangu aliniambia kitu...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miaka-7-ya-ndoa-mke-wangu-ana-ujauzito-mwingine-ambao-si-wangu
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miaka
Chombezo....Oooh anko Mudy usichomoe. SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO ENDELEA. . . BAADA YA MIAKA KUMI NA TANO
NAKUPENDA Sehemu ya : 1 By Miss Hamida Simulizi yetu inakwenda kuanzia Miaka ya nyuma kabisa kabla ya kila mtu hajaanza kumiliki simu, ambapo mtu akikupa...
NILIKUTANA NA BINTI YANGU ALIEFARIKI MIAKA MBILI ILIOPITA AKIUZA MAJI HUKU AMEVALIA NGUO ALIEKUA NAYO SIKU ALIFARIKI Episode 3
NILIKUTANA NA BINTI YANGU ALIEKUFA MIAKA MIWILI ILIOPITA SOKONI AKIUZA MAJI Episode 1
"SITAKI MIEEE" (IMEBANAAA) MTUNZI 🫐Dr(Dkt) Kangaroo Nyumbu UMRI 🍓 ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU 🍓01
"SITAKI MIEEE" (IMEBANAAA) MTUNZI 🫐Dr(Dkt) Kangaroo Nyumbu UMRI 🍓 ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU 🍓02
Nina miaka 23, niko chuo mwaka wa tatu. Mwaka jana nilikuja hapa kwa dada yangu baada ya baba yangu kufariki, ambaye alikuwa ananisomesha
🔞 ONYO: Hii ni hadithi ya wakubwa tu. Usisome kama hujatimia miaka 18. ZUWENA NILIUZA BIKIRA YANGU KIPANDE CHA 1 💔
"MKATABA WA TAIFA" (OOOOPPSSSS) UMRI 🤣 ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU YA 01
NILIKUTANA NA BINTI YANGU ALIEFARIKI MIAKA MIWELI ILIOPITA AKIUZA MAJI KWA STREET Episode 2
🔞 Onyo: Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima. Inafaa kwa wasomaji waliotimiza umri wa miaka 18 Zawadi Sehemu ya 3
Margret Chola, bibi mwenye umri wa miaka 85 aliyejizolea umaarufu mtandaoni kutokana na aina ya mavazi
Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima. Inafaa kwa walio na umri wa miaka 18 na kuendelea. Tafadhali soma kwa uangalifu na kwa hiari yako. ZAWADI Sehemu ya 11
ELIE MPANZU KIBISAWALA alisaini Simba mkataba wa miaka 2
🔞 ONYO: Hadithi hii inafaa kwa wasomaji waliokomaa (miaka 18+). Ina maudhui ya kihisia na kimapenzi. Tafadhali soma kwa uangalifu. ZUWENA NILIUZA BIKIRA YANGU M KIPANDE CHA...
""'NAPANUA"'' UMRI💋 ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU 💋 10 🍓🍁💋🍁🌲💘🍁
Miaka 4 iliyopita mke wangu aligundua kuwa niliwahi kuchepuka na kwa bahati nikapata mtoto wa nnje ambaye ki umri alikua ni sawa na mtoto wangu wa kwanza
⚠️ ONYO: Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima. Inafaa kwa wasomaji walio na umri wa miaka 18 na kuendelea. Tafadhali soma kwa tahadhari. ⚠️ Post hi inafaa kwa page...
""NAPANUA" UMRI🌹 ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU🌹04 💘💘💘💘
FATE TO LOVE YOU 💓1 1--2 Lina alikuwa binti wa miaka 20, mrembo mwenye haiba ya upole, macho makubwa yenye mashiko , yenye mvuto mfano wa mbaramwezi na tabasamu...
""'NAPANUA"'' UMRI💋 ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU 💋 09 🍁😅🌲🌼
🔞 Tahadhari: Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima na siyo rafiki kwa walio chini ya miaka 18. Hadithi ya Watu Wazima: Zawadi Sehemu ya 5
""NAPANUA" UMRI🌹 ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU🌹01
MWISHO WA AI... Bill Gates: Hata baada ya miaka mia moja, kutabaki eneo moja lisiloshikika na akili bandia (AI), nalo ni kutengeneza programu(Programming).
""NAPANUA" UMRI🌹 ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU🌹05 🍓🍓🍓😭
UTAMU WA MABOSS 11 Mabel ALIKUWA anashughulika na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA ya wazaz wake pamoja na Bryan. "Keki tutakayotumia iko njiani,...
Bado Kuna Miaka 2 na Miezi 7 ya Kutakiwa Kumkaba ELIE MPANZU KIBISAWALA
SARA ni Binti Mdogo mwenye miaka 17 kutokana na umbo lake kubwa basi akajiona tayali kawa mtu mzima asie hitaji uangalifu wa wazazi..
""'NAPANUA"'' UMRI💋 ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU 💋 08 🌼😅🥀🍁
Maoni