MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 56...57
Basi mwanaume nikawa nawaza tu haka katoto haka katakuja kupenda pesa kinoma na wivu kama wote😂😂😂kanasukuma wenzie kabisa hakataki wasogelee simu ila nilitokea kukapenda sana maana nakenyewe kalikuwa active sana niliongea na watoto wangu wote nilifurahi sana story kama zote nikaanza kusimuliwa kila kitu wanachofanya nyumbani shuleni vitu wanavyovipenda marafiki zao wote naonyeshwa hadi matokeo yao shuleni ilikuwa raha sana kusema kweli mama yao alikuwa pembeni tu anasikiliza badae akachukua simu akaniuliza vipi umeridhika?
Watoto bado wakawa wanalia mama tunataka kuongea na baba hasa haka kakike kapaulina dah kweli watoto wa kike na baba zao ni damdam..basi mwanaume nikawa sitaki hata kukata simu nikamwambia bado sijaridhika mama wape simu tuendelee kuongea akatukana hujaridhika kwani tunatombana hapa hapo kasogea mbali kidogo na watoto dah lile neno mamae likaamsha mpaka mkonga wangu ukaanza kutapatapa kwenye suruali nikabaki kimya nimetoa macho tu Princess akaenda chumbani kwake akafungua na nguo kabisa hewa ipite dah mamae nilitoa macho mtoto nina hamu nae huyu bado sijasahau viuno vyake kifua chake kilinikumbusha utamu wake wote aliokuwa ananipatia mtoto alikuwa na balaa huyu hatari na nusu..
Kata simu huko lione ushaanza kudinda huko nakujua vizuri sana..hahaa wala hata hamna niko fresh tu...fresh ya nyoko mxieeew akakata simu lakini dah kaniacha vibaya ila fresh tu kikubwa nimeongea na watoto wangu nimewaona wameniona hilo ndo la msingi nililala mwanaume lakini usingizi dah haukuja nikijigeuzia huku pagumu kule pagumu nawaza mambo kibao madeni ya washikaji maisha kiujumla lakini hata hivo nilikuja nikapata usingizi lakini ni kwa tabu sana asubuhi na mapema niliamkia kazini nikapiga kazi mpaka mida Fulani hivi nikatoka hadi duka moja hivi wanauza vitu vya watoto nikakumbuka kale katoto changu ka kike kalivyokuwa kanaomba pesa ya kubanio🤣🤣🤣inabidi ninunue vibanio vya kutosha nianze sasa kujipendekeza kwa watoto wangu niwini mioyo yao..
Mwanaume nilifanya shopping ya nguvu sana pale dukani nilinunua vitu kadhaa kwa ajili ya watoto wangu wote🥰🥰🥰wakati naondoka yule mwenye duka akaniambia tuna vitu vizuri pia kwa ajili ya wadada unaweza ukamchukulia na mwanamke wako pia si unajua sisi wanawake tunawaoneaga wivu hadi watoto ukienda hivo na vitu vya watoto peke yake mama yao lazima akununie anaweza hata akakunyima usiku🤣🤣🤣🤣🤣
Aise huyu muuzaji alifaa awe mwanasiasa nilijikuta nacheka na yale maneno yake😂😂😂😂😂niliwaza yale maneno aliyoniambia nikasema sawa lete nivione hivo vitu vya wadada..akasema sawa nikabaki pale nawaza yule mwanamke hivi nikimchukulia hizo zawadi atazipokea kweli au ndo nitafukuzwa nazo maana dah akili zake yule..
Itaendeleaaaa
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni