MIMI SIKUACHI๐ฅฐ Sehemu ya 51
Daaah lemi akaja akanmbia relex. Ndo mala ya kwanza hawez kuelewa . Tulia mwanangu kila kitu kitakua sawa nikasema powa . Basi tukapanda gari tukaludi kwa lemi. Apo mm akiri haikamati kabisa. Nikasema lemi mi nipo kama week nataka niwekane sawa kbisa na princess akanmbia saw. Basi jioni saa nilmpigia princess tuongeee .aseee alivyopoke na akajua ni mm. Niljuta. Alinitukana matusi ya. Nguoni sitasahau. Unaua mi sijawah kugombana na princess mpaka akanitukana ata mjinga tu ila hii siku nilijutaa. Aabaaaaa yani aliuvua uanaume wangu wote akauweka paleeee
Alinambia we msenge si nishakukataza kunifatilia. Nimekwambia kaaa mbali na maisha yangu msenge ww. Unafirwaa eeh nakuuliza unafirwaa. Nimesema huna mtoto na mm wewe. Kwanza kwa mboo gani ya kunizalisha mm wewe. Una mboo ya kunizalisha mimi msenge ww. Sitaki nakwambia kwa nn huelewi .sina mtoto na ww. Ahaaaaa mbona nilitulia .sikuongea neno ata.moja. akanmbia we ni mshamba sana. Tena mshamba wa maisha . We ushanizalilisha mala ngapi. Nakuuliza ww ushanizalilisha mala ngapi. Ushanikataa mala ngapi. Leo unakuja na kimboo chako .nyoko nyoko watoto.nenda na ww kachanike mboo yako watoe. Au wambie wanaume wenzio wakufanyeee upate mimba ukazae. Aseeeee mbona nilikoma.mi simujua kama princess ana matusi hivi.namuonaga mpole kinoma. Akanmbia sasa kam ww mwanime endelea kunifatilia ntakuitia mwizi msenge kisheti wewe. Akakata simu ndwii. Unajua niliweka loud kwa pembeni alafu lemi alikuwepo. Aseee lemi alicheka hii siku๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐๐๐
Alicheka mpaka alikaa chini. Akanmbia oyaaaa mpka ukipata wanao .tupo hoi .uyu demu si wakisure uyu ndo anatukana hivi. Mi nimenuna apo nishaikoga mitusi ya maana . Lemi akanmbia daaah unanuna nn sasa. Mi ndo nimekwambia ukazae. Ila princess kiboko kumbe wanaume wanaza.a alicheka kisenge. Mi nilimind yale matusi yaliniingia kinoma.ila nikarelax nikajua ana hasira tu. Kesho yake sasa ilikiwa j pili. Lemi akanmbia huondoki kesho si job. Nikasema hpana bado mimi na princess tunahitaji kuongea. Akanmbia sawa . Basi hii siku nikaomba location aliyopo. Nikaambiw akaingia mikocheni. Asee mi nikapambana nitumiwe location nikachukua boda mpaka mikocheni. Hii siku lemi alienda kunuona mama yake mzazi .alipigiwa simu anaumwa. Mie ndo nikaenda mwenyewe sasa. Nilishajipanga kwa kila kitu asa matusi
Nimefika pale nikamuona yupo kwenye duka kubwa la pafyumu. Si kuna kioo .nikamuona kwa ndani kama vile anaongea na wateja.daah kwa haraka haraka nikajua apa ndo kazini kwake. Na kwa juu ya lile duka kuliandikwa jina lake . Kwa herufi kibwa zile usiku zinwaka. PRINCESS PERFYUMU. Mi nikasogea mpaka ndani nikaingia bwana daah yukagongana macho kwa macho . Akanipotezea mana alikuwa anaongea na wateja. Na alipomalozana nao . Akanmbia eeh shida yako. Mi nikamsogelea nikampigia magoti kabisa sikujali kwamba kwa nje watu wanaona. Ama vp. Nilimwanbia princess nisamehe tu. Nisamehe mama. Nipo tayari kwa kila kitu ila princess usininyime watoto. Princess nilipata ajali mbaya mno. Mi now siwez kuzalisha mwanamke princes.s. nionee huruma awa ndiop wanagu wa pekee. Na mtoto nilozaa na fatuma sio wangu. Fatuma alinibambilizia tu. Plssss proncess kama ni laaana ishanipata mama. Kama maumivu nishapitia .nisamehe tu niruhusu niwe baba kwa wanangu sasa.
Princess alinambia wewe apa ni kazini Apa ni dukani kwangu natafuta wateja sa hizi ebu ondoka usipatie nuksi. Nkasema nielewe mama. Princess akanmbia nenda ww mpumbavu mmoja .hivi we unajua mm nimepitia mangapi baada ya kuanza mahusiano na ww. Umenidhalilisha mala ngapi haji. Umenikataa mala ngapi? Umenitumia mala ngapi. Unajua nimeteseka vp na mimba.nimeshindwa ata kumaliza chuo. Nimefukuzwa mpaka nyumbani. Nimeteseka na mimba miez 9 nikiumwa mnoo. Niliangaika sana . Mimba ya watoto 3 .unahisi ni masihara leo unakuja na mapumbu yako unaongea nn wewe. Ebu nyanyuka uondoke haraka. Sina mda na ww. Na sitakaa nikakusamehe kwa yote umenifanyia. Yani nakwambia na mimba unanipa pesa nikatoe . Leo unakuja kudai watoto gani unikome mpumbavu ww.
Ondoka nakwambia ondoka. Aseee apo akaw anaongea uku analia akaanza kunilushia chupa za pafyumu๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐. Nikamshika nikamwambia tulia tulia mama plss akanmbia nimesema toka ofisini kwangu. Sikutambui na sikujui ondoka nimesema. Nikasema sawa naondoka.asee mwenzangu alishakuwa na hasira. Alinipiga na chupa moja maeneo ya uso mpka kimevimba..si mnajua chupa za udongo zile๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐๐.. daaah ikabidi nimuache. Nikaondoka . Nilielewa nimemuumiza sana uyu mwanamke yani sana . Aseeeee nililudi home nimevimba. Yani princess ana hasira na mimi kinoma. Nikaona uyu siku nikienda pembeni kuna kisu atanichoma wallah . Mi niliomba kalikizo cha week 2 .nipo dar napambana na princess ahaa nilikuwa nakoma
Yani mi na lemi mpaka tulikiwa tunachanganikiwa .kuna siku tumeenda dukani kwake .katoka na ndoo ya maji ya kidekia. Akatumwagia kudadeki. Aseee maongezi yakaishia apo. Tukaludi nyumbani kupumzika๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐. Mh nikaoana sasa inakiwa ni shida na mambo ni magumu mana hataki kuelewa kabisaa yani kabisaa. Lemi alinambia apa tutumie watu wazima . Kwaiyo sasa tukaenda kuongea na baba yake lemi. Nilimuelezea uhalisia kabisa mzee. Sikumficha wala .nilimuelezea kweli mm nilikosea .moja mbili na tatu. Ila tu sikuwa nimemwambia kuwa sina uwezo wa kuzalisha kwa sasa.ilo nilimueleza princess tu. Ila wapi ata huruma akunionea.tulimpa na location ya kwa princee . Na kweli mzeee alienda. Nlijua mzee ana busara uwenda ata nipa majibu mazuri san akiludi ilaaa๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐๐๐
Alivyoludi mzee alinambia .nimefika mpaka kwa princess na nimefanikiwa kuwaona wale watoto. Asee mwanangu una damu kali na umejizaa. Ila yule mwanamke ana hasira sana. Hajanielwa ata kidogo. Tena ana hasira aswaa nafikiri baada ya kumpa mimba kuna shida kapitia so kaweka kisasi moyoni. Amenambia kwamba hajaazaa na ww. Na wale sio wanao ila wale ni watoto wako. Mmefanana sana . Yani mmefanana mno. Asa yule wa kike doooh. Nikachoka apo ni week.ya pili napambanai watoto ila wapi. Mzee akanmbia nakushauri kesho nenda ustawi wa jamii watakusaidi. Yule kwa maneno hawez kuelewa .nenda katumie sheria.nikasema sawa. Nyie si mmezoe ustawi wanaendaga wanawake kualalamika hawaudumiwi watoto. Sasa hii nilienda mm kutaka kuhudumia wanangu kidadeki๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐๐๐๐
๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni