MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50
🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡
Basi nilimuacha kama mwez lemi anendeelee kumfatilia princess. Akanmbia kila j mosi anakuwa kunduchi beachi. Alafu anaishi kibaha. Na sehemu yake ya kazi ni mikocheni apo ni kutojana na location knavyosema mana akitembea na simu tu anakuwa anaonekana .lemi akanambia huwa namuona akitoka kibaha. Anaenda mikocheni . Na apo mikocheni huwa anakaa ata siku nzima nafikiri apo ndo kazini kwake. Nikasema sawa this week end nakuja dar nataka twende apo kunduchi beach tukaangalie. Akanambia fresh. Basi ijumaaa tu ya iyo week nilipotoka job. Mwanaume nikanyanyua chuma mpka saa 4 nipo dar kwa lemi. Apo lemi alikiwa anaishi mbezi. Aknambia mwanangu lazima kwanza tumchore iyo kesho tukienda uko kunduchi tusije tukapigwa bwana. Mana anaweza akaja na mumewe au bwana ake . Nikacheka nikasema hakuna noma tutakuwa makini tu .basi usiku kama saa 5 tukaingia club kidogo.na tukalidi saa 8 tukapumzika. Kesho yake saa 2 asubuh si tulishafika kunduchi beach tukapoa ndani ya gari. Nikiwa naomba sana princess aje uku na watoto
Lemi ndo alikiwa anaongea na mshikaji wake anamuelekeza kuwa kwa sasa naona location iko wapi.kwa uo mda akasema bado location inasoma kibaha. Tukaendelea kusikilizia mpka saa 4 . Akatustua akatwambia anakuja sasa nazani mana anaelekea njia ya goba nazani ni anakuja uko. Basi kweli mshikaji akawa anatupa aupdates mpka kufika kwake akatulekeza mpka upande alopark . Na kama nahati. yani prjncess alipark kwa pembeni yetu kabisa. Sie tuli tumejikaushaa.
Na baada ya mda mlango ukafunguliwa upande wa dereva akashuka princess bwana. Aseeeee mtoto mkari kinoma .mzuri mnoo. Kawa mzuri kisenge. Yani kapendeza .kanenepa bodi limejichonga. Basi katoka kavaa kigauni chake cha kumwaga cheipesi na viatu vyake vya kuingiza uku chini ana vicheni vya miguu vya gold kwenye miguu yake..aseee miguu yake ikazidi kupendeza. Yani mtoto.ndo kawaka kinoma noma
Aliposhuka sasa.yeye na mlango wa kushoto akashuka mdada mwengine. Ila uyu alikuwa wa kawaida tu. .kisha princess akenda kufuungua mlango wa nyuma .wakatoka watoto watatu wa kama mika 7. Aseeeee wale watoto wawili ni wakiume na uyu wa 3 ni wa kike. Aseee niliwangalia vizuri wale watoto.bila ya shaka ni wanangu . Wote wamenifanana. Unajua ile kuhamaki et nikataka kishuka.lemi akanishika mkono akanmbia unaenda wapi sasa utaharibu tulia. Basi nikona princess kamshika mkono wa kike.kisha wa kiume akawashika yule dada mwengine wakbeba na begi kama la mgongoni. Kisha wakaanza kuelekea ufukweni. Nyieee nilipata rahaa ya ajabu .aseee nilizani nakufa sina mtoto.kumbe ninaowatatu .hapana lazima princess aelewe na ajue kuwa sasa nataka kuwa baba kwa wanangu. Daah
Basi tukashuka na sisi tukaanza kuwafatilia. Tukaona wameenda kukaa sehemi ina viti kisha princess anawabadilisha nguo wanae. uku anongea nao. Nilikuwa naona nawabadilisha nguo za kuogea .kisha akaingia nao kwenye maji madogo japo yey wala hakua anaogelea ni kama vile kucheza nao tu na yule mdada mwengine yeye alikuwa anaogelea .nilipata amani mnooo ya moyoo. Ni wanangu .nimefanana nao sana. Naa bada ya mda nikoan princess katoka amekaa kwa pembeni kisha anachezea simu yake.apo tena sijutaka la kusibiri nilimwambia lemi acha nikaongee nae.lemi akanmbia swa Ila tegemea kukataliwa zaidi. Nikasema naelewa hilo lemi.
Basi mie nikamfata princes mpaka pale . Ni kweli alikuwa anaongea na simu ila aliponiona simu yake ikamdondoka.nikavuta kiti na mimi nikakaa . princess akasema unanifatulia kumbe ww? Nikasema hapana na mm leo ndo nimekuona huu mda .nikaona nije kukusalima au kuna shida. Princess akanmbia hakuna aya ondoka.sasa. utanialibia mambo yangu sa hizi .nikasema princess naelewa una hasira sana na mm. Na ninakili kwa mungu kuwa nimekukosea mengi ila nimekuona na waroto apa bila ya ubishi princess wale ni wanangu.
Princess akasonya akaniuliza wanao wapi .na wanao gani ww usinitilie nuksi sa hizi . Mimba yako si nilitoa au umeshasahau kama ulitoa pesa ya kutoa mimba. Nikasema princess lakini hukutoa awa watoto nimefanana nao sana . Akanmbia we koma ao watoto hawafanani ana ww na sio wanao.kisha akanyanyuka kwa hasira akenda baharini. Akawachukua wanae.kisha mwengine akamshika yule dada yani kama anamwabia yule dada waondoke haraka. Mi nikanynyuka nikamfata mpaka meneneo ya parking walipokuwa. Wanaelekea kwa ajili ya kuondoka. Apo ni anwavalisha haraka haraka. Aseee ndo nikawasogelea sasa.ahaa uyo mmoja wa kiume ni mama yangu mtupu. Yani kama mama yangu. Na walivyoniona uyu wa kike akasema shikanoo uncle. Aseeee njkajikuta chozi linanaitoka
Princezs akmwambia kelele wewe mpumbavu mkubwa. Et uncle unamjua uyo .nyooo .basi mtoto akanyamaza. Nikasema princess ebu tulia tuongee asa unataka kwenda wapi na hatujamaliza mazungumzo . Wala hakunijibu ila niliona ana hasira sana Aalipomaliza kuwabalisha nguo wanae akmwabia yule dadda. Mainda wapelek watoto kwenye gari tunaondoka sasa hivi. Kisha sasa akanigeukia kaanmbia sikia wewe mshamba sina mda wa kubishana na ww kabisa.sitaki ata kuongea na ww. Na sikutamani kuonana tena na ww katika maisha yangu nando mana nilivyosikia unafundisha mzumbe ata kusoma nimeghair . nilitamani ata uwe ushakufa uko . Kwa jinsi nakuchukia ila unachotakiwa kujua kwenye maisha yako ni kama hauna mtoto na mimi.na sijawahi kuzaa na ww. Na mimba yako nilishatoa awa watoto wana baba yao ukome nakwambia . Tena ukome kunizoea .jinga ww .Doooh kisha akageuka ili aondoka .mi nikamdaka mkono. Yani ata hajataka kunielewa akanipiga kibao kikali cha shavu. Akanmbia hiko ni kibao sasa endele kunifatilia kama sijakupiga bastora.kisha akanisukumaa akaingia ndani ya gari yake. Akatoa gari kwa hasira kweli. Nilibaki pale moyo unaum sana mpaka chozi linatoka mwanaume
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni