Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚  SEHEMU YA 07
Gonga94 · Stories

YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚 SEHEMU YA 07

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


MR. AB

TULIPOISHIA
Piiiiiiiii, alipiga honi konda, nikasogea na kuchungulia vizuri, kweli ilikuwa kama nimetabiri hivi, nilimshuhudia Jerry anashuka kwenye pikipiki amevaa shati na suruali ya kitambaa akasogea

“Mke wangu Anita” Alisema Jerry huku akinifuata anikumbatie mimi nimebaki nimeganda kama sanamu sijui nifanyeje.
Alinikumbatia ila mimi sikuonyesha ushirikiano maana nilikuwa nina wasiwasi sana akiingia ndani itakuwaje maana atamkuta mwanaume mwenzake.

ENDELEA
“Mke wangu” Alisema Jerry huku akiwa amenikumbatia “Mbona hauna raha?” aliniuliza na kuniachia akaniangalia usoni mimi machozi yashaanza kunilenga lenga “Et baby” aliuliza na kunifuta machoni kidogo

“Why??? Why mume wangu why??” nilimuuliza kwa hasira huku nikiwa natafuta njia yoyote ya kumzuia asiingie ndani kwanza

“I’m sorry mke wangu.....najua kiasi gani unajisikia kwa kutokunipata hewani kwa muda wote huo.....nilipitia matatizo makubwa” aliniambia huju akinishika katika misuli yangu ya mikononi.

“No, sihitaji kusikia lolote kutoka kwako, naomba urudi huko kwa wanawake wako” Nilisema huku nikijitoa kwake na na kuwahi mlangoni ili nimzuie “haiwezekani ni karibia mwezi sasa sijui ulipo na haupatikani” nilisema lakini nia yangu ilikuwa kumzuia tu asije akaingia ndani akamkuta mwenzake

“Please mke wangu usifikie huko, I missed you, naomba niingie ndani tukae nikuelekeze” alisema

“Nooooo....nononono sihitaji wewe jiondokee tu” nilijaribu kumzuia, halafu nikaukamata mlango nataka nifunge niingie ndani halafu nikamtoe nje yule mwenzake kupitia mlango mwingine.

Jerry alinizuia kwa kutumia nguvu ili nisifunge mlango na alifanikiwa kuzuia, alikuwa na nguvu kuliko mimi, alipambana na mlango mi namzuia ila kwa bahati mbaya akaona raba za kiume sebuleni.

Zilikuwa za yule kijana mwingine ambaye yupo ndani.

“Wait....wait....wait...” Alisema kwa mshangao “Hizo...” alisema huku akinyoosha kidole kuzinyooshea zile raba “Hivyo viatu mbona.....ah” alisema kwa mshangao ameshahisi kitu tofauti.
“Uko na mwanaume ndani ndo maana unanizuia?” Alisema kwa hasira na kusukuma mlango kwa nguvu nami nikaishiwa nguvu akaingia ndani “Anitaaa” alinifokea huku akizivitazama vile vitabu

“Mume wangu” Nilisema huku nikiwa naogopa zaidi na zaidi mwili wote unanitetemeka.

Mume wangu alitoka pale kwa kasi ya ajabu anaenda chumbani kuangalia kama kuna mtu mwingine, ilibidi nimfuate nyuma.

“Jerry....please sio kwamb.....” Nilisema kwa huruma ninatamani ardhi ipasuke sijui la kufanya.

Nilishangaa Jerry aliingia chumbani na mimi nilimfuata nikiogopa atampiga kijana wa watu lakini tulipofika ndani nilikuta Mume wangu anachungulia kila mahali kutafuta mtu aliyeko ndani, wakati mimi namuona kabisa yule Jerry Feki ameketi kwenye kochi la chumbani anamtazama kwa tabasamu

Ghafla Jerry mume wangu alitoka ndani ya chumba na kuelekea bafuni na chooni akatazama, halafu akatoka na kucheki kila chumba huku akinitukana na kuniambia maneno mabovu sana ya kashfa

Alirudi tena chumbani akasimama mbele yangu, mi namuangalia, kisha namuangalia yule mwenzake anacheka, nikashindwa kuelewa

“Niambie ukweli” Alisema Jerry

“Ukweli gani mume wangu?” niliuliza

“Vile viatu vya nani?” alisema huku akikagua chumbani zaidi “Nambie” alinifokea mara tena akaona begi la kijana yule akalivamia “Na hili begi la nani?” aliniuliza lakini mimi kimya bado nashangaa na kujiuliza ina maana hamuoni?”

Jerry alilibeba lile begi akaenda kuketi nalo pale pale mwenzake alipo, kama vile alikuwa anamkalia lakini kijana yule alipotea paap na kutokea katika kitanda akaketi.

Mume wangu alifungua lile begi huku anajaribu kuangalia kilichopo ndani, alitoa nguo zilizokuwepo akazitupa chini

“Anitaaa!!!” alifoka “Niambie hivi vitu ni vya nani?” aliniuliza kwa hasira

“Mume wangu mimi sijui” Nilimjibu

“Hujui kivipi? Eeh huju....daah?” Nilishuhudia akitokwa na machozi ndipo akalipiga begi chini puuh

“Kwa hiyo limetokea lenyewe humu ndani?” Aliuliza Jerry kwa hasira

“Hata sielewi kweli Jerry sijawahi kukusaliti...”

“Usiongee ujinga” Alisimama anataka kunipiga mara akapiga teke kwenye zile nguo, puuh kwa hasira, nikashuhudia hirizi jekundu limeruka na kudondoka mbele yangu linawaka waka.

Jerry alilitazama huku akihema kwa hasira ila alipolitazama kwa muda niliona kama amelishangaa na kurukia hirizi ile.

Aliibeba na kutazama hirizi kweli inang’aa alipotazama hivi Jerry alishtuka sana na alianza kulia
“Hapana.......hiiiii hapana....this can’t be happened......hihihiiiii aii” alisema akilikumbatia hirizi lie

“Jerry....” Nilimuita kwa mshangao “Umepatwa na nini?” Niliuliza na kumshika, alilegea na kupiga magoti chini analia

“Aaah......Nooo daah” Alisema Mume

Niliinua macho nikamtazama yule kijana ambaye alikuwa yeye hamuoni. Kijana alinionyesha ishara kwamba nikae tu kimy. Sikuelewa kinachoendelea.

Nilisubiri kama dakika kadhaa Jerry aliinuka macho mekundu akanikumbatia
“Nisamehe mke wangu, sikujua....” Alisema Jerrt mume wangu

“Nini mume wangu?” niliuliza lakini Jerry aliukamata mdomo wangu tayari kwa Romance alionekana amenimiss sana. Lakini nilikuwa namuonea aibu yule mwenzake ambaye alikuwa pale ndani bila yeye kujua

“No, usifanye hivyo hapa” Nilisema

“Kwanini?” Jerry aliniuliza ila kabla sijajibu yule mwenzake alinionyesha ishara ambayo sikuelewa kitendo kilichofanya nikaropoka na kumuuliza

“Unamaanisha nini?. Nitumie meseji” Nilisema maneno yaliyomshtua Jerry

“ee? Meseji? Unaongea na nani?” Jerry aliniuliza

“Noo baby sorry” Nilisema na kumkumbatia tena

Jerry aliendelea kuninyonya ulimi ndipo ghafla yule mwenzake akaondoka kwa hasira kuelekea mlangoni
HAKIKA SIKUELEWA NIFANYE NINI
JE NINI KITAFUATA? KWANINI JERRY AMEONA HIRIZI AKASHTUKA?
MIMI NA WEWE HATUJUI SABABU, HUENDA TUKAIPATA KATIKA SEHEMU YA 08
USIKOSE

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚 SEHEMU YA 07



MR. AB

TULIPOISHIA
Piiiiiiiii, alipiga honi konda, nikasogea na kuchungulia vizuri, kweli ilikuwa kama nimetabiri hivi, nilimshuhudia Jerry anashuka kwenye pikipiki amevaa shati na suruali ya kitambaa akasogea

“Mke wangu Anita” Alisema Jerry huku akinifuata anikumbatie mimi nimebaki nimeganda kama sanamu sijui nifanyeje.
Alinikumbatia ila mimi sikuonyesha ushirikiano maana nilikuwa nina wasiwasi sana akiingia ndani itakuwaje maana atamkuta mwanaume mwenzake.

ENDELEA
“Mke wangu” Alisema Jerry huku akiwa amenikumbatia “Mbona hauna raha?” aliniuliza na kuniachia akaniangalia usoni mimi machozi yashaanza kunilenga lenga “Et baby” aliuliza na kunifuta machoni kidogo

“Why??? Why mume wangu why??” nilimuuliza kwa hasira huku nikiwa natafuta njia yoyote ya kumzuia asiingie ndani kwanza

“I’m sorry...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/yenye-kirungu-sehemu-ya-07

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi yenye-kirungu-sehemu-ya
YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU
YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU
YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️  SEHEMU YA 06
YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️ SEHEMU YA 06
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 08
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 08
YENYE KIRUNGU💛💚❤  SEHEMU YA PILI
YENYE KIRUNGU💛💚❤ SEHEMU YA PILI
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 05
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 05
YENYE KIRUNGU  💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 09
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 09
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

542
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

477
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

454
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

441
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

238
REAL LOVE  Chapter 15

REAL LOVE Chapter 15

190
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*

*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*

175
REALLY LOVE* 16

REALLY LOVE* 16

86
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

80
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

71

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.16K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.9K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.31K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50
@majario LIVE

49 MPAKA 50 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi nilimuacha kama mwez lemi anendeelee kumfatilia princess. Akanmbia kila j mosi anakuwa kunduchi beachi. Alafu anaishi kibaha. Na sehemu yake ya kazi ni mikocheni apo ni kutojana...

MALAIKA SEHEMU YA 2 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 2
@majario LIVE

ALIMJARIBU 'BOI' WA NDANI ILI KUHAKIKISHA KAMA NI TASA Hapo ndipo Malaika alipohisi dunia nzima imemuelekea yeye. Kila kona aliyopita ilikuwa ni masengenyo, dharau za ndugu, na minong’ono ya majirani iliyomchoma...

MALAIKA  SEHEMU YA 1 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 1
@majario LIVE

“Malaika! Malaika mwanangu!” “Naam mama... mbona unaniita kwa presha hivi, kuna nini tena?” Mama mkwe aliingia ndani huku uso umemshuka kama amekula ndimu, yaani kuanzia asubuhi alikuwa na jambo lake limekaa kooni....

YENYE KIRUNGU  💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 09 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 09
@majario LIVE

MR AB TULIPOISHIA “Ndio, baba yangu alinipa mbinu za kumrudisha mtu aliyechukuliwa msukule arudi duniani kwa mara nyingine......nilijaribu kufanya hivyo ila wao hawakurudi maana mtaalam alisema kwamba hawakuchukuliwa misukule” “Yesu.....” Nilipagawa huku nikiwaza...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 08 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 08
@majario LIVE

NA MR AB Jerry aliendelea kuninyonya ulimi ndipo ghafla yule mwenzake akaondoka kwa hasira kuelekea mlangoni ** Haya mambo ni kama vile ukichaa, ilinibidi nimuachie Jerry na kusogea nyuma kidogo “Vipi mke wangu?...

YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚  SEHEMU YA 07 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚 SEHEMU YA 07
@majario LIVE

MR. AB TULIPOISHIA Piiiiiiiii, alipiga honi konda, nikasogea na kuchungulia vizuri, kweli ilikuwa kama nimetabiri hivi, nilimshuhudia Jerry anashuka kwenye pikipiki amevaa shati na suruali ya kitambaa akasogea “Mke wangu Anita” Alisema Jerry...

YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️  SEHEMU YA 06 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️ SEHEMU YA 06
@majario LIVE

MR. AB TULIPOISHIA “Wewe Anita......Anitaaaa” Ilikuwa sauti ya baba mmoja jirani aitwaye Ba Masoud. Nilishtuka na kufumbua macho nikatazama “Anitaaaa.....wewe binti” Sauti ya mwenyekiti ilisikika “Yupo kweli au ameshatekwa huyu, usikute ameuawa tuko hapa hapa”...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 05 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 05
@majario LIVE

MR. AB Tulipoishia Ile nimefika sebuleni kulikuwa na giza, nikapapasa swichi na kuwasha taa. Sikuamini, nimewasha taa hivi, naona mwanaume kasimama katikati ya chumba amevaa boxer tu, ana tattoo zake ameinamisha kichwa chini. Kuinua...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️
@majario LIVE

Na Mr AB SEHEMU YA NNE Alifanya kuniwekea kunako, akaisukumiza kikaingia kile kichwa tu “Ooohhh..bhaaan...” Nilihema kwa hisia huku nikijisukumiza nyuma ikawa inaingia taratibu hadi ulipoingia mpaka mwisho. Ilinitekenya halafu akaanza kuchochea...

YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU
@majario LIVE

"Daah mbona haisimami?" Nilimuuliza boss wa mume wangu "Ngoja niondoke nitarudi siku nyingine leo sijisikii vizuri" alijibu akipandisha suruali yake halafu akatoa shilingi elfu 20 akanipatia "shika hii" "Mh asante" nilisema...

YENYE KIRUNGU💛💚❤  SEHEMU YA PILI Post Mpya
YENYE KIRUNGU💛💚❤ SEHEMU YA PILI
@majario LIVE

Tulipoishia Asubuhi ilipofika Nilijikuta namtext boss wa mume wangu "Wewe" nilituma asubuhi na mapema maana niliamka na nye** vile vile "Niambie madam" "Ninahitaji mboo" Nilimuandikia ujumbe huo ili nione atajibuje, yaani akijibu vizuri tu...

YENYE KIRUNGU 💛💚❤ 🔞 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛💚❤ 🔞
@majario LIVE

Sehemu ya kwanza Mume wangu ni mtu msiri sana ambapo ni mara nyingi tumekuwa tukigombana hasa pale ninapogundua kwamba kuna mambo ya muhimu amenificha kwa muda murefu. Hata hivyo ugomvi haijaweza...

Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952. Post Mpya
Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952.
@majario LIVE

Alikuwa ni mwimbaji, mtunzi na mtayarishaji wa muziki kutoka India ambae alifahamika zaidi kama Disco King kwa kutengeneza muziki wa disco unaotumia ala za kielektroniki (synthesizer) kuwa maarufu katika tasnia...

Toss amrithi A.K A, Aingia kwenye pezi jipya na Nadia Nakai Post Mpya
Toss amrithi A.K A, Aingia kwenye pezi jipya na Nadia Nakai
@majario LIVE

Msanii maarufu “Toss”, anayefahamika kama hit maker wa Umlandu, kwa sasa anaripotiwa kuingia kwenye uhusiano mzito wa kimapenzi na aliyewahi kuwa mchumba wa marehemu rapa wa Afrika Kusini, AKA. Mrembo huyo...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘
@majario LIVE

Usiku mzima Hemed hakuniongelesha kitu chochote namm sikutaka kumuongelesha nililala zangu kimya nikajikausha mpaka asubuhi niliwahi kuamka nikamwandalia kiamsha kinywa then nilirudi chumbani kwa ajiri ya kujiandaa kwenda kazini.... nilivyotoka...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest