Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 08
Gonga94 · Stories

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 08

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


NA MR AB

Jerry aliendelea kuninyonya ulimi ndipo ghafla yule mwenzake akaondoka kwa hasira kuelekea mlangoni
**
Haya mambo ni kama vile ukichaa, ilinibidi nimuachie Jerry na kusogea nyuma kidogo

“Vipi mke wangu? Haujanimiss?” Aliniuliza

“Jerry” Niliita

“Naam Anitha wangu”

“Ulipoingia ndani hujaona chochote?” Nilijikuta naropoka bila kujua madhara gani yanaweza yakatokea kutokana na swali hilo

Jerry aliangalia kule na huku halafu akapanua mikono na kuniuliza “Kivipi? Mbona sikuelewi, sijaona nini kivipi?” aliniuliza

“Aamh, I mean mbona sikuelewi?” Nilimuuliza

“Hunielewi?” Aliuliza akinishika kwa nguvu “Mke wangu umenisaliti?” aliniuliza kwa hasira huku akinitikisa

“Hapana sijakusaliti ila” nilisema

“Ila nini? Nambie hivi vitu ni vya nani” alinibadilikia upya

“Niliota ndoto ya ajabu mume wangu, kuna siku ulikuja hapa nyumbani ukaacha hivyo viatu na begi, lakini asubuhi sikuelewa kama ni ndoto au ni kweli embu niambie haujihusishi na mambo ya kishirikina?” nilimuuliza

“Hapana, sikiliza Anitha, kuna kitu nimeshajua, ila kwa sababu nimekumiss acha kwanza tufanye kidooogo, nina muda sana sijafanya” aliniambia.

Maneno ya Jerry yalinitia wasiwasi kidogo, nilimuomba akaoge kwanza ili awe msafi nimpe haki yake ya ndoa, wakati akiwa bafuni, mimi nilienda sebuleni nikamkuta yule Jerry Feki AkA Jerry Kirungu akiwa amesimama katikati ya Sebule anawaza sana

Nilimuita “Wewe” akanigeukia kwa macho yaliyogeuka kuwa mekundu kabisa kwa kuonyesha amekasirika
“Umekasirika?” nilimuuliza kijana yule akatikisa kichwa kumaanisha hapana hajakasirika. “Kweli?” Nilimuuliza akatikisa kichwa.

Nilimuangalia kwa muda alikuwa ‘Sexy' sana na ni mtu ambaye ana mvuto kwa kumtazama hivi, hata mwanamke yeyote angemuona lazima angemtamani sana kwa jinsi alivyojazia.

“I’m sorry huyu ni mume wangu wa ndoa lazima ukubalia iwe hivyo” nilimuambia kijana yule

Kijana yule alitikisa kichwa kukubali halafu akainama na kuchukua viatu halafu akaanza kuvaa.
“Unaondoka?” Nilimuuliza akanitazama kwa jicho la hasira kidogo, nilipata hofu, nilijua naye ananionea wivu labda ameshafurahia yale mapenzi tuliyopeana muda wa siku moja mbili.

Alipomaliza kuvaa vizuri alitembea taratibu kuelekea nje ila nilimfuata nataka kumkumbatia kidogo tu, mara sauti ikasikika nyuma yangu
“Vipi Anitha, una mapepo?” Ilikuwa sauti ya mume wangu ametoka bafuni na taulo, kumbe muda wote alikuwa anachungulia naongea na nani.

Nilimgeukia Jerry huku nikitabasamu “Hamna mume wangu” Nilimtuliza ila akawa anaangalia angalia kule sebuleni “Vile viatu viko wapi?” Aliniuliza mi nikakaa kimya “Nauliza viko wapi?” Alisema kwa hasira

“Twende ndani nikakuambie kitu cha kushangaza mume wangu” Nilisema

“Kitu gani?”

“Wewe twende” Nilisema huku nikisogea katika mlango wa kutokea nje nikaangalia yule mwenzake ameshaondoka muda mrefu na simuoni. Nilifunga mlango na kumkumbatia Jerry halafu tukaenda hadi chumbani.

Bado nilikuwa na wasiwasi lakini niliamua kumuonyesha ufundi ili ajisahau yale yote yaliyosibu nilimpa kimoja kwanza. Lakini sasa kwa kweli Jerry hakuwa fundi kama mwenzake, au labda kwa sababu ya maumbile, yule ana Kirungu ila Jerry hana.

“Mume wangu” niliita

“Nini?”

“Ulikuwa wapi muda wote mbona ulikuwa hupatikani?” niliuliza huku nikimpapasa kifuani “Niliogopa sana” Nilisema

“Oh, sorry, nina mawazo mengi ila najua kuna mambo ambayo nimeshaanza kuyaona mke wangu”

“Mambo gani?”

“Anita, nimezaliwa mwaka 1989 mkoani Tabora, ila kwa bahati mbaya mwaka 1994 familia yangu yote ilipata ajali nikabaki peke yangu kwa sababu niliachwa nyumbani kuwa kama mlinzi wa nyumba”

“Hayo yote ulishawahi nieleza, nataka unieleze ulikuwa unafanya kazi gani kwanini ulikuwa hupatikani muda wote”

“Naelekea huko, usiwe na haraka”

“Mh, ok”

“Kabla ya hapo kuna mambo ya kishirikina yalitokea nikiwa mdogo kama nilivyoelezwa na marehemu Baba”

“Kivipi?” Niliuliza huku nikianza kuogopa

“Watu wengi sana walichukuliwa misukule kijijini kwetu”

“Eeh?”

“Ndio, baba yangu alinipa mbinu za kumrudisha mtu aliyechukuliwa msukule arudi duniani kwa mara nyingine......nilijaribu kufanya hivyo ila wao hawakurudi maana mtaalam alisema kwamba hawakuchukuliwa misukule”

“Yesu.....” Nilipagawa huku nikiwaza mengi, hizo zilikuwa habari mpya kwangu, niliogopa sana maisha ya kishirikina.....JE NINI KITAFUATA?
USIKOSE

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 08



NA MR AB

Jerry aliendelea kuninyonya ulimi ndipo ghafla yule mwenzake akaondoka kwa hasira kuelekea mlangoni
**
Haya mambo ni kama vile ukichaa, ilinibidi nimuachie Jerry na kusogea nyuma kidogo

“Vipi mke wangu? Haujanimiss?” Aliniuliza

“Jerry” Niliita

“Naam Anitha wangu”

“Ulipoingia ndani hujaona chochote?” Nilijikuta naropoka bila kujua madhara gani yanaweza yakatokea kutokana na swali hilo

Jerry aliangalia kule na huku halafu akapanua mikono na kuniuliza “Kivipi? Mbona sikuelewi, sijaona nini kivipi?” aliniuliza

“Aamh, I mean mbona sikuelewi?” Nilimuuliza

“Hunielewi?” Aliuliza akinishika kwa nguvu “Mke wangu umenisaliti?” aliniuliza kwa hasira huku akinitikisa

“Hapana sijakusaliti ila” nilisema

“Ila nini? Nambie hivi vitu ni vya nani” alinibadilikia upya

“Niliota ndoto ya ajabu mume...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/yenye-kirungu-sehemu-ya-08

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi yenye-kirungu-sehemu-ya
YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚  SEHEMU YA 07
YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚 SEHEMU YA 07
YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU
YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU
YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️  SEHEMU YA 06
YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️ SEHEMU YA 06
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 05
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 05
YENYE KIRUNGU💛💚❤  SEHEMU YA PILI
YENYE KIRUNGU💛💚❤ SEHEMU YA PILI
YENYE KIRUNGU  💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 09
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 09
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

542
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

477
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

454
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

441
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

238
REAL LOVE  Chapter 15

REAL LOVE Chapter 15

190
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*

*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*

176
REALLY LOVE* 16

REALLY LOVE* 16

86
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

81
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

71

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.16K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.9K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.31K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50
@majario LIVE

49 MPAKA 50 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi nilimuacha kama mwez lemi anendeelee kumfatilia princess. Akanmbia kila j mosi anakuwa kunduchi beachi. Alafu anaishi kibaha. Na sehemu yake ya kazi ni mikocheni apo ni kutojana...

MALAIKA SEHEMU YA 2 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 2
@majario LIVE

ALIMJARIBU 'BOI' WA NDANI ILI KUHAKIKISHA KAMA NI TASA Hapo ndipo Malaika alipohisi dunia nzima imemuelekea yeye. Kila kona aliyopita ilikuwa ni masengenyo, dharau za ndugu, na minong’ono ya majirani iliyomchoma...

MALAIKA  SEHEMU YA 1 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 1
@majario LIVE

“Malaika! Malaika mwanangu!” “Naam mama... mbona unaniita kwa presha hivi, kuna nini tena?” Mama mkwe aliingia ndani huku uso umemshuka kama amekula ndimu, yaani kuanzia asubuhi alikuwa na jambo lake limekaa kooni....

YENYE KIRUNGU  💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 09 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 09
@majario LIVE

MR AB TULIPOISHIA “Ndio, baba yangu alinipa mbinu za kumrudisha mtu aliyechukuliwa msukule arudi duniani kwa mara nyingine......nilijaribu kufanya hivyo ila wao hawakurudi maana mtaalam alisema kwamba hawakuchukuliwa misukule” “Yesu.....” Nilipagawa huku nikiwaza...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 08 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 08
@majario LIVE

NA MR AB Jerry aliendelea kuninyonya ulimi ndipo ghafla yule mwenzake akaondoka kwa hasira kuelekea mlangoni ** Haya mambo ni kama vile ukichaa, ilinibidi nimuachie Jerry na kusogea nyuma kidogo “Vipi mke wangu?...

YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚  SEHEMU YA 07 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚 SEHEMU YA 07
@majario LIVE

MR. AB TULIPOISHIA Piiiiiiiii, alipiga honi konda, nikasogea na kuchungulia vizuri, kweli ilikuwa kama nimetabiri hivi, nilimshuhudia Jerry anashuka kwenye pikipiki amevaa shati na suruali ya kitambaa akasogea “Mke wangu Anita” Alisema Jerry...

YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️  SEHEMU YA 06 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️ SEHEMU YA 06
@majario LIVE

MR. AB TULIPOISHIA “Wewe Anita......Anitaaaa” Ilikuwa sauti ya baba mmoja jirani aitwaye Ba Masoud. Nilishtuka na kufumbua macho nikatazama “Anitaaaa.....wewe binti” Sauti ya mwenyekiti ilisikika “Yupo kweli au ameshatekwa huyu, usikute ameuawa tuko hapa hapa”...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 05 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 05
@majario LIVE

MR. AB Tulipoishia Ile nimefika sebuleni kulikuwa na giza, nikapapasa swichi na kuwasha taa. Sikuamini, nimewasha taa hivi, naona mwanaume kasimama katikati ya chumba amevaa boxer tu, ana tattoo zake ameinamisha kichwa chini. Kuinua...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️
@majario LIVE

Na Mr AB SEHEMU YA NNE Alifanya kuniwekea kunako, akaisukumiza kikaingia kile kichwa tu “Ooohhh..bhaaan...” Nilihema kwa hisia huku nikijisukumiza nyuma ikawa inaingia taratibu hadi ulipoingia mpaka mwisho. Ilinitekenya halafu akaanza kuchochea...

YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU
@majario LIVE

"Daah mbona haisimami?" Nilimuuliza boss wa mume wangu "Ngoja niondoke nitarudi siku nyingine leo sijisikii vizuri" alijibu akipandisha suruali yake halafu akatoa shilingi elfu 20 akanipatia "shika hii" "Mh asante" nilisema...

YENYE KIRUNGU💛💚❤  SEHEMU YA PILI Post Mpya
YENYE KIRUNGU💛💚❤ SEHEMU YA PILI
@majario LIVE

Tulipoishia Asubuhi ilipofika Nilijikuta namtext boss wa mume wangu "Wewe" nilituma asubuhi na mapema maana niliamka na nye** vile vile "Niambie madam" "Ninahitaji mboo" Nilimuandikia ujumbe huo ili nione atajibuje, yaani akijibu vizuri tu...

YENYE KIRUNGU 💛💚❤ 🔞 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛💚❤ 🔞
@majario LIVE

Sehemu ya kwanza Mume wangu ni mtu msiri sana ambapo ni mara nyingi tumekuwa tukigombana hasa pale ninapogundua kwamba kuna mambo ya muhimu amenificha kwa muda murefu. Hata hivyo ugomvi haijaweza...

Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952. Post Mpya
Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952.
@majario LIVE

Alikuwa ni mwimbaji, mtunzi na mtayarishaji wa muziki kutoka India ambae alifahamika zaidi kama Disco King kwa kutengeneza muziki wa disco unaotumia ala za kielektroniki (synthesizer) kuwa maarufu katika tasnia...

Toss amrithi A.K A, Aingia kwenye pezi jipya na Nadia Nakai Post Mpya
Toss amrithi A.K A, Aingia kwenye pezi jipya na Nadia Nakai
@majario LIVE

Msanii maarufu “Toss”, anayefahamika kama hit maker wa Umlandu, kwa sasa anaripotiwa kuingia kwenye uhusiano mzito wa kimapenzi na aliyewahi kuwa mchumba wa marehemu rapa wa Afrika Kusini, AKA. Mrembo huyo...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘
@majario LIVE

Usiku mzima Hemed hakuniongelesha kitu chochote namm sikutaka kumuongelesha nililala zangu kimya nikajikausha mpaka asubuhi niliwahi kuamka nikamwandalia kiamsha kinywa then nilirudi chumbani kwa ajiri ya kujiandaa kwenda kazini.... nilivyotoka...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest