Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47
Gonga94 · Stories

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Aseeeee nililudi mpka kwangu. Uko njiani ni fatuma tu ndo ambae ananipigia kweli kweli . Mi.wala sikuangaika nae na nilipoona usumbufu umezidi . Nikablock namba yake . Baada ya kufika kwangu usiku mama alinipigia simu . Akiniuliza juu ya maamuzi yangu. Nilimwambia mama mimi kuishi na uyo mwanamke najitesa tu . Na asa nikimuangalia mtoot naona moyo unauma sana so mimi kama mm nimeamua kuwa freee na maisha yangu. Na yeye awee free na maisha yake..kama atahitaji kuolewa na alex walee mtoto wao ni sawa . Kama atamnyima mtoto wake alex ni sawa. Yani ni yeye tu awe huru na mambo yake na mm nipo busy na mambo yangu na maisha yangu. Ndo nimeamua hivho mama nisamehe sana. Mama akanmbia sawa mwanangu siwez kukupangia japo .mimi na dada yako tulimpenda sana fatuma .ila kwa sasa usifanye haraka ya kuoa pumzika kwanza nikasema sawa mama ata hivyo sikuwa na plan ya kuingia kwenye ndoa haraka kabisa . Basi mi nikacheal zangu

Aseeee fatuma alikuwa anapiga skmu analia mnoo. Kila siku namba mpya nimsamehe nimludie tuishi ata kama nishampa taraka zote weee. Sikuweza.kwanza na ile nyumba ya kampuni mi nililudisha nikapanga tu ili kupamabna na maisha. Nilikata kabisa stimu ya kuwa na mwanamke ila perment we hapana. Japo ningetaka ningepata ila hapana. Ila kuna mda si unajua nyege zinajaaa. Na tafuta demu wa part time napunguza maisha yanaenda. Ayo ndo yakwa maisha yangu. Nikapambana sana na life mpkaa nikamaliza. Nyumba yangu. Apo naongea sana na lemi. Kuna mda asa week end naenda dar kwa lemi. Tunaingia ata club. tunapoa kidogo. Pombe nilikuwa sinywi kipindi nipo katika ndoa. Ila sasa nikaamza na kunywa ila nikawa natulia sasa kidogo sio.sana.kisha j pili jioni naludi kwangu life linaenda

Aseee kuna mdaa ulifika nikaanza kupata maumivu ya mgongo na kiuno tena. Yani ikawa inaniludia ile hali ya kipindi nimepata ajali. Au nikikaa mda mrefu wakati wakufanya kazi. Naanza kuumwa mgongoo ahaaaa nikaona apa nitafute hospital ya private. Mana kile kipindi nimepata ajali nilipelekwa hospitali ya kawaida tu ya serikali.so sikuwa na imani yao sana. Basi nikatenga week end moja nikaingia hospital . Nikaelezea shida zangu. Dr alikuw ani mbaba hivi. Akaniangalia sana. Akanipiga na utrasound n kila kitu. Akanmbia daah we bado kuna dawa hujupewa ila ntakupaa usiwe unapeta tena maumivu. Na kweli yule dr akanipa dawa. Kisha akaniuliza kwni ulipata ajali kubwa . Nikasema ndio .akanmbia lakini kuna issue nyengine apa nimeiona walikueleza juu ua uzazi wako. Mh uzazi tena nikaaa vizuri nikasema.hapana. akanmbia ni hivi naona una probability sana ya kuzalisha ww kwa jinsi ulivyopata madhara kwenye mfumo wako wa uzazi. Daaah nilistuka kinoma

Nikasema.dr unasema kweli. Akanmbia ndio siwez kukudanganya kijana. Nimeona nikwambia na hilo ili badae ukipata changamoto ya mtoto usije ukaacha mwanamke kumbe shida unayo wewe. Daaah nilijichukia gafra yani sina mtoto ata mmoja kisha napewa hizi habari za kwamba mm kuzlisha itakiwa changamoto .mh nikasema sawa. Nikauliza tiba. Akanmbia hakuna tiba ya hilo suala lako we omba mungu tu. Doooh nikaona nna kipengele wallah. Sikuamini kwanza nikaenda hospital nyengine . Nikawaambia wanichek kwenye duala zima la uzazi. Ila walinieleza vile vile kama kwa yule dr wa kwanza kuwa ile ajali imenileteaa effects kwenye mfumo wangu wa uzazi .daaaaah nilichanganikiwa sana. Hii siku nililudi nyumbani nikiwa na mawazo. sana. Hivi ntaonaje rahaa ya hii dunia bila ya kuwa na mtoto. Aseeeee na kama ningejua araina sio mwanangu basi ningezaa na fatuma. Ila ndo hivyo nilihisi ni wangu so tukaamia tulee kwanza. Kumpa distance . Mambo yanakuja kuwa kama. Hivi

Basi hili suala nikabaki nalo moyoni mwangu na lilichangia kuto kutamani kuwa na mahusiano permenent. Nikawa mwanaume wa kudanda danda sana . Leo na uyu kesho na yule.kesho kutwa na yule. Yani kutimiza haja za mwili tu basi. Maisha yaendeeleee. Ikawa hivyo. Sikuwa na furaha ndani ya moyo wangu. Nilikuwa na uzuni mnooo. Kwa mda wote uo. Nafanya kazi napata pesa. Najenga nyumba. Nafanya hiki nafanya kile.nachukua mikopo nafungia biashara. Ila najua kabisa .nikifa tu mali zote zinapoteea. Sitakuwa na ata wakunirithi yani. Niliamua kukikaushia tatizo langu . Yani nilifanya siri ata lemi sikumueleza kabisa.kuwa mm kutokana na ile ajari at kumzalisha mwanamke itakuwa mtihani. Wala sikusema mm

Basi ikapita mwaka .napambana na maisha yangu. Sitaki demu waperment kabisa. Sikui iyo ilikuwa ni j tano . Mida ya usiku kama saa 1 nimemaliza kipindi na wnafunzi pale mzumbe naelekea parking sasa niludi home nikapumzike. Nikiwa natembea sasa muelekea parking.Nikasikia mtu ananiita et dogo dogo we dogo. Khaaa nikasimama kwanza kuangalia nani aaniita dogo wakati katika iki chuo mm naheshimika mnoo. Nikageuka namuona michael. Yule jamaa ambae alikuwa mwanaume wa princess kile kipindi . Ambae alikuwa nae mwaka wa 3 pamoja. nikasimama kisha akasogea mpaka nilipo

Basi jamaa akafika mpaka nilipo aknmbia ahaa naona umekuwa leacture apa bwana.nikasema yaa brooh vp. Akanmbia fresh vp uko moro apa apa. Mana mm nimekuja kuchukua cheti changu leo. Nilikitelekeza tu. Nikasemaa aha fresh and yaah mimi nipo moro bwana napmbana. Akanmbia wanao wamekua sasa?. Mana niliona princess anawapost wakiwa wadogo sana. Na now sina namba zake . So sijaongea nae mdaa. Mh nikastuka nikamuuliza wanangu kivipi. Akanmbia kwani we na princess hamkumaliza shida zenu . Nikasema yaa na sina nnachokielewa kabisa. Akanambia daah we jamaa hauna laana ya yule demu kweli mana demu alikupenda kisenge . Si wengine tunaimba mpaka tunalia ana sema ye anampenda haji. Alafu na ww ukawa miyeyusha. Umemtia mimba demu yule. Ukakataaa. Akawa anaangaika na kuumwa mpaka chuo kimemshinda. Ila alikuwa na mapacha watatu yule. Nakumbuka wawili wanaume na kabinti. UMefanana nao kisenge. Asa nikajua tangu kwa mda ule .nikahisi mshaongea na princess na sasa unalea wanao. Nyie kwangu hii ilikuwa habari mpyaaa.

Nikasema kaka mm ndo nna watoto watatu. Akanmbia yaa wale wanao bila shaka kka.umefanana nao sana tu. Asa uyu wa kike. Kwani hujui. Nikasma hapana una namba za peincess. Michael akacheka aksema we jaamnaa jau kweli.asa mm sindo nimekuuliza kuwa una namba zake mana sijamuona mda.mi sina namba zake na sielewi chochote kumuhusu yeye kwa sasa. Ila powa bwana siku njema kisha jamaa akaondoka zake.aseee hii kwangu klikuwa habari tamu kinoma noma.nilimpigia lemi mda uo uo. Nlimueleza kuwa nimekutana na yule michael na alichonieleza. Lemi akanmbia kwani si ulinambia ile mimba ya princeaa sio yako.nikasema kaka itakuwa ni yangu. Alinambia katoa ila hapana hakutoa bila ya shaka. Uyu michael Kanmbia ana mapacha watatu .asee mwanangu nataka kukutana na princess. Nahisi nahitaji kuwaona watoro wangu. Lemi akanmbia daaah sijuh ata tunampatia wapi uyo demu

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47


Aseeeee nililudi mpka kwangu. Uko njiani ni fatuma tu ndo ambae ananipigia kweli kweli . Mi.wala sikuangaika nae na nilipoona usumbufu umezidi . Nikablock namba yake . Baada ya kufika kwangu usiku mama alinipigia simu . Akiniuliza juu ya maamuzi yangu. Nilimwambia mama mimi kuishi na uyo mwanamke najitesa tu . Na asa nikimuangalia mtoot naona moyo unauma sana so mimi kama mm nimeamua kuwa freee na maisha yangu. Na yeye awee free na maisha yake..kama atahitaji kuolewa na alex walee mtoto wao ni sawa . Kama atamnyima mtoto wake alex ni sawa. Yani ni yeye tu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimi-sikuachi-sehemu-ya-46-na-47

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimi-sikuachi-sehemu-ya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘  N0 61💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 61💘💘

452
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43

374
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

354
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

328
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

227
REAL LOVE  Chapter 14

REAL LOVE Chapter 14

169
REAL LOVE  Chapter 15

REAL LOVE Chapter 15

122
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

53

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.15K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.89K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.68K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.31K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47
@majario LIVE

Aseeeee nililudi mpka kwangu. Uko njiani ni fatuma tu ndo ambae ananipigia kweli kweli . Mi.wala sikuangaika nae na nilipoona usumbufu umezidi . Nikablock namba yake . Baada ya kufika...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘
@majario LIVE

""Nini hii🤨🤨?"" ""Aliniuliza paschal baada ya kumpatia zile barua"" ""Fungua usome😏😏"" ""Nilimjibu kwa kumnyali"" ""Pendo umewaza nini hadi kwenda kufungua madai ya talaka mahakamani🤨🤨"" ""Ulitaka niwaze nini Mr paschal 😝😝"" ""Kwa hiyo huyu mshenzi ndo...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09
@majario LIVE

SONGA NAYO.................. Haraka nilijilaza na kujifanya nimelala, aunt Vero ambae ndo alifungua mlango aliingia na kufika anasimama bila kuongea wala kufanya kitu akaniangaliaa karibu dakika tatu. Kinyonge akashusha pumzi na kuondoka ,...

REAL LOVE  Chapter 15 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 15
@majario LIVE

"unafanya nini wewe unataka kujiua" alisema fahima kwa uchungu *ndio tena uniue wewe ambaye hunipendi si nakukera sana niue nipo hapa" alisema seven. sikia mimi kukuua siwezi na kuishi hapa sitaki alisem...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Mama aksema nini iki nasikia . Ni nn unaongea haji. Nikasema mam mimi uyu mwanamke kanifanyia mambo mengi mazuri ila kwa hili hapna. Mda wote nalea mtoto kwa upendo na...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘  N0 61💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 61💘💘
@majario LIVE

Baada ya paschal kunifungia kule chumbani mwenzenu ata sikuumia😁😁 nilifurahi namimi nimepata kitu cha kumnyong'onyesha paschal..... baada ya kumfukuza lia paschal alikuja kule chumbani alikonifungia mie nilikuwa zangu nimesimama dirishani...

REAL LOVE  Chapter 14 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 14
@majario LIVE

John allikasirika kwelikweli alimuangalia devi kwa hasira sana kisha akamuangalia mwanasheria kwa hasira sana alijiuliza uyo ni mwanasheria wa seven imekuwaje kawa hapa na kafata nini "devi umefuata nini hapa alisema...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43
@majario LIVE

Daktari akanmbia tulia haji. Ulipata ajari mbaya sana. Ila.unaendelea vizuri umepata michubuo sehemu chache tulia asee umeumia maeneo ya kiuno ila itachukua mwez tu utarecover kbisa so kuwa na...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Mama mtu kuona nimesimama tu akaniongelesha kwa hasira "we mpuuzi mbona umesimama kama sanamu embu toa vitu kwenye gari haraka" Niliitikia sawa na kufungua buti nikaanza kushusha mizigo wao wakaingia...

MIMI SIKUACHI🥰*  *SEASON TWO*   *SEHEMU YA 41* Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 41*
@majario LIVE

Daaaah alex akanmbia pole sana kaka. Najua inaumiza sana najua mnoo. Ila ndo ukweli. Mi siwez acha damu yangu. Na ndo mana nimekutafuta mnoo. Ili tuje kuliongelea ili suala. Na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘
@majario LIVE

0742133100 Baada ya hemed kupata likizo tulisafiri kuelekea ufaransa kwa ajiri ya kwenda kumchukua mtoto wangu nice, mom Elizabeth alimkatalia nice 🤣🤣 hata mimi hawakutaka niondoke kwenye familia yao😄😄Tristan ndo...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Taratibu nilifuta machozi na kuinuka nikatoa vyombo na kuendelea na ratiba zingine, sasa wakati nikiwa bize na kazi Alvin akaja na kusimama pembeni yangu. Sikutaka kumsemesha ndo kwanza nikawa bize...

MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
@majario LIVE

Nklimuangalia uyu mwanaume kwa hasira kisha nikamuuliza kwamba una maanisha nn wewe. Kwambia mm nikuache u.nifanye nyuma uniharibu. Akannbia sikia nikwambia mama. Kwani nani atajua kuwa mm na wewe tumefanya...

MY WANGU❤️ sehemu ya 93 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
@majario LIVE

Basi jioni tu ya siku iyo iyo bibi mie nikaruhusiwa. Nyieee ilikuwa shereehee. Yani uyo zayd ni furaha mdaaaa wote . Ni kufurahi tu .mda wote kamshika mwanae anambembeleza mtoto...

*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92* Post Mpya
*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92*
@majario LIVE

Basi bwana .mie nikawa busy na maisha yangu. Ile namba za yusta nilisave ila wwala hatukuwa na ushost tena. Na kama baada ya mwez niliona status yusta kapost kaolewa na...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest