Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

REAL LOVE  Chapter 14
Gonga94 · Stories

REAL LOVE Chapter 14

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

John allikasirika kwelikweli alimuangalia devi kwa hasira sana kisha akamuangalia mwanasheria kwa hasira sana alijiuliza uyo ni mwanasheria
wa seven imekuwaje kawa hapa na kafata nini

"devi umefuata nini hapa alisema john

"wewe ni nani hapa mpaka uniulize hivo

alijibu devi kwa jeuri sana

nakuuliza kwa mara ya mwisho umefuata nini hapa alisema john kwa hasira na dwvi nae hakutaka kukubari siku hiyo akanyanyuka na kusimama kisha akamwambia john

ullzoea sana kunigusa gusa sasa leo nataka tena uniguse halafu nikuonyeshe mimi ni nani nimesema wewe hauna mamlaka yoyote ya kuniuliza kitu hapa haya unasemaje alisema hasira zikimtawala haraka mr sanju. devi

akasimama kati yao na kuwaamulla

"vijana wangu hebu tulieni hamjui hapa ni ofisini mnaleta picha gani kwa wengine mambo madogo haya ya kukaa chini na kuzungumza yakaisha chuki zitaendelea hadi lini hebu kaeni

chini kwanza tuongee alisema mr sanju

"mzee mimi siwezi kuongea na huyu shetani hata nikiwa kaburini na nakwambia devi fanya. haraka uondoke hatujaruhusiwa kukupokea hapa alisema john kisha akafungua mlango n

kuufunga kwa hasira sana

upande mwingine katika nyumba ambayo fahima ameletwa alikuwa akizungumza na seven seblen hapo baada ya kunywa chai

mimi naenda kazini nitarudi baadae kukuangalia kish nitaenda nyumbani alisema seven

sawa lakini kwanini uniweke humu si ungenitafutia chumba tu na umenitoa baba anajua? alisem fahima

nimekuleta hapa kwasababu utakuwa salam kwa asilimia zote na kuhusu baba yako nishamtaarifu mapema kabla sijaja kukufuata muda sio mrefu atafika hapa ko usijan

alisema seven

sawa asante lakini ujue ninataka kufanya

biashara yangu kwahiyo naomba uniache niwe nafanya zangu biashara narudi nikimaliza alisema fahima, sevenhakufurahishwa ha

maneno hayo hata kidogo

fahima kila kitu unachokitaka hapa nitakupa

kwasasa pumzika kwanza uwe na afya nzuri kisha baadae ukiwa sawa ndo tutaongea kuhusu biashara nikufungulile ipi alisema seven nae

fahima hakufurahishwa na maneno ya seven

sikia sihitaji kufunguliwa biashara nawewe

hata kidogo pesa zangu nitazitafuta kwajashi

langu alisema fahima akikazia msimamo wake

kha hivi wewe unadhani ni rahisi hivyoo unaongea kirahisi rahisi tu alisema seven

nakwanini isiwe rahisi alisema fahima

ipo siku utajuwa tu kwanini ni ngumu alijibu seven kisha akanyanyuka na kuondoka zake huku akisindikizwa na macho ya fahima

upande mwingine katika maeneo ya magomeni

mzee fahad alionekana akivalia mavazi yake ya

gereji fundi magari na pikipiki akiwa chini ya gari

anatangeneza gari mara akagundua kuna kitu

kinahitajika dukani ikabidi atoke na kwenda mbele dukani kununua kitu hicho kifaa fulani hivi akanunua namuda huohuo kuna gari akaja na kusimama hapo kisha akashuka mdada

amaizing mrembo kwelikweli nje alikuwa mzuri

sana shida ndani ya roho sasa

mwingine alikuwa ni catherin

hatari si

alifika na kufungua buti ya gari na kufungu

akaanza kubangaika gari yake ilizima ghafla tu bila kujua sababu nint, mzee fahad alimuona binti huyo akihangaika ndipo akaja mzee fahad

habari yako binti alisalimia

salama shikamoo catherin alinyanyua uso wake na kumuangalia mzee fahad kisha akamjibu, mzee fahad alishtuka baada ya

kumuona binti huyo machale yakamcheza nikama anamfahamu lakini hajui amemuona

wapi badala ya kujibu salamu akabaki tu

anamshangaa

"baba nakusalimia alisema binti huyo

oooh marahaba hujambo binti yangu alijibu

sijambo naona umevaa mavazi ya gerej gari

yangu imegoma kuwaka gafla tu unaweza muniangalizia tatizo nini alisem cathe basi

mzee fahadi akaanza kulkagua gari hiyo

akagundua kuwa haina tatizo lolote ila tu kuna sehemu hapakuwa sawa akaweka sawa nakisha akamwambia akawashe gari hatimae gari Ikawaka

asante sana mzee wangu nikupe bei gani aliuliza cathe

hapana binti yangu usijari kuhusu hilo

nimekusaidia tu alijibu mzee fahad

asante sana baba yangu mungu akubariki

sana basi ngoja unipe namba yako siku nikiwa

na shida yoyote uje alisema catherin kisha akatajiwa namba na mzee fahad basi akamshukuru sana kuondoka mzee fahad

alibaki akiisindikiza gari kwa macho tu

upande mwingine john alikuwa akiongea na

simu lakini alikata baada ya kumuona seven

aklingia ofisini hapo alifurahi sana kumuona

alimsalimia na kumpa taarifa juu ya ugeni wa mwanasheria na devi basi seven hakuwa na wasiwasi hata kidogo akaongozana na john hadi

ofisini kwake kisha akamtuma secretar akawaite devi na mr sanju baada ya dakika mbili hatimae

wakafika

"karibuni sana wageni wangu aliwakaribisha

seven

asante kijana nilikupigia sana simu lakini

haikupatikana nimeona nikufate maana

najambo muhimu sana lakuongea nawewe"

alisema mr sanju.

mtandao unasumbua tu mzee wangu nimekuja hapa kukusikiliza alisema seven

nikuhusu ugomvi wenu uliotokea kati yako ya

devi nilitaka tuyaongee na kuyamaliza maana

sio vizuri kukaa na hasira muda wote alisema

mr sanju

ugomvi??? ugomvi gani??? alisema seven kwa mshangao kana kwamba hajui kilichotokea

inamaana mko sawa na devi? alisema mr

sanju

ndiyo tuko sawa mimi sina ugomvi na mtu labda umuulize huyo aliyekwambia tunaugomvi halafu aseme ni ugomvi gani alisema seven

bila shaka kabisa, devi alimshangaa sana seven

akawa anamuangalia kwa makini sana

aliniambia mfanyakazi wako devi na kwakuwa

mimi ni mtu wa busara nikaona isiwe kesi bora nije tuyaongee lakini kwakuwa umesema hamna ugomvi basi devi naomba utupishe kuna mambo yetu muhimu nataka kuzungumza na seven

alisema mr sanju basi devi kwa kubabaika

akatoka na huku akiwa anatafakari kichwani,

akawaacha mr sanju na seven wakiwa

wanazungumza

upande mwingine katika bar aliyopo mada agness alikuwa akiwahudumia wateja mara akaingia fatuma tena kwa mara nyingine,

alimuita egg kwa mazungumzo zaidi, baada ya

kumaliza kuhudumia watejaegg alirudi

kklichokuleta alisema eg

leo nimekuja kishari nakwambia mwambie

fahima nikimkamata atanijuwa mm nani maana kaondoka na bwana angu wakaenda kujichimbia kusikojulikana sasa mpesalamu alisema

fatuma

"wewe koma weeee hahaahahaha kwanza.

nicheke unajikuta mjaaanja mbona umeibiwa

sasa hahahahhahh halafu unakuja hapa

kunibwekea kwani si umfate bwana ako

umwambie arudi? ukiona hadi bwana ako

kakukimbia ujue wewe gogo upo???? kama

ungekuwa asali babj usingekimbiwa alisema

agness

unajifanya unamdomo sana nawewe dawa yako inachemka naondoka lakini moe salamu alisema fatuma kisha akageuka na kuondoka

"kwend uko usinitishie maisha kenge ulielaaniwa wewe hhaahahaaail०००००००००० kaibiwaaaaa uyoooooooooooo alisem agnes

huku akimzomea fatuma mpaka akatokomea

mijiti ya hovyoo hahahhaaa na badooo yaani

utaibiwa sana tu na nikimuona fahima mbona nitampasha habari na kumpa hongera kwa kumkomesha mbwa huyu shenzi kabisa

alisema agness huku akikusanya chupa za bia

na kuweka kwenye kreti ya soda,

muda isonga hatimae jioni ilingia seven alirudi

kisemvule ambapo alimuacha fahima aliingia akiwa na mfuko mkononi fahima wala hakumpokea alivomuona seven tu akanyanyuka na kuelekea chumbanu kwakwe nae seven akamfuata nyuma fahima akaingia chumbani na

seven nae akafuata

"hivi hata kunipokea umeshindwa utaishi maisha hayo hadi lini? kama msamaha ushasema umenisamehe sasa kwanini unanichukia unataka nini? aliserna seven

nataka kukaa mbali nawewe seven sitaki

kuishi nawewe alisema fahima

"hivi umechanganyikiwa eee nani kakwmbia

unaishi namimi hapa nani alisema seven

sasa umekuja kufuata nini hapa alisema

fahima

kwahiyo kuja kukuona ni tatizo sio yani kulona sura yangu tu ni shida basi niueee niueeeeee

niko hapa niue nikabe nife ukanizike ili usinione tena duniani niueeeee aiseeee alisema seven

kwa hasira sana huku akimsogelea fahima.

karibu kabisa na kukamata mkono wa fahima na kuuweka shingoni kwake kisha akaanza kujikaba huku mkono wa fahima ukiwa shingoni kwake, Ikabidi fahima ajitutumue na kuutoa mkono huo

kisha akamzaba kibao seven.

Itaendelea
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

REAL LOVE Chapter 14


John allikasirika kwelikweli alimuangalia devi kwa hasira sana kisha akamuangalia mwanasheria kwa hasira sana alijiuliza uyo ni mwanasheria
wa seven imekuwaje kawa hapa na kafata nini

"devi umefuata nini hapa alisema john

"wewe ni nani hapa mpaka uniulize hivo

alijibu devi kwa jeuri sana

nakuuliza kwa mara ya mwisho umefuata nini hapa alisema john kwa hasira na dwvi nae hakutaka kukubari siku hiyo akanyanyuka na kusimama kisha akamwambia john

ullzoea sana kunigusa gusa sasa leo nataka tena uniguse halafu nikuonyeshe mimi ni nani nimesema wewe hauna mamlaka yoyote ya kuniuliza kitu hapa haya unasemaje alisema hasira zikimtawala haraka mr sanju. devi

akasimama kati yao na kuwaamulla

"vijana...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/real-love-chapter-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi real-love-chapter
REAL LOVE  Chapter 12
REAL LOVE Chapter 12
REAL LOVE  Chapter 13
REAL LOVE Chapter 13
REAL LOVE*  Chapter 10
REAL LOVE* Chapter 10
REAL LOVE* Chapter 9
REAL LOVE* Chapter 9
REAL LOVE*  Chapter 8
REAL LOVE* Chapter 8
REAL LOVE* Chapter 7
REAL LOVE* Chapter 7
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘

526
MIMI SIKUACHI🥰*  *SEASON TWO*   *SEHEMU YA 41*

MIMI SIKUACHI🥰* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 41*

399
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43

284
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘  N0 61💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 61💘💘

178
REAL LOVE  Chapter 14

REAL LOVE Chapter 14

132
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08

90

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.14K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.89K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.68K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.3K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘  N0 61💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 61💘💘
@majario LIVE

Baada ya paschal kunifungia kule chumbani mwenzenu ata sikuumia😁😁 nilifurahi namimi nimepata kitu cha kumnyong'onyesha paschal..... baada ya kumfukuza lia paschal alikuja kule chumbani alikonifungia mie nilikuwa zangu nimesimama dirishani...

REAL LOVE  Chapter 14 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 14
@majario LIVE

John allikasirika kwelikweli alimuangalia devi kwa hasira sana kisha akamuangalia mwanasheria kwa hasira sana alijiuliza uyo ni mwanasheria wa seven imekuwaje kawa hapa na kafata nini "devi umefuata nini hapa alisema...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43
@majario LIVE

Daktari akanmbia tulia haji. Ulipata ajari mbaya sana. Ila.unaendelea vizuri umepata michubuo sehemu chache tulia asee umeumia maeneo ya kiuno ila itachukua mwez tu utarecover kbisa so kuwa na...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Mama mtu kuona nimesimama tu akaniongelesha kwa hasira "we mpuuzi mbona umesimama kama sanamu embu toa vitu kwenye gari haraka" Niliitikia sawa na kufungua buti nikaanza kushusha mizigo wao wakaingia...

MIMI SIKUACHI🥰*  *SEASON TWO*   *SEHEMU YA 41* Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 41*
@majario LIVE

Daaaah alex akanmbia pole sana kaka. Najua inaumiza sana najua mnoo. Ila ndo ukweli. Mi siwez acha damu yangu. Na ndo mana nimekutafuta mnoo. Ili tuje kuliongelea ili suala. Na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘
@majario LIVE

0742133100 Baada ya hemed kupata likizo tulisafiri kuelekea ufaransa kwa ajiri ya kwenda kumchukua mtoto wangu nice, mom Elizabeth alimkatalia nice 🤣🤣 hata mimi hawakutaka niondoke kwenye familia yao😄😄Tristan ndo...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Taratibu nilifuta machozi na kuinuka nikatoa vyombo na kuendelea na ratiba zingine, sasa wakati nikiwa bize na kazi Alvin akaja na kusimama pembeni yangu. Sikutaka kumsemesha ndo kwanza nikawa bize...

MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
@majario LIVE

Nklimuangalia uyu mwanaume kwa hasira kisha nikamuuliza kwamba una maanisha nn wewe. Kwambia mm nikuache u.nifanye nyuma uniharibu. Akannbia sikia nikwambia mama. Kwani nani atajua kuwa mm na wewe tumefanya...

MY WANGU❤️ sehemu ya 93 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
@majario LIVE

Basi jioni tu ya siku iyo iyo bibi mie nikaruhusiwa. Nyieee ilikuwa shereehee. Yani uyo zayd ni furaha mdaaaa wote . Ni kufurahi tu .mda wote kamshika mwanae anambembeleza mtoto...

*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92* Post Mpya
*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92*
@majario LIVE

Basi bwana .mie nikawa busy na maisha yangu. Ile namba za yusta nilisave ila wwala hatukuwa na ushost tena. Na kama baada ya mwez niliona status yusta kapost kaolewa na...

*UTANIITA SHEMEJI.* *1-5* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI.* *1-5*
@majario LIVE

*______________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Utaniita shemeji ☺️aisee hii simulizi sijui nikae mkao gani ili niilete kwa usahihi bila kukwama wala kupunguza radha😊. Ila hii kitu imenionesha kuwa kweli watoto wa elfu mbili wameshindikana...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06
@majario LIVE

SONGA NAYO.................. Nilibaki namuangalia huku nikijiuliza ana maana gani kusema vile ?,🤔na nitakosaje amani eti kisa kutokuwa karibu yake 🤔na niukaribi gani anaoutaka kutoka kwangu na kwanini atake ukaribu na mimi?.🤔 Niliwaza...

MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
@majario LIVE

Basi bwana zayd akaendesha gali mpaka kwake . Akanmbia kumbe uyu boya bado hajaondoka na anakufatilia . Nikasema ndio mi mpaka namshangaa yani sijuh ata anataka nn. Mi simtaki bwana....

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

Nikasema ooh alex. Mama bwana uyo jamaa si tumesoma nae mpama form 4. Sijamzoea sana ila huwa na mazoea nae mama. We mpe tu namba zangu wla hakuna shida. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘
@majario LIVE

Pendo🥹🥹 kwani nilikukoseaga nini mamangu?! Mbona adhabu uliyonipatia haiendani na mwonekano wako?! Kwanini ulinipatia penzi lako kama ulijua ya kwamba utaenda mbali na mimi🥹 haujui ni kwa kiasi gani...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest