Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
Gonga94 · Stories

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka

**"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven

usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa dawa zipo itatosha sana"" alisema mzee fahad

sasa huko kuna usalama kweli? alisema seven

mh kwenye swala hilo ndo nataka nilifanyie kazi nataka nifanye jitihada nipange chumba mwanangu aishi humo sitaki akae pale kabisa"" alisema mzee fahad.

"""basi baba nakuomba kwenye suala la chumba niachie mimi nitamtafutia nyumba nzuri ya kuishi kama huko hakuna usalama maana bado anahali mbaya sana anatakiwa uangalizi mno nipe siku ya leo tu mpaka kesho nitakuwa nishaipata mzee wangu alisema seven

***dah asante sana kijana wangu asante sana mzee fahad alishukuru sana basi seven akawaambia waingie ndani ya gari awapeleke nyumbani wakaingia lakini upande wa fahima alikuwa amekasirika sana, lengo la kutoka hospitari hapo ni kuepusha mazoea kati yao na seven lakini alichukia maamuzi yake kwakuwa amefeli badala ya kuepusha mazoea ndo

kwaaanza yanazidili mpaka kufikia hatua ya kutafutiwa nyumba alichukia sana hakumpenda seven hata kidogo, basi safari lanza kuelekea nyumbani kwa mzee fahad

huku nyumbani kwa mama seven hali yake. ilikuwa sawa kidogo

seven kaenda wapi" alisema mama seven

amesema kuna mgonjwa wake hospitar ameenda kumuangalia" alijibu sarafina

mgonjwa? yupi?" aliuliza mama seven

hatujuu alijibu selina

mnabidi muwe makini sana na kaka yenu sasahivi hayupo sawa kabisa" alisema mama seven

"""sawa mama alijibu selina

vipi hao wengine aliuliza mama seven

***mama kwaasilimia zote nikweli cathe anatoka na devi kwanza hawana hata wasiwasi kabisa alisema selina

km hata mimi nimeona kwahiyo seven. kachukua uamuzi gani aliuliza mama seven

kaka seven amesema vilevile tu mama sijui anamaana gani alisema selina

bado hayuko sawa muacheni kwanza atakapokuwa sawa nitaongea nae mwenyewe kipindi hiki muacheni alisema mama seven

sawa na amesema atakuwa analala hapa alisema sarafina

"""ndomana nawaambia bado hayuko sawa ile familia sasahivi tuweni nae makini sana maana hata mimi siwaelewi tumepata hasara sana tu alisema mama seven,

sawa mama na daktari amesema hautakiwi kuwa na mawazo mama alisema sarafina "sawa" alisema mama seven basi wakaendelea kuzungumza story zingine

upande wa wazazi wa cathe muda huo jioni mama cathe alikuwa chumbani kwake na mumewe wakijadili kuhusu uchumba wa cathe na seven

"""lakini mume wangu mimi namuamini sana cathe hawezi kufanya hivo alisema mama cathe

sijakataa ila nakwambia tu usimuamini. catherine kumbuka bado kijana ujana mwingi mke wangu ndimana nakwambia usimuamini sana lolote linaweza mutokea si unajuwa mimi siongei sana alisema baba cathe

lakini sio kwa cathe nimelea mwenyewe mwanangu alisema mama catherine

*sawa vipi calor anarudi wiki hii au aliuliza baba catherine

*jana niliongea nae kasema wiki hii anaingia tanzania na sijui kama akaikuta hili balaa itakuwaje maana namjuwa calor alivyo mkotofi alisema mama cathe,

"""sasahivi ashakuwa anyways naenda posta apo mara moja alisema baba cathe basi waliagana na mkewe kisha wakatoka

huku nyumbani kwa mama fatuma alikuwa akipika huku akiimba nyimbo za hapa na pale ndipo fatuma akatoka ndani humo akiwa ampendeza sana alivaa kigauni kifupi mno kilichoweka wazi mapaja yake usoni alijipodoa akapodoka vizuri

"""haya safari ya wapi alisema mama fatuma *"marna bhana kuna inshu muhimu naenda kufatilia: alijibu fatuma

inshu au kwa bwana ako na ukirudi hapa nataka elfu 20 lasivyo usirudi'" alisema mama. fatuma

***mama jamani sasa kama hiyo ndo ananipa mimi je alisema fatuma

**"ndo utanipa yote alijibu mama fatuma

lakini mama so vizuti ah alisema fatuma huku akipiga hatua za haraka haraka kuondoka huku akimuacha mama yake akisema

nyooooo mtoto mbwa wewe et ah nyooo na usirudi bila pesa hapa alisema mama fatuma Jamani alipenda sana hela kwa pesa usimwambie, akaendelea kupika huku akiimba imba mara ghafla alikuja fatuma mbio sopidiiiiii &&&&& mpaka mama fatuma akataka kukimbilia ndani kwa mshtukoo

***weee mtotooooo weee niiiiini jaman tunashtuana kama hivo nini sasa ah**" alisema mama fatuma huku anahema

***mama nimewaona fahima baba na mkaka

mmoja hivi mzuriiiii he mungu wangu sijapata kuona wanakuja mama hapa siondoki tena

nataka

niiihiqueeee mpaka uvo mkaka kuona wanakuja mama hapa siondoki te nataka nijibinueeee mpaka uyo mka anitongoze he alisema fatuma mane yalimtoka mfululizoooo bila kupumzika man fatuma nae alishtukaa akataka kuşbu lak alishelewa tayarugeni ukaingia mzee fah fahima na seven aiseeeeeee mama fatuma alivyomuona sew kamoyo kakashtuka kidogo maana alikuwa kijana mzuri sana white boy mrefu me wake ulikaa romantic jamani hakuwa na nde hata moje sinyos vizuri nywele zake zili kutokana ma mafuta mazuri anayotumia kupa nywele siipendeza sana mkononi sims vyema fahima kitu ambacho kiliwakera sam mama fatuma na mwanae
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*


walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka

**"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven

usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa dawa zipo itatosha sana"" alisema mzee fahad

sasa huko kuna usalama kweli? alisema seven

mh kwenye swala hilo ndo nataka nilifanyie kazi nataka nifanye jitihada nipange chumba mwanangu aishi humo sitaki akae pale kabisa"" alisema mzee fahad.

"""basi baba nakuomba kwenye suala la chumba niachie mimi nitamtafutia nyumba nzuri ya kuishi kama huko hakuna usalama maana bado anahali mbaya sana anatakiwa uangalizi mno nipe siku ya leo tu mpaka kesho nitakuwa nishaipata mzee...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/real-love-sehemu-ya-kumi-na-moja

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi real-love-sehemu-ya-kumi-na-moja
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

581
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

470
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

468
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

318
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

209
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

83
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

68

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest