REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka
**"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven
usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa dawa zipo itatosha sana"" alisema mzee fahad
sasa huko kuna usalama kweli? alisema seven
mh kwenye swala hilo ndo nataka nilifanyie kazi nataka nifanye jitihada nipange chumba mwanangu aishi humo sitaki akae pale kabisa"" alisema mzee fahad.
"""basi baba nakuomba kwenye suala la chumba niachie mimi nitamtafutia nyumba nzuri ya kuishi kama huko hakuna usalama maana bado anahali mbaya sana anatakiwa uangalizi mno nipe siku ya leo tu mpaka kesho nitakuwa nishaipata mzee wangu alisema seven
***dah asante sana kijana wangu asante sana mzee fahad alishukuru sana basi seven akawaambia waingie ndani ya gari awapeleke nyumbani wakaingia lakini upande wa fahima alikuwa amekasirika sana, lengo la kutoka hospitari hapo ni kuepusha mazoea kati yao na seven lakini alichukia maamuzi yake kwakuwa amefeli badala ya kuepusha mazoea ndo
kwaaanza yanazidili mpaka kufikia hatua ya kutafutiwa nyumba alichukia sana hakumpenda seven hata kidogo, basi safari lanza kuelekea nyumbani kwa mzee fahad
huku nyumbani kwa mama seven hali yake. ilikuwa sawa kidogo
seven kaenda wapi" alisema mama seven
amesema kuna mgonjwa wake hospitar ameenda kumuangalia" alijibu sarafina
mgonjwa? yupi?" aliuliza mama seven
hatujuu alijibu selina
mnabidi muwe makini sana na kaka yenu sasahivi hayupo sawa kabisa" alisema mama seven
"""sawa mama alijibu selina
vipi hao wengine aliuliza mama seven
***mama kwaasilimia zote nikweli cathe anatoka na devi kwanza hawana hata wasiwasi kabisa alisema selina
km hata mimi nimeona kwahiyo seven. kachukua uamuzi gani aliuliza mama seven
kaka seven amesema vilevile tu mama sijui anamaana gani alisema selina
bado hayuko sawa muacheni kwanza atakapokuwa sawa nitaongea nae mwenyewe kipindi hiki muacheni alisema mama seven
sawa na amesema atakuwa analala hapa alisema sarafina
"""ndomana nawaambia bado hayuko sawa ile familia sasahivi tuweni nae makini sana maana hata mimi siwaelewi tumepata hasara sana tu alisema mama seven,
sawa mama na daktari amesema hautakiwi kuwa na mawazo mama alisema sarafina "sawa" alisema mama seven basi wakaendelea kuzungumza story zingine
upande wa wazazi wa cathe muda huo jioni mama cathe alikuwa chumbani kwake na mumewe wakijadili kuhusu uchumba wa cathe na seven
"""lakini mume wangu mimi namuamini sana cathe hawezi kufanya hivo alisema mama cathe
sijakataa ila nakwambia tu usimuamini. catherine kumbuka bado kijana ujana mwingi mke wangu ndimana nakwambia usimuamini sana lolote linaweza mutokea si unajuwa mimi siongei sana alisema baba cathe
lakini sio kwa cathe nimelea mwenyewe mwanangu alisema mama catherine
*sawa vipi calor anarudi wiki hii au aliuliza baba catherine
*jana niliongea nae kasema wiki hii anaingia tanzania na sijui kama akaikuta hili balaa itakuwaje maana namjuwa calor alivyo mkotofi alisema mama cathe,
"""sasahivi ashakuwa anyways naenda posta apo mara moja alisema baba cathe basi waliagana na mkewe kisha wakatoka
huku nyumbani kwa mama fatuma alikuwa akipika huku akiimba nyimbo za hapa na pale ndipo fatuma akatoka ndani humo akiwa ampendeza sana alivaa kigauni kifupi mno kilichoweka wazi mapaja yake usoni alijipodoa akapodoka vizuri
"""haya safari ya wapi alisema mama fatuma *"marna bhana kuna inshu muhimu naenda kufatilia: alijibu fatuma
inshu au kwa bwana ako na ukirudi hapa nataka elfu 20 lasivyo usirudi'" alisema mama. fatuma
***mama jamani sasa kama hiyo ndo ananipa mimi je alisema fatuma
**"ndo utanipa yote alijibu mama fatuma
lakini mama so vizuti ah alisema fatuma huku akipiga hatua za haraka haraka kuondoka huku akimuacha mama yake akisema
nyooooo mtoto mbwa wewe et ah nyooo na usirudi bila pesa hapa alisema mama fatuma Jamani alipenda sana hela kwa pesa usimwambie, akaendelea kupika huku akiimba imba mara ghafla alikuja fatuma mbio sopidiiiiii &&&&& mpaka mama fatuma akataka kukimbilia ndani kwa mshtukoo
***weee mtotooooo weee niiiiini jaman tunashtuana kama hivo nini sasa ah**" alisema mama fatuma huku anahema
***mama nimewaona fahima baba na mkaka
mmoja hivi mzuriiiii he mungu wangu sijapata kuona wanakuja mama hapa siondoki tena
nataka
niiihiqueeee mpaka uvo mkaka kuona wanakuja mama hapa siondoki te nataka nijibinueeee mpaka uyo mka anitongoze he alisema fatuma mane yalimtoka mfululizoooo bila kupumzika man fatuma nae alishtukaa akataka kuşbu lak alishelewa tayarugeni ukaingia mzee fah fahima na seven aiseeeeeee mama fatuma alivyomuona sew kamoyo kakashtuka kidogo maana alikuwa kijana mzuri sana white boy mrefu me wake ulikaa romantic jamani hakuwa na nde hata moje sinyos vizuri nywele zake zili kutokana ma mafuta mazuri anayotumia kupa nywele siipendeza sana mkononi sims vyema fahima kitu ambacho kiliwakera sam mama fatuma na mwanae
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi