MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa zayd sawa vp uko powa . Yani kuna jinsi mpaka nilipata kigugumizi baada ya kumuona zayd. Zayd akanmbia tunaweza tukapanda juuu ata tuzungumze. Nikasema sawa. Basi akanishika mkono. Nikapnda nae juuu. Ananukia likaka hili .mipafyumu ya kiislamu ile. Basi nilivyofika nikakaa pale . Tulikuwa wawili tu .kwa meza tuliyokaa. Zayd akanmbia nikuagizie zaidi .nikasema hapana zayd mimi nimetosheka kiukweli.
Akanambia dah umezidi kuwa mzuri faridaah. Nikasema.asante na ww umezidi kuwa handsome. Akatabasamu. Akanmbia daah kaka ako jau yule ndo akakuhamisha kabisa. Akanipepelushia ndege wangu mzuri. Anayevutia . Nikacheka.nikasema yule wala sio kaka yangu. Ni mwanaume wangu. Ndo anataka kunioa na ndo kila kitu katika maisha yangu. Nilitaka kumvunja moyo mapema mana niliona kama anaonesha dalili mbaya. Akanmbia ooh nilihisi hilo tu . Mana jamaa na wivu sana ..nikacheka . Akanmbia ila mbona mkubwa sana kwako. Nikasema ndo nampenda sasa. Akanmbia ooh sawa bwana hakuna noma. Na hongera. Vp unaishi uku now.nikasema no nasoma muhas. Akanmbia kumbe nikasema yes. Akanmbia sawa si wengine tulikataa kuendelea na chuo tumeingia kwenye biashara
Nikasema sawa hakuna shida na hongera tu. Akanmbia naweza kupata namba yako ya simu. Nikasema sawa unaweza wala usijali . Na nikampa namba kweli. Basi tukaongea sana. Anavyoongea kisure sasa. Yni mkaka ana swaga uyu. Wala sikujutia kukaa nae pale. Basi mapka saa 8 tupo pale . Anaagiza tu wine za bei mbaya zile anakunywa taratibu nami nilikuwa nakunywa ila sio kama yeye..
Akanmbia tucheze basi kidogo. Nikasema ahaa mi ata siwez. Akanmbia twende bwana chini faridah unajua mm leo kukuona nimefurahi sana wala sikuwa tegemea kama ntakuona tena.TWENDE bwana tukacheze si unachngamka kidogo nikasema sawa. Basi akanishika mkono tukaludi chini uku ndo watu wancheza sasa kule juu ni kwa kupoa na kufanya maongezi . Bwana na sisi tukaingia kati kabisaa. Basi tukaaanza kucheza taratibu mziki uliponoga sasa . kaka alikumbatia aswaaa . Alinibambia mnoo. Kuna mda mkono wake unafika mpak kwenye maziwa na mie wala sikuwa namkataza . Nasikia rahaaaa. Mala kanishika kiunoni .mala aknikamatia matako.na vile nishastua kidogo. Wala sikuona shida. Basi tukacheza mpka saa 10. Nikamwambia nimechoka sasa . Nataka kuondoka.akanmbia sawa umekuja na rafiki yako yule sio. Nikasema ndio. Akanmbia ngoja niwaludishe basi. Kweli mie nikamstua angel. Bwana akatupeleka mpaka alipopark gar yake . Mkaka ana range safi kabisa nyeupe. Gari ya uwakika. Basi mie nikapanda mbele .angl akapanda nyuma
Kwanza tulimludisha angel kwake. Magomeni kisha sasa akanikudisha mie kwangu sinza. Akanambia amefurahi sana kuonana na mimi .nikasema asante .basi kaka akavuta pochi akanipa laki 5. Et hizo zitakusupport siku hizi 2 tatu. Mie nikachukua zile pesa nikasema asante nashukuru . Basi nikashuka kwenyye gari nikaingia ndani kwangu .nipo hoi. Nikijilaza . Nikaja kustuka saa 4. Ni vile ilikuwa ni j mosi hatuingii chuo wala sikuwaza. Nashika simu mlige kapiga mala 67. Ila mlige .🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌. Unapiga simu mala zote hizi jamani. Basi mie ndo nikampigia sasa. Aknmbia yani nilikuwa nataka kuja nakwambia .niache kazi zangu zote. Mama umezidiwa sana . Mbona ata hushiki simu. Nikasema hapana mume hizi dawa nimemeza jana zimenipa usingizi nililla tu. Basi akanipa pole sana . Akanmbia niende hospital sasa leo . Akanmbia nakutumia pesa apo. Ya hospital .na apo ndani nilikuwa na pesa katoka kunitumia juzi ya matumizi baba wa watu. Ila akanitumia tena laki 1 na 50. Niende hospital. Nikamwambia sawa. Na asante babay
Mie nikaweka simu pembeni nikajilalia zangu . Mana bado nilikuwa nimechoka jana si nimekesha nimekuja kustuka saa 8. Shoga ananipigia yani angel. Nyie angela akaniuliza ww dada unamfahamu kabaisa kumbe. Nikasema kabaisa ndo nani. Akanmbia si yule mkaka alotuludisha nyumbani . Ndo nikajua kumbe anamuongelea zayd. Nikasema.kheee kumbe ana jina lengine mnamuita kabaisa. Mm nilisomaga nae advance shule moja anaitwa zayd mbona. akanmbia daah mtoto una bahati ww. shoga uyu zayd anaogombaniwa sana na wanawake . Na si unaona alivyo handsome alafu ana pesa balaaaaa nakwambiaaa.
Oyaaaaa mi jana kupanda gari yake nimeona kama ndoto. Nikacheka nikasema makubwa so ww umemjulia pale pale club. Akanmbia ahaaa kabaisa anaendaga club nyengine na akiingia yeye club nzima mnachanganikiwa .alafu anaonekana kakukubali shoga usije ukaitupa bahati.nikacheka nikasema wewe tena ebu niache mie. Basi tukapiga umbe sna na shoga paleeee. Na nilipomaliza Nikaenda kuoga nikampigia sasa simu mlige. Na akapokea nikasema baby hellow. Akanmbia hellow mama vp umeenda hospital.nikasema ndio . Nna malaria na homa. Mlige akanmbia pole sana mke wangu. So ushaludi nyumbani .nikasema ndio ndo nimefika nyumbani apa akanmbia sawa basi pumzika . Baadaae ntakuchek.nikasema sawa .basi bibi mie. Nikakata simu. Ile nakata simu ya mlige na namb mpya inapiga. Mh mie nikapokea nasikia sauti ya zayd .akanmbia vp mrembo unaendeleaje.nikasema powa sijuh ww unaendeleajee. Akanmbia daah nipo powa ndo naamka now huwez amini. Nilichoka kinoma.
Nikasema dooh basi pole akanmbia sawa. Nasafiri naenda kenya leo jioni. nikiludi ntahitaji tuonane kidogo plsss. Nikasema sawa wala hakuna shida. Akanmbia sawa farida uwe na siku nje. Nimasema powaaa. Basi nikamalza kuongea na zayd nikaendelea na mambo yangu. Ila zayd mzuri nyie na bonge la handsome alafu ana pesa mnooo anaonekana . Mtoto mdogo anatembelea rangee. Acheni kabisa.tena kwa kipindi iko range ndo zinaingia hazijazagaa kama sasa hivi. Basi bwana. Bibie mie siku 2 najifanya kumdanganya mlige naumwa . Kuua soo tu. Mlige alinambia kabanwa sana mana form two wnafanya necta. Bila ya hivyo angekuja kuniona. Nikamwmabia wala usijali nishaanza kukaaa sawa. Akanmbia powa
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi