Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa zayd sawa vp uko powa . Yani kuna jinsi mpaka nilipata kigugumizi baada ya kumuona zayd. Zayd akanmbia tunaweza tukapanda juuu ata tuzungumze. Nikasema sawa. Basi akanishika mkono. Nikapnda nae juuu. Ananukia likaka hili .mipafyumu ya kiislamu ile. Basi nilivyofika nikakaa pale . Tulikuwa wawili tu .kwa meza tuliyokaa. Zayd akanmbia nikuagizie zaidi .nikasema hapana zayd mimi nimetosheka kiukweli.

Akanambia dah umezidi kuwa mzuri faridaah. Nikasema.asante na ww umezidi kuwa handsome. Akatabasamu. Akanmbia daah kaka ako jau yule ndo akakuhamisha kabisa. Akanipepelushia ndege wangu mzuri. Anayevutia . Nikacheka.nikasema yule wala sio kaka yangu. Ni mwanaume wangu. Ndo anataka kunioa na ndo kila kitu katika maisha yangu. Nilitaka kumvunja moyo mapema mana niliona kama anaonesha dalili mbaya. Akanmbia ooh nilihisi hilo tu . Mana jamaa na wivu sana ..nikacheka . Akanmbia ila mbona mkubwa sana kwako. Nikasema ndo nampenda sasa. Akanmbia ooh sawa bwana hakuna noma. Na hongera. Vp unaishi uku now.nikasema no nasoma muhas. Akanmbia kumbe nikasema yes. Akanmbia sawa si wengine tulikataa kuendelea na chuo tumeingia kwenye biashara

Nikasema sawa hakuna shida na hongera tu. Akanmbia naweza kupata namba yako ya simu. Nikasema sawa unaweza wala usijali . Na nikampa namba kweli. Basi tukaongea sana. Anavyoongea kisure sasa. Yni mkaka ana swaga uyu. Wala sikujutia kukaa nae pale. Basi mapka saa 8 tupo pale . Anaagiza tu wine za bei mbaya zile anakunywa taratibu nami nilikuwa nakunywa ila sio kama yeye..

Akanmbia tucheze basi kidogo. Nikasema ahaa mi ata siwez. Akanmbia twende bwana chini faridah unajua mm leo kukuona nimefurahi sana wala sikuwa tegemea kama ntakuona tena.TWENDE bwana tukacheze si unachngamka kidogo nikasema sawa. Basi akanishika mkono tukaludi chini uku ndo watu wancheza sasa kule juu ni kwa kupoa na kufanya maongezi . Bwana na sisi tukaingia kati kabisaa. Basi tukaaanza kucheza taratibu mziki uliponoga sasa . kaka alikumbatia aswaaa . Alinibambia mnoo. Kuna mda mkono wake unafika mpak kwenye maziwa na mie wala sikuwa namkataza . Nasikia rahaaaa. Mala kanishika kiunoni .mala aknikamatia matako.na vile nishastua kidogo. Wala sikuona shida. Basi tukacheza mpka saa 10. Nikamwambia nimechoka sasa . Nataka kuondoka.akanmbia sawa umekuja na rafiki yako yule sio. Nikasema ndio. Akanmbia ngoja niwaludishe basi. Kweli mie nikamstua angel. Bwana akatupeleka mpaka alipopark gar yake . Mkaka ana range safi kabisa nyeupe. Gari ya uwakika. Basi mie nikapanda mbele .angl akapanda nyuma

Kwanza tulimludisha angel kwake. Magomeni kisha sasa akanikudisha mie kwangu sinza. Akanambia amefurahi sana kuonana na mimi .nikasema asante .basi kaka akavuta pochi akanipa laki 5. Et hizo zitakusupport siku hizi 2 tatu. Mie nikachukua zile pesa nikasema asante nashukuru . Basi nikashuka kwenyye gari nikaingia ndani kwangu .nipo hoi. Nikijilaza . Nikaja kustuka saa 4. Ni vile ilikuwa ni j mosi hatuingii chuo wala sikuwaza. Nashika simu mlige kapiga mala 67. Ila mlige .🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌. Unapiga simu mala zote hizi jamani. Basi mie ndo nikampigia sasa. Aknmbia yani nilikuwa nataka kuja nakwambia .niache kazi zangu zote. Mama umezidiwa sana . Mbona ata hushiki simu. Nikasema hapana mume hizi dawa nimemeza jana zimenipa usingizi nililla tu. Basi akanipa pole sana . Akanmbia niende hospital sasa leo . Akanmbia nakutumia pesa apo. Ya hospital .na apo ndani nilikuwa na pesa katoka kunitumia juzi ya matumizi baba wa watu. Ila akanitumia tena laki 1 na 50. Niende hospital. Nikamwambia sawa. Na asante babay

Mie nikaweka simu pembeni nikajilalia zangu . Mana bado nilikuwa nimechoka jana si nimekesha nimekuja kustuka saa 8. Shoga ananipigia yani angel. Nyie angela akaniuliza ww dada unamfahamu kabaisa kumbe. Nikasema kabaisa ndo nani. Akanmbia si yule mkaka alotuludisha nyumbani . Ndo nikajua kumbe anamuongelea zayd. Nikasema.kheee kumbe ana jina lengine mnamuita kabaisa. Mm nilisomaga nae advance shule moja anaitwa zayd mbona. akanmbia daah mtoto una bahati ww. shoga uyu zayd anaogombaniwa sana na wanawake . Na si unaona alivyo handsome alafu ana pesa balaaaaa nakwambiaaa.

Oyaaaaa mi jana kupanda gari yake nimeona kama ndoto. Nikacheka nikasema makubwa so ww umemjulia pale pale club. Akanmbia ahaaa kabaisa anaendaga club nyengine na akiingia yeye club nzima mnachanganikiwa .alafu anaonekana kakukubali shoga usije ukaitupa bahati.nikacheka nikasema wewe tena ebu niache mie. Basi tukapiga umbe sna na shoga paleeee. Na nilipomaliza Nikaenda kuoga nikampigia sasa simu mlige. Na akapokea nikasema baby hellow. Akanmbia hellow mama vp umeenda hospital.nikasema ndio . Nna malaria na homa. Mlige akanmbia pole sana mke wangu. So ushaludi nyumbani .nikasema ndio ndo nimefika nyumbani apa akanmbia sawa basi pumzika . Baadaae ntakuchek.nikasema sawa .basi bibi mie. Nikakata simu. Ile nakata simu ya mlige na namb mpya inapiga. Mh mie nikapokea nasikia sauti ya zayd .akanmbia vp mrembo unaendeleaje.nikasema powa sijuh ww unaendeleajee. Akanmbia daah nipo powa ndo naamka now huwez amini. Nilichoka kinoma.

Nikasema dooh basi pole akanmbia sawa. Nasafiri naenda kenya leo jioni. nikiludi ntahitaji tuonane kidogo plsss. Nikasema sawa wala hakuna shida. Akanmbia sawa farida uwe na siku nje. Nimasema powaaa. Basi nikamalza kuongea na zayd nikaendelea na mambo yangu. Ila zayd mzuri nyie na bonge la handsome alafu ana pesa mnooo anaonekana . Mtoto mdogo anatembelea rangee. Acheni kabisa.tena kwa kipindi iko range ndo zinaingia hazijazagaa kama sasa hivi. Basi bwana. Bibie mie siku 2 najifanya kumdanganya mlige naumwa . Kuua soo tu. Mlige alinambia kabanwa sana mana form two wnafanya necta. Bila ya hivyo angekuja kuniona. Nikamwmabia wala usijali nishaanza kukaaa sawa. Akanmbia powa

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80



Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa zayd sawa vp uko powa . Yani kuna jinsi mpaka nilipata kigugumizi baada ya kumuona zayd. Zayd akanmbia tunaweza tukapanda juuu ata tuzungumze. Nikasema sawa. Basi akanishika mkono. Nikapnda nae juuu. Ananukia likaka hili .mipafyumu ya kiislamu ile. Basi nilivyofika nikakaa pale . Tulikuwa wawili tu .kwa meza tuliyokaa. Zayd akanmbia nikuagizie zaidi .nikasema hapana zayd mimi nimetosheka kiukweli.

Akanambia dah umezidi kuwa mzuri faridaah. Nikasema.asante na ww umezidi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-79-na-80

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

562
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

494
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘

489
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

481
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

382
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

331
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29

319
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

246
REAL LOVE*  Chapter 10

REAL LOVE* Chapter 10

138
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

99

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.08K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.83K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29
@majario LIVE

Basi bwana mie nikalidi kwangu. Ila.sikuwa sawa yani ile kuvishwa pete ina maana anaolewa . Ina maana inakuwaje hii. Aseeeee sikuwa naelewa ni wivu au ni nini ndo kinanisumbua ila...

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*
@majario LIVE

*SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA* Basi bwana mie nikamuoa fatuma na nilikaa nae nyumbani kama weeek. Kwa uo mda lemi ye alinishanitangulia . Yani alishaondoka baada ya mimi kuoa tu....

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘
@majario LIVE

Nilipokea lile box huku mikono yangu ikiwa inatetemeka sana isijekuwa talaka kabla ya ndoa😌😌 Isabella baada ya kunipatia kile kijibox yeye aliniaga akaondoka nilikichunguza kile kibox kilikuwa na mwonekano...

REAL LOVE* Chapter 9 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 9
@majario LIVE

upande mwingine nyumbani kwa mama seven familia mbili zote zilikutana familia ya cathe na seven, wote walikuwa kwenye sintofaham familia ya cathe hawakuamini kabisa kama mtoto wao anaweza mufanya hivo, walikaa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest