REAL LOVE* Chapter 9
upande mwingine nyumbani kwa mama seven familia mbili zote zilikutana familia ya cathe na
seven, wote walikuwa kwenye sintofaham familia ya cathe hawakuamini kabisa kama mtoto wao anaweza mufanya hivo, walikaa na kujadili wakaona suluhisho ni kuwaita wote wawili cathe na seven ili kujuwa ukweli,
na kwaupande wa familia ya seven ilikuwa Inamuamini sana seven na wakivuta picha vile alivokuwa analia ndo wanazidi kuamini, ikabidi
cathe apigiwe simu na kuitwa alikubari na pia seven akapigiwa simu lakinibjwa upande wake. alikataa katakata hapo ndipo utata ukaanza maana kama mmoja sipokuja ukweli hauwezi
kupatikana,
ikabidi wamuombe sana seven aje nakama. nikweli basi atoe talaka mbele ya familia, sio hao. tu hata devi nae aliitwa pamoja na john pia ili kupata ushahidi vizuri,
huku hotelin cathe walianza kupanga mbinu za kujitetea sasa my tutafanyaje alisema cathe
"usiwe na wasiwasi tutatengeneza tu maneno majibu yote niachie mimi ndo nitajibu alisema dwvi basi wakakubaliana hivo na catherine kisha wakaanza kujiandaa ili kutoka
upande wa seven nae ndo alikuwa anataka kutoka ikabidi aingie wodini alifika na kuwakuta fahima na baba yake wakiwa wanacheka, alifurahi sana kuona mtu na mwanae
wanatabasam
mzee samahani naomba tuongee nje kidogo alisema seven bila shaka nae baba fahima akatoka nje, walikaa kwenye viti na
mazungumzo yakaanza
samahani sana mzee wangu nimepigiwa simu nyumbani kuna kikao cha familia mama yangu
na dada yangu nao walilazwa hospitari jana leo ndo wametoka na tangu watoke sijaenda kuwaona kwahiyo naomba nikuache kisha baadae nitarudi alisema seven
usijari kijana unaitwa nani alisema baba fahima seven alijibu seven
sawa kijana seven kwanza nikushukuru sana
sana kwa kuokoa maisha ya mwanangu angekuwa mwingine angegonga na kukimbia nashukuru sana kwahilo alisema fahad baba
seven
"usijari mzee wangu na usihofu chochote. fahima yupo chini ya uangalizi wangu muda wote mpaka atakapopona na kuhusu chakula au chochote kila kitu mtaletewa baba yangu alisema kijana seven
asante sana na pole sana alisema baba fahima huku akimshika bega seven nae seven akatabasam ndani ya moyo wake alipata sana
faraja alihisi kama anaongea na baba yake
mzazi kwajinsi mzee fahad alivyo mkarimu,,
seven alitoa wallet yake na kutoa pesa elfu hamsini kisha akampatia mzee fahad aiseeeee mzee watu hakuamini akajikuta amesimama tu kama kachanganyikiwa hivi
baba pokea hizi ni zako kwa kukupotezea muda wako nisingemgonga mwanao naona sahizi ungekuwa kazini pokea tu alisema
seven dahmzee wa watu akapokea pes hizo alishukuru sana tena sana basi ikabidi seven aingie ndani kumuaga fahima
fahima alipomuona seven tu akageukia pembeni hakuwa anataka hata kumuona alimchukia sana
fahima nitazidi kukuomba msamaha mpka nitakapoingia chini ya ardhi nakuomba nisamehe najuwa nimekuharibia vingi naomba
unitunzie siri hii haikuwa akili yangu kabisa, alisema seven masikini kijna alitilia huruma. sana, lakini fahima bado hakujibu wala kugeuka
sawa ila natoka mara moja naenda nyumbani
kuna kikao nitarudi baadae naomba uwe makini alisema seven pia hakujibiwa basi akafungua mlango na kutoka aliondoka akiwa na john kwenda kusikiliza kikao, kampuni yake.
alimuachia secretar wake wakike ambaye anamuamini sana maana kwa wakati huo hatal akili ya kufanya kazi hakuwa nayo kabisa.
basi walifika nyumbani wakakuta watu wooote
wamekaa wakiwasubiri wao, seven alifika moja. kwa moja akaenda kumsalimia mama yake kisha dada yake ambao walitoka hospitar muda sio mrefu, kwa wakati huo walikuwa sawa
kabisa, basi akaend kukaa kwenye kiti, john
muda wote alikuwa anamuangalia sana devi
kwa hasira mno lakini devi hakujari lolote na alikuwa mtu mwenye dharau sana,
upamde wa mama fatuma alikuwa ando
anamalizia kufua nguo wakati anageuza suruali ya mumewe akaona picha ndogo imedondoka kama pasport saizi hivi, akapuliza tangu lini mumewe atembee na picha kwenye suruali ikabidi aichukue
akaingalia alikuwa ni mtoto kike wa miaka minne kwa kukadiria aliweka pozi la tabasam alipendeza sana, mama fatuma akapata
wasiwasi na kujiuliza mtoto huyo ni nani lakini
ndipo akakumbuka itakuwa ni fahima maana
mzee fahad hana mtoto zaidi ya fahima na ndiye kipenzi chake basi akaichukua picha ile na kwenda kuiweka chumbani kwake ili mumewe
akija aichukue, kisha akaendelea kufua nguo,
upande wa hospitari huki mzee fahad alikuwa
akipiga story na binti yake zahapa na ple hivi fahima buyu kaka unamjuwa? aliuliza
mzee fahad
hapana baba simjui kwanini umeniuliza hivo alisem fahima
"kwasababu nikijana mzuri sana hivi hana baba huyu??? alisem mzee fahad
baba sasa unaniuliza mie nitajuwaje wakati
mimi simjui alisema fahima
"aha sawa nilijisahau" alisem mzee fahad "kwani kuna nini baba aliuliza fahima
amna nimempwnda tu kutokana na ukarimu wake anaonekana ni kijana mkarimu sana alisema mzee fahad akimsifia san seven
mh haya aliguna fahima
sasa unaguna nini yani wewe unataka kusifiwa wewe tu kila siku wenzio akuuuu alisema mzee fahad kwa utani na fahima akaanza
kucheka, haya baba na mwana walikuwa wanapendana sana tena sana, fahima alimpenda san baba yake kwakuwa ndiye mtu
pekee muhimu iyebaki naye duniani, na pia mzee fahad alimpenda sana mwanae kwakuwa ndiye
zwadi pekee aliyepewa na mungu,
turudi kwenye kikao kizito cha kutaka kifahamu ukweli yuu ya fumanizi la devi na cathe
karibuni sana kwa kuitikia wito huu tumewaita hapa kwasababu ya kufahamu ukweli wa tukio
tulilolisikia la cathe kufumaniwa na devi tena nyumbani kwa mchumba wake seven je cathe hiki yulichokisikia leo ni kweli?" alisema mama
seven kwa kituo, cathe aliyatoa macho hayo kama mjusi
mama mnaongea nini mama?? mimi nimsaliti seven mimi cathe aaah mama mnanidhalilishaaa" alisema cathe kisha akaanz
kulia
"kwanza namtaka huyo aliyesema mimi
nimefumaniwa na shemeji cathe alisema devi akiwa mkavu kabisaaaa dah ukisikia uchawi ndio huu sasa devi alikazania aambiwe ni nani aliyesema kuwa yeyearnefumaniwa, bila kupoteza dakika seven alijibu "mimi
"sikutegemea boss wangu mtu mwenye hadhi
zake unaweza kufanya ujinga kama huu haya mimi si nimelala na mkeo haya onyeaha
ushahidi hapa sema yani sheria yakazi sitakiwi kukupandiahia sauti lakini kwahili utanisamehe sana boss huu ni udhalilishaji nimekukosea nini alisema devi tena kwa uchungu mno
hwbu seven mwanangu nawewe tuambie ni
kweli??? aliuliza mama seven, seven aliwaangalia sana devi na cathe kisha akatabasam huku chozi likimtoka mtoto wa kiume
hapana mama sio kweli ni mimi tu macho.
hapana mama sio kweli ni mims tu mac yangu sikuhizi hayaoni vizuri mama alter seven huku amitabasam daaah jibu h
muumiza sana john alluma zaidi
maumivuuuuu hakujuwa kwanini seve
asemw songo nini dhamira yake?
amuonase kaja kutupotezes muda tu mil
alserna devi lakini kat
hajamaliza kuonges alishtukiat karushe kuleeee yani altzibuliwa teke moja takatifuuu akafatwa sekunde hiyohiyo akapigwa ngumi ta
Itaendelea
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi