Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

REAL LOVE* Chapter 9
Gonga94 · Stories

REAL LOVE* Chapter 9

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

upande mwingine nyumbani kwa mama seven familia mbili zote zilikutana familia ya cathe na

seven, wote walikuwa kwenye sintofaham familia ya cathe hawakuamini kabisa kama mtoto wao anaweza mufanya hivo, walikaa na kujadili wakaona suluhisho ni kuwaita wote wawili cathe na seven ili kujuwa ukweli,

na kwaupande wa familia ya seven ilikuwa Inamuamini sana seven na wakivuta picha vile alivokuwa analia ndo wanazidi kuamini, ikabidi

cathe apigiwe simu na kuitwa alikubari na pia seven akapigiwa simu lakinibjwa upande wake. alikataa katakata hapo ndipo utata ukaanza maana kama mmoja sipokuja ukweli hauwezi

kupatikana,

ikabidi wamuombe sana seven aje nakama. nikweli basi atoe talaka mbele ya familia, sio hao. tu hata devi nae aliitwa pamoja na john pia ili kupata ushahidi vizuri,

huku hotelin cathe walianza kupanga mbinu za kujitetea sasa my tutafanyaje alisema cathe

"usiwe na wasiwasi tutatengeneza tu maneno majibu yote niachie mimi ndo nitajibu alisema dwvi basi wakakubaliana hivo na catherine kisha wakaanza kujiandaa ili kutoka

upande wa seven nae ndo alikuwa anataka kutoka ikabidi aingie wodini alifika na kuwakuta fahima na baba yake wakiwa wanacheka, alifurahi sana kuona mtu na mwanae

wanatabasam

mzee samahani naomba tuongee nje kidogo alisema seven bila shaka nae baba fahima akatoka nje, walikaa kwenye viti na

mazungumzo yakaanza

samahani sana mzee wangu nimepigiwa simu nyumbani kuna kikao cha familia mama yangu

na dada yangu nao walilazwa hospitari jana leo ndo wametoka na tangu watoke sijaenda kuwaona kwahiyo naomba nikuache kisha baadae nitarudi alisema seven

usijari kijana unaitwa nani alisema baba fahima seven alijibu seven

sawa kijana seven kwanza nikushukuru sana

sana kwa kuokoa maisha ya mwanangu angekuwa mwingine angegonga na kukimbia nashukuru sana kwahilo alisema fahad baba

seven

"usijari mzee wangu na usihofu chochote. fahima yupo chini ya uangalizi wangu muda wote mpaka atakapopona na kuhusu chakula au chochote kila kitu mtaletewa baba yangu alisema kijana seven

asante sana na pole sana alisema baba fahima huku akimshika bega seven nae seven akatabasam ndani ya moyo wake alipata sana

faraja alihisi kama anaongea na baba yake

mzazi kwajinsi mzee fahad alivyo mkarimu,,

seven alitoa wallet yake na kutoa pesa elfu hamsini kisha akampatia mzee fahad aiseeeee mzee watu hakuamini akajikuta amesimama tu kama kachanganyikiwa hivi

baba pokea hizi ni zako kwa kukupotezea muda wako nisingemgonga mwanao naona sahizi ungekuwa kazini pokea tu alisema

seven dahmzee wa watu akapokea pes hizo alishukuru sana tena sana basi ikabidi seven aingie ndani kumuaga fahima

fahima alipomuona seven tu akageukia pembeni hakuwa anataka hata kumuona alimchukia sana

fahima nitazidi kukuomba msamaha mpka nitakapoingia chini ya ardhi nakuomba nisamehe najuwa nimekuharibia vingi naomba

unitunzie siri hii haikuwa akili yangu kabisa, alisema seven masikini kijna alitilia huruma. sana, lakini fahima bado hakujibu wala kugeuka

sawa ila natoka mara moja naenda nyumbani

kuna kikao nitarudi baadae naomba uwe makini alisema seven pia hakujibiwa basi akafungua mlango na kutoka aliondoka akiwa na john kwenda kusikiliza kikao, kampuni yake.

alimuachia secretar wake wakike ambaye anamuamini sana maana kwa wakati huo hatal akili ya kufanya kazi hakuwa nayo kabisa.

basi walifika nyumbani wakakuta watu wooote

wamekaa wakiwasubiri wao, seven alifika moja. kwa moja akaenda kumsalimia mama yake kisha dada yake ambao walitoka hospitar muda sio mrefu, kwa wakati huo walikuwa sawa

kabisa, basi akaend kukaa kwenye kiti, john

muda wote alikuwa anamuangalia sana devi

kwa hasira mno lakini devi hakujari lolote na alikuwa mtu mwenye dharau sana,

upamde wa mama fatuma alikuwa ando

anamalizia kufua nguo wakati anageuza suruali ya mumewe akaona picha ndogo imedondoka kama pasport saizi hivi, akapuliza tangu lini mumewe atembee na picha kwenye suruali ikabidi aichukue

akaingalia alikuwa ni mtoto kike wa miaka minne kwa kukadiria aliweka pozi la tabasam alipendeza sana, mama fatuma akapata

wasiwasi na kujiuliza mtoto huyo ni nani lakini

ndipo akakumbuka itakuwa ni fahima maana

mzee fahad hana mtoto zaidi ya fahima na ndiye kipenzi chake basi akaichukua picha ile na kwenda kuiweka chumbani kwake ili mumewe

akija aichukue, kisha akaendelea kufua nguo,

upande wa hospitari huki mzee fahad alikuwa

akipiga story na binti yake zahapa na ple hivi fahima buyu kaka unamjuwa? aliuliza

mzee fahad

hapana baba simjui kwanini umeniuliza hivo alisem fahima

"kwasababu nikijana mzuri sana hivi hana baba huyu??? alisem mzee fahad

baba sasa unaniuliza mie nitajuwaje wakati

mimi simjui alisema fahima

"aha sawa nilijisahau" alisem mzee fahad "kwani kuna nini baba aliuliza fahima

amna nimempwnda tu kutokana na ukarimu wake anaonekana ni kijana mkarimu sana alisema mzee fahad akimsifia san seven

mh haya aliguna fahima

sasa unaguna nini yani wewe unataka kusifiwa wewe tu kila siku wenzio akuuuu alisema mzee fahad kwa utani na fahima akaanza

kucheka, haya baba na mwana walikuwa wanapendana sana tena sana, fahima alimpenda san baba yake kwakuwa ndiye mtu

pekee muhimu iyebaki naye duniani, na pia mzee fahad alimpenda sana mwanae kwakuwa ndiye

zwadi pekee aliyepewa na mungu,

turudi kwenye kikao kizito cha kutaka kifahamu ukweli yuu ya fumanizi la devi na cathe

karibuni sana kwa kuitikia wito huu tumewaita hapa kwasababu ya kufahamu ukweli wa tukio

tulilolisikia la cathe kufumaniwa na devi tena nyumbani kwa mchumba wake seven je cathe hiki yulichokisikia leo ni kweli?" alisema mama

seven kwa kituo, cathe aliyatoa macho hayo kama mjusi

mama mnaongea nini mama?? mimi nimsaliti seven mimi cathe aaah mama mnanidhalilishaaa" alisema cathe kisha akaanz

kulia

"kwanza namtaka huyo aliyesema mimi

nimefumaniwa na shemeji cathe alisema devi akiwa mkavu kabisaaaa dah ukisikia uchawi ndio huu sasa devi alikazania aambiwe ni nani aliyesema kuwa yeyearnefumaniwa, bila kupoteza dakika seven alijibu "mimi

"sikutegemea boss wangu mtu mwenye hadhi

zake unaweza kufanya ujinga kama huu haya mimi si nimelala na mkeo haya onyeaha

ushahidi hapa sema yani sheria yakazi sitakiwi kukupandiahia sauti lakini kwahili utanisamehe sana boss huu ni udhalilishaji nimekukosea nini alisema devi tena kwa uchungu mno

hwbu seven mwanangu nawewe tuambie ni

kweli??? aliuliza mama seven, seven aliwaangalia sana devi na cathe kisha akatabasam huku chozi likimtoka mtoto wa kiume

hapana mama sio kweli ni mimi tu macho.

hapana mama sio kweli ni mims tu mac yangu sikuhizi hayaoni vizuri mama alter seven huku amitabasam daaah jibu h

muumiza sana john alluma zaidi

maumivuuuuu hakujuwa kwanini seve

asemw songo nini dhamira yake?

amuonase kaja kutupotezes muda tu mil

alserna devi lakini kat

hajamaliza kuonges alishtukiat karushe kuleeee yani altzibuliwa teke moja takatifuuu akafatwa sekunde hiyohiyo akapigwa ngumi ta

Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

REAL LOVE* Chapter 9


upande mwingine nyumbani kwa mama seven familia mbili zote zilikutana familia ya cathe na

seven, wote walikuwa kwenye sintofaham familia ya cathe hawakuamini kabisa kama mtoto wao anaweza mufanya hivo, walikaa na kujadili wakaona suluhisho ni kuwaita wote wawili cathe na seven ili kujuwa ukweli,

na kwaupande wa familia ya seven ilikuwa Inamuamini sana seven na wakivuta picha vile alivokuwa analia ndo wanazidi kuamini, ikabidi

cathe apigiwe simu na kuitwa alikubari na pia seven akapigiwa simu lakinibjwa upande wake. alikataa katakata hapo ndipo utata ukaanza maana kama mmoja sipokuja ukweli hauwezi

kupatikana,

ikabidi wamuombe sana seven aje nakama. nikweli basi atoe talaka mbele ya familia,...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/real-love-chapter-9

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi real-love-chapter
REAL LOVE  Chapter 13
REAL LOVE Chapter 13
REAL LOVE  Chapter 14
REAL LOVE Chapter 14
REAL LOVE  Chapter 12
REAL LOVE Chapter 12
REAL LOVE  Chapter 15
REAL LOVE Chapter 15
REAL LOVE*  Chapter 10
REAL LOVE* Chapter 10
REAL LOVE*  Chapter 8
REAL LOVE* Chapter 8
REAL LOVE* Chapter 7
REAL LOVE* Chapter 7
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.15K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.11K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

384
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

233
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

65
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

25
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

10
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

4
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.4K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.82K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest