Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Kweli bwana .baada ya week mbili .mlige alikuja nyunbani kuongea na baba. Sielewi ata waliongea nn. Ila ilikuw ni kumuelezea baba kuwa kanipenda na anahitaji kunitolea barua ili nikimaliza chuo tu anioe. Aseee mzee aliniuliza kuwa nipo tayar kuwa na mlige kama mumeo na ukaishi nae kama mume katika maisha yako. Mie ni haraka ata sikuwaza. Nikasema ndio baba nipo tayar na nampenda. Apo baba aliniangalia kweli naona aligundua kuwa mlige alikuwa ananila kitambo🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌. Mzee aliniangalia tu. Naona maswali na lawama zake alienda kummalizia mama. Ila kweli baada ya siku nne mlige alileta barua kwetu. Na rasmi sasa ikatambulika kuwa mm ni mchumba wa mtu yani mlige. Ata baba sasa akawa anaelewa ata ikitokea mlige ana shida na mimi anakuja nyumbani. Na baba ndo alikuwa anataka hivyo. Et mlige ndo aje nyumbani kuniona. Na wala sio mm niende kwake kumuona . Ahaaa wapi kuna mda natoroka zangu naenda uko uko kuukalia. Kuna mda napanga tu na mama. Najifanya naenda kwa mama mdogo kumbe naenda nyamsebehi nakaa nyamsebehi ata week. Aseee uyu baba alikuwa ananipenda sana sitaki ata kuwaambia . Yni kama kupendwa tu . Iki kipindi nilisema katika hii dunia hakuna mwanamke anayependwa kama mie .

Basi baada ya mda sasa mlige akaanza process za kuniapply chuo. Kwakuwa nilibalnce PCB .na ndoto yangu ilikuwa ni kuwa dakatari. Basi akaniombea chuo cha MUHAS. Yan muhimbili dar es salaam. Basi bwana. Na nikapata . Na mlige akaanza kunifanyia maandalizi ya chuo. Nilikuwa naenda kusome MEDICAL DOCTOR ( MD). Ada ilikuwa ni milion 2. Mlige akanilipia. Na mkopo nilikosa na pia nilikosa hostel. Mlige akaaanza kuongea na washikaji zake wa dar wanitafutie chumba . Na kweli baada ya week chumba kikapatikana maeneo ya sinza. Apo alinipangia chumba na sebule. Kodi kwa mwez laki 3. Akanilipia miezi 6. Bado vikolombwezo ni vingi. Si unajua ukiwa unaaenda chuo kwa mala ya kwnza. Basi mlige alinunulia yote apoo. Na uko alilonipangia akaninulia kila kitu cha ndani. Yani uyu baba acheni tu. Mda wote nilikuwa namshukuru.

Basi bwana apo shoga yangu yusta yeye form six kidogo alizingua alipata Div 3. Hivyo kuna chuo akaaplly mwanza .akanmbia anaenda kusomea tu ualimu. Mie nikamtakia kila la kheri. Na bado yusta alikuwa ni shoga yangu mnoo. Tena mpka ananishauri mambo mengine na mm namshauri hivyo yani. Basi baada ya mda .mm nikatakiwa kurepot chuo. Na mlige mwenyewe ndo alinipeleka dar. Kuanza chuo sasa. Tukafikia aliponipangia apo sinza. Wooow nilipapenda ni pazuri sana. Kuna kila kitu cha ndani na cha kisasa. Ahaa uyu baba pesa tu kwangu kaitumia. Basi mlige akaanza kunifatilia taratibu zote za chuo. Wala sikupata shida pesa si ipo. Mie j tatu yake nikaanza chuo. Nikamuacha yeye nyumbani . Na alikaaa kwangu week nzima .akijalibu kunielekeza mji jinsi ulivyo mana ndo ilikuwa mala yangu ya kwanza nafika dar.

Baada ya week .nikawa nishaelewa kila kitu . Pa kuingilia na kutokea dar. Mlige akinambia sasa nataka kuondoka mamaa. Mana majukumu yananihitaji .ila plssss tulia sana . Nakupenda sana mama. Yani ukafanya lolote la kuniumiza mi sitaelewa ntakuua .naomba ujitambue kuwa ww ni mwanamke wa mtu. Uku kuna clubs za kutosha .sitaki uende club. Sitaki uwe na marafiki wengi. Sitaki ata siku moja ulale njee
Ata kitokee nn. Usilale nje faridah ludi kwako. Unanielewa nikasema ndio. Akanmbia nakuamini sana . Plsss faridah wewe ni mchumba wa mtu nakupenda mnoo sawa. Nikasema ndio nakupenda piah mlige na niamini mpenzi siwez kufanya chochote cha kipumbavu cha kukukumiza mume wangu. Akanmbia sawa . Na hii siku tukapeana penzi tamu la kuagana na kesho yake akaniaga sasa. Na akniachia pesa nyingi kwa ajili ya matumizi yangu mana nilikosa mkopo si nimeso.a private advance. Basi ndo akagaaa sasa akaanza safari ya kurudi kagera.

Na nikawa naongea nae njia nzimaa yani mpaka anafika. Basi bwana bibie mimi nikawa napambana na chuo sasa. Na nilitulia mnoo sikuwa na vipengele kabisaa. Aseee mi sula ni kawaida ila uku nyuma ndo doooh . Basi nilikuwa natongozwa mpaka nachanganikiwa . Yani kila siku namba ngeni. Apo mlige kila siku usiku anapiga video call. Et anione tukiongea kidogo. Hujatingozwa mke wangu? Basi nacheka. Ananmbia yani waambie kabisa we ni mke wa mtu nakwambia. Mi ntaua mtu nacheka tu. Yani ana wivu .kuna mda saa 8 usiku ananipigia. Nikipokea ananambia nakupigia video apo. Yani saaa 8 usiku nna wenge la usingizi nia yake ahakikishe tu nipo nyumbani. Basi nabaki nacheka tu. Mwanaume wangu jamani mh . Ana wivu mnooo. Aya atapiga tunaongea ndo analizika. Mda mwengine napokea na usingizi namjibu vitu havieleweki ndo anatulia. Apoo anakuja na ndege mda mwengine . Week end namstukia uyu apa. Ana shida uyu baba. Ila nishamzoea. Akija sasa anataka simu yangu tu. Basi nampa .

Akipata bahati mbaya anakuta natongozwa iyo siku. Ana mind kama vile nimekubali. Wivu unamzonga mnoo. Ahaaa akaanza kunambia anataka kuniamisha chuo.anaipeleke bukuba ndo nikasome uko. Nikagoma mana anataka kuniharibia malengo yangu sababu ya mawivu yake. Basi nikajinunisha akaniomba msamaha yakaisha . Kuna kipindi alikuja. Na akija hasemi we unastukia ata saa 8 usiku anagonga mlango .yani uyu mkurya ana visa nyinyi🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌. Iko kipindi alichokuja akataka penzi mie nikampa nakwambia nashangaaa kila akitaka kukojoa nikitaka kumchomoa hataki anamwagia ndani. Mala ya kwanza nikahisi labda bahati mbaya utamu umemkolea eeh mpaka anakalibia kuondoka tukisex yeye ni anamwagia ndani tu. Nikajua uyu anataka kunipa mimba hana lolote. Nilikasilika nikamsema na kwambia .nikaamwabia kabisa we una taka kuniharibia nishindwe kusoma huna lolote na nikamnunia . Ahaa nikimnunia ana pagawa . Basi akaniomba msamaha yakaisha . Akawa akija ana mwagia njee tena . Yani ana visa uwiiiiiiiiiiiii. Asa apige usiku nisipokeee .anachanganikiwa. mpaka nikawa namuonea huruma. Mana ana jipa shida wakati sina vipengele. Kuna kipindi akaja et kanipa pete ya ndoa niavae nikienda chuo. Khaaaaa mie nikaipokea .alivyoondoka nikaitupia ukoo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Basi uyu baba ni wivu kwenda mbele.

Nishamzoea mie . Ila pesa wala hana kipengele anakupa unavyotaka. Basi mie nikapambana nanchuo mpka ikakata miez 6 na apo yusta tunaongea sana na mala nyingi namsaidia pesa shiga yangu. Mana mazingira yake ni magumu basi mie namtumia ata mpaka laki 3. Ni best yangu mnooo yusta. Basi Nikapata rikizo ya week 1 tu . Ahaa mlige akanitumia nauli niludi nyumbani . Na nikakae kwake. Mie nafanyaje sasa . Nikasafiri shoga yenu nikaenda kwa baby . Nikauchezea week nzima .mama anajua nipo chuo. Yani mlige ana shida wivu jamani.mpaka kuna mda nakasilika . Asikute nimechati na mwanaume hiyo ni kesi. Kuna mda ni wanafunzi wenzangu tu tunaelekezana mambo ya shule ila kwake ni kipengele. Mpaka nanuna yani . Apo ndo yanaisha . Ooh basi nisamehe mke eangu ila kuwa makini tu. Likizo.ilivyoisha mie nikaludi zangu chuo. Basi apo chuo sasa nilipata marafiki piah ila sikuwa nimewazoe sana . Ila kuna mmoja aalikuwa anaitwa angel. Angel ndo nilimzoea sana. Na mda mwingi nakua nakaa nae.

Siku iyo sasa tumetoka class mida kama ya jioni. Angel akanmbia shoga mie leo na hamu ya kwenda club. Ebu na ww twende kwanza ukaone. Mh nikamkumbuka mbaba wa kuitwa mlige .ajue nimeenda club si ataniua. Nikasema shoga si nakuelezaga habari za mwanaume wangu. Ni ananifatilia sana ataniua. Shoga akanmbia bwana ww. Ebu mdanganyege mda mwengine mbona anakubana sana jamani.alafu mtu yupo kagera wewe upo dar unashindwa kumdanganya. Nikasema okey swa ngoja basi ntamdanganya kisha tunaenda leo . Akanmbia powa saa 5 nakupitia kwako. Nikasema powa .bibi mie mpkaa nyumbani kwangu. Nimefika nikaoga kisha nikapumzika kidogo kitandani.nikavuta smu nikampigia mlige. Akapokea akanmbia vp mama unaendeleaje. Nikasema naumwa mume wangu nimetoka kumeza dawa leo kichwa akinauma sana. Mlige akasema shida nn. Masomo magumu nn. Nikasema.ndio mume wangu. Mpka kichwa kinauma.mlige akacheka si ananijua kwa kudeka. AKanmbia sawa mtoto wa bab pumzika basi kidogo mida nakucheka nikasema sawa. Kisha nikakata simu. Nilianza kumtengenezea uongo mapema .mana leo nna jambo langu mie. Kwaiyo nikamuanzia mbali

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77



Kweli bwana .baada ya week mbili .mlige alikuja nyunbani kuongea na baba. Sielewi ata waliongea nn. Ila ilikuw ni kumuelezea baba kuwa kanipenda na anahitaji kunitolea barua ili nikimaliza chuo tu anioe. Aseee mzee aliniuliza kuwa nipo tayar kuwa na mlige kama mumeo na ukaishi nae kama mume katika maisha yako. Mie ni haraka ata sikuwaza. Nikasema ndio baba nipo tayar na nampenda. Apo baba aliniangalia kweli naona aligundua kuwa mlige alikuwa ananila kitambo🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌. Mzee aliniangalia tu. Naona maswali na lawama zake alienda kummalizia mama. Ila kweli baada ya siku nne mlige alileta barua kwetu. Na rasmi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-76-na-77

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 73

MY WANGU❤️ sehemu ya 73

692
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

585
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘

494
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

351
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 10

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 10

142
REAL LOVE*  Chapter 8

REAL LOVE* Chapter 8

121
REAL LOVE* Chapter 7

REAL LOVE* Chapter 7

115
REAL LOVE* *SEHEMU YA SITA*

REAL LOVE* *SEHEMU YA SITA*

101

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.81K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.66K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.04K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.27K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
@majario LIVE

Kweli bwana .baada ya week mbili .mlige alikuja nyunbani kuongea na baba. Sielewi ata waliongea nn. Ila ilikuw ni kumuelezea baba kuwa kanipenda na anahitaji kunitolea barua ili nikimaliza chuo...

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuvaaa. Akanipa vidonge viwili et meza jana nimepitiwa nimemwagia ndani. Na kweli game ya jana ilikuwa moto. Mlige hakukumbuka kumwagia njeee kabisa mabao mengine. Mie nikawa nishaelewa. Ni...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘
@majario LIVE

Ilifika usiku mida kama ya saa nne hivi nilikuwa bado cjaweka kitu chochote tumboni kwangu bado nilikuwa nimejifungia chumbani kwangu nalia tu..... Boo alikuwa bado hapokei simu ya mtu yeyote........

REAL LOVE*  Chapter 8 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 8
@majario LIVE

machozi yalimtoka kwelikweli daktari alimuonea sana huruma, seven aliliona hilo lakini ndo hakuwa na jinsi aliwaza sana afanye nini ili aeleweke kwa binti huyo, daktari alimaliza kumpima kisha akampa pole fahima...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 10 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 10
@majario LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Kumbe bibi nacho alikuwa amewafungia wale wali walipojaribu kutoka walishindwa. " Jamani mlango umefungwa ila si yupo na mlinzi...

REAL LOVE* Chapter 7 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 7
@majario LIVE

seven alihisi kufa hakuamini kabisaaa kama yeye ndo amefanya kitendo kile hapana sio mimi mimi sio kabisa najijuwa ni mstaarabu siwezikufanya hivi sijui huyu binti kamleta nani hapa mungu wangu mimi...

REAL LOVE* *SEHEMU YA SITA* Post Mpya
REAL LOVE* *SEHEMU YA SITA*
@majario LIVE

ndani ya hotel moja kubwa iliyopo posta katika chumba kimoja walionekana devi pamoja na cathe wakiwa wamekumbatiana kitandani, wanyama hawa hawakuwa na wasiwasi wowowte juu ya usaliti wao yani ndokwanza...

MY WANGU❤️ sehemu ya 73 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
@majario LIVE

Basi hivyo ikawa ni tunalishana kimya kimya. Mpaka tumemaliza mie nikatoa vyombo. Nikaenda kuosha ndo niondoke. Basi nipo busy naosha vyombo mashangaaa nimeshikwa kiuno kwa nyuma nikageuka namuangalia ni mlige....

MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1) Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 24 Basi bwana nakumbuka nilikaaa uku nyumbani week.2 . Nipo na babu tu. Sikuwahi kumpigia kabisa princess na wala yeye hakunipigia .na nilishamtia marufuku. So hakunipigia kabisa ataaa....

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
@majario LIVE

Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia naumia sana . Hataki kuwa na mm. Na hana mda na mimi. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest