Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Kweli bwana .baada ya week mbili .mlige alikuja nyunbani kuongea na baba. Sielewi ata waliongea nn. Ila ilikuw ni kumuelezea baba kuwa kanipenda na anahitaji kunitolea barua ili nikimaliza chuo tu anioe. Aseee mzee aliniuliza kuwa nipo tayar kuwa na mlige kama mumeo na ukaishi nae kama mume katika maisha yako. Mie ni haraka ata sikuwaza. Nikasema ndio baba nipo tayar na nampenda. Apo baba aliniangalia kweli naona aligundua kuwa mlige alikuwa ananila kitambo🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌. Mzee aliniangalia tu. Naona maswali na lawama zake alienda kummalizia mama. Ila kweli baada ya siku nne mlige alileta barua kwetu. Na rasmi sasa ikatambulika kuwa mm ni mchumba wa mtu yani mlige. Ata baba sasa akawa anaelewa ata ikitokea mlige ana shida na mimi anakuja nyumbani. Na baba ndo alikuwa anataka hivyo. Et mlige ndo aje nyumbani kuniona. Na wala sio mm niende kwake kumuona . Ahaaa wapi kuna mda natoroka zangu naenda uko uko kuukalia. Kuna mda napanga tu na mama. Najifanya naenda kwa mama mdogo kumbe naenda nyamsebehi nakaa nyamsebehi ata week. Aseee uyu baba alikuwa ananipenda sana sitaki ata kuwaambia . Yni kama kupendwa tu . Iki kipindi nilisema katika hii dunia hakuna mwanamke anayependwa kama mie .

Basi baada ya mda sasa mlige akaanza process za kuniapply chuo. Kwakuwa nilibalnce PCB .na ndoto yangu ilikuwa ni kuwa dakatari. Basi akaniombea chuo cha MUHAS. Yan muhimbili dar es salaam. Basi bwana. Na nikapata . Na mlige akaanza kunifanyia maandalizi ya chuo. Nilikuwa naenda kusome MEDICAL DOCTOR ( MD). Ada ilikuwa ni milion 2. Mlige akanilipia. Na mkopo nilikosa na pia nilikosa hostel. Mlige akaaanza kuongea na washikaji zake wa dar wanitafutie chumba . Na kweli baada ya week chumba kikapatikana maeneo ya sinza. Apo alinipangia chumba na sebule. Kodi kwa mwez laki 3. Akanilipia miezi 6. Bado vikolombwezo ni vingi. Si unajua ukiwa unaaenda chuo kwa mala ya kwnza. Basi mlige alinunulia yote apoo. Na uko alilonipangia akaninulia kila kitu cha ndani. Yani uyu baba acheni tu. Mda wote nilikuwa namshukuru.

Basi bwana apo shoga yangu yusta yeye form six kidogo alizingua alipata Div 3. Hivyo kuna chuo akaaplly mwanza .akanmbia anaenda kusomea tu ualimu. Mie nikamtakia kila la kheri. Na bado yusta alikuwa ni shoga yangu mnoo. Tena mpka ananishauri mambo mengine na mm namshauri hivyo yani. Basi baada ya mda .mm nikatakiwa kurepot chuo. Na mlige mwenyewe ndo alinipeleka dar. Kuanza chuo sasa. Tukafikia aliponipangia apo sinza. Wooow nilipapenda ni pazuri sana. Kuna kila kitu cha ndani na cha kisasa. Ahaa uyu baba pesa tu kwangu kaitumia. Basi mlige akaanza kunifatilia taratibu zote za chuo. Wala sikupata shida pesa si ipo. Mie j tatu yake nikaanza chuo. Nikamuacha yeye nyumbani . Na alikaaa kwangu week nzima .akijalibu kunielekeza mji jinsi ulivyo mana ndo ilikuwa mala yangu ya kwanza nafika dar.

Baada ya week .nikawa nishaelewa kila kitu . Pa kuingilia na kutokea dar. Mlige akinambia sasa nataka kuondoka mamaa. Mana majukumu yananihitaji .ila plssss tulia sana . Nakupenda sana mama. Yani ukafanya lolote la kuniumiza mi sitaelewa ntakuua .naomba ujitambue kuwa ww ni mwanamke wa mtu. Uku kuna clubs za kutosha .sitaki uende club. Sitaki uwe na marafiki wengi. Sitaki ata siku moja ulale njee
Ata kitokee nn. Usilale nje faridah ludi kwako. Unanielewa nikasema ndio. Akanmbia nakuamini sana . Plsss faridah wewe ni mchumba wa mtu nakupenda mnoo sawa. Nikasema ndio nakupenda piah mlige na niamini mpenzi siwez kufanya chochote cha kipumbavu cha kukukumiza mume wangu. Akanmbia sawa . Na hii siku tukapeana penzi tamu la kuagana na kesho yake akaniaga sasa. Na akniachia pesa nyingi kwa ajili ya matumizi yangu mana nilikosa mkopo si nimeso.a private advance. Basi ndo akagaaa sasa akaanza safari ya kurudi kagera.

Na nikawa naongea nae njia nzimaa yani mpaka anafika. Basi bwana bibie mimi nikawa napambana na chuo sasa. Na nilitulia mnoo sikuwa na vipengele kabisaa. Aseee mi sula ni kawaida ila uku nyuma ndo doooh . Basi nilikuwa natongozwa mpaka nachanganikiwa . Yani kila siku namba ngeni. Apo mlige kila siku usiku anapiga video call. Et anione tukiongea kidogo. Hujatingozwa mke wangu? Basi nacheka. Ananmbia yani waambie kabisa we ni mke wa mtu nakwambia. Mi ntaua mtu nacheka tu. Yani ana wivu .kuna mda saa 8 usiku ananipigia. Nikipokea ananambia nakupigia video apo. Yani saaa 8 usiku nna wenge la usingizi nia yake ahakikishe tu nipo nyumbani. Basi nabaki nacheka tu. Mwanaume wangu jamani mh . Ana wivu mnooo. Aya atapiga tunaongea ndo analizika. Mda mwengine napokea na usingizi namjibu vitu havieleweki ndo anatulia. Apoo anakuja na ndege mda mwengine . Week end namstukia uyu apa. Ana shida uyu baba. Ila nishamzoea. Akija sasa anataka simu yangu tu. Basi nampa .

Akipata bahati mbaya anakuta natongozwa iyo siku. Ana mind kama vile nimekubali. Wivu unamzonga mnoo. Ahaaa akaanza kunambia anataka kuniamisha chuo.anaipeleke bukuba ndo nikasome uko. Nikagoma mana anataka kuniharibia malengo yangu sababu ya mawivu yake. Basi nikajinunisha akaniomba msamaha yakaisha . Kuna kipindi alikuja. Na akija hasemi we unastukia ata saa 8 usiku anagonga mlango .yani uyu mkurya ana visa nyinyi🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌. Iko kipindi alichokuja akataka penzi mie nikampa nakwambia nashangaaa kila akitaka kukojoa nikitaka kumchomoa hataki anamwagia ndani. Mala ya kwanza nikahisi labda bahati mbaya utamu umemkolea eeh mpaka anakalibia kuondoka tukisex yeye ni anamwagia ndani tu. Nikajua uyu anataka kunipa mimba hana lolote. Nilikasilika nikamsema na kwambia .nikaamwabia kabisa we una taka kuniharibia nishindwe kusoma huna lolote na nikamnunia . Ahaa nikimnunia ana pagawa . Basi akaniomba msamaha yakaisha . Akawa akija ana mwagia njee tena . Yani ana visa uwiiiiiiiiiiiii. Asa apige usiku nisipokeee .anachanganikiwa. mpaka nikawa namuonea huruma. Mana ana jipa shida wakati sina vipengele. Kuna kipindi akaja et kanipa pete ya ndoa niavae nikienda chuo. Khaaaaa mie nikaipokea .alivyoondoka nikaitupia ukoo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Basi uyu baba ni wivu kwenda mbele.

Nishamzoea mie . Ila pesa wala hana kipengele anakupa unavyotaka. Basi mie nikapambana nanchuo mpka ikakata miez 6 na apo yusta tunaongea sana na mala nyingi namsaidia pesa shiga yangu. Mana mazingira yake ni magumu basi mie namtumia ata mpaka laki 3. Ni best yangu mnooo yusta. Basi Nikapata rikizo ya week 1 tu . Ahaa mlige akanitumia nauli niludi nyumbani . Na nikakae kwake. Mie nafanyaje sasa . Nikasafiri shoga yenu nikaenda kwa baby . Nikauchezea week nzima .mama anajua nipo chuo. Yani mlige ana shida wivu jamani.mpaka kuna mda nakasilika . Asikute nimechati na mwanaume hiyo ni kesi. Kuna mda ni wanafunzi wenzangu tu tunaelekezana mambo ya shule ila kwake ni kipengele. Mpaka nanuna yani . Apo ndo yanaisha . Ooh basi nisamehe mke eangu ila kuwa makini tu. Likizo.ilivyoisha mie nikaludi zangu chuo. Basi apo chuo sasa nilipata marafiki piah ila sikuwa nimewazoe sana . Ila kuna mmoja aalikuwa anaitwa angel. Angel ndo nilimzoea sana. Na mda mwingi nakua nakaa nae.

Siku iyo sasa tumetoka class mida kama ya jioni. Angel akanmbia shoga mie leo na hamu ya kwenda club. Ebu na ww twende kwanza ukaone. Mh nikamkumbuka mbaba wa kuitwa mlige .ajue nimeenda club si ataniua. Nikasema shoga si nakuelezaga habari za mwanaume wangu. Ni ananifatilia sana ataniua. Shoga akanmbia bwana ww. Ebu mdanganyege mda mwengine mbona anakubana sana jamani.alafu mtu yupo kagera wewe upo dar unashindwa kumdanganya. Nikasema okey swa ngoja basi ntamdanganya kisha tunaenda leo . Akanmbia powa saa 5 nakupitia kwako. Nikasema powa .bibi mie mpkaa nyumbani kwangu. Nimefika nikaoga kisha nikapumzika kidogo kitandani.nikavuta smu nikampigia mlige. Akapokea akanmbia vp mama unaendeleaje. Nikasema naumwa mume wangu nimetoka kumeza dawa leo kichwa akinauma sana. Mlige akasema shida nn. Masomo magumu nn. Nikasema.ndio mume wangu. Mpka kichwa kinauma.mlige akacheka si ananijua kwa kudeka. AKanmbia sawa mtoto wa bab pumzika basi kidogo mida nakucheka nikasema sawa. Kisha nikakata simu. Nilianza kumtengenezea uongo mapema .mana leo nna jambo langu mie. Kwaiyo nikamuanzia mbali

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77



Kweli bwana .baada ya week mbili .mlige alikuja nyunbani kuongea na baba. Sielewi ata waliongea nn. Ila ilikuw ni kumuelezea baba kuwa kanipenda na anahitaji kunitolea barua ili nikimaliza chuo tu anioe. Aseee mzee aliniuliza kuwa nipo tayar kuwa na mlige kama mumeo na ukaishi nae kama mume katika maisha yako. Mie ni haraka ata sikuwaza. Nikasema ndio baba nipo tayar na nampenda. Apo baba aliniangalia kweli naona aligundua kuwa mlige alikuwa ananila kitambo🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌. Mzee aliniangalia tu. Naona maswali na lawama zake alienda kummalizia mama. Ila kweli baada ya siku nne mlige alileta barua kwetu. Na rasmi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-76-na-77

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.11K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.08K
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

226
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.

205
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.

174
SHAMIRA Sehemu ya 47

SHAMIRA Sehemu ya 47

165
SHAMIRA Sehemu ya 46

SHAMIRA Sehemu ya 46

140
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

116
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

38
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

24

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.4K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.82K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS 🥰 yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest