Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Kweli bwana .baada ya week mbili .mlige alikuja nyunbani kuongea na baba. Sielewi ata waliongea nn. Ila ilikuw ni kumuelezea baba kuwa kanipenda na anahitaji kunitolea barua ili nikimaliza chuo tu anioe. Aseee mzee aliniuliza kuwa nipo tayar kuwa na mlige kama mumeo na ukaishi nae kama mume katika maisha yako. Mie ni haraka ata sikuwaza. Nikasema ndio baba nipo tayar na nampenda. Apo baba aliniangalia kweli naona aligundua kuwa mlige alikuwa ananila kitambo🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌. Mzee aliniangalia tu. Naona maswali na lawama zake alienda kummalizia mama. Ila kweli baada ya siku nne mlige alileta barua kwetu. Na rasmi sasa ikatambulika kuwa mm ni mchumba wa mtu yani mlige. Ata baba sasa akawa anaelewa ata ikitokea mlige ana shida na mimi anakuja nyumbani. Na baba ndo alikuwa anataka hivyo. Et mlige ndo aje nyumbani kuniona. Na wala sio mm niende kwake kumuona . Ahaaa wapi kuna mda natoroka zangu naenda uko uko kuukalia. Kuna mda napanga tu na mama. Najifanya naenda kwa mama mdogo kumbe naenda nyamsebehi nakaa nyamsebehi ata week. Aseee uyu baba alikuwa ananipenda sana sitaki ata kuwaambia . Yni kama kupendwa tu . Iki kipindi nilisema katika hii dunia hakuna mwanamke anayependwa kama mie .

Basi baada ya mda sasa mlige akaanza process za kuniapply chuo. Kwakuwa nilibalnce PCB .na ndoto yangu ilikuwa ni kuwa dakatari. Basi akaniombea chuo cha MUHAS. Yan muhimbili dar es salaam. Basi bwana. Na nikapata . Na mlige akaanza kunifanyia maandalizi ya chuo. Nilikuwa naenda kusome MEDICAL DOCTOR ( MD). Ada ilikuwa ni milion 2. Mlige akanilipia. Na mkopo nilikosa na pia nilikosa hostel. Mlige akaaanza kuongea na washikaji zake wa dar wanitafutie chumba . Na kweli baada ya week chumba kikapatikana maeneo ya sinza. Apo alinipangia chumba na sebule. Kodi kwa mwez laki 3. Akanilipia miezi 6. Bado vikolombwezo ni vingi. Si unajua ukiwa unaaenda chuo kwa mala ya kwnza. Basi mlige alinunulia yote apoo. Na uko alilonipangia akaninulia kila kitu cha ndani. Yani uyu baba acheni tu. Mda wote nilikuwa namshukuru.

Basi bwana apo shoga yangu yusta yeye form six kidogo alizingua alipata Div 3. Hivyo kuna chuo akaaplly mwanza .akanmbia anaenda kusomea tu ualimu. Mie nikamtakia kila la kheri. Na bado yusta alikuwa ni shoga yangu mnoo. Tena mpka ananishauri mambo mengine na mm namshauri hivyo yani. Basi baada ya mda .mm nikatakiwa kurepot chuo. Na mlige mwenyewe ndo alinipeleka dar. Kuanza chuo sasa. Tukafikia aliponipangia apo sinza. Wooow nilipapenda ni pazuri sana. Kuna kila kitu cha ndani na cha kisasa. Ahaa uyu baba pesa tu kwangu kaitumia. Basi mlige akaanza kunifatilia taratibu zote za chuo. Wala sikupata shida pesa si ipo. Mie j tatu yake nikaanza chuo. Nikamuacha yeye nyumbani . Na alikaaa kwangu week nzima .akijalibu kunielekeza mji jinsi ulivyo mana ndo ilikuwa mala yangu ya kwanza nafika dar.

Baada ya week .nikawa nishaelewa kila kitu . Pa kuingilia na kutokea dar. Mlige akinambia sasa nataka kuondoka mamaa. Mana majukumu yananihitaji .ila plssss tulia sana . Nakupenda sana mama. Yani ukafanya lolote la kuniumiza mi sitaelewa ntakuua .naomba ujitambue kuwa ww ni mwanamke wa mtu. Uku kuna clubs za kutosha .sitaki uende club. Sitaki uwe na marafiki wengi. Sitaki ata siku moja ulale njee
Ata kitokee nn. Usilale nje faridah ludi kwako. Unanielewa nikasema ndio. Akanmbia nakuamini sana . Plsss faridah wewe ni mchumba wa mtu nakupenda mnoo sawa. Nikasema ndio nakupenda piah mlige na niamini mpenzi siwez kufanya chochote cha kipumbavu cha kukukumiza mume wangu. Akanmbia sawa . Na hii siku tukapeana penzi tamu la kuagana na kesho yake akaniaga sasa. Na akniachia pesa nyingi kwa ajili ya matumizi yangu mana nilikosa mkopo si nimeso.a private advance. Basi ndo akagaaa sasa akaanza safari ya kurudi kagera.

Na nikawa naongea nae njia nzimaa yani mpaka anafika. Basi bwana bibie mimi nikawa napambana na chuo sasa. Na nilitulia mnoo sikuwa na vipengele kabisaa. Aseee mi sula ni kawaida ila uku nyuma ndo doooh . Basi nilikuwa natongozwa mpaka nachanganikiwa . Yani kila siku namba ngeni. Apo mlige kila siku usiku anapiga video call. Et anione tukiongea kidogo. Hujatingozwa mke wangu? Basi nacheka. Ananmbia yani waambie kabisa we ni mke wa mtu nakwambia. Mi ntaua mtu nacheka tu. Yani ana wivu .kuna mda saa 8 usiku ananipigia. Nikipokea ananambia nakupigia video apo. Yani saaa 8 usiku nna wenge la usingizi nia yake ahakikishe tu nipo nyumbani. Basi nabaki nacheka tu. Mwanaume wangu jamani mh . Ana wivu mnooo. Aya atapiga tunaongea ndo analizika. Mda mwengine napokea na usingizi namjibu vitu havieleweki ndo anatulia. Apoo anakuja na ndege mda mwengine . Week end namstukia uyu apa. Ana shida uyu baba. Ila nishamzoea. Akija sasa anataka simu yangu tu. Basi nampa .

Akipata bahati mbaya anakuta natongozwa iyo siku. Ana mind kama vile nimekubali. Wivu unamzonga mnoo. Ahaaa akaanza kunambia anataka kuniamisha chuo.anaipeleke bukuba ndo nikasome uko. Nikagoma mana anataka kuniharibia malengo yangu sababu ya mawivu yake. Basi nikajinunisha akaniomba msamaha yakaisha . Kuna kipindi alikuja. Na akija hasemi we unastukia ata saa 8 usiku anagonga mlango .yani uyu mkurya ana visa nyinyi🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌. Iko kipindi alichokuja akataka penzi mie nikampa nakwambia nashangaaa kila akitaka kukojoa nikitaka kumchomoa hataki anamwagia ndani. Mala ya kwanza nikahisi labda bahati mbaya utamu umemkolea eeh mpaka anakalibia kuondoka tukisex yeye ni anamwagia ndani tu. Nikajua uyu anataka kunipa mimba hana lolote. Nilikasilika nikamsema na kwambia .nikaamwabia kabisa we una taka kuniharibia nishindwe kusoma huna lolote na nikamnunia . Ahaa nikimnunia ana pagawa . Basi akaniomba msamaha yakaisha . Akawa akija ana mwagia njee tena . Yani ana visa uwiiiiiiiiiiiii. Asa apige usiku nisipokeee .anachanganikiwa. mpaka nikawa namuonea huruma. Mana ana jipa shida wakati sina vipengele. Kuna kipindi akaja et kanipa pete ya ndoa niavae nikienda chuo. Khaaaaa mie nikaipokea .alivyoondoka nikaitupia ukoo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Basi uyu baba ni wivu kwenda mbele.

Nishamzoea mie . Ila pesa wala hana kipengele anakupa unavyotaka. Basi mie nikapambana nanchuo mpka ikakata miez 6 na apo yusta tunaongea sana na mala nyingi namsaidia pesa shiga yangu. Mana mazingira yake ni magumu basi mie namtumia ata mpaka laki 3. Ni best yangu mnooo yusta. Basi Nikapata rikizo ya week 1 tu . Ahaa mlige akanitumia nauli niludi nyumbani . Na nikakae kwake. Mie nafanyaje sasa . Nikasafiri shoga yenu nikaenda kwa baby . Nikauchezea week nzima .mama anajua nipo chuo. Yani mlige ana shida wivu jamani.mpaka kuna mda nakasilika . Asikute nimechati na mwanaume hiyo ni kesi. Kuna mda ni wanafunzi wenzangu tu tunaelekezana mambo ya shule ila kwake ni kipengele. Mpaka nanuna yani . Apo ndo yanaisha . Ooh basi nisamehe mke eangu ila kuwa makini tu. Likizo.ilivyoisha mie nikaludi zangu chuo. Basi apo chuo sasa nilipata marafiki piah ila sikuwa nimewazoe sana . Ila kuna mmoja aalikuwa anaitwa angel. Angel ndo nilimzoea sana. Na mda mwingi nakua nakaa nae.

Siku iyo sasa tumetoka class mida kama ya jioni. Angel akanmbia shoga mie leo na hamu ya kwenda club. Ebu na ww twende kwanza ukaone. Mh nikamkumbuka mbaba wa kuitwa mlige .ajue nimeenda club si ataniua. Nikasema shoga si nakuelezaga habari za mwanaume wangu. Ni ananifatilia sana ataniua. Shoga akanmbia bwana ww. Ebu mdanganyege mda mwengine mbona anakubana sana jamani.alafu mtu yupo kagera wewe upo dar unashindwa kumdanganya. Nikasema okey swa ngoja basi ntamdanganya kisha tunaenda leo . Akanmbia powa saa 5 nakupitia kwako. Nikasema powa .bibi mie mpkaa nyumbani kwangu. Nimefika nikaoga kisha nikapumzika kidogo kitandani.nikavuta smu nikampigia mlige. Akapokea akanmbia vp mama unaendeleaje. Nikasema naumwa mume wangu nimetoka kumeza dawa leo kichwa akinauma sana. Mlige akasema shida nn. Masomo magumu nn. Nikasema.ndio mume wangu. Mpka kichwa kinauma.mlige akacheka si ananijua kwa kudeka. AKanmbia sawa mtoto wa bab pumzika basi kidogo mida nakucheka nikasema sawa. Kisha nikakata simu. Nilianza kumtengenezea uongo mapema .mana leo nna jambo langu mie. Kwaiyo nikamuanzia mbali

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77



Kweli bwana .baada ya week mbili .mlige alikuja nyunbani kuongea na baba. Sielewi ata waliongea nn. Ila ilikuw ni kumuelezea baba kuwa kanipenda na anahitaji kunitolea barua ili nikimaliza chuo tu anioe. Aseee mzee aliniuliza kuwa nipo tayar kuwa na mlige kama mumeo na ukaishi nae kama mume katika maisha yako. Mie ni haraka ata sikuwaza. Nikasema ndio baba nipo tayar na nampenda. Apo baba aliniangalia kweli naona aligundua kuwa mlige alikuwa ananila kitambo🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌. Mzee aliniangalia tu. Naona maswali na lawama zake alienda kummalizia mama. Ila kweli baada ya siku nne mlige alileta barua kwetu. Na rasmi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-76-na-77

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

933
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

208
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.

194
MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9

190
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

187
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

178
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

131
ACHA NIKUPENDE ❤️1

ACHA NIKUPENDE ❤️1

118
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

112
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6

80

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.6K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.34K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.65K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.59K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.59K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.54K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE ❤️1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Muda ulienda majira ya saa nane nilitoka nje kwa lengo la kuanua nguo za mtoto, lakini nilipofika nilikuta nguo zote ambazo nilifua na kuanika zikiwa chini Tena zilionekana kabisa kuna...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kesho yake jioni sana ndo baraka alianza kujiandaa mana alikuwa anaondoka na basi la usiku. Nilijisikia unyongea sana. Ila alinambia nivumilie mana ni miezi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
@majario LIVE

Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, ...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Asa mimi ni nani nimnyimeee weeeee sio kweli. Nikamsogelea kisha nikamuangalia kwa jicho la kulegea sana. Akatabasamu kisha akanivuta zaidi. Akanipa mdomo. Tukaanza kukisss taratibu....

MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Kisha kwa ujasiri mkubwa nikazungumza. "Madam kwanza nasema asante kwa kuniamini lakini pia kwa kunijali nikuambie kitu siwezi kuolewa na kijana wako ile hali mimi ni mfanyakazi wako, sina thamani...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
@majario LIVE

ENDELEA....... "Jitahidi uwe na utu kuna maisha baada ya haya, kuna kupanda na kushuka. Kuishi na watu vizuri ni hadhina pia binti yangu. Nakupenda sana na najivunia wewe ila ubinafsi wako...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Basi zena akawa nataka kuingia ndani ,mama ahamd akasema we zena sijuh ndo nani tulia nikupashe shoga angu, apa bwana hakuna, kama umebeba mimba ukazani una bwana hapa hakuna....

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Khaaaaa mi nikamtumia sms, nikamwambia mm sipo nyumbani, naomba uondoke apoo, mambo yasiwe mengi, akaniuliza upo wapi saa 6 hii, nikamwambia nipo kazini akanmbia kazini ndo hupokei simu? Upo...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 15 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 15
@majario LIVE

. 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Iris alipoingia ofisini, Mr. Marvel alikunja uso. Alijua Iris si mtu mzuri baada ya kile alichomfanyia Noela, lakini hakutaka kuonyesha kwamba anamjua vizuri. Akaamua kuwa mtulivu na kusubiri kusikia shida...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest