MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
Basi nilipomaliza kuvaaa. Akanipa vidonge viwili et meza jana nimepitiwa nimemwagia ndani. Na kweli game ya jana ilikuwa moto. Mlige hakukumbuka kumwagia njeee kabisa mabao mengine. Mie nikawa nishaelewa. Ni vidonge vya kuzuia mimba .nikachukua nikameza . Basi tukatoka sasa.tulivyopendeza wooow. Yani huwez hisi mlige ni kanipita miaka mingi sana. Yani ni tumeendana mnoo. Alagu mm mwli wangu ni mkubwa mkubwa na mtako wangu ndo kabisa naoneka mtu mzima kumbe binti wa kidato cha sita. Basi uko njiani ata haongei na mm. Mpka nikadhangaaa yani ni kanuna tu ni busy ana drive zake. Mh mi nilijua jana tushatombana ni yameisha kumbe bado . Mh mi nikajinyamazia kimya . Mpak tunafika kahama kwao . Ilikuwa ndo mala ya kwanza nafika kwao. Ila walikuwa vizur piah wala sio kama wenzetu na sie awaaa.
Basi mama ake aliponiona alinikaribisha vizur jamani. Yani alinichangamkia mno. Nilikalibishwa vizur. Nikapewa na nguo za kubadali. Mama alinipa dela lake zuri et ndo nilivae nisichafue gauni yangu. Basi nakwambia ilikuwa rahaaa. Nikapika na mama chakura kwa pamoja . Na tukala kwa pamona. Na shemeji jamali uo mda alikiwa kashakudi na yeye akanichangamkia sana. Yani sana. Tu . Akasema yani mama mi nakwambia ukwwli uyu faridah ata iweje anabaki kuwa mkweo. Dogo akimuacha tu mi namuoa. Mlige akawa anacheka sana pale yani kwao ndo akawa anajichekesha. Na anacheka na mama yake na ndugu yake..jamali Ni kama alikuwa anamtania ndugu yake. Baada ya yote. .mimi niliomba kuongea na mama tukiwa wawili. Weeee nilitaka kumwambia mama uhalisia wetu mi.maisha ya kununiana sikuwa nayataka kabisaaa.
Kweli mama akanichukua tokatoka njeee kabisa kwenye bustani . Kuna viti vya kupumzika ndo tukakaa mama mlige akaniuliza vp mtoto wangu kuna shida. Basi mie ile kuulizwa hivyo tu machozi yanashuka. Mama mlige akasema hapana naomba usilie kabisa . Tulia mwananangu . Na naomba tuongeee eheeeee nambie shida nn mwanangu mzuri. Umemfumania tena.nikasema hapana mama ila mm ndo nimemkosea . Mama akaniuliza shida nini. Bibie mie nikaanza kumuelezea mama. Ila sasa nikajifanya et zayd kile kipindi alinilazimisha akanibana ndo nikakisiwa . Ndo mwalimu akatukuta. Nilimuelezea maam kwa kuvutia kwangu . Ili asije na yeye akanihisi vibaya.nikasema mama tangu apo mpaka.sasa tuna miez 7 . Hatuongei vizuri . Hana mda na mimi. Kuna mda ananifokea tu . Yani ni ananinunia sana. Apo sikuacha mpaka kupigwaa na kulazwa nilieleza kuwa ana mwanamke anatembea nae ni madame shuleni kwake. Yani nilimueleza mma matatizo yetu yote na kunijibu kwake vibaya na kila kitu. .nilimuadithia mama.yote nia nilikuwa nataka tupate suluhu. Mama akanmbia uyu yupo kama.marehemu baba yake. Alikuwa yeye akikosea anataka asemehewe haraka mambo yaende. Ila ukimkosea ww hataki kuelewa . Tena ata mwaka ananuna naona ndo kachukua rohoo ya baba ake. We kukisiwa tu. Ndo anamind ye si kakucheat mpaka kazaaa na yule madame wake. Mbona ww umesamehe .au anahisi yeye ndo ana haki sanaa .ngoja kwanza..akaanza kumuita ellly wee elly . Eliamini. Mh mlige akatoka akaja. Et abee maam. Apo kaitikia uku ananingalia .si kashaona nilikuwa nalia
Basi mama yake akamwambia njoo ukae apa haraka. Akaja akakaa mama akamuuliza mlige wewe na uyu binti nani ni mkubwa. Mlige akasema ni mimi mama . Mama ake akamuuliza umempita umri gani uyu. Akasema miaka 18. Mama akamuliza so unahisi kati yenh nani anatakiwa kutuliza akiri zaidi na kukontrol aya mahusiano. Akanyamaza kimyam mama ake akamuuliza wewe hujapitia umli alokuwa nao faridah..ujapita ww. Hujui kuwa uyu faridah ni binti mdogo na mzuri lazima atasumbuliwa na vijana. Kwa nn unatumia hasira eeeh . Unajiona ww umekamilika sana..unahisi kuna mahisiano yanajengwa vizuri pasipo na kusameheana na kuelekezana ..mlige akakaa kimya .mama ake akasema we si ulimcheat uyu mpaka nikaja kukuombea msamaha. Tena.sio kucheat tu ulimpa na mimba yule mwanamke ..leo unahudumia mtoto. Mbona alikusamehe. Au uyu hana moyo. Au unatkaa akusujudie eeeh ebu nambie kwanza. Mlige akasema samahani mama nimekosea. Mama ake akasema kwaiyo uyu kukutwa kakisiwa tu. Na mtu akajutia akakuomba na msamha kwako ni issue kubwa sana . Nini huelewi kuhusu baleghe na umri kama huu. Eeeh mlige akanyamaza kimya
Mma akamwmabia sasa sikia usimpe jaka rohoo mtoto wa watum uyu mdogo sana kuanzia kulilia mapenzi. Unaelewa ww. Mdogo mnoo kuanza kufikilia mwanaume kaninunia .mwanaume haongei na mm. Unaelewa usimbebeshe mizigo yako. Sasa we si unataka kununa hasira yako haijaisha. Uyu binti miache kwanza apate vijana wenzake . Wachezeane. Wewe ukishatulia na ukajua umemsamehe ama vp utamfata sawa baba. Mh ila mama mlige asa ndo kujenga uku.akiniacha kweli jeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Basi mlige akanyamaza kimya . Kanywea mno. Mama akasema wewe nilishakueleza kuwa uyu faridah ni mdogo sana . Kuna stage napitia lazima ujue jinsi ya kumtuliza na kumuelekeza ili muende sawa au unataka kujifananaisha ww na uyu. Uyu ni mdogo anatakiwa control unaelewa mkige . Sasa kujinunisha ovyo ndo kutasaidia nini. Sindo kwanza una mpa mwanya akipata mwnaume amkubali. We si una jinunisha . Aya nuna hivyo hivyo .mwanaume mzima unanuna nuna ntakuvesha kanga basi mm. Ila mama mlige🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌. Ahaaaa uyu mama anaongra bwana. Akasema na uyo madame milia ndo mwanamke wako si ndio. Akasema.hapana sio mwanamke wangu nilimpa lift tu . Ila faridah ahakuelewa. Mama ake akasema umaraya tu kama.baba yako mzazi.
Unampa.lift mwanamke ya nn. Unajijua una mwanamke wako. Unampa.lift mtu mwengine wa nn..sasa wewe na uyu faridah nani wa kununa. Nakuukiza ww..ameshakusamehe ulimcheat mpaka ukazaa na mwanamke. Bado amekukuta na mwanamke kwenye gari yako. Ambae unasema ulimpa lift tu nani anune apo. Akanyamaza kimyaaaa. Basi mama alimsema nakwambia . Yani alimsema mnooo. Yani kweli.kweli. alivyotosheka kwa mlige akanisema pia na mm. Akanielewrsha vizuri kuwa nijitunze .mimi ni binti na nijithamini. Kweli nilimuelewa na nilikubaki kuwa nilikosea. Basi baada ya vichambo sasa. Mama akatuweka sawa na tukaombana misamha pale .yani aaktusawazisha kabisa.kisha sasa tukaaga Tukatoka kahama saa 11 jioni ndo tukamuaga mama. Nikajua ntaemda kununiwa uku ama ata kupigwa namuogopa uyu baba tangu anidunde
Basi kwenye gari ni kimya. Yeye anaendesha gari tu. Nikajua aya bwana ata hajaelewa. Na kuchambwa kote na mama yake🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Nikamwmabia mimi nishuhse nyumbani naenda kwetu leo. Akanmbia unaenda na mm kwangu . Nimeongea na mama yako. Nimekuomba week 1 ukae kwangu kakubali. Mh nikasema sawa. .basi kweli breki mpkaa nyamsebehi kwake. Tukaingia mpaka ndani. Kufika ndani mie kwanza nikaenda kuoga mana nilikuwa nahisi kajito. Basi nimetoka namkuta kitandani amekaaa. Akanmbia kwaiyo ww ndo imemsimulia mama shida zetu sio.nikasema lakini nimemwambia kutafuta suluhu elly .sio kwa ubaya .mi sipendi unavyoninunia hivi naumia sana. Mlige akaningalia akanmbia njoo apa mke wangu. Basi nikaenda akanipakata. Akanmbia aya nambie ukiwa umekaa apa unatakaje. Nikasema nataka tuwe kama zamani .na unisamehe mume wangu. Akammbia okey nimekusamehe na yameisha nakupenda sana. Basia akatabasamu. Mh nikajua kumbe vidonge vilimkolea eeeh. Basi msamaha mwengine nikauombea kitandani ..kuanzia apo kesi ndo ikaisha. Akawa anaenda job mi ananiacha akiludi ni story .atanitania ..na kucheka mnoo. Yani amani kati yangu na uyu baba ikaludi..sikuamini mlige anajua kununa bwana na ana hasira sana..nashukuru tulimaliza shida zetu hii term. Ila ananipenda sana mlige yani sanaaaa.na.wivu ni uliongezeka. Basi mie niliakaa kwa mlige tu
Ata yusta alikuwa nakuja pale kuniona..mana mlige hakuwa anataka nitoke kabisaa . Yani hataki ata nitoe mguu nje ya geti
Basi likizo yote mie nikamaliza kwa mlige. Uku mama akinisihi sana nijitahidi kujikinga nisije kupata mimba. Uku anamdanganya baba kuwa nipo nyakanazi kwa mama mdogo na likizo ilipoisha sasa.mlige akanifanyia mazingira fresh . Mie nikalidi shulee. Apo tenaa amani ipo. Anapiga simu kama chizi kunijulia hali. Mpenzi wangu mke wangu za kutosha . Yani hatukuwa na shida tenaa. Na visitings zote anakuja kuniona shule na mazawadi kibao. Sio siri ata mimi nampenda uyu baba. Ahaaa mlige nampenda sana. Basi mie nikapambana mnoo shule . Mpaka.rikizo tena . Ila sasa najigawa week 2 nyumbani week 2 naenda kukaa kwa mlige uko ni kuichezea tu. Akijisahauu akmwagia ndani nameza vidonge maisha yanaenda mpkaa shoga yenu nikamaliza kidto cha sita sasa.
Apo nikawa nipo tu nyumbani. Nikapata mda kwa mlige. Na mlige alitulia sana .sana yani simu yake ananipa apo. Nitaichezea mpka . Haina ata makando kando. Na apo sasa akaninnnulia simu kubwa na nzuri . Na mm nikaanza kutumia. Na baada ya miez 2 .majibu yakatoka nikapasua mnoo. Nilipata one ya 3 . Yani one ya kwanza. Aseeee mlige alifurahi ile mbayaa .yani alifurahi kweli kweli. Alinambia yani furaha yangu ni kubwa sana kwako. Akaninunulia lap top ya kisasa nakwambia . Ilikuwa milion 3 . Tulinunua bukoba na nilienda nae. Basi nikaanza process za chuo sasa . Mlige akanmbia unaenda chuo sasa. Naomba ukawe makini sana .ila kabla hujaenda chuo . Mimi nataka kutambulika rasmi kwenu. Naenda kupeleka barua nyumbani . Kwa mama yako na baba yako nataka rasmi wote wanijue kuwa mimi ndo mchumba wako na ukimaliz chuo tu . Nakuoa. Mie nikasema.sawa sikuona shida mana nampenda sana mligee yani sanaaaaa.
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi