Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Basi nilipomaliza kuvaaa. Akanipa vidonge viwili et meza jana nimepitiwa nimemwagia ndani. Na kweli game ya jana ilikuwa moto. Mlige hakukumbuka kumwagia njeee kabisa mabao mengine. Mie nikawa nishaelewa. Ni vidonge vya kuzuia mimba .nikachukua nikameza . Basi tukatoka sasa.tulivyopendeza wooow. Yani huwez hisi mlige ni kanipita miaka mingi sana. Yani ni tumeendana mnoo. Alagu mm mwli wangu ni mkubwa mkubwa na mtako wangu ndo kabisa naoneka mtu mzima kumbe binti wa kidato cha sita. Basi uko njiani ata haongei na mm. Mpka nikadhangaaa yani ni kanuna tu ni busy ana drive zake. Mh mi nilijua jana tushatombana ni yameisha kumbe bado . Mh mi nikajinyamazia kimya . Mpak tunafika kahama kwao . Ilikuwa ndo mala ya kwanza nafika kwao. Ila walikuwa vizur piah wala sio kama wenzetu na sie awaaa.

Basi mama ake aliponiona alinikaribisha vizur jamani. Yani alinichangamkia mno. Nilikalibishwa vizur. Nikapewa na nguo za kubadali. Mama alinipa dela lake zuri et ndo nilivae nisichafue gauni yangu. Basi nakwambia ilikuwa rahaaa. Nikapika na mama chakura kwa pamoja . Na tukala kwa pamona. Na shemeji jamali uo mda alikiwa kashakudi na yeye akanichangamkia sana. Yani sana. Tu . Akasema yani mama mi nakwambia ukwwli uyu faridah ata iweje anabaki kuwa mkweo. Dogo akimuacha tu mi namuoa. Mlige akawa anacheka sana pale yani kwao ndo akawa anajichekesha. Na anacheka na mama yake na ndugu yake..jamali Ni kama alikuwa anamtania ndugu yake. Baada ya yote. .mimi niliomba kuongea na mama tukiwa wawili. Weeee nilitaka kumwambia mama uhalisia wetu mi.maisha ya kununiana sikuwa nayataka kabisaaa.

Kweli mama akanichukua tokatoka njeee kabisa kwenye bustani . Kuna viti vya kupumzika ndo tukakaa mama mlige akaniuliza vp mtoto wangu kuna shida. Basi mie ile kuulizwa hivyo tu machozi yanashuka. Mama mlige akasema hapana naomba usilie kabisa . Tulia mwananangu . Na naomba tuongeee eheeeee nambie shida nn mwanangu mzuri. Umemfumania tena.nikasema hapana mama ila mm ndo nimemkosea . Mama akaniuliza shida nini. Bibie mie nikaanza kumuelezea mama. Ila sasa nikajifanya et zayd kile kipindi alinilazimisha akanibana ndo nikakisiwa . Ndo mwalimu akatukuta. Nilimuelezea maam kwa kuvutia kwangu . Ili asije na yeye akanihisi vibaya.nikasema mama tangu apo mpaka.sasa tuna miez 7 . Hatuongei vizuri . Hana mda na mimi. Kuna mda ananifokea tu . Yani ni ananinunia sana. Apo sikuacha mpaka kupigwaa na kulazwa nilieleza kuwa ana mwanamke anatembea nae ni madame shuleni kwake. Yani nilimueleza mma matatizo yetu yote na kunijibu kwake vibaya na kila kitu. .nilimuadithia mama.yote nia nilikuwa nataka tupate suluhu. Mama akanmbia uyu yupo kama.marehemu baba yake. Alikuwa yeye akikosea anataka asemehewe haraka mambo yaende. Ila ukimkosea ww hataki kuelewa . Tena ata mwaka ananuna naona ndo kachukua rohoo ya baba ake. We kukisiwa tu. Ndo anamind ye si kakucheat mpaka kazaaa na yule madame wake. Mbona ww umesamehe .au anahisi yeye ndo ana haki sanaa .ngoja kwanza..akaanza kumuita ellly wee elly . Eliamini. Mh mlige akatoka akaja. Et abee maam. Apo kaitikia uku ananingalia .si kashaona nilikuwa nalia

Basi mama yake akamwambia njoo ukae apa haraka. Akaja akakaa mama akamuuliza mlige wewe na uyu binti nani ni mkubwa. Mlige akasema ni mimi mama . Mama ake akamuuliza umempita umri gani uyu. Akasema miaka 18. Mama akamuliza so unahisi kati yenh nani anatakiwa kutuliza akiri zaidi na kukontrol aya mahusiano. Akanyamaza kimyam mama ake akamuuliza wewe hujapitia umli alokuwa nao faridah..ujapita ww. Hujui kuwa uyu faridah ni binti mdogo na mzuri lazima atasumbuliwa na vijana. Kwa nn unatumia hasira eeeh . Unajiona ww umekamilika sana..unahisi kuna mahisiano yanajengwa vizuri pasipo na kusameheana na kuelekezana ..mlige akakaa kimya .mama ake akasema we si ulimcheat uyu mpaka nikaja kukuombea msamaha. Tena.sio kucheat tu ulimpa na mimba yule mwanamke ..leo unahudumia mtoto. Mbona alikusamehe. Au uyu hana moyo. Au unatkaa akusujudie eeeh ebu nambie kwanza. Mlige akasema samahani mama nimekosea. Mama ake akasema kwaiyo uyu kukutwa kakisiwa tu. Na mtu akajutia akakuomba na msamha kwako ni issue kubwa sana . Nini huelewi kuhusu baleghe na umri kama huu. Eeeh mlige akanyamaza kimya

Mma akamwmabia sasa sikia usimpe jaka rohoo mtoto wa watum uyu mdogo sana kuanzia kulilia mapenzi. Unaelewa ww. Mdogo mnoo kuanza kufikilia mwanaume kaninunia .mwanaume haongei na mm. Unaelewa usimbebeshe mizigo yako. Sasa we si unataka kununa hasira yako haijaisha. Uyu binti miache kwanza apate vijana wenzake . Wachezeane. Wewe ukishatulia na ukajua umemsamehe ama vp utamfata sawa baba. Mh ila mama mlige asa ndo kujenga uku.akiniacha kweli jeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

Basi mlige akanyamaza kimya . Kanywea mno. Mama akasema wewe nilishakueleza kuwa uyu faridah ni mdogo sana . Kuna stage napitia lazima ujue jinsi ya kumtuliza na kumuelekeza ili muende sawa au unataka kujifananaisha ww na uyu. Uyu ni mdogo anatakiwa control unaelewa mkige . Sasa kujinunisha ovyo ndo kutasaidia nini. Sindo kwanza una mpa mwanya akipata mwnaume amkubali. We si una jinunisha . Aya nuna hivyo hivyo .mwanaume mzima unanuna nuna ntakuvesha kanga basi mm. Ila mama mlige🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌. Ahaaaa uyu mama anaongra bwana. Akasema na uyo madame milia ndo mwanamke wako si ndio. Akasema.hapana sio mwanamke wangu nilimpa lift tu . Ila faridah ahakuelewa. Mama ake akasema umaraya tu kama.baba yako mzazi.

Unampa.lift mwanamke ya nn. Unajijua una mwanamke wako. Unampa.lift mtu mwengine wa nn..sasa wewe na uyu faridah nani wa kununa. Nakuukiza ww..ameshakusamehe ulimcheat mpaka ukazaa na mwanamke. Bado amekukuta na mwanamke kwenye gari yako. Ambae unasema ulimpa lift tu nani anune apo. Akanyamaza kimyaaaa. Basi mama alimsema nakwambia . Yani alimsema mnooo. Yani kweli.kweli. alivyotosheka kwa mlige akanisema pia na mm. Akanielewrsha vizuri kuwa nijitunze .mimi ni binti na nijithamini. Kweli nilimuelewa na nilikubaki kuwa nilikosea. Basi baada ya vichambo sasa. Mama akatuweka sawa na tukaombana misamha pale .yani aaktusawazisha kabisa.kisha sasa tukaaga Tukatoka kahama saa 11 jioni ndo tukamuaga mama. Nikajua ntaemda kununiwa uku ama ata kupigwa namuogopa uyu baba tangu anidunde

Basi kwenye gari ni kimya. Yeye anaendesha gari tu. Nikajua aya bwana ata hajaelewa. Na kuchambwa kote na mama yake🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Nikamwmabia mimi nishuhse nyumbani naenda kwetu leo. Akanmbia unaenda na mm kwangu . Nimeongea na mama yako. Nimekuomba week 1 ukae kwangu kakubali. Mh nikasema sawa. .basi kweli breki mpkaa nyamsebehi kwake. Tukaingia mpaka ndani. Kufika ndani mie kwanza nikaenda kuoga mana nilikuwa nahisi kajito. Basi nimetoka namkuta kitandani amekaaa. Akanmbia kwaiyo ww ndo imemsimulia mama shida zetu sio.nikasema lakini nimemwambia kutafuta suluhu elly .sio kwa ubaya .mi sipendi unavyoninunia hivi naumia sana. Mlige akaningalia akanmbia njoo apa mke wangu. Basi nikaenda akanipakata. Akanmbia aya nambie ukiwa umekaa apa unatakaje. Nikasema nataka tuwe kama zamani .na unisamehe mume wangu. Akammbia okey nimekusamehe na yameisha nakupenda sana. Basia akatabasamu. Mh nikajua kumbe vidonge vilimkolea eeeh. Basi msamaha mwengine nikauombea kitandani ..kuanzia apo kesi ndo ikaisha. Akawa anaenda job mi ananiacha akiludi ni story .atanitania ..na kucheka mnoo. Yani amani kati yangu na uyu baba ikaludi..sikuamini mlige anajua kununa bwana na ana hasira sana..nashukuru tulimaliza shida zetu hii term. Ila ananipenda sana mlige yani sanaaaa.na.wivu ni uliongezeka. Basi mie niliakaa kwa mlige tu
Ata yusta alikuwa nakuja pale kuniona..mana mlige hakuwa anataka nitoke kabisaa . Yani hataki ata nitoe mguu nje ya geti

Basi likizo yote mie nikamaliza kwa mlige. Uku mama akinisihi sana nijitahidi kujikinga nisije kupata mimba. Uku anamdanganya baba kuwa nipo nyakanazi kwa mama mdogo na likizo ilipoisha sasa.mlige akanifanyia mazingira fresh . Mie nikalidi shulee. Apo tenaa amani ipo. Anapiga simu kama chizi kunijulia hali. Mpenzi wangu mke wangu za kutosha . Yani hatukuwa na shida tenaa. Na visitings zote anakuja kuniona shule na mazawadi kibao. Sio siri ata mimi nampenda uyu baba. Ahaaa mlige nampenda sana. Basi mie nikapambana mnoo shule . Mpaka.rikizo tena . Ila sasa najigawa week 2 nyumbani week 2 naenda kukaa kwa mlige uko ni kuichezea tu. Akijisahauu akmwagia ndani nameza vidonge maisha yanaenda mpkaa shoga yenu nikamaliza kidto cha sita sasa.

Apo nikawa nipo tu nyumbani. Nikapata mda kwa mlige. Na mlige alitulia sana .sana yani simu yake ananipa apo. Nitaichezea mpka . Haina ata makando kando. Na apo sasa akaninnnulia simu kubwa na nzuri . Na mm nikaanza kutumia. Na baada ya miez 2 .majibu yakatoka nikapasua mnoo. Nilipata one ya 3 . Yani one ya kwanza. Aseeee mlige alifurahi ile mbayaa .yani alifurahi kweli kweli. Alinambia yani furaha yangu ni kubwa sana kwako. Akaninunulia lap top ya kisasa nakwambia . Ilikuwa milion 3 . Tulinunua bukoba na nilienda nae. Basi nikaanza process za chuo sasa . Mlige akanmbia unaenda chuo sasa. Naomba ukawe makini sana .ila kabla hujaenda chuo . Mimi nataka kutambulika rasmi kwenu. Naenda kupeleka barua nyumbani . Kwa mama yako na baba yako nataka rasmi wote wanijue kuwa mimi ndo mchumba wako na ukimaliz chuo tu . Nakuoa. Mie nikasema.sawa sikuona shida mana nampenda sana mligee yani sanaaaaa.
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75


Basi nilipomaliza kuvaaa. Akanipa vidonge viwili et meza jana nimepitiwa nimemwagia ndani. Na kweli game ya jana ilikuwa moto. Mlige hakukumbuka kumwagia njeee kabisa mabao mengine. Mie nikawa nishaelewa. Ni vidonge vya kuzuia mimba .nikachukua nikameza . Basi tukatoka sasa.tulivyopendeza wooow. Yani huwez hisi mlige ni kanipita miaka mingi sana. Yani ni tumeendana mnoo. Alagu mm mwli wangu ni mkubwa mkubwa na mtako wangu ndo kabisa naoneka mtu mzima kumbe binti wa kidato cha sita. Basi uko njiani ata haongei na mm. Mpka nikadhangaaa yani ni kanuna tu ni busy ana drive zake. Mh mi nilijua jana tushatombana ni yameisha...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-74-na-75

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72

803
MY WANGU❤️ sehemu ya 73

MY WANGU❤️ sehemu ya 73

640
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘

576
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘

415
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

384
MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)

MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)

339
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23

269
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 10

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 10

105
REAL LOVE*  Chapter 8

REAL LOVE* Chapter 8

100
REAL LOVE* Chapter 7

REAL LOVE* Chapter 7

95

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.05K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.81K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.66K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.03K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.27K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuvaaa. Akanipa vidonge viwili et meza jana nimepitiwa nimemwagia ndani. Na kweli game ya jana ilikuwa moto. Mlige hakukumbuka kumwagia njeee kabisa mabao mengine. Mie nikawa nishaelewa. Ni...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘
@majario LIVE

Ilifika usiku mida kama ya saa nne hivi nilikuwa bado cjaweka kitu chochote tumboni kwangu bado nilikuwa nimejifungia chumbani kwangu nalia tu..... Boo alikuwa bado hapokei simu ya mtu yeyote........

REAL LOVE*  Chapter 8 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 8
@majario LIVE

machozi yalimtoka kwelikweli daktari alimuonea sana huruma, seven aliliona hilo lakini ndo hakuwa na jinsi aliwaza sana afanye nini ili aeleweke kwa binti huyo, daktari alimaliza kumpima kisha akampa pole fahima...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 10 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 10
@majario LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Kumbe bibi nacho alikuwa amewafungia wale wali walipojaribu kutoka walishindwa. " Jamani mlango umefungwa ila si yupo na mlinzi...

REAL LOVE* Chapter 7 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 7
@majario LIVE

seven alihisi kufa hakuamini kabisaaa kama yeye ndo amefanya kitendo kile hapana sio mimi mimi sio kabisa najijuwa ni mstaarabu siwezikufanya hivi sijui huyu binti kamleta nani hapa mungu wangu mimi...

REAL LOVE* *SEHEMU YA SITA* Post Mpya
REAL LOVE* *SEHEMU YA SITA*
@majario LIVE

ndani ya hotel moja kubwa iliyopo posta katika chumba kimoja walionekana devi pamoja na cathe wakiwa wamekumbatiana kitandani, wanyama hawa hawakuwa na wasiwasi wowowte juu ya usaliti wao yani ndokwanza...

MY WANGU❤️ sehemu ya 73 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
@majario LIVE

Basi hivyo ikawa ni tunalishana kimya kimya. Mpaka tumemaliza mie nikatoa vyombo. Nikaenda kuosha ndo niondoke. Basi nipo busy naosha vyombo mashangaaa nimeshikwa kiuno kwa nyuma nikageuka namuangalia ni mlige....

MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1) Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 24 Basi bwana nakumbuka nilikaaa uku nyumbani week.2 . Nipo na babu tu. Sikuwahi kumpigia kabisa princess na wala yeye hakunipigia .na nilishamtia marufuku. So hakunipigia kabisa ataaa....

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
@majario LIVE

Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia naumia sana . Hataki kuwa na mm. Na hana mda na mimi. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest