Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 48πŸ’˜πŸ’˜
Gonga94 Β· Stories

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 48πŸ’˜πŸ’˜

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Ilifika usiku mida kama ya saa nne hivi nilikuwa bado cjaweka kitu chochote tumboni kwangu bado nilikuwa nimejifungia chumbani kwangu nalia tu..... Boo alikuwa bado hapokei simu ya mtu yeyote..... muda ulizidi kwenda kutokana na njaa ya muda mrefu na ile kazi ya jana usikuπŸ˜”πŸ˜” kama mnavyojua kila mwanaume ana namna yake ya kumtia mwanamkeπŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈ mikunjo ya Hemed ni tofauti kabisa na mikunjo ya Paschal....na alijua kunikamua siyo kidogo😟😟 nilikuwa na siku nyingi nyingi cjashiriki na boo tangia kipindi kile nilicho msukumaga bathroom akaenda hospital akatoka hadi tunasafiri kuelekea Tanzania hatukuwahi kunyanduana sanasana ilikuwa ni mapenzi ya makiss tu na kama nilivyotangulia kuwambia kuwa ilifikiaga kipindi nikapunguza kabisa mapenzi kwa paschal yani muda mwingi nilikuwa natamani tu kuwa na Hemed kipindi hicho hata mapenzi nilikuwa namnyima paschal muda ambao alikuwa akinihitaji tuwe pamoja mimi nilijidai niko busy kumhudumia mtoto..... yani tulijikuta tunamaliza miezi almost miwili na mawiki bila kupeana utamu thas why nilivyoenda kwa Hemed mwili wangu ulikuwa na upwilu wa kutosha na Hemed naye alikuwa the same na mimi yani tulikamuana hadi vikojoleo vikawaka moto...... nilianza kupata uchovu wa mwili usiku ule kiuno mapajani miguuni vile nilikuwa naikatikia inama inuka kulia kushoto viungo vyote vya mwili vilianza kuniuma ......

Sikutaka hata kunywa dawa niliacha niendelee kuumia vilevile ili iwe kama adhabu kwangu...... kadri muda ulivyozidi kwenda hali ilizidi kuwa mbayaπŸ˜­πŸ™†β€β™€οΈ kilianza kuja kihoma cha serious..... nilianza kutetemeka mwili mzima mmmhhh njaa nayo ilikuwa inanipeleka lakini ndo hivyo hamu ya chakula hakuna nawaza ujinga nilioufanya nimemuumiza mwanaume wangu nimemsalitπŸ₯ΉπŸ₯Ή niliendelea kutaabika kule chumbani ilifikia hatua hali ikawa mbaya zaidi sikujua tena kilichonikuta ila nilikuja zinduka nikiwa aga khan hospital πŸ₯²πŸ₯² nilizinduka nikakuta nimetundikiwa drip la maji pembeni yangu alikuwepo paschal nilipoamka tu nilianza kumiminikwa na machozi paschal alinigeukia akanifuta yale machozi baada ya hapo alitoka akaenda kumuita doctor nilifanyiwa vipimo pale doctor alishauri nipatiwe kwanza chakula then ndo nipewe dawa tatizo ilikuwa ni kukaa njaa muda mrefu na msongo wa mawazo..... paschal alikwenda akaniletea chakula matunda pamoja na maji.....aliniomba niamke nile nilitaka kuomba samahani kwa sababu ya zile lovebite lakini aliniziba mdomo🀫🀫🀫 kula..... aliniambia hivyo...... nilinawa nikaanza kula kile chakula kilikuwa kinanikabaa😌😌😌khee ni kama vile nacho kilichukizwa na kitendo nilichokifanya et☺️☺️ nilijilazimisha tu hivyohivyo nikala na matunda baada ya muda nilikunywa maji nikanywa na dawa nikakaa kupumzika paschal alikuwa hataki hata kunitizama alionekana mwenye mawazo sana🀨🀨

Nilijilalia zangu pale kitandani huku nikiwa nabubujikwa na machozi kuna vile ukiwa unalia zako taratibu linakuja kwikwi linakuvamiaπŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈ nilivamiwa na kwikwi zito lile 🀨🀨nikaanza lia bila kujizuia khee mzee baba si ndo akanishtukiaπŸ™„πŸ™„ kuna shida gani pendoπŸ€·β€β™‚οΈ why unalia?! Vipi kichwa kinakuuma aliniuliza huku akiwa anaiweka simu yake mfukoni then alinishika mikono yangu niliyokuwa nimeiziba machoni kwangu kukingia machozi...... alinifuta yale machozi then akaniuliza unataka nini mamangu au unataka kwenda kwa mwanaume wako?!.... yani baada ya boo kuniambia hivyo nilihisi ni kama nimepigwa na kitu kizito kichwani😝😝😝 yani ni kama vile Alinigongelea msumari wa moto🀨🀨 nilinyamaza kimyaπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈ boo alirudi kwenye kiti akaket aliitoa simu yake mfukoni akaendelea na mambo yake...... ukihitaji chochote usije ukaacha kuniambia that's why niko hapa kando yako.... aliniambia huku akiwa anaendelea kuichezea simu yake...... ilifika mida ya mchana saa nane tukaruhusiwa kutoka kule hospital tuliondoka kuelekea nyumbani yani sikuwa na amani nilijutia hadi nikatamani kunywa sumu jamani usiombe ukafanya kosa kama hilo alf mwanaume akakukamata na vithibitisho vyoteπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈ......

Njia nzima boo alidrive kimya kimya hapakuwepo na maongezi yoyote yale paschal muda wote alikuwa yuko tu busy na mambo yake hakuwa tena na ule ukaribu na mimiπŸ˜”πŸ˜” pole sana madame vipi hali yako kwa sasa?! Aliniuliza Isabella baada ya kuwa tumeshafika nyumbani..... nilimpokea mtoto kisha nikamjibu Isabella nilimwambia niko sawa najisikia nafuu sasa lakini cjy hata ni nini kilichonitokeaπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈ Isabella alinielezea kile kilichonitokea jana usiku aliniambia usiku nilimsikia nice akiwa analia sana nilikuja chumbani kwako nikagonga sana mlango lakini haukufungua nilishindwa kuvumilia kwa sababu mtoto alizidi kulia kwa sauti ya juu sana ilinibidi niingie chumbani kwako nilimkuta nice amekaa pembeni yako tu huku akiwa analia alikuwa anahangaika kutoa nyonyo lakini ulikuwa umelala kifudifudi nahisi hiyo ndo iliyokuwa inazidi kumtia hasira akawa anaendelea kupaza sauti na kulia kwa nguvu nilikuamsha nikakutikisa tikisa lakini wala haukuamka nilijaribu kukutizama vizuri ndipo nilipogundua kuwa tyr ulikuwa umeshazirah nilichanganyikiwa nikajikuta na mimi nimeanza kuliaπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilimbeba nice mgongoni kisha nikaenda kuchukua simu yangu nikampigia boss paschal simu nilipiga mno akawa hapokei nilimwandikia ujumbe kuwa umepoteza fahamu chumbani kwako ndipo aliponipigia nikaongea naye aliniuliza kilichotokea nikamwelezea ndo akaja huo usiku akakubeba ukiwa haujitambui akakupeleka hospital. ..... nilimshukuru sana Isabella kwa moyo wake wa upendo na kwa msaada alionipatia.......

Nilikaa nikamnyonyesha mwanangu baada ya hapo nilimshusha pale kwenye bembea akawa anajichezea zake mie nikaelekea ndani..... nilimkuta boo yuko sitting room na laptop yake niliingia jikoni nikamchukulia juice nikamletea aliipokea akaniambia asante..... aliiweka pembeni ile juice akaendelea na mambo yake imagine nilipanda juu nikakoga nikamaliza nikajipumzikia zangu baada ya muda nilishuka chini kwa ajiri ya kwenda kumwandalia boo chakula nilijua ile juice now kaishaimaliza nimwandalie chakula cha kushiba.... nimefika pale sebleni nikapiga jicho pale alipo paschal alikuwa kasinzia palepale kwenye kochi hata ile juice hakuinywaπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilisogea pale nikamlaza vizuriπŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈ alionekana kuchoka sana nilitamani kumwamsha akajilaze chumbani lakini niliogopa🀨🀨 nilimlaza tu vizuri pale kwenye kochi nikamwekea mutoπŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈ baada ya hapo niliingia jikoni kumwandalia chakula nilipika msosi mtamu sana kwa ajiri yake nilipakua nikapeleka mezani nilimwamsha paschal nikamuuliza utakula ndo uoge au ukaoge kwanza ndo uje ule😟😟 hakunijibu kitu aliamka pale sebleni akapanda juu chumbani aliingia bafuni akaoga akabadiri nguo akaondoka kasusa hadi kulaπŸ₯ΉπŸ₯Ή niliumia nilijikuta nimemtukana hemed matusi ya kila rangi nilianza kumtupia lawama haya yote ni kwa sababu yakeπŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈ lakini hata mimi nina makosa ni kwanini nilimkubalia aniduuπŸ₯ΉπŸ˜”....

Nilipanda juu chumbani kwangu nikaliaπŸ₯ΉπŸ₯Ή niliichukua simu yangu nikamtumia boo msg nilimuuliza kwanini unanifanyia hivyo mme wanguπŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯Ή.... usisahau kunywa dawa fanya hivyo kwa ajiri ya mtoto wetu pamoja na huyo bwanako.... alinijibu hivyo jamani nilitamani kufa yani katika milima niliyowahi kukutana nayo duh ule nao ulikuwa ni mlima ambao nilikuwa najiuliza nitamaliza lini kuupandaπŸ€¦β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈ majibu ya boo yalikuwa yananinyong'onyesha sana..... nilitamani siku zikimbie haraka ili hasira zake ziishe turudi kama zamani....kwenye simu yangu kule kuna namba ngeni niliikuta imenipigia sanaπŸ™„πŸ™„ mmhhh nani huyu asijekuwa hemed kiukweli sitaki tena ukaribu naye haya aliyonisababishia yanatoshaπŸ₯ΉπŸ₯Ή nikiwa naendelea kujishauri pale na moyo wangu ile namba ilipiga tena kwenye simu yangu niliiangalia sana sikupokea niliipotezea hiyo ilikuwa ni missed call ya 173 mmhhh ni nani huyu aliyepiga kiasi hiki πŸ€·β€β™€οΈπŸ€·β€β™€οΈ hebu Acha nimpokee lakini kama ni hemed siwezi kuongea naye chochote☺️ ile namba ilipiga tena ilinibidi tu nipokee baada ya kuipokea ile simu ilisikika sauti ya hemed akiwa ananilalamikia sana kwa sababu ya kuziweka namba zake zote blacklistπŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈ nilianza kulia nilimwambia tafadhari nakuomba ukae mbali na mimi etπŸ₯ΉπŸ₯Ή kama kweli unanipenda basi naomba usinitafute kwenye simu barua wala live niache hemed 😭😭😭 nilikata simu nikaiblock ile namba ilifikia hatua kila namba ngeni inayoingia kwenye simu yangu niliiblock bila kufuatilia ni ya nani na anataka nini ?! Ile simu na yenyewe niliona tu itanitia uchizi niliamua kuizima nikaitupia huko kabatini niliipanda kitandani nikajilaza na mwanangu mida ilizidi kusogea jioni ilipita ukaingia usiku saa 2 tu mapema alirudi nyumbani boo wangu alikuja akambeba mtoto wake akashuka naye chini huwa ana kawaida ya kumfundisha mwanaye kwa njia ya mtandaoni.....walielekea maktaba alimkalisha mwanaye kwenye kiti chake na meza yake akampatia kishikwambi chake nayy akawa amekaa kwa pembeni hapo anamfundisha alikaa naye mtoto hadi akaanza kusinzia alimbeba akambembeleza hadi akasinzia alimleta chumbani kulala alimlaza kitandani kwake akamfunika vizuri akamuwekea net baada ya hapo alitoka yani alikuwa hanisemeshi jamaniπŸ₯ΉπŸ₯Ή..

Baada ya paschal kutoka Isabella alikuja kunigongea nilimruhusu kuingia alikuwa kashikilia kibox😳😳😳 alinipatia kile kibox niliogopa hata kukichukua nilimuuliza kakitoa wapi aliniambia ni paschal ndo kampatia aniletee........

Itaendeleaaaa. .....

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 48πŸ’˜πŸ’˜


Ilifika usiku mida kama ya saa nne hivi nilikuwa bado cjaweka kitu chochote tumboni kwangu bado nilikuwa nimejifungia chumbani kwangu nalia tu..... Boo alikuwa bado hapokei simu ya mtu yeyote..... muda ulizidi kwenda kutokana na njaa ya muda mrefu na ile kazi ya jana usikuπŸ˜”πŸ˜” kama mnavyojua kila mwanaume ana namna yake ya kumtia mwanamkeπŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈ mikunjo ya Hemed ni tofauti kabisa na mikunjo ya Paschal....na alijua kunikamua siyo kidogo😟😟 nilikuwa na siku nyingi nyingi cjashiriki na boo tangia kipindi kile nilicho msukumaga bathroom akaenda hospital akatoka hadi tunasafiri kuelekea Tanzania hatukuwahi kunyanduana sanasana ilikuwa ni mapenzi ya makiss tu na...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaah-imetosha-boss-n0-48

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaah-imetosha-boss-n0
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 57...58πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 57...58πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 64πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 64πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 68...69πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 68...69πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 50πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 50πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 53...54πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 53...54πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 59...60πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 59...60πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜   N0 74...75πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 74...75πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 70...71πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 70...71πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 66...67πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 66...67πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 62πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 62πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 51...52πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 51...52πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 65πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 65πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜  N0 61πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 61πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 36πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 36πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 72...73πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 72...73πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 55...56πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 55...56πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 63πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 63πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 42πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 42πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 34πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 34πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 44πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 44πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 49πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 49πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 37...38πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 37...38πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 43πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 43πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 35πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 35πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 33πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 33πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 39...40πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 39...40πŸ’˜πŸ’˜
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.16K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.11K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

385
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

233
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

65
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

25
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

10
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

4
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.4K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.82K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.69K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest