AAAAH IMETOSHA BOSS ππ N0 48ππ
Ilifika usiku mida kama ya saa nne hivi nilikuwa bado cjaweka kitu chochote tumboni kwangu bado nilikuwa nimejifungia chumbani kwangu nalia tu..... Boo alikuwa bado hapokei simu ya mtu yeyote..... muda ulizidi kwenda kutokana na njaa ya muda mrefu na ile kazi ya jana usikuππ kama mnavyojua kila mwanaume ana namna yake ya kumtia mwanamkeπ€¦ββοΈπ€¦ββοΈ mikunjo ya Hemed ni tofauti kabisa na mikunjo ya Paschal....na alijua kunikamua siyo kidogoππ nilikuwa na siku nyingi nyingi cjashiriki na boo tangia kipindi kile nilicho msukumaga bathroom akaenda hospital akatoka hadi tunasafiri kuelekea Tanzania hatukuwahi kunyanduana sanasana ilikuwa ni mapenzi ya makiss tu na kama nilivyotangulia kuwambia kuwa ilifikiaga kipindi nikapunguza kabisa mapenzi kwa paschal yani muda mwingi nilikuwa natamani tu kuwa na Hemed kipindi hicho hata mapenzi nilikuwa namnyima paschal muda ambao alikuwa akinihitaji tuwe pamoja mimi nilijidai niko busy kumhudumia mtoto..... yani tulijikuta tunamaliza miezi almost miwili na mawiki bila kupeana utamu thas why nilivyoenda kwa Hemed mwili wangu ulikuwa na upwilu wa kutosha na Hemed naye alikuwa the same na mimi yani tulikamuana hadi vikojoleo vikawaka moto...... nilianza kupata uchovu wa mwili usiku ule kiuno mapajani miguuni vile nilikuwa naikatikia inama inuka kulia kushoto viungo vyote vya mwili vilianza kuniuma ......
Sikutaka hata kunywa dawa niliacha niendelee kuumia vilevile ili iwe kama adhabu kwangu...... kadri muda ulivyozidi kwenda hali ilizidi kuwa mbayaππββοΈ kilianza kuja kihoma cha serious..... nilianza kutetemeka mwili mzima mmmhhh njaa nayo ilikuwa inanipeleka lakini ndo hivyo hamu ya chakula hakuna nawaza ujinga nilioufanya nimemuumiza mwanaume wangu nimemsalitπ₯Ήπ₯Ή niliendelea kutaabika kule chumbani ilifikia hatua hali ikawa mbaya zaidi sikujua tena kilichonikuta ila nilikuja zinduka nikiwa aga khan hospital π₯²π₯² nilizinduka nikakuta nimetundikiwa drip la maji pembeni yangu alikuwepo paschal nilipoamka tu nilianza kumiminikwa na machozi paschal alinigeukia akanifuta yale machozi baada ya hapo alitoka akaenda kumuita doctor nilifanyiwa vipimo pale doctor alishauri nipatiwe kwanza chakula then ndo nipewe dawa tatizo ilikuwa ni kukaa njaa muda mrefu na msongo wa mawazo..... paschal alikwenda akaniletea chakula matunda pamoja na maji.....aliniomba niamke nile nilitaka kuomba samahani kwa sababu ya zile lovebite lakini aliniziba mdomoπ€«π€«π€« kula..... aliniambia hivyo...... nilinawa nikaanza kula kile chakula kilikuwa kinanikabaaπππkhee ni kama vile nacho kilichukizwa na kitendo nilichokifanya etβΊοΈβΊοΈ nilijilazimisha tu hivyohivyo nikala na matunda baada ya muda nilikunywa maji nikanywa na dawa nikakaa kupumzika paschal alikuwa hataki hata kunitizama alionekana mwenye mawazo sanaπ€¨π€¨
Nilijilalia zangu pale kitandani huku nikiwa nabubujikwa na machozi kuna vile ukiwa unalia zako taratibu linakuja kwikwi linakuvamiaπ€¦ββοΈπ€¦ββοΈ nilivamiwa na kwikwi zito lile π€¨π€¨nikaanza lia bila kujizuia khee mzee baba si ndo akanishtukiaππ kuna shida gani pendoπ€·ββοΈ why unalia?! Vipi kichwa kinakuuma aliniuliza huku akiwa anaiweka simu yake mfukoni then alinishika mikono yangu niliyokuwa nimeiziba machoni kwangu kukingia machozi...... alinifuta yale machozi then akaniuliza unataka nini mamangu au unataka kwenda kwa mwanaume wako?!.... yani baada ya boo kuniambia hivyo nilihisi ni kama nimepigwa na kitu kizito kichwaniπππ yani ni kama vile Alinigongelea msumari wa motoπ€¨π€¨ nilinyamaza kimyaπββοΈπββοΈ boo alirudi kwenye kiti akaket aliitoa simu yake mfukoni akaendelea na mambo yake...... ukihitaji chochote usije ukaacha kuniambia that's why niko hapa kando yako.... aliniambia huku akiwa anaendelea kuichezea simu yake...... ilifika mida ya mchana saa nane tukaruhusiwa kutoka kule hospital tuliondoka kuelekea nyumbani yani sikuwa na amani nilijutia hadi nikatamani kunywa sumu jamani usiombe ukafanya kosa kama hilo alf mwanaume akakukamata na vithibitisho vyoteπββοΈπββοΈ......
Njia nzima boo alidrive kimya kimya hapakuwepo na maongezi yoyote yale paschal muda wote alikuwa yuko tu busy na mambo yake hakuwa tena na ule ukaribu na mimiππ pole sana madame vipi hali yako kwa sasa?! Aliniuliza Isabella baada ya kuwa tumeshafika nyumbani..... nilimpokea mtoto kisha nikamjibu Isabella nilimwambia niko sawa najisikia nafuu sasa lakini cjy hata ni nini kilichonitokeaπββοΈπββοΈ Isabella alinielezea kile kilichonitokea jana usiku aliniambia usiku nilimsikia nice akiwa analia sana nilikuja chumbani kwako nikagonga sana mlango lakini haukufungua nilishindwa kuvumilia kwa sababu mtoto alizidi kulia kwa sauti ya juu sana ilinibidi niingie chumbani kwako nilimkuta nice amekaa pembeni yako tu huku akiwa analia alikuwa anahangaika kutoa nyonyo lakini ulikuwa umelala kifudifudi nahisi hiyo ndo iliyokuwa inazidi kumtia hasira akawa anaendelea kupaza sauti na kulia kwa nguvu nilikuamsha nikakutikisa tikisa lakini wala haukuamka nilijaribu kukutizama vizuri ndipo nilipogundua kuwa tyr ulikuwa umeshazirah nilichanganyikiwa nikajikuta na mimi nimeanza kuliaπ₯Ήπ₯Ή nilimbeba nice mgongoni kisha nikaenda kuchukua simu yangu nikampigia boss paschal simu nilipiga mno akawa hapokei nilimwandikia ujumbe kuwa umepoteza fahamu chumbani kwako ndipo aliponipigia nikaongea naye aliniuliza kilichotokea nikamwelezea ndo akaja huo usiku akakubeba ukiwa haujitambui akakupeleka hospital. ..... nilimshukuru sana Isabella kwa moyo wake wa upendo na kwa msaada alionipatia.......
Nilikaa nikamnyonyesha mwanangu baada ya hapo nilimshusha pale kwenye bembea akawa anajichezea zake mie nikaelekea ndani..... nilimkuta boo yuko sitting room na laptop yake niliingia jikoni nikamchukulia juice nikamletea aliipokea akaniambia asante..... aliiweka pembeni ile juice akaendelea na mambo yake imagine nilipanda juu nikakoga nikamaliza nikajipumzikia zangu baada ya muda nilishuka chini kwa ajiri ya kwenda kumwandalia boo chakula nilijua ile juice now kaishaimaliza nimwandalie chakula cha kushiba.... nimefika pale sebleni nikapiga jicho pale alipo paschal alikuwa kasinzia palepale kwenye kochi hata ile juice hakuinywaπ₯Ήπ₯Ή nilisogea pale nikamlaza vizuriπ€¦ββοΈπ€¦ββοΈ alionekana kuchoka sana nilitamani kumwamsha akajilaze chumbani lakini niliogopaπ€¨π€¨ nilimlaza tu vizuri pale kwenye kochi nikamwekea mutoπ€¦ββοΈπ€¦ββοΈ baada ya hapo niliingia jikoni kumwandalia chakula nilipika msosi mtamu sana kwa ajiri yake nilipakua nikapeleka mezani nilimwamsha paschal nikamuuliza utakula ndo uoge au ukaoge kwanza ndo uje uleππ hakunijibu kitu aliamka pale sebleni akapanda juu chumbani aliingia bafuni akaoga akabadiri nguo akaondoka kasusa hadi kulaπ₯Ήπ₯Ή niliumia nilijikuta nimemtukana hemed matusi ya kila rangi nilianza kumtupia lawama haya yote ni kwa sababu yakeπ€¦ββοΈπ€¦ββοΈ lakini hata mimi nina makosa ni kwanini nilimkubalia aniduuπ₯Ήπ....
Nilipanda juu chumbani kwangu nikaliaπ₯Ήπ₯Ή niliichukua simu yangu nikamtumia boo msg nilimuuliza kwanini unanifanyia hivyo mme wanguπ₯Ήπ₯Ήπ₯Ή.... usisahau kunywa dawa fanya hivyo kwa ajiri ya mtoto wetu pamoja na huyo bwanako.... alinijibu hivyo jamani nilitamani kufa yani katika milima niliyowahi kukutana nayo duh ule nao ulikuwa ni mlima ambao nilikuwa najiuliza nitamaliza lini kuupandaπ€¦ββοΈπββοΈ majibu ya boo yalikuwa yananinyong'onyesha sana..... nilitamani siku zikimbie haraka ili hasira zake ziishe turudi kama zamani....kwenye simu yangu kule kuna namba ngeni niliikuta imenipigia sanaππ mmhhh nani huyu asijekuwa hemed kiukweli sitaki tena ukaribu naye haya aliyonisababishia yanatoshaπ₯Ήπ₯Ή nikiwa naendelea kujishauri pale na moyo wangu ile namba ilipiga tena kwenye simu yangu niliiangalia sana sikupokea niliipotezea hiyo ilikuwa ni missed call ya 173 mmhhh ni nani huyu aliyepiga kiasi hiki π€·ββοΈπ€·ββοΈ hebu Acha nimpokee lakini kama ni hemed siwezi kuongea naye chochoteβΊοΈ ile namba ilipiga tena ilinibidi tu nipokee baada ya kuipokea ile simu ilisikika sauti ya hemed akiwa ananilalamikia sana kwa sababu ya kuziweka namba zake zote blacklistπ€¦ββοΈπ€¦ββοΈ nilianza kulia nilimwambia tafadhari nakuomba ukae mbali na mimi etπ₯Ήπ₯Ή kama kweli unanipenda basi naomba usinitafute kwenye simu barua wala live niache hemed πππ nilikata simu nikaiblock ile namba ilifikia hatua kila namba ngeni inayoingia kwenye simu yangu niliiblock bila kufuatilia ni ya nani na anataka nini ?! Ile simu na yenyewe niliona tu itanitia uchizi niliamua kuizima nikaitupia huko kabatini niliipanda kitandani nikajilaza na mwanangu mida ilizidi kusogea jioni ilipita ukaingia usiku saa 2 tu mapema alirudi nyumbani boo wangu alikuja akambeba mtoto wake akashuka naye chini huwa ana kawaida ya kumfundisha mwanaye kwa njia ya mtandaoni.....walielekea maktaba alimkalisha mwanaye kwenye kiti chake na meza yake akampatia kishikwambi chake nayy akawa amekaa kwa pembeni hapo anamfundisha alikaa naye mtoto hadi akaanza kusinzia alimbeba akambembeleza hadi akasinzia alimleta chumbani kulala alimlaza kitandani kwake akamfunika vizuri akamuwekea net baada ya hapo alitoka yani alikuwa hanisemeshi jamaniπ₯Ήπ₯Ή..
Baada ya paschal kutoka Isabella alikuja kunigongea nilimruhusu kuingia alikuwa kashikilia kiboxπ³π³π³ alinipatia kile kibox niliogopa hata kukichukua nilimuuliza kakitoa wapi aliniambia ni paschal ndo kampatia aniletee........
Itaendeleaaaa. .....
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
