MIMI SIKUACHI๐ฅฐ Sehemu ya 28 na 29
Basi bwana mie nikalidi kwangu. Ila.sikuwa sawa yani ile kuvishwa pete ina maana anaolewa . Ina maana inakuwaje hii. Aseeeee sikuwa naelewa ni wivu au ni nini ndo kinanisumbua ila sikuwa sawa kabisa. Yani sikuwa sawa kweli kweli. Nawaza ni nn iki. Mpaka mke wangu aliniuliza una shida gani kwani . Nikamjibu hapana nipo sawa tu mke wangu ila kichwa kimechoka sana akanmbia sawa. Basi mie nikavuta simu yangu nikamtumia sms princess nikamwambia ole wako uolewe sasa ndo utanijua. Pri cess wala hakunijibu na sms yangu kaisoma nikaona zalau kisenge. Nikasema hakuna noma tutakutana tu. Basi mie nikapumzika na mke wangu. Na kesho yake nikaingia chuo. Ila nikaenda kucheal vimbweta vya parking nikimngoja princess. Aseee kama mganga hazikupita ata dakika 10 . Akapaki gari akashuka bwana. Mie chapu nikamfata . Akaningalia kisha akajifanya kunipotezea.nikamuuliza kwaiyo unioni ama.akasema unataka nn kwani we si umeoa una mke wako . nn kwenye maisha yangu ebu niache
Sikupenda majibu yake nikamsukuma mpaka kwenye gari yake.nikamshika kwa nguvu kiuno kisha nikamwambia ww chunga sana kauli zako unapoongea na mm. Unaelewa ww. Akabaki kimya nikasema nimesema hakuna kuolewa unasikia ww. Akanmbia niache bwana unaniumiza nisiolewa kwa ajili gani kwan una fosi we ndo una mboo dunia nzima si ulikuwa hunitaki aya leo nn. Sasa nimepata mwanaume anayenipenda san ananitaka . Anioe unakuja kunifanyaia fujo nn. Nikamwambia we demu unajifanya maraya sana si ndio nasikia sana scandal zako. Unatembea na wanaume kibao apa chuo mala malecturer ndo nn kama.sio kinizalilisha eeh. Akanmbia tufanye sawa natembea na wanaume wote apa chuo ww unaumia nn. Unataka kunisaidia kutembea nao ebu niache na maisha yangu. Aseee nilimind nikamwambia ww ntakuja nikupige we mshenzi wewe. Princesss akanisukuma kisha uyo akaondoka zake daah niliumia kisenge yani demu ananijibu kwa kujiamni kinoma. Nilisimama kama dakia 3 namfikilia tu kisha nikaingia class. Aseeee sielewi ilikiwa nn . Ila nilikuwa najikuta sasa namfatilia sana uyu mwanamke yan sana..na sio kwamba mke wangu simpendi no.mke wangu nampenda alafu na uyu nikawa namtaka sasa. Unajua kila mwanamke na utamu wake bwana
Siku iyo sasa nipo bweni na lemi nilikuw nimecheal mala moja tu . Lemi akanmbia kwani unahisi unamtaka princess. Nikasema kinoma mwanagu namtaka kisenge.nimemmis sana .lemi alicheka sana . Akanmbia kwaiyo imegeuka sahiz mtoto ndo kachange. Nikasema acha tu mwanangu lemi akanmbia ngojaa. Akampigia simu princeess. Akawa hajapokea akampigia tena hajapokea. Lemi akamtumia sms princess akamwambia pokea simu haji anaumwa sana niko nae bwenini apa. Mh dakika iyo iyo mchumba akapiga simu .lemo akasema princess uko wapi daah jamaa naumwa sana apa. Kama upo na usafiri wako tunaomba tumsaidie basi. Princess akasema ahaa upo room now anaumwa nn . Yan ni kama vile kachanganyikiwa nikajua kumbe bado ananipenda alafu anajishaua wanawake bwana
Lemi akasema yupo room apa. Princess akasema nakuja sasa hivi. Lemi akakata simu akanmbia anakuja sasa mimi naondoka nakuacha ongea nae. Ila ustumie hasira haji ongea nae vizuri au vp. Nikasema powa wala hakuna shida. Kweli mie nikatulia daah ata dakika 5 hazijafika mlango unagongwa .et anaita lemi lemi ni mimi fungua sasa. Mi nikafungua kisha nikamvuta kwa ndani. Akasema ndo nn sasa kumbe huumwi ata..nikamuuliza vp uliogopa mama. Akaniangalia kisha akasonya akataka kuondoka. Nikamshika mkono .nikamuuliza una enda wapi sasa.mi.nimekuita apa nataka tuongee na tuweke sawa shida zetu zote. Akasema hapana.mi sitaki. Nikamshika mkono kisha nikaja nae mpaka kitandani. Nikamwmabia princess sikia acha kuninunia unaelea mpenzi. Ebu tuongee kiutu uzima na tumalize tofauti zetu mi nakupenda sana mama. Akaniangalia kisha akaanzaa kuliaaa daah . Nikamwambia nni sasa princess nyamaza basi aya nyamaza kisha nambie mpenzi shida nn. Princess akanambia shida ni wewe na unajijua hinipendi kabisa . Jnanitesa tu haji. Unanitese mnoo.
Nikasema nisikilize sasa mpenzi naacha kukutesa wallah nakuaidi ntakupenda mno na tutakuwa pamoja .nakuhitaji mnoo kuwa na amani mpenzi na uniamini mm. Akanmbia mh kweli. Nikasema yes nakupenda mnooo. Si unaona napata wivu mpenzi. Basi princess akanyamaza.akanmbia utanipenda na mm nautanipa mda. Nikasema yes ntakupenda na ntakupa mda nakupenda sana mpenzi. Basi princess akafurahi mpaka.akanikumbatia.yaani mtoto mpka.kanikumbatia kuna nn tena..nikawa nataka kumkiss et anajifanya hataki. Nikamlazimisha lazimisha. Mh akajichia tu. Nikakakamatia zigo. Nilimiis sana bwana uyu demu basi niikamgeuza geuza sana.mana kuna stairi mke wangu kwa sasa hakai ile princess zote nikamuweka Nikamtomba sana mpaka.saa 3 usiku mi nipo hostel nakula mzigo.
Nikastushwa na simu ya mke wangu ananipigia .Princess akanmbia we pokea tu. Mie kweli nikaipokea ile simu. Mke wangu akaniuliza mbona leo umechelewa mpaka.sa hizi.sa 3 upo wapi. Nikasema mke wangu nipo chuo najisomea kesho tuna tests . Akanmbia sawa badi usichelewe sana nikasema powa. Nikakata simu nikamdaka princesss. Nikaendelea nae mpka sa 4 ndo nikamucha. Princeess yupo hoi. Nikaanza mimi kwenda kuoga.na yeye akaenda kuoga. Mh mtoto mzuri uyu anavutia kisenge basi tu. Basi mimi nikamchukua mpaka parking . Akanmbia twende basi ntakuacha kalibu na kwako. Nikamungalia kisha nikatabasam nikasema powa . Na kweli akadrive mpaka nilipombwambia niache apo . Nikamwmbia nashika ila kesho nakuja kushinda kwako mana ilikiwa ni week end . Akaniukiza mkeo utamwambia nn .nikasema kuhusu vya kumwambia mke wangu niachie mie.akanmbia sawa hakuna shida kipenzi. Nikambusu . Bas akatabasamu akanmbia nakupenda san.nikasema nakupenda piah.kisha uyo nikasepa zangu kwangu.
Nikakuta mke wangu ananingoja ata hajalala maskini. Mh nikampiga kiswahili apo. Oohh nilikuwa discussion mke wangu. Nilikuwa najisomea na wenzangu . Sababu tuna mitihani yani ngonjera kibao. Kumbe uongo mtupu.na fatuma wangu wala hakuwa na shida akanipakulia chakura nikala .nikapumzika.asubuh na mapema nikajiandaa fresh akanmbia leo vipi jamani mume wangu na ni j mosi unabakig apa. Nikasema leo naenda kufanya mtihani mke wangu. Si jana nilikwambia nasoma nna tests leo.basi mke wangua kanmbia sawa uende salama . Basi mie nikajiandaa zangu uyoo mpaka mjini kwa princesss. Asa uyu mwanmke alinipokea vizuri mnooo. Tena kwa heshima zote. Akanindalia chakura kwa bashasha. Aseeee. Wote niliwakamata princess na fatuma wote walikuwa wananipenda sana sio siri. Yani sijuh ata nani kamzidi mwenzake. Baada ya chakura sasa . Tukaingia chumbani . Ooh ukoo tulitombana mwanzo mwisho.ni tulishunduana kweli kweli hakukuwa na masihara ata kidogo . Tulifanyana kwrli kwrli . Yani siku nzima mie nilikuwa juu ya kiuno cha princeee. Mapka jioni ndo tumeachiana. Ndo nikamuuliza vp kuhusu kuvalishwa pete. Princes akachr6ka akasema lile ni tangazo bana. Nilipata ndo tukashoot wala sio mwanaume wangu. Daah ndo roho na moyo vikapoa mana daah . Aanmbia nimesikia raha ile siku umeniulizia hilo suala. Nikahisi kumbe na mm ata unanifikilia .nikacheka sana .nikasema kwa nn nisikufikilie nakupenda kinoma. Akasema sawa ila sijamshinda fatuma
Nikasema kila mtu ana nafasi yake kwangu . Wewe una nafasi yako na yeye ana nafasi yake so usijilinganishe sio sawa mpenzi unaelewa .akanmbia sawa . Basi akanmbia mimi natka unipende haji. Nipe mda wako ata kidogo mi sitakusumbua kabisa kwa mke wako. Nikamwambia sawa. Basi tukaongea mengi mnoo na mchumba.mpaka usiku mi ndo naludi kwangu. Na fatuma akanikalibisha vizuri akihisi nimetoka kweli kwenye tests kumbe nimetoka kucheat. Acheni kabisa. Basi bwana kuanzia apo mimi na princess tukalidisha penzi tena. Sema nilikuwa makini sna. Na sio mm tu ata princess alikuwa makini sana. Hakuna mtu wa kunitumia sms. Sana labda akijua nipo chuo..na mala nyingi ni ananipigia. Na tukimisiana ni bweni kwa lemi au kwake kutombana. Aseee demu na yeye alinielewa kisenge. Siku iyo akanmbia ahaaa nataka nikushauri kitu.nikasema ndio akanmbia unaonaje ukafungua stationery unajua ushaoa na mtoto anataka kuja unaongeza familia lazima utafute kitu cha ziada kitakachokupa pesa. Nikasema ni wazo zuli ila si unaelewa sina pesa mama . Ndo mana.๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi