Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*MIMI SIKUACHIπŸ₯°* *26 *SEASON TWO*
Gonga94 Β· Stories

*MIMI SIKUACHIπŸ₯°* *26 *SEASON TWO*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


*SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA*

Basi bwana mie nikamuoa fatuma na nilikaa nae nyumbani kama weeek. Kwa uo mda lemi ye alinishanitangulia . Yani alishaondoka baada ya mimi kuoa tu. Basi mie nikatulia nyumbani na mke wangu nakula saba kwanza. Basi apo mama alituhusiana sana . Juu ya ndoa . Walitueleza mengi kuwa ndoa ni kuvumilana kupendana na kuheshimiana. Asa mama alinisihi sana kuwa nikawe makini na mtoto wa watu kwenye miji ya watu uko . Nikasema sawa mama. Basii mama akawa anamwambia fatuma.yani akikutesa uyu we nipigie simu. Mama bwana asa mm naanzaje kumtesa fatuma ninavyompenda uyu mwanamke dunia ya mwisho. Nampenda sana. Yani sanaaa . Mama anashindwa kuelewa tu.

Basi bwana . Baada ya week . Mimi nikaaaga nyumbani sasa kuwa naludi chuo kuendelea na masomo. Nikabeba na mke wangu. Basi tulisafir siku nzima akawa ananalalamika miguu inamuuma sana .nikawa namuelewa ni mimba ndo mana inakuwa hivi. Basi nampa ple. Namshika shika miguuu hivyo mpaka tumefika morogoro. Na tukapanda gari mpaka mkongeni tukashuka.mana iko ndo kijiji nilichopanga. Basi tumefika jioni kabisa. Mimi nilichoka ila fatuma alizidi alikuwa kachoka mnooo. Akafikia kulala tu. Basi bwana mie nikaenda kumtafutia chakura kwanza. Kisha nikaludi .nikamuasha akaoge.akanmbia nimechoka sana mume wangu. Ila nikambembeleza sana kuwa akaoge bdi akajivuta tu. Mie nikaenda kumuwekea maji chooni. Mana choo ni cha njee. Basi akaenda kuoga alipotoka. Akala. Akapanda kwenye godoro kupumzika. Na mm wala sikumshika kumsumbua mana nilishaelewa mke wangu kachoka.

Kesho yake asubuh sana nilimuamsha na nikamuelekeza mazingira yote ya pale. Na uzuri ile nyumba tulipanga wanafunzi 3 wote yani. So nyumbani anakuwa anabaki mwenyewe . So hakuna umbea umbea wala maneno. Mi nikamuachia elfu 10. Nikamwambia naingia chuo. Akanmbia sawa hakuna shida. Basi kweli mwanaume nikaingia chuo. Washikaji wakanipongeza sana matani kwa sana. Mi nikawa nacheka tu .na ratiba za class zikaendelea kama kawaida. Mda wa mchana sasa.kwanza nilimpigia simu mke wangu kujua anaendeleaje mana ni mgeni. Akanmbia naendelea vizur na yupo powa na ameamka vziri tu. Nikamuuliza umepika . Akanmbia ndio na sokoni nimepajua. Nikacheka nikasema pow tutaonana jioni. Basi ile nataka simu na princess anapita mbele yangu. Mh kanuna uyo akanipita shwaa ata hajanisalimia. Yani ni fyaaaaa. Ila kapendeza kawaka mtoto anajua kuvaaa uyu na lile figaa uko nyuma acha kabisa .mie nikaludi kukaa na mwanangu lemi tukisubili kipindi cha jioni

Lemi akanmbia daah unajua princess mpaka mm kaninunia .kanambia et mimi ni shemeji mnafiki mwanangu. Nikacheka.nikasema yule demu ana shida sana. Alikubali mwenyewe oooh ntakuwa na wewe uku ukiwa na mwanamke wako. Mala kaghairi anaitaka peke yake anaanza kujinunisha asa ata akinuna nani ana mjali ana hisi aende zake uko. Lemi akanmbia ila yule demu mwanangu umemuacha we una moyo. Ahaaaa acha tu ninyamaze mie nikacheka mana lemo nae ana tamaa msenge uyu basi bwana mimi ndo nikaanza maisha ya ndoa uku nikipambana na shule.mi sikuw na kikubwa sana. Pesa ya kuendesha maisha ni ya boom.ila nashukuru tu fatuma alikuwa ni mwanamke muelewa sana hakuwa na tamaa kabisa. Yan ananjua tunaishije .nilishamwambia anivumilie . Tupambane mpaka nitakapopata lazi kila kitu kitakaaa sawa.

Basi bwana siku zikawa zinaend na maisha yanasogea. Apo mm na princess ni tulikaushiana kabisa. Nikaanza kusikia tu scandal zake mala kuna leacture anatembea nae. Mala anatembea na mwanafunzi mwenzie wa mwaka wa pili . Ila mie wala.sikujalai nikawa busy na mambo yangu. Siku iyo sas nakumbuka ilikiwa mida kama ya saa 1 .nilikuwa natoka class nipo na lemi. Asa tunatoka hivi. Namuona princess amesimama anaongea na mwanaume. Ila ni kama wanabishana hivi. Mh mi nikasimama kwanza. Nikawa namsikia princes anamwambia kwani nn huelewi hujui kukataliwa nimeshakwambia sikutaki ebu niache. Alafu yule mwanaume ni kama anabembeleza ila anabembeleza kwa fujo na kufosi. Aseee nikasogea mpaka pale .nikauliza nn apa. Kuna nn yani. Princess akanyamaza kimya yule jamaa namjua ni mwaka wa 3. Na yeye uwa anakujaga na gari apa chuo anaitwa jeff. Akasema.we bwana mdogo nn ebu acha mi naongea na mwanamke wangu apa. Nikasema.asa mbona kama unafosi broo. Mwanamke si anakwambia hakutaki ama..hujui kukataliwa . Yule jamaaa akanambia dogo ebu sepa bwnaa nn sasa unaingialia visivyokuhusu. Nikamuanagalia sana uyu jamaa. Kisha nikamshika mkono princess nikamvuta. Akawa hataki. Nilimkata jicho moja tu. Akajinyamazisha kimya .nikamvuta mpaka pembeni. Nikamwambia unajifanya unakaataa nini kimaraya maraya . Akanmbia kwani yanakuhusu unaingilia nn sasa si ungeniachia tu
Nikasemaa unazani kukutoa pale kwamba mimi nakuhitaji ww. Ebu acha upumbavu wako. Wewe. Nimeona unapata shida alafu ww ni mtoto wakike .angekubaka bule. Akaningalia kisha akanisonyaaa .kisha uyo akaondoka zake. Mie nikaludi kwa lemi tukasepa .ila lemi akanmbia mh we bado unamtaka princess mbona imekuwa vile.nikasema mm sipendi kuona mwanamke anaonewa mbele yangu .lemi akanmbia fresh mwanagu. Kisha uyo mie nikakudi kwangu. Kwa fatima wangu. Na mda uo fatuma mimba yake ilikuwa na miezi 3. Ila ilikuwa inamsumbua sumbua aswaa vyakula anachagua chagua namuelewa ni hali yake basi napambana nae tu. Basi ikakata kama week sikuonana na princess kabisa . Na nikawa busy na mambo yangu tu. Siku iyo sasa nimekaa zangu classs nachezea simu. Nikaona kuna mtu kampost princess anavalishwa pete. Alafu kaweka captain kaandika nikiwa mkubwa nataka kuwa kama ww da princess. Mh uyu alopost ni alikuwa mdada nasom nae . Asa si ile kuview status ndo naona mh nikaangalia vizur mna sikuelewa nimepatwa na hali gani. Kwanza alipendeza kinoma alafu na ata uyo mwanaume niliona alikuwa njema ndo kamvisha pete sasa. Nilikuwa na lemi nimamuonesha ile picha .nikamuuliza oyaa mwanagu uyu sio princess kweli. Lemi akanmbia mh ndo mwenyewe mbona kama.anavishwa pete ya ndoa na nani tena? Nikasema sijuh nimeona kapostiwa tu. Mh lemi akaningalia akanmbia kwani umeumia. Nikasema kwannn niumie sasa .si ni moja ya maisha yake jamani. Lemi.akanmbia powa kaka. Ila sio siri mi niliumia kinoma kuona uyu demu kavalishwa pete. Yani moyo uliuma kisenge yani petee tena..alafu ana furaha mnoo.

Mh nikajikuta nimemtumia sms. Nikamwmbia hongrra kwa kuvalishwa pete .akanmbia thanks. Daaah yani anasema kabisa thanks. Nikamuuliza so ndoa lini. Akanijibu soon tu. Mh nikamjibu powa kisha nikakausha aseee nilihis kamoyo kanauma mnooo. Badi tumetoka class na yeye namuona kwa mbali . Yupo na rafiki zake anacheka sanaa na wenzie. Aseeeee sielewi ata kwa nn na wakati nna mke nyumbani. Ila moyo ukauma kisenge mpaka nikachange lemi akaniuliza we vp huendi kwako leo. Nikasema sikia nataka kuongea na princess. Lemi akanishangaa kasem princess tena. Unataka kuongea nae nini sasa na humtaki. Nikasema lemi muite princess aje room kwako mwambie una maongezi nae muhimu nataka kuongea nae . Mh lemi akaningalia akacheka akanmbia ahaaa kumbe unampenda sio. We demu yule mkari sio masihara kumuacha demu kisenge senge kama yule kama vipi wewe kuwa nao wote kwani sh ngapi. Mmoja yupo chuo mwengine yupo nyumbani. Nikasema sikia acha maneno mengi mpigie. KWeli lemi akampigia aikuchukua mda princess akapokea . Lemi akasema princess sikia bwana unajua nn kun issue nataka tuongee kidogo achana na mambo ya zamani. Princess akasema sitaki drama zenu naomba mniache. Lemi mimi na ww tuna cha kuongea kipi. Lemi akasema kipo bwana ni issue zengine wala sio za kuhusu haji no. Njooo hostels ni issye ambayo inataka wote tuwe tumetulia. Princes akasema hapana siwezi kuja kisha akakata simu daah roho ikauma. Yani anajikuta nani. Lemi akaniangalia akanambia si umemsikia mchumba kakataaa kuja.nikasema powaa

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*MIMI SIKUACHIπŸ₯°* *26 *SEASON TWO*



*SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA*

Basi bwana mie nikamuoa fatuma na nilikaa nae nyumbani kama weeek. Kwa uo mda lemi ye alinishanitangulia . Yani alishaondoka baada ya mimi kuoa tu. Basi mie nikatulia nyumbani na mke wangu nakula saba kwanza. Basi apo mama alituhusiana sana . Juu ya ndoa . Walitueleza mengi kuwa ndoa ni kuvumilana kupendana na kuheshimiana. Asa mama alinisihi sana kuwa nikawe makini na mtoto wa watu kwenye miji ya watu uko . Nikasema sawa mama. Basii mama akawa anamwambia fatuma.yani akikutesa uyu we nipigie simu. Mama bwana asa mm naanzaje kumtesa fatuma ninavyompenda uyu mwanamke...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimi-sikuachi-26-season-two

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimi-sikuachi
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)
🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 MIMI SIKUACHIπŸ₯°1 MPK 6
🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 MIMI SIKUACHIπŸ₯°1 MPK 6
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya  28 na 29
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 28 na 29
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 74 na 75

MY WANGU❀️ sehemu ya 74 na 75

731
MY WANGU❀️ sehemu ya 76 na 77

MY WANGU❀️ sehemu ya 76 na 77

658
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 48πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 48πŸ’˜πŸ’˜

548
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 49πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 49πŸ’˜πŸ’˜

355
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya  28 na 29

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 28 na 29

225
*MIMI SIKUACHIπŸ₯°* *26 *SEASON TWO*

*MIMI SIKUACHIπŸ₯°* *26 *SEASON TWO*

215
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 50πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 50πŸ’˜πŸ’˜

186
πŸ˜‹πŸ˜‹KIJIJI CHA UTAMUπŸ˜‹πŸ˜‹  Sehemu ya 10

πŸ˜‹πŸ˜‹KIJIJI CHA UTAMUπŸ˜‹πŸ˜‹ Sehemu ya 10

181
REAL LOVE*  Chapter 8

REAL LOVE* Chapter 8

133
REAL LOVE* Chapter 7

REAL LOVE* Chapter 7

125

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.82K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.66K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.04K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.44K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.41K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.28K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.28K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 50πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 50πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎢🎢from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎢🎢"" ""🎢🎢from the moment you spoke my...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya  28 na 29 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 28 na 29
@majario LIVE

Basi bwana mie nikalidi kwangu. Ila.sikuwa sawa yani ile kuvishwa pete ina maana anaolewa . Ina maana inakuwaje hii. Aseeeee sikuwa naelewa ni wivu au ni nini ndo kinanisumbua ila...

*MIMI SIKUACHIπŸ₯°* *26 *SEASON TWO* Post Mpya
*MIMI SIKUACHIπŸ₯°* *26 *SEASON TWO*
@majario LIVE

*SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA* Basi bwana mie nikamuoa fatuma na nilikaa nae nyumbani kama weeek. Kwa uo mda lemi ye alinishanitangulia . Yani alishaondoka baada ya mimi kuoa tu....

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 49πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 49πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Nilipokea lile box huku mikono yangu ikiwa inatetemeka sana isijekuwa talaka kabla ya ndoa😌😌 Isabella baada ya kunipatia kile kijibox yeye aliniaga akaondoka nilikichunguza kile kibox kilikuwa na mwonekano...

REAL LOVE* Chapter 9 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 9
@majario LIVE

upande mwingine nyumbani kwa mama seven familia mbili zote zilikutana familia ya cathe na seven, wote walikuwa kwenye sintofaham familia ya cathe hawakuamini kabisa kama mtoto wao anaweza mufanya hivo, walikaa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 76 na 77 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 76 na 77
@majario LIVE

Kweli bwana .baada ya week mbili .mlige alikuja nyunbani kuongea na baba. Sielewi ata waliongea nn. Ila ilikuw ni kumuelezea baba kuwa kanipenda na anahitaji kunitolea barua ili nikimaliza chuo...

MY WANGU❀️ sehemu ya 74 na 75 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 74 na 75
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuvaaa. Akanipa vidonge viwili et meza jana nimepitiwa nimemwagia ndani. Na kweli game ya jana ilikuwa moto. Mlige hakukumbuka kumwagia njeee kabisa mabao mengine. Mie nikawa nishaelewa. Ni...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 48πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 48πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Ilifika usiku mida kama ya saa nne hivi nilikuwa bado cjaweka kitu chochote tumboni kwangu bado nilikuwa nimejifungia chumbani kwangu nalia tu..... Boo alikuwa bado hapokei simu ya mtu yeyote........

REAL LOVE*  Chapter 8 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 8
@majario LIVE

machozi yalimtoka kwelikweli daktari alimuonea sana huruma, seven aliliona hilo lakini ndo hakuwa na jinsi aliwaza sana afanye nini ili aeleweke kwa binti huyo, daktari alimaliza kumpima kisha akampa pole fahima...

πŸ˜‹πŸ˜‹KIJIJI CHA UTAMUπŸ˜‹πŸ˜‹  Sehemu ya 10 Post Mpya
πŸ˜‹πŸ˜‹KIJIJI CHA UTAMUπŸ˜‹πŸ˜‹ Sehemu ya 10
@majario LIVE

(πŸ”ž) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Kumbe bibi nacho alikuwa amewafungia wale wali walipojaribu kutoka walishindwa. " Jamani mlango umefungwa ila si yupo na mlinzi...

REAL LOVE* Chapter 7 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 7
@majario LIVE

seven alihisi kufa hakuamini kabisaaa kama yeye ndo amefanya kitendo kile hapana sio mimi mimi sio kabisa najijuwa ni mstaarabu siwezikufanya hivi sijui huyu binti kamleta nani hapa mungu wangu mimi...

REAL LOVE* *SEHEMU YA SITA* Post Mpya
REAL LOVE* *SEHEMU YA SITA*
@majario LIVE

ndani ya hotel moja kubwa iliyopo posta katika chumba kimoja walionekana devi pamoja na cathe wakiwa wamekumbatiana kitandani, wanyama hawa hawakuwa na wasiwasi wowowte juu ya usaliti wao yani ndokwanza...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest