AAAAH IMETOSHA BOSS ππ N0 50ππ
""πΆπΆfrom the day that I met you girl""
""I knew that your love would be ""
""Everything that I ever wanted in my lifeπΆπΆ""
""πΆπΆfrom the moment you spoke my name""
""I knew everything had changed""
""Because of you I felt my love would be completed""
""Oh baby ""
""I need you""
""For the rest of my life girl I need youπΆπΆ""
""πΆπΆ nothing matters but you my love""
""And I only good above""
""Could be the one to know exactly how I feel ""
""I could die in your arms right now ""
""Knowing that you some would take my soul and keep it deep your heart inside ""
""Oh baby""
""I love you""
Ulikuwa ni wimbo wa Marc Anthony ndio uliokuwa ukilindima katika kumbi za Jangwani Sea breeze Resort ni mme wangu Paschal ndiye aliyekuwa kashikilia Maic kule kwenye stage alikuwa anauimba wimbo huo kwa hisia sana pale nilipokuwa natembea taratibu kuingia ukumbini pale ni baada ya kuwa tayari tumeshafunga pingu za maisha tulikutana ukumbini pale kwa ajiri ya kusheherekea pamoja na ndugu jamaa na marafiki tuliokuwa tumewaalika kujumuika nasi kwenye siku yetu hiyo ya muhimu..... paschal aliendelea kuniimbia hiyo nyimbo na taratibu alitelemka pale kwenye stage alianza kutembea taratibu kunifuata huku ninakotokea watu wote ukumbini walisimama pale ambapo queen nilipokuwa naingia ukumbini pale mme wangu alizidi kuja taratibu huku akiwa anaendelea kuniimbia ile nyimbo nilismile huku nikiwa natembea taratibu kwa mapouzi mkononi kwangu nilishikilia maua yenye rangi nyeupe, nyekundu na ya pink.....nilikuwa nacheza taratibu kuendana na ile bit ya ule wimbo aliokuwa ananiimbia mme wangu taratibu alizidi kuimba huku akiwa ananifuataππ tulionyeshana smile hatukujali zile tofauti zilizokuwepo kati yetu..... ile ilikuwa ni siku yetu ya furaha nomaraa waaa lazima tu ilitakiwa tufurahie tulikumbatiana baada ya kuwa tumekutana katikati ya ukumbi pale shangwe na vigeregere vilisikika ukumbini pale mianga ya cameras vilimulika kwa wingi sana pale tulipokuwa tumekumbatiana mimi na mme wangu paschal...... kila mmoja alifurahia kwa ajiri yetu..... lakini hawakujua mioyoni mwetu kila mmoja alikuwa na lake jambo.....
Baada ya kukumbatia tulikiss shangwe na vigeregere vilizidi kutawala ukumbini pale...... mc alikuja akaichukua ile mic aliyokuwa nayo mme wangu baada ya hapo aliwaomba watu wote waket kwenye viti vyao Dj hakuchelewa alituwekea nyimbo ya kutusogeza kule stejin....
Pale kwenye stage mc alitutaka tupeane maneno matamu kwanza kabla ya mambo mengine kufuatia aliyekuwa wa kwanza kunipa mistari mitamu alikuwa ni mme wangu Paschal aliichukua maic mbele ya kila mmoja pale alizielezea hisia zake kwangu kuanzia siku ya kwanza aliponiona ofisini alishindwa kuvunga alijikuta ameniita ofisini kwake...... nilimpenda kuanzia ile siku macho yangu yalipomuona et nilitamani kuziweka hisia zangu kwake siku ileile lakini niliona bado ni mapema sana itakuwa ngumu kumshawishi lakini namshukuru mungu kwa kuwa kila kitu kilikuja kikakaa kwenye msitari hadi hapa tulipofikia namshukuru sana mwenyezi mungu kwa baraka zake kwetu namshukuru mke wangu kwa mapenzi ya kweli aliyonayo kwangu asante kwa zawadi ya mtoto uliyonipatia kipenzi changu naomba nikwambie tu ya kwamba .......
"" I lay my love on you""
""It's all I wanna do""
""Every time I breathe I feel brand new.....""
""You opened up my heart..... show me all your love and walk right through I love you my lovely wife..... nitakupenda Leo kesho na hata mileleπ€π€π€......
Baada ya mme wangu kuutoa huo ujumbe mbele ya kadamnasi pale tulikumbatiana tukakiss kimoyo changu kilikuwa kinanienda mbio kile nilichokitenda kwa mme wangu kilizidi kuniumiza mimi mwenyewe π₯Ήπ₯Ή mme wangu amenifichia aibu yangu cheki ujumbe anaoutoa mbele za watu kunihusu mimi ameamua kuyaficha machafu yangu mbele za watu ananimwagia sifa kedekede..... hivi ni kwanini nilifanya vile mimi pendoπ₯Ήπ₯Ή machozi yalinitoka nilipewa maic kwa ajiri ya kuongea vichache vizuri kwa ajiri ya mme wangu paschal kichwani tyr vilishayeyuka kutokana na ile hofu iliyokuwa imetanda moyoni kwangu...... niliichukua ile maic nilimwangalia mme wangu paschal sikuwa na mengi nilimwambia nakupenda nakuahidi penzi la kweli nisamehe msamaha wa dhati pale nilipowahi kukukwaza tunaenda kuyaanza maisha mapya ya ndoa naomba ikawe kheri kwetu nakupenda sana mme wangu maisha yangu yote nitabakia kuwa na wewe tuπ₯Ήπ₯Ήπ₯Ή alinifuta machozi then alinikiss tulikumbatiana na baada ya hapo yalifuata mambo mengine......msione watu wanalia siku za ndoa zao huwa wanalia na mengi my zangu mimi siku ile nilikuwa kila nikiukumbuka ujumbe wa maneno matamu alionipatia mme wangu machozi yalikuwa yananibubujika bila break nilijiona mkosaji nisiyestahiri kusamehewa......
Program zingine ziliendelea kama ilivyokuwa imepangwa kwenye ratiba baada ya vitu vyote kukamilishwa sherehe ilihitimishwa usiku sana mida ya saa tisa..... tulijipumzisha na kesho yake tulianza safari kuelekea paris ambako huko ndiko alikotuchagulia baba paschal twende honeymoon kwa ajiri ya kufurahia mapenzi ya ndoa yetu yeye ndo aliyegharamikia kila kitu kuanzia tkt za ndege hotel tuliyofikia kula, nguo za honeymoon yani everything ni baba mkwe wangu ndiye aliyegharamikia na hiyo ilikuwa ni ahadi yake kwetu ya siku nyingi sana alifurahi sana kwa mtoto wake paschal kufunga ndoa...... tukiwa Paris kule mwenzenu si nilijua huenda mme kaishanisamehe kutokana na ile amani aliyoionyesha siku ya ndoa basi mie nikajua tyr yalishaisha tunaanza new life tuenjoy huba la ndoa.....
Ni usiku ndiyo mida ambayo nilijilaza kitandani katika hotel ile ya kifahari nilivaa kinguo cha wazi kilichoyaonyesha maungo ya mwili wangu kwa ajiri ya mme wangu nilijilaza katika pozi moja matata sana msambwanda wote niliuacha wazi wazi kwa ajiri ya kumtamanisha mme wangu...... paschal alitoka bafuni nilijidai kama mtu aliyesinzia nilitaka tu kufanya hivyo ili mme wangu aje kunitomasa mwili wangu taratibu huku akiwa ananiomba niamke usingizini nimpe kwanza utamu ajilie..... cha ajabu sasa mme wangu alivyotoka bafuni alibadiri nguo baada ya hapo alichukua blanket akanifunika vizuriπ³π³ baada ya hapo alinikiss kwenye paji la uso then aliniachia ujumbe pale yeye akawa ametoka nje ya kile chumbaπ€¨π€¨.......
Itaendeleaaaa........
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi