Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 51...52πŸ’˜πŸ’˜
Gonga94 Β· Stories

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 51...52πŸ’˜πŸ’˜

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha ibakie siri kama vile nilivyoificha aibu ya kile ulichokitenda..... hee😳😳 huo ndo ujumbe alioniachia mme wangu pale kwenye muto..... baada ya kuusoma nilihisi kuchanganyikiwa😴😴 hivi huyu mwanaume hana tena hisia na mimi kwa hiyo simvutii tenaπŸ€”πŸ€” si tuko honeymoon jamani ni kwanini asiyaweke pembeni makosa yangu tufurahie kwanza mapenzi ya ndoa yetuπŸ€”πŸ€” ataninyanyasa mpaka lini lakini mimi naye nilikurupuka sana kwenda kufanya mapenzi na hemedπŸ₯ΉπŸ₯Ήlakini tayari nilishakosea ataninyanyasa mpaka lini.... angalia adhabu ninayoipitia kwa ajiri ya ujinga wangu wa kujitakia...... hivi hii ndoa itakuwa ndoa ya aina gani et😟😟 nilipanda kitandani kwa hasira nikalala kesho yake mapema alfajiri niliamka nikaingia bafuni nikaoga nilivaa nikapendeza sana baada ya hapo nilichukua notebook nikamwachia paschal ujumbe...... nilikukosea sana huenda ni kweli sisitahiri kusamehewa na weweπŸ™πŸ™ sioni kama kuna umuhimu wowote wa kuendelea kuact kama watu tulioko kwenye ndoa hii itatumaliza kisaikolojia sisi bado ni vijana wadogo ambao tunatakiwa kuishi katika ndoa halisi na siyo hii ya maigizo iliyopo kati yetu sisi hapa, paschal ukweli ni kwamba mimi ninakupenda sana wewe lakini ninaona kabisa moyo wako umeshanitema sioni kama kuna umuhimu wowote wa kuendelea kuwa karibu na wewe nitaondoka mimi na mtoto wangu tutaelekea sehemu yoyote ile ilimradi tu tupotee machoni kwako make naona ni kama ninakupa tabu sana ya kukaa unanikwepa kila muda ....... kwa heri mme wangu ubaki salama niliivua ile Pete ya ndoa nikaiweka juu ya ule ujumbe nilizitoa line zangu kwenye simu nazo nikaziacha pale nilichafukwa sikutaka kuondoka na line zikaja nishawishi kumtafuta au yeye kunitrac kimtandao ili kujua sehemu niliko ni wapi..... nilimuandaa mwanangu nikaitisha tax tukawa tumeondoka kule hotel tukahamia mji tofauti ambapo huko nililipia chumba hotelini nikakaa na mtoto wangu......

Haikuwa rahisi kwangu kuamua uamuzi mzito kama ule.....lakini ilinibidi tu hakuna kitu kinauma kama umtege mwanaume wako alf asitegeke yani ujiweke fresh kwa ajiri yake alf yeye akikukuta hivyo achukue nguo kukufunika kisha akuache na kwenda kulala kwenye chumba kingine😟 alf nilimkumbuka et niliyamis mapenzi yake😟sasa kaniowa ili iweje kama hataki kuniduu..... nilichokifanya nilimtafutia nice shule ni day care nilikuwa nampeleka asubuhi then jioni naenda kumchukua..... ilikuwa ni shule ya watoto wenye umri wa kuanzia mwezi mmoja hadi miaka miwili...... kwa kipindi hicho nice alikuwa na miezi 10 kuelekea 11..... nilimlipia nice huko kwa sababu sikuwa na mtu wa kumwangalia Isabella alienda kwao kusalimia baada ya kuwa sisi tumeondoka kuelekea paris kwa ajiri ya honeymoon...... mwanangu alianza shule nami nilitafuta kazi nilipata kazi katika super market moja ni katika kitengo cha cashier......ilikuwa ni kama bahati tu siku hiyo naenda kuomba kazi pale super market nilikuta wana uhaba wa cashier mmoja na nafasi ya kazi ilikuwa imebakia hiyo hiyo moja nilichukuliwa siku ileile na kuanza kufanya kazi.....

Nilikuwa natoka kazini saa 12 jioni naenda mpokea mtoto kwenye kituo cha school bus tunarudi hotelini kupumzika..... siku zilizidi kwenda mwilini kwangu nilianza kuona mabadiriko maziwa kifuani kwangu yalianza kunyauka hadi mtoto akaanza kukosa maziwa ya kunyonya mmhhh kizungu zungu cha hapa na pale uvivu nilianza kuwa nasinzia hadi kazini nilijiuliza hii hali ni kwanini inanikutaπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈ sikuliwazia sana swala la ujauzito japo nilikuwa nimepitiliza siku zangu za period lakini tarehe zangu za period huwa zinabadirika kila mwezi nilihisi tu huenda ni stress za mapenzi ndizo zinazonichanganya...... siku moja nikiwa kazini nilidondoka kutokana na kuvamiwa na kizungu zungu kikali sana nilikimbizwa hospital nikachukuliwa vipimo majibu yalitoka kuwa mimi ni mjamzito nilishtuka sana kutokana na yale majibu ya vipimo😴😴niliyaona kabisa matatizo yanavyozidi kuongezeka katika upande wangu niliwaza kumbambikia paschal ule ujauzito lakini ni miezi sasa imepita bila kushiriki naye tendo.....nakumbuka tangu niliporudi Tanzania kwa ajiri ya ndoa sikuwahi kabisa kuduu na paschal na hata siku tuliyokuwa safarini kuelekea Tanzania mimi nilikuwa niko period na paschal alilijua hilo kumsingizia huu ujauzito siyo rahisi ni bora hata ningekuwa nimejamiaana naye kwa siku za hivi karibuni........

Habari za ujauzito nilizipokea kwa masikitiko makubwa sanaπŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈ kusema kweli nililia machozi nilikuwa najiona single mother wa watoto wawili ambao wana baba tofauti......hey miss mbona unalia ujauzito ni jambo la kheri unatakiwa kulipokea kwa furaha☺️☺️aliniambia Mom Elizabeth hahahaa ni kweli mom lakini ninalia machozi ya furaha etπŸ₯²πŸ₯² hospital nilisindikizwa na mama Elizabeth huyu ni boss wangu kule ninakofanyia kazi...... baada ya kuruhusiwa hospital jioni mida ya saa 1 Mom Elizabeth aliniuliza.....
""Vipi naweza nikakupeleka nyumbani kwako?!""
""Ni sawa Mom""
""Unakaa wapi na unakaa na nani?!""
""Nakaa Hotel Mom ninaishi na mtoto wangu mdogo....""
""Why kwanini usitafute nyumba😳😳""
""Nipo kwenye harakati za kutafuta nyumba Mom ndo najipanga et""
""Mwanao ana umri gani?!""
""Ana miezi 10""
""What😳😳 mwenza wako yuko wapi?! Samahani lakini kwa maswali najaribu kutafuta namna ya kukusaidia🀨🀨""
""Mwenza wangu tumetenganaπŸ₯ΉπŸ₯Ή""
""Ni sawa usilie basi mimi nitakupatia sehemu ya kukaa wewe na mtoto wako twende hotel umchukue mtoto wako na vitu vyako then nitawapeleka nyumbani kwangu mpumzike utakaa na mimi hadi pale utakapopata pesa za kujitegemea..... kwa hii hali yako unahitaji uangalizi wa mtu.....pole sana kwa matatizo yaliyokukumba kwenye mahusiano yako lakini hutakiwi kukata tamaa unatakiwa kuwa strong kwa ajiri ya watoto wako""

Mom Elizabeth alinipeleka hadi kule hotelini nilimkuta mwanangu yuko kule reception na wahudumu wa kule hotelini baada ya kuchelewa kwenda kumpokea nilipigiwa simu na uongozi wa shule nikawaelekeza wampeleke kule hotel pale hotel kuna dada nilikuwa nimeshaanza kutengeneza urafiki naye huyo ndiye aliyempokea mwanangu akabakia naye hadi huo mda niliorudi kutoka hospital ....nilimbeba mwanangu niliwashukuru kwa msaada wao niliwaomba radhi kwa usumbufu mom Elizabeth alikwenda chumbani kwangu akanisaidia kutoa mabag yangu na ya mwanangu alitupeleka nyumbani kwake alitutambulisha katika familia yake pale kwake nilimkuta kijana wake ambaye alijitambulisha kwa jina la Tristan.....Father house ambaye ni Mr philipe pamoja na wasaidizi wa kazi za pale nyumbani nilipokelewa vizuri nice alimchangamkia sana Tristan hahahaaaa alimbeba et Tristan alionekana kumpenda sana nice alimchukua akaanza kumbembeleza mom Elizabeth alinionyesha chumba vitu vyangu vikawa vimewekwa huko niliingia nikapanga nguo zangu na za mwanangu kabatin nilimshukuru sana mom Elizabeth kwa ukarimu wake kwangu...... baada ya kupanga vizuri..... nilijilaza kitandani nikapumzika make kimimba kilikuwa kinanipeleka siyo mchezo...... mlangoni nilihisi kama kuna mtu anagonga niliamka kwenda kuchungulia ni mama Elizabeth alikuwa kaniletea matunda ya kuongeza damu mwilini kwangu ni mazuri kwa wajawazito yatakupa nguvu mwilini kwako samahani kwa usumbufu lakini unahitaji kuyala haya😊😊 asante sana momπŸ™ nilipokea yale matunda nikarudi chumbani kwangu niliyala taratibu hadi nikayamaliza usiku mida kama ya saa 4 tulikutana dinning table kwa ajiri ya kupata msosi wa usiku

Hahahaaa kilichonishangaza ni vile ambavyo nice na Tristan walivyozoeana kwa karibu sana nice alianza kumuita Tristan daddy 😹😹😹 nilijikuta nacheka vile Tristan alivyogeuka kuwa mtoto kulingana na vile alivyotaka nice wacheze..... Tristan alimlisha mwanangu chakula huku akiwa anamuimbia nyimbo duhπŸ₯² nilijikuta kinanijia kisura cha simanzi usoni kwangu mawazo yalienda mbali zaidi nikaanza kumuwaza paschal vile alivyokuwa generous kwa mtoto wake baada ya chakula mimi na mtoto wangu tulikwenda chumbani kulala wanafamilia walibakia kule sitting room niliona niondoke pale ili angalau niwape muda wa kuniteta kidogo🀣🀣🀣 si mnajua mgeni lazima ajadiliwe kidogo adadavuliwe kama anastahiri kubakia au laa!

Itaendeleaaaaaaaaa.......
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 51...52πŸ’˜πŸ’˜


Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha ibakie siri kama vile nilivyoificha aibu ya kile ulichokitenda..... hee😳😳 huo ndo ujumbe alioniachia mme wangu pale kwenye muto..... baada ya kuusoma nilihisi kuchanganyikiwa😴😴 hivi huyu mwanaume hana tena hisia na mimi kwa hiyo simvutii tenaπŸ€”πŸ€” si tuko honeymoon jamani ni kwanini asiyaweke pembeni makosa yangu tufurahie kwanza mapenzi ya ndoa yetuπŸ€”πŸ€” ataninyanyasa mpaka lini lakini mimi naye nilikurupuka sana kwenda kufanya mapenzi na hemedπŸ₯ΉπŸ₯Ήlakini tayari nilishakosea ataninyanyasa mpaka...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaah-imetosha-boss-n0-51-52

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaah-imetosha-boss-n0
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 36πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 36πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 48πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 48πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 34πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 34πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 42πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 42πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 44πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 44πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 37...38πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 37...38πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 35πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 35πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 43πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 43πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 33πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 33πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 39...40πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 39...40πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 49πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 49πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 50πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 50πŸ’˜πŸ’˜
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 74 na 75

MY WANGU❀️ sehemu ya 74 na 75

752
MY WANGU❀️ sehemu ya 76 na 77

MY WANGU❀️ sehemu ya 76 na 77

727
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 49πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 49πŸ’˜πŸ’˜

390
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 50πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 50πŸ’˜πŸ’˜

337
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya  28 na 29

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 28 na 29

260
*MIMI SIKUACHIπŸ₯°* *26 *SEASON TWO*

*MIMI SIKUACHIπŸ₯°* *26 *SEASON TWO*

245
MY WANGU❀️ sehemu ya 78

MY WANGU❀️ sehemu ya 78

225
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 51...52πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 51...52πŸ’˜πŸ’˜

190
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 30

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 30

162
REAL LOVE* Chapter 9

REAL LOVE* Chapter 9

109

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.82K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.67K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.45K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.41K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.28K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.28K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❀️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 51...52πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 51...52πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majutoπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 50πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 50πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎢🎢from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎢🎢"" ""🎢🎢from the moment you spoke my...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya  28 na 29 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 28 na 29
@majario LIVE

Basi bwana mie nikalidi kwangu. Ila.sikuwa sawa yani ile kuvishwa pete ina maana anaolewa . Ina maana inakuwaje hii. Aseeeee sikuwa naelewa ni wivu au ni nini ndo kinanisumbua ila...

*MIMI SIKUACHIπŸ₯°* *26 *SEASON TWO* Post Mpya
*MIMI SIKUACHIπŸ₯°* *26 *SEASON TWO*
@majario LIVE

*SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA* Basi bwana mie nikamuoa fatuma na nilikaa nae nyumbani kama weeek. Kwa uo mda lemi ye alinishanitangulia . Yani alishaondoka baada ya mimi kuoa tu....

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 49πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 49πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Nilipokea lile box huku mikono yangu ikiwa inatetemeka sana isijekuwa talaka kabla ya ndoa😌😌 Isabella baada ya kunipatia kile kijibox yeye aliniaga akaondoka nilikichunguza kile kibox kilikuwa na mwonekano...

REAL LOVE* Chapter 9 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 9
@majario LIVE

upande mwingine nyumbani kwa mama seven familia mbili zote zilikutana familia ya cathe na seven, wote walikuwa kwenye sintofaham familia ya cathe hawakuamini kabisa kama mtoto wao anaweza mufanya hivo, walikaa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 76 na 77 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 76 na 77
@majario LIVE

Kweli bwana .baada ya week mbili .mlige alikuja nyunbani kuongea na baba. Sielewi ata waliongea nn. Ila ilikuw ni kumuelezea baba kuwa kanipenda na anahitaji kunitolea barua ili nikimaliza chuo...

MY WANGU❀️ sehemu ya 74 na 75 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 74 na 75
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuvaaa. Akanipa vidonge viwili et meza jana nimepitiwa nimemwagia ndani. Na kweli game ya jana ilikuwa moto. Mlige hakukumbuka kumwagia njeee kabisa mabao mengine. Mie nikawa nishaelewa. Ni...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 48πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 48πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Ilifika usiku mida kama ya saa nne hivi nilikuwa bado cjaweka kitu chochote tumboni kwangu bado nilikuwa nimejifungia chumbani kwangu nalia tu..... Boo alikuwa bado hapokei simu ya mtu yeyote........

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest