MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia mke mwenzake. 🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌.nikasema powa hakuna noma nitashukuru mno. Kweli mchumba akanipa milioni 10. Mi nikatafuta fremu maeneo ya chuo nikapata .nikalipia na nikanunua vifaa vyote vya stationery. Nikamuweka mtu . Awe ananishikia mda ambao mimi nakuwa class. Na nikiwa free nakuwa na kaa mimi. Aseee nilikiwa napiga kazi mnoo kwa siku faida ta elfu 35. 40 mpaka 50 ni kawaida tu si nilikuwa najulikana chuo na ninao soma nao wote wakawa wanakuja stationery kwangu . Apo fatuma nilimwambia kuwa nna stationery ila msingi kanianzima lemi. Na lemi mchongo anaujua so akampanga tu mke wangu. Na mke wangu akaamini. Aseeee nilimshukuru sana princess kwa hili wazo. Mana sasa maisha yakawa fresh vihela hela napata tu
Na baada ya mwez nikanunua kitanda sasa . Ikawa mm na mke wangi hatulali kwenye godoro. Apo uku penzi linaendelea kwa mke wangu na penzi linaendelea kwa princess. Sasa mi na princess unajua ikawa sasa kama watu wengi pale chuo wanajua.mana si mnajua penzi kama kikohozi lazima utakohoa tu. Kuna mda tunaondoka wote watu wanatuona kuna mda tunaenda cafe kula wote hivyo yani. Ila ata mm sasa nilikuwa namuelewa kweli ni princess mana alikuwa ananisaidia mambo mengi na sio pesa tu. Uyu demu ana capacity kubwa ya maisha yani huwa ananishauri mambo mengi sana. Kwaiyo nikawa namkubali fresh
Na vile hamsumbui mke wangu basi nikaona haina shida ata
Siku iyo sasa nimetoka zangu chuo. Nikapita stationery kwangu nikapiga sana kazi zawatu pale mpak.saa 3 . Princess nae akaja akanambia una kazi ipi na ipi nikusaidie baby kabla sijaenda nyumbani. Nikamwambia kapumzike bwna mi ntamalizia .akanmbia ndo ngoja nikusaidie uwahi nyumbani. Umemuacha mama k kule . Mh nikawa nacheka tu. Na kweli tuwa tupo waleili tu tunamaliza kazi za watu. Asa si unajua mkikaa wapenzi. mala nimeshika tajo. Mala nimemshikaziwa hivyo. Utani wa apa na pale uku kazi zinaenda . Aseeee si akaingia mke wangu uo mda ni usiku saa 4. Na hajawahi ata siku moja kuja chuoni kwetu au kazini nnapofanyia kazi. Aseeee mimi nilistuka mnoo. Yani nilituka kweli. Nilikuwa nimemshika princess kiuno haraka nikamuachia. Nyieeee fatuma alingalia kwa hasira mnooo.
Princess na yeye akamuangalia fatuma. Ila kwa jinsi alivyoona reaction yangu baada ya kumuona na yeye akajiongeza akajua uyu ni mkewe. Yania ta sijuh ilikuwaje fatma akamlukia princesss. Nyiee fatuma apo nakumbuka ana mimba ya miez 6. Yani ile kumlukia akamchania brauz yake yote. Princess akabaki na sidiria tu. Akaanzisha ngumi pale . Weeeee sisahau ile siku . Mi harka nikamshika mke wangu.nnikamwmabia fatuma tulia naomba utulie. Fatuma aksema nitulie nn.unazani mm sisikii habari zako kwa wanafunzi wenzako kuw una mwanamke apa chuoni. Si ndo uyu maraya unanambia unafanya kazi kumbe mpo kushikana matako. Aseeeee apo princess uku juu ni ana sidiria tu na yupo kimya mi nkambana mke wangu kisha nikavua shirt langu nikamlushia nikamwambia vaa ondoka apa. Kweli akavaa kawa mpole akawa anatoka.mke wangu akanza kumtukana matusi mkubwa ahaaa hii siku ndo nilimjua fatuma akichukia anakuwaje. Apo ni nimemshika akamwambia msenge wewe. Msenge mkubwa unajidanganya na ay matako yako kama ungekuwa mtamu si angekuoa ww sasa ntakukomesha maraya weee. Ila princess hakujibu kabisa akaondoka zake .nikabaki na kisanga chngu yani nnachoshukuru ile siku ilikuwa ni usiku .so hakukuwa na watu wengi. Ingekuwa mchana nilishadhalilika mimi.
🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi