MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu naomba tukaongee nyumbani naomba san tukaongee nyumbani usiniaibishe apa.mumeo . Fatumaa akanambia nyumbani naludi ila ukifika uwe ushaandika taraka yangu mjinga.wewe unanizalau kisa mie sijasoma eeh. Unanidharau kisa sijasoma unachukua wasomi wenzako sasa . Utanipa taraka yangu ubaki na ilo shangingi lako. Doooh nikaona apa kimeshanuka kudadeki. Na kweli fatuma akaondoka kwa hasira mda uo ni saa 5 kasoro.mie nikafunga stationery nikampigia lemi
Nikamwambia mwnangu kimenuka nimeshaharibu. Akanmbia imekuwaje nikasema daah ni jau kinoma. Fatuma kaja ofisini kanikuta na princess kwenye mapozi ya mahaba daah lemi akanmbia kamkatae tu mwambie umjuhi uyo princess daah nikasema powa ngija niludi nyumbani. Aseeee nikampigia simu princess nae kapokea analia . Akanmbia vp umemalizana na mkeo. Nikasema no bado kafanya fujo kaludi nyumbani we tulia sawa. Akanmbia sawa pole . Nikasema sawa . Ila usinichek mpaka ntakapokutafuta sawa. Akanmbia sawa.daah mi nikafuata kwanza mpaka namba zake mana nikajua nikiludi nyumbni kinaenda kuwaka mamae .nikaanza kurudi nyumbani ata sijfaika naona simu ya mama uo mda saa 6 usiku doooh. Nikaona kumekucha. Sikupokea ile simu. Mala naona simu ya dada .dooooh sikupokea pia. Yani napokea naongea nini .Dada akanitumia sms. Akanmbia we unajitia uchizi si ndio. Unajifanya maraya sana au sio . Sasa ngojaaa. Doooh nikajua teali fatuma kashawasha moto nyumbani
Kwa bi mkubwa
Mie nikaludi mpaka kwangu. Ile nimeingia tu fatma kanidaka et anataka kupigana na mimi. Mi sikupigana nae .nikatulia akanza kunipiga yeye. Akanipiga mangumi kweli kweli. Mie tuli as nafanya nini na nimezingua kweli nna kosa .nimefumaniwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 . Aseeee alipotosheka kunipiga akakaa kitandani akaanzaa kulia . Aseeee mpka majilani zangu wa vyumba vya pembeni wakaja kunigongea .wakaniuliza vp mshikaji . Mi nikawaambia hakuna kitu. Nimezinguana nae tu so analia ana hasira tu. wakanmbia daah powa. Wakaludi vyumbani kwao. Nikamsogelea nikamwambia mke wangu nisamehe nimekosea basi. Akanmbia kwa nn unacheat nambie .kwa sababu yule ana pesa si ndio. Najua habari zake zote. Ama mimi sikulizishi ww..nambie mmi sikutoshi ww.nikasema wala sio kweli mke wangu. Ni tamaa tu .
Akanmbia tamaa si ndio tamaa. Sasa sitaki kuelewa nipe taraka yangu. Ubaki nae sasa. Nataka kuwapa nafasi niwaachie space sasa. Ahaa sio kweli.mi nikampigia magoti mke wangu. Nikamwambia nimekose sana . Nimekosea mke wangi siludii nyamaza basi. Si unona hali yako .nielewe mke wangu. Mke wangu akanmbia na ile ofisi yeye ndo kakupa pesa si ndio. Nikasema hapana ni lemi mke wangu sio yeye. Aseee hii siku nilipata kibalua usiku mzima mke wangu analia tu. Mama ananipigia nae. Ahaa ata sijapokea. Dada anatuma sms. Ananivuruga tu. Basi nilipiga magoti usiku wote. Nikimbembeleza mke wangu anisamehe kwanza. Aseeee hakunisamehe kabisa. Akajinunisha zake akavuta shuka akageukia upande wake akalala. Niliumia san kumuumiza mke wangu ni mja mzito na hayupo sawa kabisa na mm ndo nazidi kualibu daah kaz nnayo. Mi sikuinuka pale nililala pale.nikijutia sana kumuumiza mke wangu.
Asubuh ata chuo mimi sikuenda. Tumeamka tena na kilio. Analia tu. Ataki ata kunielewa wal kunisikiliz. Niliongea nae sana. Aseeee mpka nikachoka nikabaki namuangalia tu. Mama akanipigia sasa.ikabidi nipokee .asee mama alinitukana. Alinitukana kweli kweli. Alinambia kwaiyo ww iko kimboo chako kukituliza huwezi si ndio. Ulimchukua mtoto wa watu uje kumtesa. Nakuiliza ww. Mkeo ana mimba ya miezi 6 unamfanyia upumbavu unataka kumuua. Nakuuliza ww unataka.kumuua. aseee mi ata sikuwa na lakusema zaidi ya samahani mama nimekosea. .mama akanmbia sasa sitaki kumsikia uyo mwanamke unayetembea nae unanielewa haji. Nikasema.ndio mama..akanambia na ukilidiana nae mimi sio mama yako. Yani ukimlala tena iyo mwanamke .basi nimekupa laana hutakaa ukafanikiwa kamwe nakwambia daah asee mama aliongea maneno makali mnooo. Yaliyoniumiza sana tu.
Mi nikanyamazs na nikasema.basi mama nimekuelewa. Basi baada ya kusemwa na mama akanipigia dada .asee na yeye akanifokea sana. Alinisema mnoo. Nilisema tu ni kweli dada nimezingua mnisamehe tu. Basi baada ya kumaliza kuongea na dada. Nikaenda sokoni. Nikaenda kumnunulia mke wangu chakura ila aligoma ata kula. Ye analia tu. Mnajua sasa mpaka na mimi nikaanza kulia mana mke wangu hataki kunielewa tena. Na msamaha nishaomba sana. Nikaanza kumpigia dada kumwambia hali ya mke wangu. Basi dada akanmbia sawa mpe simu niongee nae. Nikampa simu ndo akanza kuongea nae . Akamwambia tu ale kutokana na hali yake . Sio sawa kulia piah . Akaanza kuniombea na msamaha .ila mke wangu ata kuongea hataki .nikajua nimemuumiza mke wangu mimi. Aseee mpaka nikajutia sasa kufahamiana na pricess nilijutia mnoo. Yani nikaona jau tupu. Mana nampenda sana mke wangu. Licha ya kwamba hampati princess kwa chochote il mm ndo nampenda uyu mwanamke sasa nampenda sana. Nampenda mnoooooo
Aseeee huuu ugumvi ndani iliinguluma week 1. Mimi siendi chuo kabisa. Na ata ofisini sikufika alikuwa anafungua yule mfanyakazi wangu nnayemlipa. Mimi nabembeleza ndooa. Ahaa fatuma alininunia mnooo. Daah ni ana hasira uyu mwanamke. Basi mimi ndo napika. Anakula kwa kimlazimisha nakwambia ni ananuna haongei kabisa. Yani bola ata angenichamba alafu kesi imeisha kama.akina mama hakuna yeye ni kkmyaaa ila acheki na musenge🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌. Basi siku iyo sasa lemi ndo akaj nyjmbani kuniombea msamaha. Aseee lemi akamwambia shemji sikufichi uyu jamaaa anakupenda sana. Anakupenda mnoo.mimi ndo naelewa . Yule princess alikuwa anafosi tu mapenzi kwa jamaa ila jamaa hampendi kabisa. Apo na mimi nakazia ni kweli mke wangum mi simpendi kabisa yule demu . Na lemi alivyo muonggeaji alimpanga kinoma mke wangu . Maneno ya uongo na ukwrli ili tu mke wangu afungue moyo. Mke wangua aksems kama kweli humtaki mpigie simu mbele yangu mkatae. Nikasema.ni sulaa dogo sana hiloo
Nikavuta simu mi nikampigia .na nilimsevi hivyo hivyo .princess . Na alipokea simu nikaweka loud kabisa. Alivyopokea akasema hallow haji mmeshaelewana na mke wako. Nikasema.sikia princess kuanzia leo.mm na wewe basi. Yani mm na wewe timeffika mwisho. Timeachana. Akannambia aha sawa kama. Unaona iyo ndo njia sahihi ya kutunza ndoa yako. Hakuna shida mm nimekubali na nitaheshimu hilooo. Nikasema.sawa .ehh mke wangua akpola simu. Akasems yani we mwanamke kaa mbali.na mwanaume wangu . Tumeanzia mbali sana hujui nimetoka wapi na uyu mwanaume unaelewa ww. Naomba kaaa mbali na mwanaume wangu . Ntakuja kukufanya kitu kibaya sana. Princee hakujibu wala.bali akakata ile simu
🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi