Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
Gonga94 · Stories

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu naomba tukaongee nyumbani naomba san tukaongee nyumbani usiniaibishe apa.mumeo . Fatumaa akanambia nyumbani naludi ila ukifika uwe ushaandika taraka yangu mjinga.wewe unanizalau kisa mie sijasoma eeh. Unanidharau kisa sijasoma unachukua wasomi wenzako sasa . Utanipa taraka yangu ubaki na ilo shangingi lako. Doooh nikaona apa kimeshanuka kudadeki. Na kweli fatuma akaondoka kwa hasira mda uo ni saa 5 kasoro.mie nikafunga stationery nikampigia lemi

Nikamwambia mwnangu kimenuka nimeshaharibu. Akanmbia imekuwaje nikasema daah ni jau kinoma. Fatuma kaja ofisini kanikuta na princess kwenye mapozi ya mahaba daah lemi akanmbia kamkatae tu mwambie umjuhi uyo princess daah nikasema powa ngija niludi nyumbani. Aseeee nikampigia simu princess nae kapokea analia . Akanmbia vp umemalizana na mkeo. Nikasema no bado kafanya fujo kaludi nyumbani we tulia sawa. Akanmbia sawa pole . Nikasema sawa . Ila usinichek mpaka ntakapokutafuta sawa. Akanmbia sawa.daah mi nikafuata kwanza mpaka namba zake mana nikajua nikiludi nyumbni kinaenda kuwaka mamae .nikaanza kurudi nyumbani ata sijfaika naona simu ya mama uo mda saa 6 usiku doooh. Nikaona kumekucha. Sikupokea ile simu. Mala naona simu ya dada .dooooh sikupokea pia. Yani napokea naongea nini .Dada akanitumia sms. Akanmbia we unajitia uchizi si ndio. Unajifanya maraya sana au sio . Sasa ngojaaa. Doooh nikajua teali fatuma kashawasha moto nyumbani
Kwa bi mkubwa

Mie nikaludi mpaka kwangu. Ile nimeingia tu fatma kanidaka et anataka kupigana na mimi. Mi sikupigana nae .nikatulia akanza kunipiga yeye. Akanipiga mangumi kweli kweli. Mie tuli as nafanya nini na nimezingua kweli nna kosa .nimefumaniwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 . Aseeee alipotosheka kunipiga akakaa kitandani akaanzaa kulia . Aseeee mpka majilani zangu wa vyumba vya pembeni wakaja kunigongea .wakaniuliza vp mshikaji . Mi nikawaambia hakuna kitu. Nimezinguana nae tu so analia ana hasira tu. wakanmbia daah powa. Wakaludi vyumbani kwao. Nikamsogelea nikamwambia mke wangu nisamehe nimekosea basi. Akanmbia kwa nn unacheat nambie .kwa sababu yule ana pesa si ndio. Najua habari zake zote. Ama mimi sikulizishi ww..nambie mmi sikutoshi ww.nikasema wala sio kweli mke wangu. Ni tamaa tu .

Akanmbia tamaa si ndio tamaa. Sasa sitaki kuelewa nipe taraka yangu. Ubaki nae sasa. Nataka kuwapa nafasi niwaachie space sasa. Ahaa sio kweli.mi nikampigia magoti mke wangu. Nikamwambia nimekose sana . Nimekosea mke wangi siludii nyamaza basi. Si unona hali yako .nielewe mke wangu. Mke wangu akanmbia na ile ofisi yeye ndo kakupa pesa si ndio. Nikasema hapana ni lemi mke wangu sio yeye. Aseee hii siku nilipata kibalua usiku mzima mke wangu analia tu. Mama ananipigia nae. Ahaa ata sijapokea. Dada anatuma sms. Ananivuruga tu. Basi nilipiga magoti usiku wote. Nikimbembeleza mke wangu anisamehe kwanza. Aseeee hakunisamehe kabisa. Akajinunisha zake akavuta shuka akageukia upande wake akalala. Niliumia san kumuumiza mke wangu ni mja mzito na hayupo sawa kabisa na mm ndo nazidi kualibu daah kaz nnayo. Mi sikuinuka pale nililala pale.nikijutia sana kumuumiza mke wangu.

Asubuh ata chuo mimi sikuenda. Tumeamka tena na kilio. Analia tu. Ataki ata kunielewa wal kunisikiliz. Niliongea nae sana. Aseeee mpka nikachoka nikabaki namuangalia tu. Mama akanipigia sasa.ikabidi nipokee .asee mama alinitukana. Alinitukana kweli kweli. Alinambia kwaiyo ww iko kimboo chako kukituliza huwezi si ndio. Ulimchukua mtoto wa watu uje kumtesa. Nakuiliza ww. Mkeo ana mimba ya miezi 6 unamfanyia upumbavu unataka kumuua. Nakuuliza ww unataka.kumuua. aseee mi ata sikuwa na lakusema zaidi ya samahani mama nimekosea. .mama akanmbia sasa sitaki kumsikia uyo mwanamke unayetembea nae unanielewa haji. Nikasema.ndio mama..akanambia na ukilidiana nae mimi sio mama yako. Yani ukimlala tena iyo mwanamke .basi nimekupa laana hutakaa ukafanikiwa kamwe nakwambia daah asee mama aliongea maneno makali mnooo. Yaliyoniumiza sana tu.

Mi nikanyamazs na nikasema.basi mama nimekuelewa. Basi baada ya kusemwa na mama akanipigia dada .asee na yeye akanifokea sana. Alinisema mnoo. Nilisema tu ni kweli dada nimezingua mnisamehe tu. Basi baada ya kumaliza kuongea na dada. Nikaenda sokoni. Nikaenda kumnunulia mke wangu chakura ila aligoma ata kula. Ye analia tu. Mnajua sasa mpaka na mimi nikaanza kulia mana mke wangu hataki kunielewa tena. Na msamaha nishaomba sana. Nikaanza kumpigia dada kumwambia hali ya mke wangu. Basi dada akanmbia sawa mpe simu niongee nae. Nikampa simu ndo akanza kuongea nae . Akamwambia tu ale kutokana na hali yake . Sio sawa kulia piah . Akaanza kuniombea na msamaha .ila mke wangu ata kuongea hataki .nikajua nimemuumiza mke wangu mimi. Aseee mpaka nikajutia sasa kufahamiana na pricess nilijutia mnoo. Yani nikaona jau tupu. Mana nampenda sana mke wangu. Licha ya kwamba hampati princess kwa chochote il mm ndo nampenda uyu mwanamke sasa nampenda sana. Nampenda mnoooooo

Aseeee huuu ugumvi ndani iliinguluma week 1. Mimi siendi chuo kabisa. Na ata ofisini sikufika alikuwa anafungua yule mfanyakazi wangu nnayemlipa. Mimi nabembeleza ndooa. Ahaa fatuma alininunia mnooo. Daah ni ana hasira uyu mwanamke. Basi mimi ndo napika. Anakula kwa kimlazimisha nakwambia ni ananuna haongei kabisa. Yani bola ata angenichamba alafu kesi imeisha kama.akina mama hakuna yeye ni kkmyaaa ila acheki na musenge🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌. Basi siku iyo sasa lemi ndo akaj nyjmbani kuniombea msamaha. Aseee lemi akamwambia shemji sikufichi uyu jamaaa anakupenda sana. Anakupenda mnoo.mimi ndo naelewa . Yule princess alikuwa anafosi tu mapenzi kwa jamaa ila jamaa hampendi kabisa. Apo na mimi nakazia ni kweli mke wangum mi simpendi kabisa yule demu . Na lemi alivyo muonggeaji alimpanga kinoma mke wangu . Maneno ya uongo na ukwrli ili tu mke wangu afungue moyo. Mke wangua aksems kama kweli humtaki mpigie simu mbele yangu mkatae. Nikasema.ni sulaa dogo sana hiloo

Nikavuta simu mi nikampigia .na nilimsevi hivyo hivyo .princess . Na alipokea simu nikaweka loud kabisa. Alivyopokea akasema hallow haji mmeshaelewana na mke wako. Nikasema.sikia princess kuanzia leo.mm na wewe basi. Yani mm na wewe timeffika mwisho. Timeachana. Akannambia aha sawa kama. Unaona iyo ndo njia sahihi ya kutunza ndoa yako. Hakuna shida mm nimekubali na nitaheshimu hilooo. Nikasema.sawa .ehh mke wangua akpola simu. Akasems yani we mwanamke kaa mbali.na mwanaume wangu . Tumeanzia mbali sana hujui nimetoka wapi na uyu mwanaume unaelewa ww. Naomba kaaa mbali na mwanaume wangu . Ntakuja kukufanya kitu kibaya sana. Princee hakujibu wala.bali akakata ile simu


🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32



Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu naomba tukaongee nyumbani naomba san tukaongee nyumbani usiniaibishe apa.mumeo . Fatumaa akanambia nyumbani naludi ila ukifika uwe ushaandika taraka yangu mjinga.wewe unanizalau kisa mie sijasoma eeh. Unanidharau kisa sijasoma unachukua wasomi wenzako sasa . Utanipa taraka yangu ubaki na ilo shangingi lako. Doooh nikaona apa kimeshanuka kudadeki. Na kweli fatuma akaondoka kwa hasira mda uo ni saa 5 kasoro.mie nikafunga stationery nikampigia lemi

Nikamwambia mwnangu kimenuka nimeshaharibu. Akanmbia imekuwaje nikasema...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimi-sikuachi-sehemu-ya-31-na-32

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimi-sikuachi-sehemu-ya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

562
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

495
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘

493
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

482
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

389
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

332
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

251
REAL LOVE*  Chapter 10

REAL LOVE* Chapter 10

139
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

99
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5

93

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.08K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.83K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29
@majario LIVE

Basi bwana mie nikalidi kwangu. Ila.sikuwa sawa yani ile kuvishwa pete ina maana anaolewa . Ina maana inakuwaje hii. Aseeeee sikuwa naelewa ni wivu au ni nini ndo kinanisumbua ila...

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*
@majario LIVE

*SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA* Basi bwana mie nikamuoa fatuma na nilikaa nae nyumbani kama weeek. Kwa uo mda lemi ye alinishanitangulia . Yani alishaondoka baada ya mimi kuoa tu....

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘
@majario LIVE

Nilipokea lile box huku mikono yangu ikiwa inatetemeka sana isijekuwa talaka kabla ya ndoa😌😌 Isabella baada ya kunipatia kile kijibox yeye aliniaga akaondoka nilikichunguza kile kibox kilikuwa na mwonekano...

REAL LOVE* Chapter 9 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 9
@majario LIVE

upande mwingine nyumbani kwa mama seven familia mbili zote zilikutana familia ya cathe na seven, wote walikuwa kwenye sintofaham familia ya cathe hawakuamini kabisa kama mtoto wao anaweza mufanya hivo, walikaa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest