MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga tu.ipo silence vile. Basi simu ina display kabisa . Jina linatoka MY HUBY🌹. Basi ndo nazidi kuogopa naona kama vile mlige kaniona. Zayd akanmbia unalia sababu umemcheat jamaa. Kwan we unajua uko anafanya mambo mangap faridah usijutie hili .mbona mm nimeinjoy .na mimi sikufichi nakupenda sana. Nakupenda mno faridah tangu shuleni. Apo mlige anapiga kweli kweli. Na akianza kupiga hachoki mpaka utakapopokea skmu. Nikasema zayd ondoka niache mwenyewe kwanza. Namjua mwanaume wangu uwa anakuja gafra .naomba uwende tutaongea tu. Zayd akaningalia sana kisha akanisogelea akanibusu shavuni. Akanmbia nakupenda sana faridah na asante kwa penzi lako tamu nakutakia siku njema. Akanyanyuka akaondoka . Mimi ndo napumua apo natetemeka .
Yani mlige anazidi kupiga simu. Mi nikpokea simu .nikasema halllow. Mlige akanmbia vp mama mbona napiga simu hushiki mke wangu. Mh nilijikaza kweli kweli . Nikasema nilikuwa nimelala kidogo mume wangu. Akanmbia upo sawa lakini mana mm naona moyo unauma sana leo. Nikaogopa mnoooo. Mlige kama ana mapepo. Nikasema mimi nipo sawa kipenzi kuwa na aman tu. Akanmbia ahaaa sawa kama.ndo hivyo mke wangu. Mana daah nimeshangaa tu sijielewi. Mpaka nimempigia na mama kumuuliza na yeye kama yupo sawa . Naona sijielew elewi kabisa. Nikasema pole mume wngu. Akanmbia alafu tabia ya kukupiga simu mala kumi .mi sitaki.kuanzia leo ukitoka chuo weka simu sauti. Nikasema sawa mume wangu
Basi akaaanza kunipigisha story zengine kabisa. Mh mi mpka naogopa yani. Akanmbia daah mke wangu kuna li madame limeamia leo shule bwana. Jipya hilo ana bonge la tako kudadeki. Sijuh niluke nalo. Nikacheka tu. Nikajua muongo atake kufanya umaraya anambie mimi. Namjua mlige . Ni anapenda sana masihara ila ukimboa wee. Ana kisirani kikali mnoo. Bsi tukaongea ongea na nikajitahidi kujifanya niko sawa. Ila mh wala sikuwa sawa. Tukaongea sana na baby mpak saa 7. Ndo tunaagana mi nakata simu
Mh nakuta zayd kanitumia sms nyingi mnoo. Yani nyingi kweli kweli. Ananmbia nakupenda sana na nakuhitaji sana . Ata nini kitokee mimi sikuachii. Yani kwa utamu niliupata leo sio kweli mama. Nakuhitaji kinoma faridah. Kwani mshikaji si yupo kagera acha mambo yako. Mh mm sikumjibu sms yake ata moja. Nikapumzika nikiwa na mawazo sana juu ya nilichokifanya leo. Mh mlige akijua ananiua najiona kabisa. Mlige ana hasira sana. Yani sana. Nikaona ebu ngoja ntajua mbele. Kesho yake bibi mie nikaamka asubuh. Nikampigia kwanza mlige. Ndo huwa nafanya hivi kila siku namsalimia . Akiniwahi anaanzaa yeye basi tukaongea akanmbia ahaa jana nimekata simu pale nimelala mke wangu nimeota nakutomba nimeamka nimejichafua kweli. Nikacheka. Yani akiri za mlige . Kama mtoto mambo yake na story zake wakati mkubwa mno kwangu .
Basi baada ya apo. Nikajiandaa mtoto wa kike . Nikajipulizia pafymu. Nikanukia aswaa . Nikachukua pochi yangu. Na taratibu nikatoka .nikachukua boda. Uyoo mpaka chuo. Basi bwana apo shoga yangu angel mda wote anamsifia zayd. Ni mkaka mzuri. Ananifaaa yani mambo kibao. Nikamwambia we si unajua mi nna mtu.akanmbia we nawe . Uyo mlige si unanambia ni mtu mzima .we kaa na uyu ni mkaka mdogoo kabisa . Atakufaa sana . Shida inakuwa nn. Acha mambo yako. Alafu mlige yupo kagera . Ya uku anayajuaje.nikabaki kimya apo ata sikumwambia kama uyo zayd na kufanya teyari kashanifanya. Basi nikiwa clss zayd alituma sana sms jamani. Oooh unaendeleaje sijuh nimekumiss .ila weee skkumjibu kabisaa mm. Naanzaje .nikamkaushia kimyaaa. Basi bwana ikapita week zayd ananisumbua mnooo. Anakuja mpka nyumbani kwangu. Anagonga mnoo .mie kimya ndani .nikawa sasa sifungui mlango nikisikia hodi. Ikawa hivyoooo. Namkwepa sana. Yani sana. Uyu kaka. Sababu nilishajua nimekosea ila sikutaka kuludia kosa sasa.
Basi hivyo mpaka ukakata mwez . Mimi sijakutana na zayd .na apo nilishamblock kabisaaa. Nikapata rikizo kubwa ya miezi 3. Apo na field ni miezi 2. Alafu mwez ndo wa kupumzika na baby. Basi nilionge na mpenzi . Akaniombea field kule kule nyumbani nyakanazi. Nauli elfu 1 tu. Yani hakutaka field mm nifanyie dar. Basi akanmbia nakutumia naulu uludi nilitamani nikufate ila kazi zimenibana sana. Nikamwambia sawa namuelewa mlige.kuna mda anabanwa sana. Na ukiacha ualimu pia ni mfanya biashara so anapambana sana. Basi bibi mie kweli baby akanitumia nauli. Na kweli nikasafiri kesho yake mpaka kagera. Nilikuwa nimemmis nikamwambia nafikia kwake. Akanmbia hayupo yupo wiliyani bukuba so kwanza .nifike nyumbani kwetu kisha yeye atakuja kuniona jionii. Nyie nilivyofika nyumbani sikuamini. Nilikuta suprise. Nilikuta nyumba yetu imekarabatiwa imekuwa nzuri na ya kisasa sana. Yani imependeza. Imepigwa bati za msouz nakwambia. Nyieeee mpaka nikataka kulia mm. Mama akanikumbtia akanambia basi bwana mlige alisema tusikwambie ni suprise karibu mtoto wetu
Nikishangaa mpaka ndani kawa nunulia wazazi wangu furnitures nzuri. Nyie nilijkuta nalia kwa uchungu. Na kujutia kwa nn nilimsaliti uyu baba. Weeee mama alinikumbatia akanmbia basi bwna ebu acha. Basi mama akaningiza chumbani kwangu . Wooooow ni kuzuri nakwambia kuna kitanda na godoro jipyaaa .na kabati. Kaniwekea picha yangu kubwa ya graduu ya form six. Nyieee nilifurahi. Mma akanmbia we mtoto ukimuacha mlige utapata laana. Basi mie nikawa nalia . Mana baba wa watu anajitoa mno kwa ajili yangu mpka kajenga nyumbani. Kwetu hatukuwa na umeme kawaweke. Kaweka na maji aseee ana upendo sana mligeeee. Yani sikuamini leo kwetu kuna tv ndani na sofa nzuri. Kuna mlango wa geti.kuna tilesss asee acha kabisa. Mama alinielezea kuw ni mlige ndo kafanya yote kwa mda wa miez 5 nyuma . Hatukukwambia tu. Na pesa ya kula analeta apa. Ndani vyakul kama vyote ni yeye. Nyieee mie sikuamini mwenzenu. Nilitaka kuchanganikiwa .hivi uyu mwanume ana upendo wa aina gani lakini😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Basi nilikuwa siamini . Namuangalia mma mpka kanenepa na baba alikuwa na furha sana. Alinmbia sisi wana ume tunajuana tulia na uyu kijana mlige. Mwanangu . Basi nikamkumbatia na baba tu . Ana rahaa na furaha . Nikajua kweli.mlige kama kunipenda ye kachanganikiwa sasa na mm..basi kweli mida ya jioni mlige ndo akaja kuniona apo nishaongea sana na wazazi. Nilimkumbatia mbele ya mama na baba. Basi mama aksema mkalibishe mwenzio chumbani ndo mkaongee. Kweli mie nimampeleka mpaka chumbani kwangu. Mlige ana fujo et anataka kunikula mda uo uo. Nkamzuia et hatakai kuelewa .nikamwambia kuna mama apa. Aknmbia daa powa bwana ila ona nilivyodinda na mzee wako yupo utatokaje sasa. Nimekumiss kisenge .mi sitalala leo. Ebu ata unisindikize basi .alafu nakuludisha ila mligeee. Anapenda chini mjinga uyu. Basi nikawa nacheka. Akaniuliza na issue za shule. Na maendele nikamjibu nipo pwa.aseee nilipiga magoti na nikamshukuru mnoo kwa upendo wake .kubwa kwa kuwajengea nyumbani mpaka nikawa nalia. Mlige aliniinua akanmbia awa ni wazazi wangu kabisa. Mi sikuwa nafurahia walivyokuwa wanaishi vile plsss mama naomba kuwa na amani na usinipigie magoti. Ili niombee nipate zaidi mumeo ili nije kuwasaidia zaidi wazazi nyiee . Nilikuwa nalia na mengi mwenzie akaanza kunibembeleza .
Baada ya kunyamaza . Tujaongea sana . Mda wa saa 2 . Ndo anaondoka anataka nimsindikize. Basi tukatoka ndani .namkuta bba anaangalia taarifa ya habar. Nikasema baba na mama mie namsindikiza mlige. Baba akasema sawa usiku huu usifike mbali. Kijana wangu mlige ufike salama. Mlige akasema sawa baba. Basi mam akasema ngoje nije kusindika mlango. Hee na mama akatutoa mpaka njee. Mama akanmbia wewe leo kalale kwa mwenzako . Uyu mzeee mie ntampanga tu. Ila mama 🤣🤣🤣🙌🙌🙌. Mlige alifurahi et akatoa elfu 30 . Ahaa mama nilisahau chukua hii utakunywa sodaa. Ahaaa mlige 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi