Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga tu.ipo silence vile. Basi simu ina display kabisa . Jina linatoka MY HUBY🌹. Basi ndo nazidi kuogopa naona kama vile mlige kaniona. Zayd akanmbia unalia sababu umemcheat jamaa. Kwan we unajua uko anafanya mambo mangap faridah usijutie hili .mbona mm nimeinjoy .na mimi sikufichi nakupenda sana. Nakupenda mno faridah tangu shuleni. Apo mlige anapiga kweli kweli. Na akianza kupiga hachoki mpaka utakapopokea skmu. Nikasema zayd ondoka niache mwenyewe kwanza. Namjua mwanaume wangu uwa anakuja gafra .naomba uwende tutaongea tu. Zayd akaningalia sana kisha akanisogelea akanibusu shavuni. Akanmbia nakupenda sana faridah na asante kwa penzi lako tamu nakutakia siku njema. Akanyanyuka akaondoka . Mimi ndo napumua apo natetemeka .

Yani mlige anazidi kupiga simu. Mi nikpokea simu .nikasema halllow. Mlige akanmbia vp mama mbona napiga simu hushiki mke wangu. Mh nilijikaza kweli kweli . Nikasema nilikuwa nimelala kidogo mume wangu. Akanmbia upo sawa lakini mana mm naona moyo unauma sana leo. Nikaogopa mnoooo. Mlige kama ana mapepo. Nikasema mimi nipo sawa kipenzi kuwa na aman tu. Akanmbia ahaaa sawa kama.ndo hivyo mke wangu. Mana daah nimeshangaa tu sijielewi. Mpaka nimempigia na mama kumuuliza na yeye kama yupo sawa . Naona sijielew elewi kabisa. Nikasema pole mume wngu. Akanmbia alafu tabia ya kukupiga simu mala kumi .mi sitaki.kuanzia leo ukitoka chuo weka simu sauti. Nikasema sawa mume wangu

Basi akaaanza kunipigisha story zengine kabisa. Mh mi mpka naogopa yani. Akanmbia daah mke wangu kuna li madame limeamia leo shule bwana. Jipya hilo ana bonge la tako kudadeki. Sijuh niluke nalo. Nikacheka tu. Nikajua muongo atake kufanya umaraya anambie mimi. Namjua mlige . Ni anapenda sana masihara ila ukimboa wee. Ana kisirani kikali mnoo. Bsi tukaongea ongea na nikajitahidi kujifanya niko sawa. Ila mh wala sikuwa sawa. Tukaongea sana na baby mpak saa 7. Ndo tunaagana mi nakata simu

Mh nakuta zayd kanitumia sms nyingi mnoo. Yani nyingi kweli kweli. Ananmbia nakupenda sana na nakuhitaji sana . Ata nini kitokee mimi sikuachii. Yani kwa utamu niliupata leo sio kweli mama. Nakuhitaji kinoma faridah. Kwani mshikaji si yupo kagera acha mambo yako. Mh mm sikumjibu sms yake ata moja. Nikapumzika nikiwa na mawazo sana juu ya nilichokifanya leo. Mh mlige akijua ananiua najiona kabisa. Mlige ana hasira sana. Yani sana. Nikaona ebu ngoja ntajua mbele. Kesho yake bibi mie nikaamka asubuh. Nikampigia kwanza mlige. Ndo huwa nafanya hivi kila siku namsalimia . Akiniwahi anaanzaa yeye basi tukaongea akanmbia ahaa jana nimekata simu pale nimelala mke wangu nimeota nakutomba nimeamka nimejichafua kweli. Nikacheka. Yani akiri za mlige . Kama mtoto mambo yake na story zake wakati mkubwa mno kwangu .

Basi baada ya apo. Nikajiandaa mtoto wa kike . Nikajipulizia pafymu. Nikanukia aswaa . Nikachukua pochi yangu. Na taratibu nikatoka .nikachukua boda. Uyoo mpaka chuo. Basi bwana apo shoga yangu angel mda wote anamsifia zayd. Ni mkaka mzuri. Ananifaaa yani mambo kibao. Nikamwambia we si unajua mi nna mtu.akanmbia we nawe . Uyo mlige si unanambia ni mtu mzima .we kaa na uyu ni mkaka mdogoo kabisa . Atakufaa sana . Shida inakuwa nn. Acha mambo yako. Alafu mlige yupo kagera . Ya uku anayajuaje.nikabaki kimya apo ata sikumwambia kama uyo zayd na kufanya teyari kashanifanya. Basi nikiwa clss zayd alituma sana sms jamani. Oooh unaendeleaje sijuh nimekumiss .ila weee skkumjibu kabisaa mm. Naanzaje .nikamkaushia kimyaaa. Basi bwana ikapita week zayd ananisumbua mnooo. Anakuja mpka nyumbani kwangu. Anagonga mnoo .mie kimya ndani .nikawa sasa sifungui mlango nikisikia hodi. Ikawa hivyoooo. Namkwepa sana. Yani sana. Uyu kaka. Sababu nilishajua nimekosea ila sikutaka kuludia kosa sasa.

Basi hivyo mpaka ukakata mwez . Mimi sijakutana na zayd .na apo nilishamblock kabisaaa. Nikapata rikizo kubwa ya miezi 3. Apo na field ni miezi 2. Alafu mwez ndo wa kupumzika na baby. Basi nilionge na mpenzi . Akaniombea field kule kule nyumbani nyakanazi. Nauli elfu 1 tu. Yani hakutaka field mm nifanyie dar. Basi akanmbia nakutumia naulu uludi nilitamani nikufate ila kazi zimenibana sana. Nikamwambia sawa namuelewa mlige.kuna mda anabanwa sana. Na ukiacha ualimu pia ni mfanya biashara so anapambana sana. Basi bibi mie kweli baby akanitumia nauli. Na kweli nikasafiri kesho yake mpaka kagera. Nilikuwa nimemmis nikamwambia nafikia kwake. Akanmbia hayupo yupo wiliyani bukuba so kwanza .nifike nyumbani kwetu kisha yeye atakuja kuniona jionii. Nyie nilivyofika nyumbani sikuamini. Nilikuta suprise. Nilikuta nyumba yetu imekarabatiwa imekuwa nzuri na ya kisasa sana. Yani imependeza. Imepigwa bati za msouz nakwambia. Nyieeee mpaka nikataka kulia mm. Mama akanikumbtia akanambia basi bwana mlige alisema tusikwambie ni suprise karibu mtoto wetu

Nikishangaa mpaka ndani kawa nunulia wazazi wangu furnitures nzuri. Nyie nilijkuta nalia kwa uchungu. Na kujutia kwa nn nilimsaliti uyu baba. Weeee mama alinikumbatia akanmbia basi bwna ebu acha. Basi mama akaningiza chumbani kwangu . Wooooow ni kuzuri nakwambia kuna kitanda na godoro jipyaaa .na kabati. Kaniwekea picha yangu kubwa ya graduu ya form six. Nyieee nilifurahi. Mma akanmbia we mtoto ukimuacha mlige utapata laana. Basi mie nikawa nalia . Mana baba wa watu anajitoa mno kwa ajili yangu mpka kajenga nyumbani. Kwetu hatukuwa na umeme kawaweke. Kaweka na maji aseee ana upendo sana mligeeee. Yani sikuamini leo kwetu kuna tv ndani na sofa nzuri. Kuna mlango wa geti.kuna tilesss asee acha kabisa. Mama alinielezea kuw ni mlige ndo kafanya yote kwa mda wa miez 5 nyuma . Hatukukwambia tu. Na pesa ya kula analeta apa. Ndani vyakul kama vyote ni yeye. Nyieee mie sikuamini mwenzenu. Nilitaka kuchanganikiwa .hivi uyu mwanume ana upendo wa aina gani lakini😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭


Basi nilikuwa siamini . Namuangalia mma mpka kanenepa na baba alikuwa na furha sana. Alinmbia sisi wana ume tunajuana tulia na uyu kijana mlige. Mwanangu . Basi nikamkumbatia na baba tu . Ana rahaa na furaha . Nikajua kweli.mlige kama kunipenda ye kachanganikiwa sasa na mm..basi kweli mida ya jioni mlige ndo akaja kuniona apo nishaongea sana na wazazi. Nilimkumbatia mbele ya mama na baba. Basi mama aksema mkalibishe mwenzio chumbani ndo mkaongee. Kweli mie nimampeleka mpaka chumbani kwangu. Mlige ana fujo et anataka kunikula mda uo uo. Nkamzuia et hatakai kuelewa .nikamwambia kuna mama apa. Aknmbia daa powa bwana ila ona nilivyodinda na mzee wako yupo utatokaje sasa. Nimekumiss kisenge .mi sitalala leo. Ebu ata unisindikize basi .alafu nakuludisha ila mligeee. Anapenda chini mjinga uyu. Basi nikawa nacheka. Akaniuliza na issue za shule. Na maendele nikamjibu nipo pwa.aseee nilipiga magoti na nikamshukuru mnoo kwa upendo wake .kubwa kwa kuwajengea nyumbani mpaka nikawa nalia. Mlige aliniinua akanmbia awa ni wazazi wangu kabisa. Mi sikuwa nafurahia walivyokuwa wanaishi vile plsss mama naomba kuwa na amani na usinipigie magoti. Ili niombee nipate zaidi mumeo ili nije kuwasaidia zaidi wazazi nyiee . Nilikuwa nalia na mengi mwenzie akaanza kunibembeleza .

Baada ya kunyamaza . Tujaongea sana . Mda wa saa 2 . Ndo anaondoka anataka nimsindikize. Basi tukatoka ndani .namkuta bba anaangalia taarifa ya habar. Nikasema baba na mama mie namsindikiza mlige. Baba akasema sawa usiku huu usifike mbali. Kijana wangu mlige ufike salama. Mlige akasema sawa baba. Basi mam akasema ngoje nije kusindika mlango. Hee na mama akatutoa mpaka njee. Mama akanmbia wewe leo kalale kwa mwenzako . Uyu mzeee mie ntampanga tu. Ila mama 🤣🤣🤣🙌🙌🙌. Mlige alifurahi et akatoa elfu 30 . Ahaa mama nilisahau chukua hii utakunywa sodaa. Ahaaa mlige 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83



Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga tu.ipo silence vile. Basi simu ina display kabisa . Jina linatoka MY HUBY🌹. Basi ndo nazidi kuogopa naona kama vile mlige kaniona. Zayd akanmbia unalia sababu umemcheat jamaa. Kwan we unajua uko anafanya mambo mangap faridah usijutie hili .mbona mm nimeinjoy .na mimi sikufichi nakupenda sana. Nakupenda mno faridah tangu shuleni. Apo mlige anapiga kweli kweli. Na akianza kupiga hachoki mpaka utakapopokea skmu. Nikasema zayd ondoka niache mwenyewe kwanza....

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-82-na-83

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.15K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.1K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

373
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

233
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

64
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

25
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

10
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

3
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.4K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.82K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest