MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na uyo mwanamke na simtaki nisamehe mke wangu. Mkee wangu akningalia sana .akanambia sawa
Apo na lemi akagongea . Ahaa shemu msamehe mshikaji utamuua si unamuona siku 2 tu kakonda atafeli bwana chuo.msamhehe . Basi mke wangu ndo akatulia. Lemi akampigisha story mpaka mke wangu akawa anacheka . Daah nikaoana afadhali basi hii siku mke wangu ndo akapika sasa mwenyewe. Na tukala kwa pamoja na mimi. Na akala sana tu..nikaoalna leo dutu limemtoka moyoni
Baada ya chakura sasa. Lemi akaaga nikabaki na mke wangu.nikaanza kujiongelesha ongelesha pale. Ila naona ananijibu vizuri. Mana najiongelesha iki. Mala najiongelesha kile. Yani ili mladi nimpime hajakasilika kweli ila wala hakuwa kakasikilika kabisa . Basi usiku nikaomba game na mke wangu. Na wala hakuwa na shida akanipa . Daaah nilionjoy basi nimamtomba mke wangi taratibu uku naongea nae uku namuomba msamaha .wee kwa nini asisamehee . Uku anaililia tena . Baada ya tendo tukaenda kuoga tukaja kupumzika. Bado sikutaka kwenda chuo nilihisi bado mke wangu anahihitaji zaidi nikakaa nae nyumbani tena week 1. Mda wote ananisihi kuwa akigundua nimeludiana na yule mwanamke kiaina yoyote basi atadai taraka. Nikasema basi nimekueelewa na sitaludia . Basi amani ikaludi na mke wangu uku najibebisha sana kwa mke wangu.
Basi week ya tatu ndo mwanaume naingia chuoni. Yani nimefika nikafanya vipindi jioni kabisa .lemi akaomba kuongea na mm tukaenda bwenini kwake. Akanmbia eeh mwnagu kwanza pole daah ajali kazini. Nikasema nishapoa mwanangu ya kawaida tu wala hakuna shda. Akanmbia ile siku umemkataa princess ilikuwa serious au kumzuga tu mwanamke wako nikasema ni serious simtaki kweli. Mama kanmbia maneno magumu sana juu yake . Sihitaji kuwa na mchepuko. Mke wangu ananitosha sana. Ananitosha mno na nampenda sihitaji kumuumiza tena. Kwa vitu visivyo na maana wala msingi. Mh lemi akanmbia kumekucha . Unajua na princess anakupemda mno kanipigia simu juzi analia ananmbia anakupenda sana hawezi kuachana na ww.nikasema ataweza tu mimi hapana simuhitaji kiukweli. Lemi mwenyewe akachoka.
Mie nikasepa zangu kwangu mapema sana ata ofisini mimi sikupita. Nimaludi kwa mke wangu. Basi nikiona mke wangu anacheka nafurahi kweli. Namwambia nakupenda mke wangu mda wote. Mala nampakata nachezea tumbo lake . Malaa nalibusu yani rahaa tu. Basi bwana zikapita siku 3 mk naenda chuo. Na princess anakuja chuo ila namkwepa sana sikuwa nataka kuonana nae kabisa yani. Siju iyo ile natoka tu class .namkuta nje ananingoja. Nikasema leo mi namchana bwana. Basi mi nikamsogelea nikamsalimia akanmbia tunaweza kuongea . Nikasema saw. Basi tukasogea kwa pembeni kuna kimbweta ndo tukakaa pale sasa. Princess akaningalia sana kisha akanmbia . Yale maneno ile siku umenipigia ukiwa na mkeo ulikuwa una yamaanisha kwamba hunitaki tena.? Nikasema yaaa sikutaki tena na nipo seriusly. Princess akaniangalia uku machozi yanamtoka. Akanmbia lakini nakupenda sna na siwez kukuacha utanitesa tu haji. Plsss ntakuwa makini hii safarii. Nikasema hakuna haja ya kuwa makini. Sikutaki full stop kama unataka pesa yako ya stationery .mi ntauza kila kitu kukupa pesa yako. Akanmbia hapana usiuze we endelea tu na kazi. Kisha akainuka uku analia akaondoka zake. Mh sawa nampenda na yeye ila mke wangu nampenda zaidi. Na vile mama kashatoa maneno makali juu yake mm sikutaka tena kuendelea nae
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi