Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
Gonga94 · Stories

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na uyo mwanamke na simtaki nisamehe mke wangu. Mkee wangu akningalia sana .akanambia sawa
Apo na lemi akagongea . Ahaa shemu msamehe mshikaji utamuua si unamuona siku 2 tu kakonda atafeli bwana chuo.msamhehe . Basi mke wangu ndo akatulia. Lemi akampigisha story mpaka mke wangu akawa anacheka . Daah nikaoana afadhali basi hii siku mke wangu ndo akapika sasa mwenyewe. Na tukala kwa pamoja na mimi. Na akala sana tu..nikaoalna leo dutu limemtoka moyoni

Baada ya chakura sasa. Lemi akaaga nikabaki na mke wangu.nikaanza kujiongelesha ongelesha pale. Ila naona ananijibu vizuri. Mana najiongelesha iki. Mala najiongelesha kile. Yani ili mladi nimpime hajakasilika kweli ila wala hakuwa kakasikilika kabisa . Basi usiku nikaomba game na mke wangu. Na wala hakuwa na shida akanipa . Daaah nilionjoy basi nimamtomba mke wangi taratibu uku naongea nae uku namuomba msamaha .wee kwa nini asisamehee . Uku anaililia tena . Baada ya tendo tukaenda kuoga tukaja kupumzika. Bado sikutaka kwenda chuo nilihisi bado mke wangu anahihitaji zaidi nikakaa nae nyumbani tena week 1. Mda wote ananisihi kuwa akigundua nimeludiana na yule mwanamke kiaina yoyote basi atadai taraka. Nikasema basi nimekueelewa na sitaludia . Basi amani ikaludi na mke wangu uku najibebisha sana kwa mke wangu.

Basi week ya tatu ndo mwanaume naingia chuoni. Yani nimefika nikafanya vipindi jioni kabisa .lemi akaomba kuongea na mm tukaenda bwenini kwake. Akanmbia eeh mwnagu kwanza pole daah ajali kazini. Nikasema nishapoa mwanangu ya kawaida tu wala hakuna shda. Akanmbia ile siku umemkataa princess ilikuwa serious au kumzuga tu mwanamke wako nikasema ni serious simtaki kweli. Mama kanmbia maneno magumu sana juu yake . Sihitaji kuwa na mchepuko. Mke wangu ananitosha sana. Ananitosha mno na nampenda sihitaji kumuumiza tena. Kwa vitu visivyo na maana wala msingi. Mh lemi akanmbia kumekucha . Unajua na princess anakupemda mno kanipigia simu juzi analia ananmbia anakupenda sana hawezi kuachana na ww.nikasema ataweza tu mimi hapana simuhitaji kiukweli. Lemi mwenyewe akachoka.

Mie nikasepa zangu kwangu mapema sana ata ofisini mimi sikupita. Nimaludi kwa mke wangu. Basi nikiona mke wangu anacheka nafurahi kweli. Namwambia nakupenda mke wangu mda wote. Mala nampakata nachezea tumbo lake . Malaa nalibusu yani rahaa tu. Basi bwana zikapita siku 3 mk naenda chuo. Na princess anakuja chuo ila namkwepa sana sikuwa nataka kuonana nae kabisa yani. Siju iyo ile natoka tu class .namkuta nje ananingoja. Nikasema leo mi namchana bwana. Basi mi nikamsogelea nikamsalimia akanmbia tunaweza kuongea . Nikasema saw. Basi tukasogea kwa pembeni kuna kimbweta ndo tukakaa pale sasa. Princess akaningalia sana kisha akanmbia . Yale maneno ile siku umenipigia ukiwa na mkeo ulikuwa una yamaanisha kwamba hunitaki tena.? Nikasema yaaa sikutaki tena na nipo seriusly. Princess akaniangalia uku machozi yanamtoka. Akanmbia lakini nakupenda sna na siwez kukuacha utanitesa tu haji. Plsss ntakuwa makini hii safarii. Nikasema hakuna haja ya kuwa makini. Sikutaki full stop kama unataka pesa yako ya stationery .mi ntauza kila kitu kukupa pesa yako. Akanmbia hapana usiuze we endelea tu na kazi. Kisha akainuka uku analia akaondoka zake. Mh sawa nampenda na yeye ila mke wangu nampenda zaidi. Na vile mama kashatoa maneno makali juu yake mm sikutaka tena kuendelea nae
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33




Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na uyo mwanamke na simtaki nisamehe mke wangu. Mkee wangu akningalia sana .akanambia sawa
Apo na lemi akagongea . Ahaa shemu msamehe mshikaji utamuua si unamuona siku 2 tu kakonda atafeli bwana chuo.msamhehe . Basi mke wangu ndo akatulia. Lemi akampigisha story mpaka mke wangu akawa anacheka . Daah nikaoana afadhali basi hii siku mke wangu ndo akapika sasa mwenyewe. Na tukala kwa pamoja na mimi. Na akala sana tu..nikaoalna leo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimi-sikuachi-sehemu-ya-33

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimi-sikuachi-sehemu-ya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

593
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

550
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘

528
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

501
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

347
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

311
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

263
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

179
REAL LOVE*  Chapter 10

REAL LOVE* Chapter 10

145
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

101

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.08K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29
@majario LIVE

Basi bwana mie nikalidi kwangu. Ila.sikuwa sawa yani ile kuvishwa pete ina maana anaolewa . Ina maana inakuwaje hii. Aseeeee sikuwa naelewa ni wivu au ni nini ndo kinanisumbua ila...

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*
@majario LIVE

*SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA* Basi bwana mie nikamuoa fatuma na nilikaa nae nyumbani kama weeek. Kwa uo mda lemi ye alinishanitangulia . Yani alishaondoka baada ya mimi kuoa tu....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest