Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha . Mala anannmbia njooo basi ukae apa juu yangu. Yani mlige et nikakae juu yake uku ana drive uyu baba ana shida kweli. Basi bwana akadrive mpaka kwake. Tumefika tumeanzia seblen. Hataki kunielewa .ni kisss tu. Mala kanishika hivi mala kanishika vile. Oooh kilinukaaa . Baba anapilika uyu. Weeeee akinishika . Aswaaa. Alinitoa mnooo. Yani nakwambja ata mimi hizi fujo nilizimiss mnooo. Mlige anafujo sana kweenye sex. Ananikunjaaa mpaka nachanganikiwa. Yani saaa 6 mlige ndo ananiachai. Nipo hoiiiiiiiiiii. Akanmbia pole mama .nilikumiss sana mke wangu. Mie nikamsogelea nikambusu nikamwambia wala usijli nimekumiss zaidi asante na nkmeinjoy. Mlige akanmbia okey mama. Apo njaa inauma. Mlige akanmbia ndani kuna kila kitu ila hajapika. Basi tukaenda kuoga. Mie nilipotoka . Nikaenda kupika sasa. Na baada ya chakura tukaja kupumzika.

Basi bwana na baada ya week mm nikaanza field nyakanazi hospital. Na mlige kila siku yeye anakuja kunifata home kwa wazazi . Ananipeleka nyakanazi ndo.anaingia kazinj. Kuludi pia ananifat jioni sana. Ikawa hivyooo. App shoga uangu yusta nae aliludi akawa anafanya field ya kufundisha shuleni kwa mlige kabisa . Wala hakusumbuka yani. Mlige alimpa nafasi haraka tu. Basi shoga yenu siku za week nakuwa na mlige . Apo anataka simu yangu akae nayo. Basi naomba mnoo zayd asije akanipigia kwa namba ngeni. Mana yeye kama yeye nilishamblock . Ila nashukuru hakunitafuta. Ila mlige sasa alitulia . Yani ata nikishika simi yake . Ni hakuna kitu . Kama anafanya anajua kuficha jamani. Basi ikapita miez 2 mie ninamaliza field. Nikawa nipo nyjmbani tu ile kupumzika .

Mala leo nipo kwa mlige mala kesho nyumbani hivyo. Nikiwa na hami na kupiga story kwa shoga yangu yusta. Mpama likizo ikakakta .ikabidi niludi kuendelea na mwaka wa pili wa masomo. Na baby ndo akaniluidisha dar . Akanilipia kodi tena . Mana ilikuwa inaisha na kila kilichokuwa kimeisha akaninunulia na akakaa kwangu siku 3. Akaludi kagera kuendelea na majukumu yake. Na mie nikawa na3ndelea kupambana na chuo.

Ikapita miezi 3. Nipo busy na mlige wangu na masomo. Zayd hakunitafuta kabisa. Mpaka mie ikampotezea . Na ata angel alinambia hajamuona zayd mda sana. Bsi mie nikawa busy na mamabo yako. Siku iyo sasa natoka chuo . Nipo na angel. Yani ile natoka nje getini tu nikastuka mnooo. Namuona zayd ameegeme gari. Yake. Khaaaaa uyu nae kaja kufanya nn . Aliponiona akaja mpaka nilipo akatusalimia .et hi warembo. Mh angel akamchangamkia mnooo. Yani alimchangamkia kweli kweli. Si shobo tena kaka ana pesa. Basi akanigeukia mm et daah sijakuona mda nilisafiri kidogo mama nilikiwa dubai kibiashara. Mie nikasema sawa. Akanmbia vp tunaweza kuongea . Nikasema hatuwez mi nna haraka. Angel akadakia akasema we nae vp msikilize mbana . Kwano si mala moja tu. Zayd akasema bola angel unisaidie kumuelezea uyu mrembo . Mh zayd akanmbia huchelewi tunaongea tu chapu. Basi nikakubaki kunsikiliza na tukaingia kwenye gari yake.

Zayd akanmbia mam bado una hasira na mm. Et mchumba . Umeniblock hutaki ata kuongea na mm. Acha mambo ayo mama. Mi nakuoenda seripus faridah .mi nakuelewa kweli kweli. Kwako mm nimezawa nakwambia kabisaaa. Ata unifanyaje mi ntakusunbua tu na hivi nisharudim bola unikubali tu kama vp . Mi ntakuzingatia kwa kila kitu na jamaaa hataelewa lolote. Mh nikasema plssss mi sihitaji kuwa na ww. Kwanza yule mwanaume mm nampenda . Cha pili na yeye ananipenda sana . Anafanya kila kitu kwa ajili yangu . Mpaka kajengea wazazi wangu .nyumba ya kisasa na yeye ndo ananisomesha . Unazani mi nawezaje kumsaliti..ebu niachee. Akanmbia tulia mama .hivyo vitu anavyovifanya uyo jamaa ata mm kama ningekutana na ww unazani nisingefanya . Sasa nipe chancee nikuoneshe kiwa naweza kukufanyia vitu vikubwa zaidi vya uyo bwana ako plsssssss

Mi nikasema hapana sitaki. Nikataka kushuka kanizuia ila nikamsukuma nikashuka.nikakodi bodaaa uyo mpaka nyumbani. Ila sasa kuanzia apo zayd nfo alizidisha kunisumbua. Alijuwa ananisumbua mnoooo. Yani ana piga simu kila siku na namba mpya na anakuja sana kwangu kugonga. Yani ilijuwa ni shida. Kunifata chuo ndo kila.siku . Anaifata mimi ndo namkimbia ikawa hivyo.. ila sijuwa kumuemleza mlige ata siku mojaa mimi. Na bado tupo vozuri tuu. Na huduma zote ananipa . Nakumbuka iyo siku ilikuwa ni birh day yangu. Nilikuwa natimiza miaka 23. Asubuh tu mlige alinipigia simu akaniwish nakwambia. Akanmbia nakutumia pesa ununue chochote unachokitaka leo . Nikafurahi nikasema sawa baby. Mh kuchek kwenye simu kaniingizia mili 1. Nilifirahi jamanii.nikampigia nikamshukuru mnooo. Akanmbia mi napenda ukifurahi mke wangu enjoy siku yako.

Basi bibi mie nikajiandaa zangu kwa rahaa mno si nimejaa uyo nikaingia zangu chuo. Asa angel akanmbia shogaaa leo si birthday yako. Nikasema ndio akanmbia kuna sehemu nataka unipelke .nikamuuloza wapi . Akanmbia kigamboni kuna part ya rafiki yangu sa si twende tu tukasherehekee. Nikamuuliza ni saa ngapi mana mi namjua mwanaume wangu .apendi nizulule. Akanmbia ni saa 10 jioni mpaka saa 2 usiku inaisha. Nikaiona mbona ni muda wa kawaida tu na wala haiyosumbua mana nna weza kudanganya nilikuwa chuo piaa. Basi kweli midaa ya saa 9 sie tukatoka pale mpaka kigamboni . Sehemj mona inaitwa cheka kukikuwa na hotel flni nzuri na kumepoa sana. Nikamuuliza ndo apa kuna iyo party ya rafuki yako akanambia ndio. Jikasema powa kweli tumefukaaaa. Na nikaona kuna wtu pale..kila mtu na mpenzi wake na sie yukajumuika nao. Basi palichangamka.tu kulikuwa na vinyajii mnooo. Nikamuuliza best yako mwenyewe ni nanai. Akanambia utamuona tu bado hajaja. Mh basi tukaka pale mpaka saa 12. Nikamwmabia angel mi nataka kuondoka mda ushaisha. Angelakanmbia ngojea kidogo mpaka biryhday girl afike bwana .tunaonfoka saa moja nikasema.sawaaaa . Tukaw yunakunywa wine pale taratibu

Heeeee si naona anaingia zayd kapendeza kweli kweli. Nikiwa abado sijaelewa nn kinaendelea . Watu wote wakanigeukia wakaanza kuniimbia wimbo wa birthday. Et kumbe biryh day girly nilikuwa ni mm. Mh ilikuwa gafraa. Sikupenda yani ila sasa nafanyaje mbele za watu. Mie nikajikausha. Zayd akiniletea maua mekundu makubwa na mazuri akanikabiz pale . Mh asa nkataaje mbele ya watu . Ikabidi nipokeee tu. Kisha ikaletwa keki pale. Ilikuwa ni keki nzuri na very lixury. Nikakata pale. Na baada ya kukata niliwalisha watu wote pale. Baada ya apo . Sasa zayd akaomba kuongea . Akasema katika hii dunia hakjn mwanamke nampenda kama. Faridaah. Ni mwanamke mpole na mtaratibu mnoo. Ni mwanamke anayejielewa na kujiheshimu. Ni mwanamke wa ndoyo zangu nakupenda sana. Mh mm sikujibu kitu. Ila watu wakawa wanashangilia mnooo pale. Akanmbia kayika siku yako hiii muhimu .nimeaandaa zawadi ndogo kwa ajili yako. Akanishika mkono akaanza kunitoa njee ya hotel. Uku wayu wote wanatufauta. Nyieeeeeee nilipelkwa njee nakut gari aina ya prado nyeusi. Nyieeeeeee mbona sikuamini. Plate namba imeandikwa FARIDAH.
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85




Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha . Mala anannmbia njooo basi ukae apa juu yangu. Yani mlige et nikakae juu yake uku ana drive uyu baba ana shida kweli. Basi bwana akadrive mpaka kwake. Tumefika tumeanzia seblen. Hataki kunielewa .ni kisss tu. Mala kanishika hivi mala kanishika vile. Oooh kilinukaaa . Baba anapilika uyu. Weeeee akinishika . Aswaaa. Alinitoa mnooo. Yani nakwambja ata mimi hizi fujo nilizimiss mnooo. Mlige anafujo sana kweenye sex. Ananikunjaaa mpaka nachanganikiwa....

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-84-na-85

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

584
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

558
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

526
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

409
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

360
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

298
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

279
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

73

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest