Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
13 Feb 2026
177 views
VYOTE NDANI GONGA94
*MIMI SIKUACHIπ₯°* *SEHMU YA 34*
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
*SEASON TWO*
LISSA WA HURU MEDIA
*
Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu. So sikuona faida ya kuwa na michepuko kwa kweli. Na nikatulia na mke wangu. Bai nikaendelea kupiga kitabu .nikaaanza kusikia kwamba princess kuna kijana wa mwaka wa tatu anatoka nae anaitwa michael. Na kweli alokuwa ana date nae kuna baazi ya siku nilikiwa nawaona kabisa wapo wote. Na kuna mda wanatembea wote. Ahaa mimi safari hii wala.sikuumia sikuwafatilia kabisa kwaza nikaona ndo vyema kamove on. Japo demu mkari kisenge ila niliamua kurizka tu.
Basi mie nikawa nipo busy na mwanamke wangu na nikawa namuhakikishia kabisa kuwa nimetulia mpaka ikakata miezi 2. Apo mke wangua akfikisha mimba ya miez 8. Siku iyo sasa nipo zangu class. Lemi akanipigia simu akambia uko wapi ww. Nikasema we fala nipo class we si unakimbia vipindi shauri lako. Akanmbia njoo kaka kuna special case apa. Nikasema nije wapi tena ndugu yangu mbona aunanaichanganya. Akanammbia njoo room kwangu.nikasema sawa ngoja mwalimu akitoka cla ss. Lemi akanmbia sawa hakuna noma ata. Kweli mi nikapiga sana pindi .baada ya kumaliza kipindi . Sasa mi ndo nikaekea room kwa lemi. Daah naingia namkuta princess. Nikamungalia sana lemi.nikasema lemi uhuu utoto bado unao tu.nini sasa hii mwanangu. Akanmbia sikia bwana ebu msikilize princess
Nikasema lemi huu ni usenge wallah. Mi nishasema simtaki uyu mwanamke lemi we mwenyewe unaelewa mpka fatuma kanisamehe tumetumia nguvu gani. Au unataka nivunje ndoa yangu. Lemi akanmbia ww sio mapenzi. Princeess hajaja apa kukutaka ww kimapenzi. Sijuh unaelewa . Kwani hujui kuwa princezs ana date na michael wa mwaka wa tatu yule wa accountant nini sasa mwanangi ebu msikilize kwanza. Daah basi apo ndo nikapoa . Mda wote princess amekaa kimya ananingalia tu. Basi lemi akanmbia nawaacha kisha akasepa . Nikamuuliza eeh leo kuna nn tena mana kila siku ni mapya. Hakuongea akanipa karatasi. Nikalipokea naangalia ni majibu ya daktari kaandikiwa ana mimba ya mieiz 3. Nilistukaaaa nikihisi ka busa naambiwa mimi ndo muhusika wa uo mzigo sasa
Nikasema.una mimba ya miezi 3. Akanmbia ndio .nikasema.sawa sasa kwa nn umeniita mimi. Princess akanmbia sababu we ndo msababaishi wa hii mimba. Nikasema.we acha kunitania si kuna michael..ina maana michael hakutombi ww?. Hapna we una date na mtu mwengine.ndo mwenye mimba yake .princes akaningalia sana .akanmbia mi najielewa sana na mimi ni mtu mzima sawa ww. Najua nani kanipa mimba na ndo amana nimekufata ww na sio yeye. Mimi na michael tuna mwezii . Hii mimba ina miez 3 na ndo nimejigundua. Unahisi ni ya nani kama sio yako. Nipo apa kukusikiliza na tushaulinae nini tunafanya juu ya hiii mimba na sio uanze kujikatalisha mimba. Nikasema okey sitaki kuza ana ww natka tutoe hiyo mimba. akanmbia ahaaa sawa nipe pesa ya kutolea laki 5.nikamwambia nipe siku 3 nakupa ukatoe. Akanmbia sawa uwe na siku njema .akavuta pochi yake akaondoka .aseeee kichwa kiliwaka kisengee.
MIMI SIKUACHIπ₯° 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 24 Basi bwana nakumbuka nilikaaa uku nyumbani week.2...
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo...
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fat...
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. ...
Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu. So sikuona faida ya kuwa na michepuko kwa kweli. Na nikatulia na mke wangu. Bai nikaendelea kupiga kitabu .nikaaanza kusikia kwamba princess kuna kijana wa mwaka wa tatu anatoka nae anaitwa michael. Na kweli alokuwa ana date nae kuna baazi ya siku nilikiwa nawaona kabisa wapo wote. Na kuna mda wanatembea wote. Ahaa mimi safari hii wala.sikuumia sikuwafatilia kabisa kwaza nikaona ndo vyema kamove on. Japo demu mkari kisenge...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimi-sikuachi-sehmu-ya-34