REAL LOVE Chapter 13
seven aliwasha gari na kuliondoa spidi njia nzima alikuwa akilalamika tu
mtu unaiona hali yako lakini unakubari tu
kufanya mikazi kwahiyo unataka kulazwa tena hospitari ishindwa kuomb hata sjmu kwa jirani umpigie baba? hujionei huruma wewe hata kama unanichukia lakini jipende mwenyewe mimi sio lazima kunipenda je nisingekuja ingekuwaje ah***" alisema seven kwa ukali sana aliumia sana kuona fahima anateseka hivo
sasa si upunguze spidi basi alisema fahima baada ya kuona gari linatoka spidi sanaaa
halafu?" alijibu mkato seven aiseee kwakweli alikasirika sana ikabidi fahima anyamanze tu maana akiendelea kuongea asije akaleta. matatizo basi seven akaendle kuendesh gari
upande mwingine nyumbani kwa mama seven asubuhi aliamka vizuri tu walikuwa mezani wakipata kifungua kinywa lakini siku hiyo. alitamani sana kikaa chini na mwanae seven il
kuzungumza nae
hivi seven kaenda wapi mbona leo. hajaniaga aliuliza mama seven
hata mimi hajanlaga mama au we sara kakuaga" alisema selina.
hapana dada" alijibu sarafina
"basi miacheni nitamsubiri akirudi nizungumze nae alisema mama seven kisha wakaendelea. kula chakula,
upande mwingine nyumbani kwa mama fatuma alijiuliza sana huyu kijana ni nani na katokea wapi mbona anamfatafata sana fahima kwani anauzuri gani lazm nifanye kitu awe anamke
awe hana ila nitafanya kila kitu amuoe mwanangu maana anaonekana anapesa sana"**" alisema mama fatuma kimoyomoyo ndipo
fatuma nae akaja
mama huyu kijana nimempenda jamani mzuri handsome mama nifanyie mpango basi uongee n baba anioe """ alisema fatuma.
nyoooo et akuoe wakat kufua nguo tu hujui alisema mama fatuma
mama bhana si nitajifunzaaa jamani*** alisema fatuma
ndo ujifunze sas ukishangaa atachukuliwa na fahima alisema mama fatuma
weeeee asubutu aone yani amchukue bwana angu heee nitamvunja vunja "" alisema fatuma
apa cha msingi tumtafute fahima afu tumbane aseme yule kijana anakaa wapi alisema mama fatuma
"si yupo ndani ngoja nikamuite alisema fatuma
"ukamuite wapi yani we mtoto chizii eee ko nachoongea hapa hukielewi fahima kachukuliwa na uyo kaka na anayejuwa walipo ni baba yake sisi hatujui alisema mama fatuma na kufanya fatuma abaki ameshangaa na kukodoa macho. tu
upande mwingine seven na fahima walifika mpama maeneo ya kisemvule katika mjengo mmoja wa kifahari haukua mkubwa sana yani ulikuwa simple tu alipiga honi ya gari kisha
mlinzi akaja kufungua gari likaingia ndani walifika na kushuka, seven alimshika mkono fahima ili aingie nae ndani lakini fahima alikataa
**"hapana nipo sawa tu nitaenda" alisema fahima
"kwahiyo nikikusaidia kwenda utazidi kuumia au alisema seven
seven si nimekwambia nipo sawa alisema fahima basi seven hakumjibu alimfuata mlinzi getini
kamanda nimekuja na mgeni wangu nitakuwa
nakuacha pamoja nahuyo mfanyakazi wa ndani naomba muwe mnamuangalia vizuri maana ni mgonjwa alisema seven
sawa boss wangu limeisha hilo alijibu mlinzi
huyo basi seven akarudi na kuongozana na fahima hadi ndani walifika na kumkuta dada wa kazi seblen akiandaa chai mezani aliwafata na kuwasalimia
""shikamoo kaka" alisalimia
"marahaba asu nimekuja na dada uyu apa muangalie vizuri anaumwa atakachohitaji utampa nakama kimeisha utaniambia sawa alisema seven
sawa kaka alijibu asu
haya mpeleke umuonyeshe chumba aoge na umpatie nguo nilizonunua awe safi kisha arudi
kula mezani nawasubiri nataka niende kazini"***"
alisema seven basi fahima akapelekwa kwenda kuonyeshwa chumba
upande mwingine catherini asubuhi hiyo alionekana katika hotel moja ndani ya chumba namba 200 akiwa na mbaba wa makamo
"yani we mtoto mzuri sana unanikoshaaaa kwa utundu wako alisema mzee huyo mwenye pesa chafu
"usione nakupa bure kumbuka makubaliano yetu akikuletea kesi ikunje kama karatasi ikiwezekana mgeuzie kibao seven afungwe yani
sitaki kabisa aje kunibuguzi nikiwa natumia mali zangu alisema catherini
Usijari mtoto mzuri kila kitu kitakuwa sawa nitafanya kama ulivosema kikubwa nizipate tu hizo hati na document zote alisema mubaba huyo aiseeee cathe alikuwa ni mwanamke hatari sana bila kujulikana, aliamua kuutoa utu wake kwaajiri ya pesa tu alikubaliana na hakimu huyo
kila kitu kuhusu mchakato huo hakutaka seven aishi kwa amani hata kidogo uyo ndo dada aliyeitwa catherin
turudi ofisini kwa devi story zao ziliendelea kusonga mbele na mr sanju huku wakicheka. vicheko mfululizo mara ghafla mlango wa ofisi hiyo ukafunguliwa akaingia john akiwa amekunja
ndita kwelikweli
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi