Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ Gonga94 Semajambo
Gonga94 ยท Stories
16 Feb 2026
693 views
VYOTE NDANI GONGA94
MIMI SIKUACHI๐ฅฐ Sehemu ya 38
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Aseeee akanmbia basi sawa hkuna shida. Ntajalibu kufatilia aseeee hii siku .nilipata amani ya moyo ambayo niliikoss kwa mda sana. Mana jamaa alinihakikishia kabisa kuwa ni wanangi na nimefanana nao. Aloooo nikaanza kumtafuta princess kwenye mitandao ya kijamii. Ila wapi sikumpata.nikaanza kuulizia washikaji. Kuna vidada vilikiwa na urafiki nae japo sio sna wote nikawwatafuta ila wao piah hawakuwa na namba zake wala habari zake zozote.
Aseeee kuanzia apo lemi akawa anamtafuta sana princess . Yani mnooo. Uku na mm nikiendelea kupambana sana. Aseee siku iyo lemi akanmbia sikia wewe. Uyu demu itakuwa kabadilisha namba za simu. Hakuna ambae ana namba zake. Sasa cha kufanya apo ongea na leacture yoyote anayemueza aongee na mzee wake yani baba yake na peincess. Amuombe namba za princess ata kwa kudanganyia kitu..mana baba yake bado alikuwa mbubge wa uku uku moro na anafahamika sana..na katika graduu za mzumbe mala.nyingi uwa yupo. Nikasema daah iyo nayo ni akiri sana hakuna noma kesho nikiingia mzumbe cha kwanza ndo kitakuwa hiko. Akanmbia powa kaka hakuna shida.
Basi kweli kesho yake nilipoenda kufundisha mzumba .nikamzukia leacturee majeed. Uyu leacturer alitufundisha uyu so nimemzoae sana na vile now nafanya nae kazi pamoja apa ndo kabisa.nikmpanga sana kuwa nahitaji namba za mtoto wa mbunge wa hapa yani princess. Akanmbia ahaa mbona mi namba za princess ninazo. Alinipigia kama miez 3 nyuma . Alinambia kuwa anataka kuludi kumaliza mwaka wake wa mwisho mana alipostpon hakumaliza chuo. Ila sikumuona tena .so sielewi nini kimetokea .nikasema sawa basi naomba namba zake. Leacture akaningalia akacheka akanmbia vp dogo unataka kukamata mzigo nn. Nikacheka sana nikasema hapana mm nna isssue zangu tu zengine akanmbia powaaaa
Aseeee nilifurahi baada ya kupata namba..nilimpigia lemi nikamwambia nimepata namba zake.akanmbia sikia sasa usimpigie . Tunahitaji kuonana nae live kwa live. Nitumie namba yake .kuna mwanangu ni mtamu wa mambo ya mitandao .amtrack kisha tutajua tunakutana nae vp.nikasema sawa na kweli nikamtumia namba yake. Apo nilikuwa na kiwewe sana cha kuwaona wanangu. Japo nilijua ntakuw na mziki mkubwa wa kujieleza kwa princess wallah. Basi mi nikawa nipo busy na mambo yangu.na lemi akanmbia sasa washafanikiwa kumtrack princesss. Na anaona root zake zote. Aseeee niliuliza wapi anakuwa sana uisiku. Akanmbia kibaha. Apo ndo sana nafikiri atakuwa anaishi kibaha. Ila sasa hatutakiwi sisi kwenda kwake. Kama ameolewa jeeee .nikasema ni kwli hilo nalo ni balaaa.
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
*AFANDE MILLAN๐* *Sehemu ya 51 na 52*
Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba ume...
39 MPAKA 40 ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana ...
๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa...
๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa...
kipande cha 38 ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo...
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
36 MPAKA 37 ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasem...
Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA
MIMI SIKUACHI๐ฅฐ Sehemu ya 38
Aseeee akanmbia basi sawa hkuna shida. Ntajalibu kufatilia aseeee hii siku .nilipata amani ya moyo ambayo niliikoss kwa mda sana. Mana jamaa alinihakikishia kabisa kuwa ni wanangi na nimefanana nao. Aloooo nikaanza kumtafuta princess kwenye mitandao ya kijamii. Ila wapi sikumpata.nikaanza kuulizia washikaji. Kuna vidada vilikiwa na urafiki nae japo sio sna wote nikawwatafuta ila wao piah hawakuwa na namba zake wala habari zake zozote.
Aseeee kuanzia apo lemi akawa anamtafuta sana princess . Yani mnooo. Uku na mm nikiendelea kupambana sana. Aseee siku iyo lemi akanmbia sikia wewe. Uyu demu itakuwa kabadilisha namba za simu. Hakuna ambae ana namba...
๐ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimi-sikuachi-sehemu-ya-38
Maoni