REAL LOVE Chapter 12
kitendo cha fahima kushikwa na seven. kiliwakera sana walikasirika ghafla tu lakini
fatuma hakusahau dhamira yake akatoka haraka mpaka kwa fahima na kumsaidia kumshika mkono mwingine lakini mzee fahad akamkemea kabisa
"wewe hebu muache unataka ashikwe mara ngapi muache alisema mzee fahad kwa ukali sana
lakini baba si namsaidia alisema fatuma
hebu kelele uko ungetaka kumsaidia si ungeenda kumtafuta si mlikaa hapo hamna habari na mngefurahi sana kusikia amekufa wanafki wakubwa nyie alisema mzee fahad kwa kufoka sana
"lakini mume wangu hukutuambia kama fa alisema mam fatuma lakini akakatishwa na mzee fahad
tena wewe mwanamke ndo usingee kitu kabisa nyoka wewe unajifanya sikuwaambia kwahiyo mlitaka niwaamble illi mkammalizie kabisa wewe sindiye ulimpiga mpaka akakimbia ukamsababishia matatizo mwanangu sasa nakuapia ukimgusa tena mwanangu ni mawili uende hela au ardhini aiseeee baba fahima alisema maneno makali sana ymambayo yaliwashtua kila mmoja hapo,
seven ndani ya moyo wake aliumia sana
ndomana hakutaka kabisa fahima arudi hapo aliumia mno alijuwa akirudi atateseka, fatuma alikuwa anamuangalia sana seven huku akimkonyeza lakini seven hakumpa ishara yoyote ile alimuangalia na kugeukia pembeni ndani ya moyo wake alitokea kuwachukia sana fatuma na mama yake,
basi wakamuingiza fahima ndani fatuma
akataka nayeye aingie ndani lakini akapigwa. marufuku na baba yake hakuna kuingia ndani humo ambapo yupo seven na fahima, seven. alimlaza taratibu sana fahima maana kwakweli bado donda lake lilikuwa bichi sana
pole sana sasahivi jnajisikiaje alisema seven "unaweza kwenda alijibu fahima huku akigeukia pembeni
"sawa lakini sitakuwa sawa endapo nitaondoka bila kujuwa haki yako alisema seven kwa upole sana
"naendelea vizuri tu alijibu fahima
sawa nafurahi kusikia hivoo ila forgive me fahima naomba nisamehe sawa najuwa
hunipendi unanichukia unatamani nife hata leo lakini yote nimekubari ila muhimu nipate. msamaha wako tu alisema swwwn kwa
uchungu sana
"nimekusamehe mda tu ila nakuomba sana usije tena hapa nyumbani nashukuru kwa kila kitu lakini sihitaji tena kukuona alisema fahima
sawa lakini hiyo niamri yako bado yangu, nimekuelewa mimi sitakuja tena lakini moyo wangu ukihitaji kujua hali yako utakuja uwe na jioni njema alisema seven kisha akanyanyika na kutoka nje akaagana na mzee fahad kisha akampatia pesa kadhaa na kuondoka, fatuma
alitaka amsindikize lakinibaba fahima alikaza nati alimjuwa vizuri sana fatuma
upande mwingine nyumbani kwa mama cathe
alimulta mwanae wazungumze wao kama wao maana alikuwa anatafakari sana na bado alitaka kupata ukweli
cathe sasa kama unasema hujatembea na devi kwanini usirudi tu kwa seven alisemamama cathe
momm serious????? narudije wakati kashasema mnichukue yeye anamuangalia mama yake? alisema cathe
sasa mwanangu ndo inabidi mukae chini wewe na seven muongee muyamalize kishaukukae hata ukweni alisema mama csthe
"hivi mama kwani hunitaki?? et mama hunitakili maana muda wote unaongelea kule tu kwani nikikaa na wazazi wangh muna nini? alisema cathe kwa hasira
"sio hivyo mwanangu tatizo nahofia mwanangu. chelewa chelewa utamkuta mwana si wako alisema mama cathe
kha mama nani kakwambia seven
atanisaliti? hee hujui tu nilivyomkamata hawezi kuona pengine alisema cathe kwa kujiamini sana,
"mh haya mtajuwana wenyewe mimi ikipita wiki hamna chochote nitamulta seven tuzungumze alisema mama cathe
sawa mom basi wakaendelea kuzungumza. mengine, muda ulienda sana hatimae ilifika usiku na seven alirudi nyumbani baada ya kutoka kwenye mihangaiko yake, alifika na kumjulia hali mama yake baada ya kuona yupo sawa basi alielekea chumbani alifika na kujitupia
kitandani
alianza kukumbuka tena maisha ya nyuma kati yake na cathe kwakweli alimpenda sanal alikumbuka kila kitu mpaka siku anayomfumania na kusababisha mpaka kumuingilia fahima. kinguvu mawazo yake yaliishia hapo akashtuka
na kukurupuka kitandani
"sijui sasahivi atakuwa anaendeleje?" na namba ya simu sikuchukua ile nyumba nzuri sana naona ataipenda tu kesho mapema nitaenda kumchukua alijisemea moyoni kisha akajitupa tena kitandani kutokana na kuchoka
hakuchelewa alipitiwa na usingizi hapohapo,
asubuhi na mapema katika kampun ya mr seven kulikuwa na pilika nyingi sana kwakuwa washapewa taarifa kuwa skku hiyo boss wao
ataingia kazini rasmi kuendelea na kazi, wakawa bize sana na muda huohuo akafika devi
akiongozna n mr sanju, waliingia mpaka ndani ya campuni hiyp, kila mfanyakazi alipomuona devi anaanza kunong'ona walisikia mengi kuhusu kufumaniwa na mke wa boss wake, kama wahenga wasemavyo dunia haina siri
devi hakuwatilia manani alienda mpaka kwenye ofisi yake na kuingia akamkaribisha mr sanju ofisini na kumpa kiti akae
jisikie huru karibu sana mr sanju alisema dwvi bila wasiwasi kabisa
asante unahisi atafika mda gani aliuliza mr sanju
"ndomida yake hii alisema devi basi wakawa wanazungumza mambo yao
upande mwingine gari ya seven iliwasi nyumbani kwa mzee fahad alipofika akashuka ndani ya gari alistaajabu kumuona fahima akifua nguo
nyingi sana huku akikunja kunja uso wake
kuonyesha anaumia haraka sana seven akaenda kumshika na kumnyanyua mkono akamuweka ubavuni mwake aiseee allumia sana kuona
fahima anafua nguo nyingi kama zile.
we fahima mbwa wewe yani unafua nguo masaa mia nyauba wewe si tutakula nini heb mama fatuma alipaza sauti kwa ukali sana huku akitoka nje alishtuka. nakuacha kuongea baada ya kumuona seven akimshikilia vizuri fahima
"oooh baba kumbe umekuja karibu baba yangu pita ndani alisema mama fatuma huku akijichekesha chekesha
hivi mama mbona umempa nguo nyingi fahima wakati mgonjwa? alisema seven
"huyo mbishi sana kataka mwenyewe jeuri sana huyo
alisema mama fatuma
basi sawa ila mama tambua kitu kimoja tu kuma leo na kesho usimtese mtu kumbuka hujui kesho yako uwe na siku njema alisema seven kisha akageuka na kumpeleka fahima ndani ya
gar
sasa mbona unaondoka wapi alulizo mama fatuma unampeleka
nampeleka sehemu ambapo atatunzwa kwakuwa nyie mmeshindwa kumtunza uwe na
siku njema alisema seven kisha akamuingiza fahima ndani ya gari ambaye alikuwa amechoka sana kwa wakati huo wakimuacha mama Fatuma akikodoa macho tu
Itaendelea
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi