MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87
Daaah yani sikuwa naelewa nifurahi pale . Ama ninune. Yani nilikuwa katika hali ambayo ata siielew. Basi zayd akanishika mpaka karibu na ile gari kabisa. Akafungua milango na nikaona ndani imetulia mno na gari kali kweli kweli. Akanikabizi na funguo. Akanmbia hii ni kwa ajili yako . Nakupenda sna faridah. Kisha akaja kunikumbatia mh mi nikatulia tu . Watu ni wanapiga makofi mnooo. Na baada ya apo sasa tukaludi ndani. Vikaja vinywaji vya kutoshaaa . Yani vya kutoshaa. Basi apo mm nimekaa na zayd ata sijielewi tena kama namtaka ama simtaki nishaona gari . Nikatulia tuli. Basi bwana zayd akanmbia kunywa kidogo leo. Mie nikawa nagoma goma ila kanibembeleza akanipa pombe bwana. Nikawa nakunywa taratibu. Basi na yeye anakunya ananingalia anacheka tu . Mala ananikiss mala ananifanya iki mhhhh. Shiga yenu nikajiachia kabisaa kwa uyu kaka. Apo simu ipo kwenye pochi sijagoa kbisaa.
Mh tulikunywa pale mpaka saa sita. Na mie pombe zilivyokolea nikajiachia tu na zayd. Mpaka sa 7 zayd ndo alinichukua pale. Sikumbuki ikawaje nakuja kustuka asubuh nipo uchi kabisaaa na nipo kitandani na zayd na yeye yupo ichi kabisaaa. Nilistuka. Najishika chinii. Ni kumeloaa kweli kweli. Nikajua zayd kaniingilia tenaaa na leo. Kumpata mwandishi wa hii simulizi nichek kwa namba sefurisaba nanesita sabatisa sitatatu sitatatu utapata kazi kali na sehemu ya tano ya hii simulizi .anaekuuzia ni mwizi .nicheeki kwa hizo namba utapata kwa bei rahisi mno.Nikaaanza kumuamsha nakwmabia akaamka akanmbia vp mama. Nikasema zayd mbona umenifanya nikiwa nimelewa lakini. Akanmbia ahaa ulinifosi sana unataka. Mama . Asaningefanyaje. Nikaona nikupe tu. Dooh . Akanambia lakini hii mala ya pili tunafanya plssss ebu acha kunibania kwani jama atajua nakupenda sana. Mh mi nikatulia kimya apo nipo uchi na yeye hupo uchi. Akanisogelea akanza kuchezea maziwa yangu. Mh nikajikuta napata nyegeee. Na nikaluida nae game tena kwa mala ya 3. Na akanifanya sana yaniiiiiiii
Mh na mm nilikolea na ushirikiano nikatoa . Tumeachna mchana. Mh zayd alinibamba sana. Akanmbia usiogope jamaa yupo kagera uko mm nip dar unaogopa nn.nikasema akijua jeee akanmbia anajuaje sasa utamwambia ww ama. Nikasema hapana ila ananisomesha. Akanmbia kwani we ada ni sh ngapi pale chuo nikasema milion 2 . Akanmbia asa hiyo si pesa yako ya saloon mama. Ebu acha mambo yako nipe account namba yako nikuiingizie pesa. Nikampa akanwekea milion 10. Mpaka niliogopa. Akanmbia aya apo unalipa ada ya miaka yote mpaka unamaliza . Asikupigie kelel. Nilifurahi jamani kpaka nikamkumbatia mwanaume. Akanmbia mm nakupenda kweli na nikiwa na mm utafurahi kwrli kweli. Mm ndo don wala usijali mchumba. Basi nilikaaa pale nakwambia mpka jioni .sijashika simu yangu kabisa. Na jioni ndo nikamuaga sasa aknmbia anipeleke kwangu. Aseeeee kaka anaishi . Nyumba ya ghorofa 3. Nyumba ya kisure kweli kweli. Na mavitu ya gharama mnooo. Mpaka nilishangaa mm. Akanmbia apa ndo kwangu . Wala usiogope na soon panakuwa kwako loooh nilijiona kama malkia kwa ule mda mimi
Basi mchumba akanitoa mpaka njeee . Nyieeee apo parking kuna gari kama zote jamani . Mpka nachanganikiwa na ile yangu imeandikwa faridah ipo pale. Akanmbia ntakupeleka driving miez 3 ukishaweza utakuja kuchukua gari yako sawa baby nikasema ndio baby . Basi mwanaume akanipeleka mpka kwangu. Ata hakuingia ndani . Akanmbia apa sio sehemu ya ww kuishi ntakununulia nyumba . Nyieeee mbona sikuamni. Nikasema asante kisha nikamkiss . Akanmbia powa nakupenda sana mama. Nakupenda mnoo. Nikasema nakupenda pia zayd. Basi zayd akanicha pale . Bibi mie ndo nikaingia ndani.
Apo ndo nafungua simu . Nyieee mlige alipiga mpka alipiga tena . Yani tangu jana jioni ndo nampigia leo jioni. Nikivyopiga mlige akaniuliza upo salama? Nikasema ndio . Akaniukiza una shida gani tangu jana ushiki simu. Nikasema baby mi jana nilipoteza simu . Kumbe niliishau chuo kuna mtu alinihifadhia. Leo baada ya kutangaza sana chuo. Uyo mtu ndo kanipa . Mlige akanmbia unajihisi una akiri sana faridah kuliko mm. Unahisi unaweza kunidanganya mm. Faridah unachokifanya au unachotaka kukifanya kuwa makini. Nna uwakika kitaniumiza sana. Nauwakika kabisa faridah unataka kuniumiza but nakupenda sana .kisha akanikatia simu . Khaaa nikajisikia vibaya . Yani kwa jinsi alikuwa anaongea nilishajua sijuh kama ajatoa chozi. Namjua mlige juu yangu ananipenda mnoo. Mh nikaanza kumtumia sms za kumuomba msamaha wala hakunijibu
Usiku sana ndo nikampigia. Akapokea nikamwambia nisamehe mume wangu nakwambia ukweli. Akanmbia nambie. Nikasema jana mi nilienda kwnye party ya rafiki yangu .ndo nikaenda nikaenjoy sana nikajisahau nikalala uko uko . Ila kwa rafiki yangu nisamehe. Akanmbia sawa nimekusamehe usiku mwema . Akakata simu . Mh si mnamjua akimaind .Kumpata mwandishi wa hii simulizi nichek kwa namba sefurisaba nanesita sabatisa sitatatu sitatatu utapata kazi kali na sehemu ya tano ya hii simulizi .anaekuuzia ni mwizi .nicheeki kwa hizo namba utapata kwa bei rahisi mno. Basi mie nikamuacha kwanza .na ikapita weeek mlige kama kajinunisha . Ila sasa mimi na zayd ndo tukawa moto.new penzi in town. Nyieeeee napelekwa shopping za vitu brand kuanzia pochi nguo mpka viatu . Utanambia nn mimi. Nilikuwa napendeza zaidi ya neno kupendeza. Pesa sasa nazikoga. Kupewa laki 2 . Nilishavuka sasa nikawa napewa kuanzia milion . Kaka ananikeshia kuvaa wigi ya milion 5 sio shida zangu. Yani zayd mpunga kwao anao. Na driving bibi mie nikaanzaaa
Apo sasa mlige akipiga mnipokeee .kuna mda simpokelei .nikienda kwa bwana angu ndo simpokelei kabisaa. Ikafika stage .bibi mie ata siku 3 siludii kwangu nakuwa kwa zayd nainjoy tu. Na zayd alikuwa anaonesha ananipenda sana mana kila kitu ananipa. Basi siiku iyo ilikuwa ni week end yani j mosi nikaenda kulla kwa zayd kisha kesho yake sasa mida ya mchana ndo zayd akanikudisha nakwambia. Mpaka nyumbani . Akanmbia nitakumissss baby nakufata kesho tu.nikacheka nikasema okey darling. Basi nikamuaga kisha nikashuka. Nikafungua geti kuingia ndani. Ile nafungua geti kubwa . Nakuta mlige amekaa kibalazani kwangu kaegemea ukuta nilistuka mnoooo. Nusu nikimbie . Milige akawa ananingalia kwa unyonge sana .nilivyovaa sasa . Mh nilivaaa kipenzi kafupi mnooo.na top tu kwa juu tena inaonesha kitovu . Si baby ana gari haisumbui
Mlige aknambia usikimbie njoo apa . Mh nilikuwa natetemeka na kapresha juuu.nikasogea natetemeka mnoo. Apo mkononi nna simu kali baby kasha nibadilishia nilikuwa natumia ambayo alininunulia mlige. Nyieee. Mlige akanmbia fungua mlango. Tuingie ndani. Nikafungua naogopa sana . Umefika ndani akanmbia nipe simu yako. Nikawa nagoma . Nilipigwa bao moj hilo. Nikaanguka mpaka chini ap mlige na hasira mpaka anatetemeka . Mie nikampa simu .akaniuliza hii simu umepata wapi ndo kakunulia uyo bwana ako sio . Toa password .nikatoa chapu weee. Akaanza kupekua nilijua nimekwisha tu man mh kuna picha za ajabu umo nikiwa nazayd. Kuna sms z mapenzi za zayd kuna mambo mengi sana. Aseeee niliona mlige kachanganikiwa mnoo akapasua simu ukutani nakwambia .
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi