Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Daaah yani sikuwa naelewa nifurahi pale . Ama ninune. Yani nilikuwa katika hali ambayo ata siielew. Basi zayd akanishika mpaka karibu na ile gari kabisa. Akafungua milango na nikaona ndani imetulia mno na gari kali kweli kweli. Akanikabizi na funguo. Akanmbia hii ni kwa ajili yako . Nakupenda sna faridah. Kisha akaja kunikumbatia mh mi nikatulia tu . Watu ni wanapiga makofi mnooo. Na baada ya apo sasa tukaludi ndani. Vikaja vinywaji vya kutoshaaa . Yani vya kutoshaa. Basi apo mm nimekaa na zayd ata sijielewi tena kama namtaka ama simtaki nishaona gari . Nikatulia tuli. Basi bwana zayd akanmbia kunywa kidogo leo. Mie nikawa nagoma goma ila kanibembeleza akanipa pombe bwana. Nikawa nakunywa taratibu. Basi na yeye anakunya ananingalia anacheka tu . Mala ananikiss mala ananifanya iki mhhhh. Shiga yenu nikajiachia kabisaa kwa uyu kaka. Apo simu ipo kwenye pochi sijagoa kbisaa.

Mh tulikunywa pale mpaka saa sita. Na mie pombe zilivyokolea nikajiachia tu na zayd. Mpaka sa 7 zayd ndo alinichukua pale. Sikumbuki ikawaje nakuja kustuka asubuh nipo uchi kabisaaa na nipo kitandani na zayd na yeye yupo ichi kabisaaa. Nilistuka. Najishika chinii. Ni kumeloaa kweli kweli. Nikajua zayd kaniingilia tenaaa na leo. Kumpata mwandishi wa hii simulizi nichek kwa namba sefurisaba nanesita sabatisa sitatatu sitatatu utapata kazi kali na sehemu ya tano ya hii simulizi .anaekuuzia ni mwizi .nicheeki kwa hizo namba utapata kwa bei rahisi mno.Nikaaanza kumuamsha nakwmabia akaamka akanmbia vp mama. Nikasema zayd mbona umenifanya nikiwa nimelewa lakini. Akanmbia ahaa ulinifosi sana unataka. Mama . Asaningefanyaje. Nikaona nikupe tu. Dooh . Akanambia lakini hii mala ya pili tunafanya plssss ebu acha kunibania kwani jama atajua nakupenda sana. Mh mi nikatulia kimya apo nipo uchi na yeye hupo uchi. Akanisogelea akanza kuchezea maziwa yangu. Mh nikajikuta napata nyegeee. Na nikaluida nae game tena kwa mala ya 3. Na akanifanya sana yaniiiiiiii

Mh na mm nilikolea na ushirikiano nikatoa . Tumeachna mchana. Mh zayd alinibamba sana. Akanmbia usiogope jamaa yupo kagera uko mm nip dar unaogopa nn.nikasema akijua jeee akanmbia anajuaje sasa utamwambia ww ama. Nikasema hapana ila ananisomesha. Akanmbia kwani we ada ni sh ngapi pale chuo nikasema milion 2 . Akanmbia asa hiyo si pesa yako ya saloon mama. Ebu acha mambo yako nipe account namba yako nikuiingizie pesa. Nikampa akanwekea milion 10. Mpaka niliogopa. Akanmbia aya apo unalipa ada ya miaka yote mpaka unamaliza . Asikupigie kelel. Nilifurahi jamani kpaka nikamkumbatia mwanaume. Akanmbia mm nakupenda kweli na nikiwa na mm utafurahi kwrli kweli. Mm ndo don wala usijali mchumba. Basi nilikaaa pale nakwambia mpka jioni .sijashika simu yangu kabisa. Na jioni ndo nikamuaga sasa aknmbia anipeleke kwangu. Aseeeee kaka anaishi . Nyumba ya ghorofa 3. Nyumba ya kisure kweli kweli. Na mavitu ya gharama mnooo. Mpaka nilishangaa mm. Akanmbia apa ndo kwangu . Wala usiogope na soon panakuwa kwako loooh nilijiona kama malkia kwa ule mda mimi

Basi mchumba akanitoa mpaka njeee . Nyieeee apo parking kuna gari kama zote jamani . Mpka nachanganikiwa na ile yangu imeandikwa faridah ipo pale. Akanmbia ntakupeleka driving miez 3 ukishaweza utakuja kuchukua gari yako sawa baby nikasema ndio baby . Basi mwanaume akanipeleka mpka kwangu. Ata hakuingia ndani . Akanmbia apa sio sehemu ya ww kuishi ntakununulia nyumba . Nyieeee mbona sikuamni. Nikasema asante kisha nikamkiss . Akanmbia powa nakupenda sana mama. Nakupenda mnoo. Nikasema nakupenda pia zayd. Basi zayd akanicha pale . Bibi mie ndo nikaingia ndani.

Apo ndo nafungua simu . Nyieee mlige alipiga mpka alipiga tena . Yani tangu jana jioni ndo nampigia leo jioni. Nikivyopiga mlige akaniuliza upo salama? Nikasema ndio . Akaniukiza una shida gani tangu jana ushiki simu. Nikasema baby mi jana nilipoteza simu . Kumbe niliishau chuo kuna mtu alinihifadhia. Leo baada ya kutangaza sana chuo. Uyo mtu ndo kanipa . Mlige akanmbia unajihisi una akiri sana faridah kuliko mm. Unahisi unaweza kunidanganya mm. Faridah unachokifanya au unachotaka kukifanya kuwa makini. Nna uwakika kitaniumiza sana. Nauwakika kabisa faridah unataka kuniumiza but nakupenda sana .kisha akanikatia simu . Khaaa nikajisikia vibaya . Yani kwa jinsi alikuwa anaongea nilishajua sijuh kama ajatoa chozi. Namjua mlige juu yangu ananipenda mnoo. Mh nikaanza kumtumia sms za kumuomba msamaha wala hakunijibu

Usiku sana ndo nikampigia. Akapokea nikamwambia nisamehe mume wangu nakwambia ukweli. Akanmbia nambie. Nikasema jana mi nilienda kwnye party ya rafiki yangu .ndo nikaenda nikaenjoy sana nikajisahau nikalala uko uko . Ila kwa rafiki yangu nisamehe. Akanmbia sawa nimekusamehe usiku mwema . Akakata simu . Mh si mnamjua akimaind .Kumpata mwandishi wa hii simulizi nichek kwa namba sefurisaba nanesita sabatisa sitatatu sitatatu utapata kazi kali na sehemu ya tano ya hii simulizi .anaekuuzia ni mwizi .nicheeki kwa hizo namba utapata kwa bei rahisi mno. Basi mie nikamuacha kwanza .na ikapita weeek mlige kama kajinunisha . Ila sasa mimi na zayd ndo tukawa moto.new penzi in town. Nyieeeee napelekwa shopping za vitu brand kuanzia pochi nguo mpka viatu . Utanambia nn mimi. Nilikuwa napendeza zaidi ya neno kupendeza. Pesa sasa nazikoga. Kupewa laki 2 . Nilishavuka sasa nikawa napewa kuanzia milion . Kaka ananikeshia kuvaa wigi ya milion 5 sio shida zangu. Yani zayd mpunga kwao anao. Na driving bibi mie nikaanzaaa

Apo sasa mlige akipiga mnipokeee .kuna mda simpokelei .nikienda kwa bwana angu ndo simpokelei kabisaa. Ikafika stage .bibi mie ata siku 3 siludii kwangu nakuwa kwa zayd nainjoy tu. Na zayd alikuwa anaonesha ananipenda sana mana kila kitu ananipa. Basi siiku iyo ilikuwa ni week end yani j mosi nikaenda kulla kwa zayd kisha kesho yake sasa mida ya mchana ndo zayd akanikudisha nakwambia. Mpaka nyumbani . Akanmbia nitakumissss baby nakufata kesho tu.nikacheka nikasema okey darling. Basi nikamuaga kisha nikashuka. Nikafungua geti kuingia ndani. Ile nafungua geti kubwa . Nakuta mlige amekaa kibalazani kwangu kaegemea ukuta nilistuka mnoooo. Nusu nikimbie . Milige akawa ananingalia kwa unyonge sana .nilivyovaa sasa . Mh nilivaaa kipenzi kafupi mnooo.na top tu kwa juu tena inaonesha kitovu . Si baby ana gari haisumbui

Mlige aknambia usikimbie njoo apa . Mh nilikuwa natetemeka na kapresha juuu.nikasogea natetemeka mnoo. Apo mkononi nna simu kali baby kasha nibadilishia nilikuwa natumia ambayo alininunulia mlige. Nyieee. Mlige akanmbia fungua mlango. Tuingie ndani. Nikafungua naogopa sana . Umefika ndani akanmbia nipe simu yako. Nikawa nagoma . Nilipigwa bao moj hilo. Nikaanguka mpaka chini ap mlige na hasira mpaka anatetemeka . Mie nikampa simu .akaniuliza hii simu umepata wapi ndo kakunulia uyo bwana ako sio . Toa password .nikatoa chapu weee. Akaanza kupekua nilijua nimekwisha tu man mh kuna picha za ajabu umo nikiwa nazayd. Kuna sms z mapenzi za zayd kuna mambo mengi sana. Aseeee niliona mlige kachanganikiwa mnoo akapasua simu ukutani nakwambia .

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87



Daaah yani sikuwa naelewa nifurahi pale . Ama ninune. Yani nilikuwa katika hali ambayo ata siielew. Basi zayd akanishika mpaka karibu na ile gari kabisa. Akafungua milango na nikaona ndani imetulia mno na gari kali kweli kweli. Akanikabizi na funguo. Akanmbia hii ni kwa ajili yako . Nakupenda sna faridah. Kisha akaja kunikumbatia mh mi nikatulia tu . Watu ni wanapiga makofi mnooo. Na baada ya apo sasa tukaludi ndani. Vikaja vinywaji vya kutoshaaa . Yani vya kutoshaa. Basi apo mm nimekaa na zayd ata sijielewi tena kama namtaka ama simtaki nishaona gari . Nikatulia tuli. Basi bwana zayd...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-86-na-87

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

667
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

578
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

410
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

276
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

274
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

196
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

134
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

119
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

110
REAL LOVE  Chapter 12

REAL LOVE Chapter 12

33

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.85K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  Chapter 12 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 12
@majario LIVE

kitendo cha fahima kushikwa na seven. kiliwakera sana walikasirika ghafla tu lakini fatuma hakusahau dhamira yake akatoka haraka mpaka kwa fahima na kumsaidia kumshika mkono mwingine lakini mzee fahad akamkemea kabisa "wewe...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi mimi nilikaa home siku 3. Nikapigiwa simu ya kwenda kusaini mkataba katika iyo bank. Na kweli nilienda nikasaini mkataba wa miaka 2. Na mshahara ulikuwa ni mrefu sana ....

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Daaah yani sikuwa naelewa nifurahi pale . Ama ninune. Yani nilikuwa katika hali ambayo ata siielew. Basi zayd akanishika mpaka karibu na ile gari kabisa. Akafungua milango na nikaona...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘
@majario LIVE

Nilitoka kule ndani kwa Tristan bila hata kuwaaga🙈🙈 wenyewe walikuwa wako busy kubebishana😆 nilichukua usafiri nikaenda hadi maeneo ya kule nyumbani kwa Hemed ilikuwa ni mida kama saa tano sita...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest