Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
Gonga94 · Stories

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote na mimba yake na wala mm sio muhusika wa ule mzigo kabisaa. Nilikataaa .si amenambia sio yangu basi fresh. Mi nikawa busy na shule sana. Na familia. Si unajua tena nna kabinti sasa. Asee mwanangu alikuwa mzuri kama mama yake . Na kanapenda kucheka sana. Yani mnooo. Alafu alikuwa ananipenda mnoo uyu mtoto . Yani ananipenda aswaa na ananijua mie baba. Mana kilivyofikisha miez 3 . Kalianzaa kutambaa .basi nikilidi anatambaa ananifata uku anacheka . Yani anajua kabisa kuwa baba anaingia sasa. Ilikuwa ni rahaa mnoo.

Basi bwana ikapita miez 3. Nina princesss tumbo limemchomoka kabisa. Na ikawa sio siri tena . Kila mtu anajua kabis kuwa princess ana mimba. Wengine wakawa wananihisi mm. Washikaji wananaitania kuwa mi noma mpaka nimemtia mimba princess. Mi nawaambia sihusiki itakuwa michael. Ila kwa kipindi iko sikuwa namuona tena na michael .ata princess namuona kwa nadra sana chuoni. Yani nimbahatishe sana. Na tukikutana hatukuwa tunaongeleshana kwa chochote ata salamu sisi hatukuwa nayo.kila mtu ni busy na maisha yake. Basi mimi nikawa napambana na maisha yangu na ile stationery ikawa inanisaidia sana . Apo nakimbiza sana chuo. Yani napasua mnoo. Unakuta napata mpaka madeals ya kufundisha njee uko wananipa maleacturer. So vihela nikawa napata. Ndani kwangu nikanunua vitu vyote vya ndani yani. Basi mke wangu akawa anapendeza .na ananenepa japo ana lea. Mana vipesa vipesa nilikuwa napata tu nashukuru

Basi bwana ikapita mdaa nikawa sijamuona princess pale chuo. Kama miezi 3. Sikumuona kabisa. Na kwa mda uo alikuwa mwaka wa 3 .so ulikuwa ni mwaka wake wa kugraduate. Ila sikuwa namuona akija kabisa chuo. Na mpaka wenzie waligraduate ila yeye hakufanikiwa kumalaiza chuo. Na kila mtu alijua na watu wengi walimzungumzia . So unajua ukiwa maarufu shuleni. Wengine wakaanza kumsema na vibaya kuwa aliendekeza sana mapenzi chuoni mpaka kapata mimba kashindwa kuendelea na masomo. Yani story zilijuwa nyingi sana. Kuna siku lemi alinambia kuwa ata kwenye simu now hamuoni. Yani hajipost ata. Nilitamani kumpigia ata nimuulizie tu. Kuwa ana shida gani ila nikaona ntakuja kuanzisha mawasilino nae baadae ikaniletea shida. Nikaamua kukausha tu.

Na finally nikaingia mwaka wa 3. Apo kabinti kangu kana miez 9. Na tuna furahaa. Sana.ni katundu na kashakuwa kanasimamia. Akiniona ananiita baba kabisa . Bsi maisha yakawa yanaendelea. Nikatulia mno zipu nilikuwa nafungia kwa mke wangu tu. Na mke wangu nae hakuwa na shida. Ana heshima sana fatuma ..na huruma na upendo mpaka rahaa. Basi nikapambana sana chuo mpaka nikaaingia mwaka.wa 3 yani mwaka wa mwisho wa masomo. Apo ndo nikakaza zaidi mana mzumbe chuo ni kigumu hakitaki lele mama..basi nikakaza buti.. na finally nilimaliza chuo. Yani apo sikuwa kabisa kuonana na princess wala kuongea nae . Na kichwani nilishamtoa kuwa sina plan nae tena . Yani nilishamove on na maisha yangu. Apo sasa nilishadevelop kimaisha nilipanga chumba na sebure. Na ndani nikiwa na furniture zote japo za kawaida ila nnazo. Na mtoto wangu alikuwa na miaka 2. Anatembea kabisa. Baada ya kumaliza . Mim sikuwa na plan za kuondoka mzumbe. Ile stationery ilikuwa inanisaidia sana. So nilimwambia mke wangu kuwa sie tutabaki uku na maisha yetu yatakuwa uku mpaka nitakapo pata kazi . Hatuna plan za kurudi babati. Mke wangu wala hakuwa na shida akakubalina na mm tu.

Basi nikatulia nasubiri graduu. Uku najishikiza katika vibarua vya kufundisha tutions. Mana tulifunga chuo na wengi waliludi makwao ata lemi ya aliludi kwa dar. Mi nikakausha nikawa napamabana na life. Basi bwana nikajichanga changa na finally mahafari yetu ikafika. Apo sasa mama na dada walisema wanakuja kwenye mahafari yangu na kutuona. Tukawakalibisha sana na tukafurahi sana . Asee mama na dada waktupongeza sana kuwa tumeweza na tumejitahidi. Mana ndani kwetu kulikuwa pazuru tu. Kila kitu cha muhimu mke wangu nilimuekewa. Basi ikawa rahaa sana hii siku walofika wazazi . Ilikuwa ni story tu. Hatukulala.. yulipiga sana story yani sanaa uku mama akicheza na mjukuu wake. Akamsifia sana kuwa arina kafanana sana na mama yake kwa kila kitu . Fatuma akawa anacheka tu . Na kesho yake ndo ilikuwa siku yangu ya kugraduate

Basi mapema sana mke wangu ndo aliniandaa .nilipiga suti ya atari .niliwaka sana . Apo chini nna kiatu kizuri ilikuwa unyama sana. Basi bwana asubuh na mapema mi nikaingia chuo uku familia yangu ikija nyuma. Na mpaka saa 4 graduu ikaanza bwana . Kulichangamka sana. Nashukuru nilikuwa best student wa chuo kwa uo mwaka.na pale pale nilipata offer ya kuajiliwa katika bank moja kubwa sana . Katika tawi lake la morogoro mjini. Nikapata schoolar ship ya kwenda china kuongeza elimi nikitaka. Nikapata chance ya kuwa leacture wa mzumbe kama nitahitaji. Bado kuna kampuni nyingi zilinipa offfer aseee nilikuwa na rahaa sana . Ilikuwa ni hatua kubwa sana kwenye maisha yangu. Nilimshukuru sana mungu. Na mimi ndo nilisoma hotuba pale. Ilipendeza sana jamani . Yani nilifanikiwa kumuona mpak baba mkwe si ni mbunge bwana wa moro mjini alijuwepo . Yani baba yake na princess. Akawa ananipigia na makofi kabisa. Nafikiri hakuwa anajua kuwa nilishawahi kudate na mtoto wake uko nyuma.

Basi baada ya kumaliza graduu chuo .nlipokeag sana pongezi ple.washikaji ndo usiseme. Yani nilipata raha sana. Basi mke wangu alinikumbatia kwa nguvu. Nikamkumbatia pia kisha nikamnyanyua mwanagu. mam na dada walinipongeza sana kwa htua kubwa ya maisha yangu niliyoipiga. Aseeee ilikuwa rahaa sana. Hatukukaa sana chuo tulikija kumaliza nyumbani kwangu. Apo ndipo nilikataaa keki..na tukala chakura kwa pamoja .mama akijivunaia sna mimi.

Na usiku nilishauliana na mke wangu . Nifate offer gani . Mke wangu anaelewa sasa ananmbia mi ata sijuh bwana. Nikasema.sawa nakubali kufanya kazi katika iyo bank iliyopo moro mjini . NA nitakiwa nasoma apa mzumbe kupata masters yangu. Mke wangu akanambia sawa. Basi wazazi walikaa kama week 1 nyumbani kwangu wakaaga..aaseee kabla ahawajaondoka niliwafanyia shopping kubw sana. Mana ile siku pia nilipewa kama milion 5 kama.zawadi. basi niliwafurahisha tu mama na dada yangu. Mana wamenipambania sana mpaka leo nafika apa. So niliona ata kwa iki kidogo wafurahi. Basi wakafurahi kweli na nikawasafirisha wakarudi babati sasa.

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37



Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote na mimba yake na wala mm sio muhusika wa ule mzigo kabisaa. Nilikataaa .si amenambia sio yangu basi fresh. Mi nikawa busy na shule sana. Na familia. Si unajua tena nna kabinti sasa. Asee mwanangu alikuwa mzuri kama mama yake . Na kanapenda kucheka sana. Yani mnooo. Alafu alikuwa ananipenda mnoo uyu mtoto . Yani ananipenda aswaa na ananijua mie baba. Mana kilivyofikisha miez 3 . Kalianzaa kutambaa .basi nikilidi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimi-sikuachi-sehemu-ya-36-na-37

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimi-sikuachi-sehemu-ya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

625
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

566
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

521
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

333
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

320
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

106
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

99
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

42

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest