AAAAH IMETOSHA BOSS ๐๐ N0 55...56๐๐
Nilitoka kule ndani kwa Tristan bila hata kuwaaga๐๐ wenyewe walikuwa wako busy kubebishana๐ nilichukua usafiri nikaenda hadi maeneo ya kule nyumbani kwa Hemed ilikuwa ni mida kama saa tano sita hivi nilitelemka kwenye tax nikaenda kugonga getini kwa Hemed nilibonyeza kengere alikuja mdada Fulani hivi kunifungulia geit๐ณ๐ณ....
""Hi miss๐๐ alinisalimia yule msichana""
""Hi too โบ๏ธโบ๏ธ""
""Nikusaidie nini?!""
""Oh namuulizia kijana mmoja alikuwa akikaa hapa katika sehemu hii anaitwa hemedโบ๏ธโบ๏ธ""
""Oh my goodness sisi tumehamia hapa tuna siku ya tatu Leo hatukumkuta huyo mtu ๐ซฐ๐ซฐ""
""Ohk basi asanti๐""
""Ok miss you are welcome miss๐ ""
Hemed pale hayupo alishahama duh hebu kwanza nishushe pumzi make alivyokuja yule dada kunifungulia geit nilishikwa na bonge moja la pressure๐น๐น nilijua ni mke wa hemed et๐คฃ๐คฃ๐คฃ kidogo nifie pale getini.... sikuwa na laziada tena kule katika yale maeneo nilichukua usafiri nikarudi nyumbani kule kwa Tristan.....vipi my pipi ulitoka๐ณ๐ณ yes potato๐๐ nilikwenda hapo nje kufanya mazoezi huku mie mwenyeji hata usiwe na shaka juu yangu....ok hapo sawa nilihofia usijepotea marekani pipi wangu lakini kama we mwenyeji be free usijibane bane......nilikuwa out of mood๐โโ๏ธ๐คจ kichwani kwangu niliwaza tu sehemu ya kwenda kumpata hemed๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ cjy hata ni wapi alikokuwa akifanya kazi et..... oh yes nimepata wazo itabidi nimtafutie mtandaoni๐ซฐ๐ซฐ nilichukua simu yangu nikaingia zangu fb niliandika jina la Hemed halikutokea๐ฅฒ๐ฅฒ nilikumbuka yeye alishawahi kuniambia kuwa hatumiagi Facebook nilienda kumtafuta Instagram bahati nzuri nilimpata๐ซฐ๐ซฐ chapu nilizama inbox kwake nikamtext then nikawait kujibiwa."......
24hrs zilipita bila kupata majibu yoyote kutoka kwa Hemed ๐๐ siku ile nilitulia tu ikapita nilikuwa na kazi ya kuchungulia tu kama nimejibiwa ile text au laaa๐ ๐ kesho yake ilinibidi sasa nimuweke wazi Tristan kila kitu๐คช๐คช aliniambia kuwa nisijali atanisapot......alinisindikiza hadi kule maeneo ya ofisini kwa paschal kule nilienda tu kumchungulia chibaba wangu wala hata nisingeweza kujitokeza mbele zake na kile kitumbo changu๐ฅน๐ฅน tuliegesha gari pembeni kisha tukabakia tu kwenye gari tulikaa sehemu ile hadi mida ya launch ndipo nilipomuona Romeo akiwa anatokea kule ofisini kwa paschal na baada ya sekunde chache Lia na paschal nao walitoka๐ณ๐ณ nilishangaa sana kumuona lia katika ile sehemu ina maana amerudishwa tena hapa ofisini nilijiuliza duh kwanini et๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ.....
Walikuwa wanaenda kupata chakula cha mchana why paschal kamrudisha lia katika sehemu hii๐ฅฒ๐ฅฒ tena siyo lia peke yake hadi Romeo na huyo ndo mushawishi mkubwa wa ukaribu wa hawa wawili paschal na lia.....hapa nahisi tayari mme sina๐๐ nilianza kulia et yani paschal ninampenda yule mwanaume ๐ ๐ hello pipi mbona unalia sasa hebu niambie kitu kuna chochote kinachokufanya utokwe na machozi?! Yes potato hebu waangalia wale watatu walioongozana kule huyo afcast ndiye mme wangu yule mkaka wa kizungu ni rafiki wa yule mwanamke ambaye wako wote pale yule mwanamke anaitwa lia nilishawahi kufuma charting zake kwenye simu ya mme wangu akiwa anamshawishi waanzishe mahusiano nilifuatilia nikagundua kuwa mchochea kuni katika hayo mahusiano ni Romeo shemegi yangu ambaye huyo ni rafiki mkubwa wa mme wangu๐ฅน๐ฅน nashangaa kuwaona wakiwa wote tena na wakati hapo nyuma nilikuwa nimefanikiwa kuwatenganisha kwa kiasi Fulani nahisi kwa sasa sitoweza tena kuwatenganisha kwa sababu namm nina makosa yangu mazito kwa mme wangu๐๐ unaongea nini pipi?! Unatakiwa kuwastopisha huo ni ujinga wanaotaka kuufanya yule ni mme wako anatakiwa kufocus kwenye majukumu yake anatakiwa akuhudumie wewe na nice pamoja na huyo mtoto wenu aliyeko tumboni...... huyu aliyeko tumboni siyo wake Tristan huu ujauzito ni wa mwanaume mwingine๐๐ what๐คทโโ๏ธ๐คทโโ๏ธ unamaanisha nini pendo yani unataka kusema kuwa ulikuwa unadate na wanaume wawili kwa wakati mmoja uliwezaje kufanya hivyo๐คทโโ๏ธ..
Hata wewe Tristan unataka kunihukumu๐ญ๐ญ๐ญ wewe si ndo uliniambia nitabasamu kila siku nisijeacha kutabasamu kwa sababu ya hukumu za wanadamu sasa mbona na wewe unataka kunihukumu๐ญ๐ญ๐ญ nop basi nyamaza my pipi๐๐ Tristan alinikumbatia akanibembeleza nikatulia..... pipi mimi huwa napenda kumwambia mtu ukweli wewe ni rafiki yangu napaswa kukwambia ukweli ulimkosea sana mme wako hata mimi sipendi usaliti hicho ulichokifanya kitakutesa milele kwenye hiyo ndoa it either umove on au ujitokeza kwa mmeo umwelezee ukweli wa kila kitu kuhusu mimba na kile ulichokifanya kama anakupenda ataumia sanaaaaa atakuchukia kwa muda lakini mwisho wa siku ni lazima atakurudia na atakusamehe kwa moyo mmoja ukweli humuweka mtu huru kwanini uishi kwa kujificha kuteseka?! Tell him a truth yeye ndo aamue cha kufanya kama ni kukusamehe au akuache uanzishe maisha yako mengine....... huo ulikuwa ni ushauri wa Tristan kwangu.....
Sikuwa tayari kujitokeza kwa paschal kwa muda ule nilimuomba tu anirudishe nyumbani cjy hata ni kwanini nilienda kumuona make hakuna chochote nilichoambulia zaidi ya maumivu tu siku nzima nilishinda nikiwa nimejifungia tu chumbani nilikuwa na maumivu ya kutosha nililia mno kwa jinsi nilivyomuona paschal alionekana kama mtu mwenye furaha sana๐ฅฒ๐ฅฒ ina maana alishanisahau mimi na mtoto ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ kama kaamua kurudiana na lia basi namimi nitarudiana na Hemed tena awamu hii sitaki iwe siri tena nitayaweka wazi mahusiano yangu na Hemed kwa kila mtu na nitamfuata paschal anipe talaka yangu siwezi kuteseka na upweke kumbe mwenzangu yeye yuko happy na mahusiano yake....... nilichukua simu yangu nikaaandika msg nyingine kwa Hemed niliona tu nijitambulishe ili iwe rahisi kwa yeye kunitafuta make ile msg ya kwanza yashakatika masaa zaidi ya 48 haijibiwi niliandika namba yangu ya simu pale kisha nikaweka na ujumbe nilimwambia mimi ni pendo please nakuomba unitafute natamani tuongee nina kitu natamani kukwambia..... baada ya dkk 15 ile msg ilijibiwa๐ณ๐ณ.....
Itaendeleaaaaaaaaa.......
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi