Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



Basi bwana zayd akaendesha gali mpaka kwake . Akanmbia kumbe uyu boya bado hajaondoka na anakufatilia . Nikasema ndio mi mpaka namshangaa yani sijuh ata anataka nn. Mi simtaki bwana. Akanmbia achana nae na kama.anataka gharama zake mwambie aseme ntamludishia zote..nikasema sawa baby. Basi nikaenda kupika japo mdada wa kazi yupo ila nilitaka kumpikia mwenyewe baby tenaa . Nikampikia vizuri mpenzi . Penzi jipya tena. Na tukala kwa kulishana kweli kweli. Baada ya apo baby akataka mambo. Basi mchumba akanipeleka ghorofa ya 3 juu kabisaaa. Ukuta wa viooo tu. Na kina madirisha Makubwa full hewa . Tukatombana vizurii. Zayd nae mambo nayojua tena anavyopenda kunyonyana vikojoleo basi mpaka nachanganikiwa

Basi kesho yake baby kama kawa akanileta chuo kuendelea na ratiba zangu.nyieee mlige alikuja tena . Akaomba kuongea na mm. Alikuwa kakonda uyo .siku 2 tu.nilimuone a hurum ila sikutaka tena kuwa nae. Kwa sasa mi moyo wangu ulikuwa kwa zayd. Kwanza wa makamu yangu. Na ana pesa mnooo. Yani kwa sasa naishi maisha ya luxury mno ambayo mlige hawezi kunipa. Na bado zayd ni handsome mnooo. Na ananipenda sana tu.

Basi mlige akanmbia sikia mama. Kama shida ni gari nakununulia gari. Ntakopa ntaiba nipe week nakununulia ila usiniache nakupenda sana. Yani mlige alikuwa ata haeleweki alichokuwa anaongea . Anaongea uku ana tetemeka yani alikuwa kama kachanganikiwa .mi nilimwambia sikia mlige mi naelewa sana tumetoka mbali. Naelewa umenitoa mbali sana. Na elewa umenisaidia vingi. Usijali vyote ukitaka kulipwa utalipwa. Ila mm na wewe hatuwez tena mm nampemda zaidi zayd. Ndo namtaka nataka kuwa na kijna mwenzangu.kile kipindi mimi nilikukubali. Sababu sikuwa najielewa ni akiri za kitoto but now natka kuwa na ambaye naona moyo umemlizia.. nyie mlige alipiga magoti mbele ya watu wote. Mpka nikawa naona aibu. Akanmbia usinifanyie hivyo faridah nakupemda sana . Nisamehe mama kama nimekosea sehemu nakuomba sana nisamehe .nakuhitaji faidah..nimekungoja kwa mda mrefu kwa ajili yako leo unanambiaje hivi. Ila sielewi ni nn kilinivaa kwa uo mda mi sikuwa namtaka kabisa mlige. nilimwambia tu nielewe mi sikuhitaji kwa sasa tena..kisha nikavuta pochi yangu nikaondoka zangu. Nikamuacha kaliga magoti uku analia . Na watu wanamshangaa

Kuanzia apo . Aseeee mlige kila siku alikuwa anakuja chuo. Nahisi alikuwa dar kwa mwez . Mana kila siku namkimbia ila wapi. Ni mbishi mnoo kunielewa. Akiniona ni ananivuta ata mbele za watu anapiga magoti yani fujo tu. Mpaka sasa ikawa scandal chuoni. Wanafunzi wenzangu wananaioneshea mpka vidole akawa ananikwaza mnoo. Nikakata na kwenda chuo. Nimsikilizie kwanza yeye aondoke. Mpaka angel akanmbia kuwa sa hivi hamuoni.ndo na mm nikaludi chuo sasa. Kuendelea na masomo. Nyiee apo penzi limenogaa mnoo na zayd. Tena penzi limekoleaaa aswaaa. Mie niko busy na baby atari. Nna pesa kama zote yani kama mfanyakazi wa bank . Kumbe pesa za baby tu. Na walaa hakuwa na shida zayd alitulia tu. Apo siku kanipeleka zanzibar kula rahaa. Kesho kanipeleke arusha kutalii. Mala tumeenda wapi. Yani ilikuwa rahaaaa mnoooooo na tuliinjoy sanaaa na mwanaume wangu. Apo na kuendesha gari najua. Siku nyengine naingia nayo chuo mwenyewe na drive utanambia nn.Zayd pesa anayo na kuitumia haoni shida. Yani sio shida zake kutumia pesa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Basi bibi mie si nilibadili simu so ata mama hakuwa ananipata . siku iyo sasa ndo nikampigia mama yangu. Nyoeeee nilijuta. Mama alinisema alinisema mnoooo. Alinichambaa aswaaaa alinambia yani wewe mtoto ni nyoka . Huna aya wala vibaya. Mlige sio mzazi wako ila machozi yake yatakutafuna. Utatembe na lana ya yule baba. Nikasema jamani mama. Kwani kanioa si bwana tu . Mi nna mtu wa makamu yangu na ana pesa kwanza kumshinda uyo mlige na ananipenda sana mama . Mama akasema umechezea bahati . Wew mtoto mdogo wa kumliza mbaba wa waru. Analia kama mtoto. Na presha mpaka kulazwa . Faridaha mwanangu kimekupata nn. Eeeh farida kweli. Mama akanza na kulia eeh nikaona nikate simu. Mh nakata ananipigia mzeeee . Aseee baba ndo alinipa maneno makari sitasahau na akamalizia kwa kusema kuanzia leo mm sio baba yako na uyo mpumbavu mwenzio usimlete nyumbani kwangu na usiludi uku. We si umekengeuka akiri. Mh Jamaniiiiiii yani wote wanamtetea mlige kama vile ndo mtoto wao

Ahaa mi nikajua wana hasira sababu mlige kawajengea .wakati zayd anaweza kuwajengea ata ghorofa. Mie nikayapotezea nikawa busy na baby wangu na maisha yangu hivyo yani. Mlige hakunitafuta tena mpaka ukapita mda wa mwez mmoja. Siku iyo sasa Akanipigia simu shoga yangu yusta. Alinambia ndo kaludi sasa kutoka chuo na kapewa namba na mama yangu. Nikasema sawa nambie shoga. Yusta aliniuliza una shida gani mpka umeachana na mlige na unajua kabisa anakupenda sana na amekuwazia mengi mema. Nikasema nimeamua yusta natka kuwa na mtu wa makamu yangu na mlige atafute wa makamu yake . Yusta alinambia nakuonea huruma sana nakuonea huruma mnoo. Eheee basi yusta akaanza kunisema akinuikumbusha alokuwa ananifanyia mlige .nakwambia et sitapata mwanaume mzuri kama mlige. Nitakuja kumjutia nikiwa nishachelewa .ooh nymbani kote story za mm na za mlige . Et watu wananisema vibaya . Maneno kibao. Nikamwambia shoga . Wewe sio msahauri wa maamuzi yangu. Mie uyo mlige simtak . Nipo busy na maisha yangu kisha nikajikatia simu mie. Nikawa bussy na mambo nyngu.

Mda ukapita kama miez 4 hivi. Bado nna pendwa kweli kweli na zayd. Yani tuna amani ya kutosha penzini. Mh siku iyo nipo kwangu simu yangu initwa anayenipigia ni yusta. Nikapokea mana ata ushoga tulipunguza .nikamkaushiaga tu mana niliona anataka kunifatilia sana. Basi yista akanisalimia vizuri hii siku .akanmbia vp shemu zayd hajambo. Nikcheka nikasema umekubali sasa kuwa shemu wako ni zayd. Akanambia yaaa ukiamua ww nani ata pinga japo wengine wanaumia. Mie nikacheka nikasema nambie. Aknmbia kwaiyo ww humtaki kabisa mlige. Nikasema ndio simuhitaji. Akanambia sawa . Unajua tangu umechana na mlige . Hakuwa powa kabosa . Alikuwa kama kachangnikiwa na alikuwa na mawazo sana. Na mtu wake wa karibu sana amabe alikuwa namtuliza ni mimi. Mana nipo pale shule now nafundisha fundisha yeye ndo kanipa nafasi.Nikasema hongera. Akanmbia lakini sasa katika kumpa moyo na kumuweka sawa . Mimi na mlige tumejikuta tumetembea. Yani tumefanya mapenzi. Mh nikasema hongera . Akanmbia lakini mlige kanambia anataka kunioa . Nikaona kwanza nikupigie ww .mana ww ni rafiki yangu na ulishawahi kuwa na mahusiano na mlige isje ikaleta picha mbaya.na ukanifikilia vibaya

Nikasema oooh mi wala sina shida we olewa nae tu . Mi wala simtaki na sina mpango nae na soon nakuja kusimamisha kijiji naolewa na mtoto wa tajir mkibwa . Yani zayd. Yusta akasema wala mimi sijakupigia kwa ayo nimekupigia unipe ruksa tu. Mana ata mm namuona mlige ni mwanaume mzuri na tunaweza kufanya maisha. Ila sikutaka usikie kwa wengine ykaja kuhisi labda nilikuwa nakuzunguka kipindi ww upo na mlige.nikasema nawatakia maisha mema na ndoa njema.akanmbia sawa nakutakia maisha mema pia na zayd nikasema okey. Basi baada ya siku 2 mama kanipigia analia ananmbia we mtoto ni mjinga umetupa bahati leo mwenzako anaenda kuolewa na mwanaume mzuri . Faridha ebu amka. Nikasema mama wala usijali mm ntaolewa na zayd. Na nikimleta apo mwarabu wangu kijiji kizima kitashangaa we muache aolewr nae. Hajawahi kupata bwana mwenye pesa ndo mana anapagawa .

Eeeeeeh bwanaas eeeh uhui ndo mwisho wa s4 . Bado mambo ni motroo🔥🔥🔥🔥🔥🔥. Tukutane s5. 0750411324 utaipata Nawapenda❤️❤️❤️❤️❤️📌📌📌📌📌📌📌📌
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90




Basi bwana zayd akaendesha gali mpaka kwake . Akanmbia kumbe uyu boya bado hajaondoka na anakufatilia . Nikasema ndio mi mpaka namshangaa yani sijuh ata anataka nn. Mi simtaki bwana. Akanmbia achana nae na kama.anataka gharama zake mwambie aseme ntamludishia zote..nikasema sawa baby. Basi nikaenda kupika japo mdada wa kazi yupo ila nilitaka kumpikia mwenyewe baby tenaa . Nikampikia vizuri mpenzi . Penzi jipya tena. Na tukala kwa kulishana kweli kweli. Baada ya apo baby akataka mambo. Basi mchumba akanipeleka ghorofa ya 3 juu kabisaaa. Ukuta wa viooo tu. Na kina madirisha Makubwa full hewa . Tukatombana vizurii. Zayd...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-89-na-90

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 88

MY WANGU❤️ sehemu ya 88

611
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘

467
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90

MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90

382
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40

307
REAL LOVE  Chapter 12

REAL LOVE Chapter 12

198
REAL LOVE  Chapter 13

REAL LOVE Chapter 13

144
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)

🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)

85

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.12K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.87K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.3K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
@majario LIVE

Basi bwana zayd akaendesha gali mpaka kwake . Akanmbia kumbe uyu boya bado hajaondoka na anakufatilia . Nikasema ndio mi mpaka namshangaa yani sijuh ata anataka nn. Mi simtaki bwana....

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

Nikasema ooh alex. Mama bwana uyo jamaa si tumesoma nae mpama form 4. Sijamzoea sana ila huwa na mazoea nae mama. We mpe tu namba zangu wla hakuna shida. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘
@majario LIVE

Pendo🥹🥹 kwani nilikukoseaga nini mamangu?! Mbona adhabu uliyonipatia haiendani na mwonekano wako?! Kwanini ulinipatia penzi lako kama ulijua ya kwamba utaenda mbali na mimi🥹 haujui ni kwa kiasi gani...

REAL LOVE  Chapter 13 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 13
@majario LIVE

seven aliwasha gari na kuliondoa spidi njia nzima alikuwa akilalamika tu mtu unaiona hali yako lakini unakubari tu kufanya mikazi kwahiyo unataka kulazwa tena hospitari ishindwa kuomb hata sjmu kwa jirani umpigie...

MY WANGU❤️ sehemu ya 88 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
@majario LIVE

Mlige akaipasua ile simu kwa hasira. Akanmbia nilijua tu . Umebadilika sana faridah kumbe una mwanume ana pesa kunizidi sio . Mie nikasema nisamehe mlige acha nikuelezee. Mlige akafoka .akasema...

🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI) Post Mpya
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)
@majario LIVE

SEHEMU YA KWANZA 😭😭 Acha nilie alafu ninyamaze duku duku langu nilimalize maana najiuliza maswali magumu sana ivi serekali inajua hawa wahindi wanatufanyisha kazi za ndani raia wa nchi hii...

REAL LOVE  Chapter 12 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 12
@majario LIVE

kitendo cha fahima kushikwa na seven. kiliwakera sana walikasirika ghafla tu lakini fatuma hakusahau dhamira yake akatoka haraka mpaka kwa fahima na kumsaidia kumshika mkono mwingine lakini mzee fahad akamkemea kabisa "wewe...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi mimi nilikaa home siku 3. Nikapigiwa simu ya kwenda kusaini mkataba katika iyo bank. Na kweli nilienda nikasaini mkataba wa miaka 2. Na mshahara ulikuwa ni mrefu sana ....

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Daaah yani sikuwa naelewa nifurahi pale . Ama ninune. Yani nilikuwa katika hali ambayo ata siielew. Basi zayd akanishika mpaka karibu na ile gari kabisa. Akafungua milango na nikaona...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘
@majario LIVE

Nilitoka kule ndani kwa Tristan bila hata kuwaaga🙈🙈 wenyewe walikuwa wako busy kubebishana😆 nilichukua usafiri nikaenda hadi maeneo ya kule nyumbani kwa Hemed ilikuwa ni mida kama saa tano sita...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest