MIMI SIKUACHI🥰* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 41*
Daaaah alex akanmbia pole sana kaka. Najua inaumiza sana najua mnoo. Ila ndo ukweli. Mi siwez acha damu yangu. Na ndo mana nimekutafuta mnoo. Ili tuje kuliongelea ili suala. Na ukweli ndo upo hivyo sasa kaka. Apo sasa mimi simuhitaji ata mke wako. Ila mm nahitaji mwanangu .nahitaji damu yangu. Na naelewa unapitia nini kama uliambiwa yule mtotot ni wako. Ila ni mwanangu haji. Sikufichi kaka labda na ww unifanyie ikatiri .ila ni mtoto wangu. Daah nilijikaza tu .nikamwambia alex nimekupata . We nenda . Mi ntakupigia .usiongee chochote na mke wangu . Akanmbia sawa . Now kwanza mkeo kaniblock. Na hatuna maelewano .na ata nikimpigia kwa namba zengine .akipokea Ananitukana tu na akinambia kuwa sina mtoto nae kabisa. Nikasema sawa alex..basi alex akaaga . Akaondoka aseee apo sasa ndo nilivurugwa zaidi. Mi binafsi nilijua kabisa kuwa ni kweli araina sio mwanangu. Nilihisi kabisa sio mwanangu. Mana ni kweli kafanana na uyu alex. Na kafanana na mke wangu. Mi sijafanana nae chochote.
Basi nikampigia simu lemi. Bado alikuwa mwanangu sana. Yani mshikaji wangu kinoma .yeye alipata kazi dar . Ndo alikuwa ukoo. Mimi ndo nikabaki moro. Nilimueleza lemi kila kitu. Uku nikiwa sipo sawa kabisa. Akanmbia tulia kwanza haji. Ayo ni mambo ya kawaida sana katika maisha na wala ww sio wa kwanza kuku kuta . Naomba utulize kichwa na utulie na usikulupuke. Nikasema.aseee uyu jamaa ni kafanana sana na araina. Nahisi kabisa ni mtoto wake. Nahisi tu. Lemi akanmbia haji tulia we ni msomi . Usihisi kuwa na uwakika. Leo fanya mpango chukua nywele za araina kesho kapime DNA. Kisha sasa ndo tutajua tunafanya nn. Nikasema sawa apo chozi. Mwnaume linanitoka kabisa. Kweli nilikuwa na kipindi cha jioni ila sikuweza tena kuendelea nikakikancel.unazani ntakifundishajeee.. thubutuu.
Basi bwana mimi nikaludi home yani sikuwa sawa. Uko bala balani ni mungu tu alinilinda mpka nafika nyumbani. Sikuwa sawaaa kabisa. Nimefika araina ananikimbilia .ata nguvu za kumbeba mimi sina. Nikamshika mkono tu. Nikaingia nae ndani. Nilimsalimia mke wangu nikaingia ndani. Mke wangu akaja. Akanmbia vp baba mbona leo kama haupo sawa.nikasema najisikia vibaya niache nipumzike. Aknmbia ahaa sawa .kisha akatoka njee.mimi nikaenda kupiga maji .nikaludi kupumzikaa. Ata alipokuja kuniamshaaa kwa ajili ya kula. nilimwambia nimeshiba. Aseee hii siku sikulala ni kupinduka tu.niliwaza mengi sana kichwani mengi. Nilumia sana . Roho na moyo viliuma sana.
Asubuh na mapema .niliamka zangu nikajindaa pale. Nilimuacha mke wangu kalala . Nikatoka nikaingia chumba cha mtoto. Nilimuangalia sana mwanagu ni binti yangu.nimemkuza mwenyewe nampenda sana uyu mtoto yani sana . Nilimkata nywele kidogo mwanangu. Nilipanga sasa kwenda kupima DNA. Ila nilikuwa naomba sana isiwe kweli. Kwamba araina sio mtoto wangu basi nikaelekea kazini . Ata kazini sikuwa sawa. Na nilipotoka job ndo nilienda kukutana na dr mmoja hospital moja ya private ipo pale pale moro mjinni. Kweli jamaa akachukua vilivyohitajika kwangu. Akanambia nije baada ya siku kupata majibu.
Basi mm nikaondoka zangu. Nikacancel vipindi vya week nzima vya chuo. Sikuwa sawa nikahisi siwez kwenda chuoni kufundisha . Nilikuwa naludi nyumbani mapema sana. Sikuwa na rahaa kabisa. Yani nikiludi nyumbani naingia chumbani kimya. Mke wangu ananaiuliza vp .namwambia mm naumwa tu. So niache nipumzike tu. Basi ikawa hivyo .akawa anahisi naumwa kweli. Mana ata akitaka nimtombe namwambia siwez sipo sawa. Ila sikuwa sawa kweli we mtoto nimemlea miaka 5 leo naambiwa sio mwanangu na nishategemea . Na nilikaaa kimya wala sikumuuliza chochote. Baada ya siku 3. Siku iyo nilipotoka kazini tu nilienda hospital. Na dr alinipa majibu ya DNA. nikafungu na nikasoma aseee sikuwa nimefanana na mtoto ata kwa asilimia moja. Yani mfanano wetu ni 0.0001. Aseeeeeeee sio mtoto wangu kabisaaaaa
Moyo uliuma sanaa . Rohooo ilikata aswaaa
Aseee sio siri nilichanganikiwa . Yule dr alinambia haji relax tuzungumze . Usipanic aya ni mambo ya kawaida kaka. Ila sikutaka ata kumsikiliza niliacha pale pale bahasha ya majibu.nikasepa zangu. Nikiwa ndani ya gari nilimpigia lemi nilimwambia kuwa uyu demu sio kabisa. Uyu demu ni jau kinoma noma . Kumbe mda wote ananibebisha zigo mimi mda wote najua nalea mwanangu. Kumbe nadanganywa. Nilipanik kisenge ..lemi akanmbia tulia na usipanic tulia kaka.nikasema siwez kutulia siwez. Mda wote najilinda kwa ajili yake .nampenda na kumuheshimu kumbe ananiona mm msenge aseeee uyu mwanamke ntamuuaaa. Nilishapanik .lemi.akanmbia tulia oyaa tulia kwanza usiende nyumbani tulia ww. Nikakata simu
Nikaanza kuendesha gari kwa fujo sana. Nilidrive kwa speeed nikiwa na hasira mnoo. Apo uku nalia. Aseeeeee sielewi ilikuwaje nakuja kustuka kuna gari kubwa ipo mbele yangu. Ata kuikwepa sijawahi tukagonganga uso kwa uso. Aseeeee nilipata ajali mbaya mno. Sikuelewa nn kimeendelea tena. Nilikuja kustuka siku ya 3 nipo hospital . Ata kuinuka siwez yani . Daaaah acheni kabisaa. Yani nimestuka namuona mama pale kwa pembeni na dada na mke wangu. Aseeee nilipomuona mke wangu nilitibuka kinoma najalibu kuinuka ata siwez. Maeneo ya kiuno nilikuwa napata maumivu makali sana na maeneo ya kichwa ma mkono wangu wa kuhoto.. Basi mama akamuita daktari. Na daktari akaja akanmbia haji tulia kwanza naomba utulie . Nilisema imekuwaje imekuwaje mbona sielwi. Daktari aliwaaambia watu wote watoke abaki na mm. Na kweli wakatoka nikabaki na daktari tu
🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi