Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08
Gonga94 · Stories

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SONGA NAYO.................

Mama mtu kuona nimesimama tu akaniongelesha kwa hasira "we mpuuzi mbona umesimama kama sanamu embu toa vitu kwenye gari haraka"

Niliitikia sawa na kufungua buti nikaanza kushusha mizigo wao wakaingia ndani ,,basi nikapeleka yote ndani kisha nikaenda sebleni ili niulize wanahitaji kinywaji gani .

Ajabu nikashangaa kuona Shuu anawaletea🤔 , sikutaka kusimama nikapita na kuingia jikoni dakika mbili nyingi akaja na kuniuliza .

"Ulikuwa na ratiba ya kupika nini leo?"

Nikajibu " wali na samaki "

"Hapana achana na samaki ,tutapika wali kuku alafu tutengeze na juice ya matunda"

🤔tu!!huyu kuingiwa na jini mpenda kazi au nini kimempata mbona anaanza kujishughulisha hivi🤨🤔.

Niliwaza na kuitikia sawa ,nikaona anafungua friza na kuanza kuchagua kuku mkubwa kuliko wote, alipompata akamtoa na kusema.

"Utaanza kuandaa viungo mapema na akiyeyuka tu niite, alafu kingine nisikuone ukijipitisha sebleni maana mnakuwaga kama wachawi😒."

Nikajibu sawa akaondoka ,nikabaki nawaza nipitie wapi ili niingie chumbani nikakunje nguo maana nishapewa onyo nisipite sebleni na hakuna sehemu nyingine ninayoweza kupita tofauti na sebleni.

Niliwaza mwisho nikaona eeeh nisiichoshe akili yangu embu nitulie mie ☺️, basi nikaka mda ulivyo sogea kidogo nikaanza kuandaa viungo.

Bibie heka heka kwake zikawa haziishi mara aje achukue tissue mara hiki mara kile yaani ikawa ni full mizunguko😁.

Basi bwana mda wa kupika ulifika nikamuita akaja ,hapo najua anakuja kupika yeye ajabu anafika anasimama pembeni🤨.

Nikamuuliza " utaanza kupika nini?"

Akajibu "nitaanza kupika nini ukimaanisha nini ,we pika hapo "

Eeeh hii kali ,sasa anakuja huku kujifanya anapika ili iweje kwa mfano 😒, niliwaza na kuanza kupika akawa na kazi ya kunambia kuwa makini usije kupika vibaya.

Nilipata hasira nikajikuta namjibu " we kwani shida yako nini kama unataka kizuri siushike chungu 😒"

Kujibiwa hivyo akachukia ila kuongea ndo akawa hawezi yaani akitaka kufoka anafoka kwa vitendo😁nikaona ahaaa nimeshaona huyu anataka huyo baba sijui kaka ajue kuwa yeye ndo kapika😁.

Sasa ngoja nicheze michezo ya kitoto 😊,nikaanza kujiongelesha hiki chakula cha leo sijui kama kitakuwa kizuri , akasema jitahidi kiwe kizuri.

Nikamwambia si hadi kiwe maana mikono imechoka na hivi vyakula vya kiswahili me hata sivijui ila haina shida mgeni mwenyewe anaonekana mtu poa sana .

Kusikia hivyo akaanza kujishughulisha kwanza akachukua juice akamimina glass mbili moja akanipa ,akawa anajaribu kunipigisha story ,naona alitaka kunifanya nisahau kama ananifanyiaga uduanzi. 😒

Nikawaza sijui nimfanyie ujinga nitoe vyakula vibaya ila nikaona hapana sio vizuri kucheza na chakula, basi nikapika kwa moyo safi kabisa.

Na kilipokuwa tayari ,akaenda kuoga mda huo wageni wake wakafika nikawapa vinywaji kisha na mimi nikaenda kuoga .

Sasa nilivyo maliza tu ile nataka nivae akaja na kunipa gauni na kunitaka niivae , nikapokea akaondoka nibaki naangalia hilo gauni alilonipa .

Jamani ilikuwa kubwa alafu rangi yake mbayaa 😐 nikataka nisivae ila nikaona haina haja ya kutibuana mtu usiku huu maana najua nisipovaa ataniletea maneno mengi.

Basi nikavaa kichwani nikafunga kitambaa changu safi na kwenda jikon, nikamkuta tayari kashaweka chakula kwenye mahotpot.

Si nikataka nipeleke dining wee nilirudishwa haraka na kuambiwa nikae jikoni humo humo , bila kubisha nikakaa akafanya kila kitu mwenyewe.

Na alivyo maliza watu wote wakasogea mezani ,nikasikia yule mwanaume ananiulizia Shuu akamjibu kuwa nimeshiba ,basi wakapakua chakula na kuanza kula .

Alvin alivyo na makusudi akaniita ,ile nimeitika tu Shuu akamuuliza "amepumzika vipi unataka nini nikuletee?"

Alvin akajibu " ningetaka uniletee nisinge muita " baada ya kumjibu vile akaniita tena ,nikainuka na kwenda kufika akanambia naomba uniletee glass nyingine hii rudisha"

Nikajibu sawa na kuchukua ile aliyotaka niirudishe kisha nikaenda kumletea nyingine, kufika nikampatia ,sasa ile nimegeuka niondoke yule mwanaume akaniita "Wardah"

Nikageuka na kuitikia "abee "

Akasema " kwanini tunakula wewe ukiwa umejificha unajua sio vizuri eeh??"

Nilitabasamu na kumjibu"samahani kama itakuwa ni kosa ila huwa nakula mapema sana"

"Ooh ni mambo ya diet, ila kuwa makini usije kupata shida "

"Sawa asante " nilijibu na kuondoka huku nyuma akabaki ananiangalia Shuu akamshtua kwa kumuuliza anakionaje chakula.

Basi waliendelea kula na baada ya kumaliza nikaenda kutoa vyombo, Shuu akanizuia kuwa atatoa mwenyewe mie ninani nikatae kusaidiwa😊

Bila kuongeza neno nikarudi jikoni na kutulia akatoa vyote na kusafisha meza alivyomaliza akaungana na wageni wake wakapiga story baadae mda ulivuo enda wakaaga kuondoka.

Sasa yule mwanaume si akaniita tena bhna , me nae nikainuka na kwenda kufika pale akanambia" me naondoka bhna nikaona si vyema niondoke bila kukuaga "

Nikatabasamu na kumwambia "Asante na karibu tena "

Akajibu " Asante na kabla sijaondoka naomba nikwambie kitu "

Shuu kusikia hivyo mishipa ya shingo ikamsimama nikaona ananiangalia kwa jicho Kali, me nikaishia kutabasamu tu sa ningefanyaje eti hata kama unge kuwa wewe ungefanyaje.

Hakuna chakufanya zaidi nikasubiri kuwambiwa hicho kitu , mwanaume yule akasema "una rangi nzuri sana itunze usije iharibu "

'"Asante " nilijibu akaondoka mimi nikarudi jikoni ,Shuu na mama yake wakamsindikiza hadi nje akaingia kwenye gari na kuondoka.

Sasa kitendo cha yule mwanaume kuondoka tu Shuu alikuja kuniwashia moto balaa , sikuwa na chakujibu zaidi ya kuinamisha kichwa chini .

Akafokaa wee alivyo choka akaondoka na mimi nikaingia chumbani kwangu na kulala, siku ikaisha ilipofika kesho yake jioni Aunt Vero nae akarudi .

Nikampokea mizigo na kupeleka chumbani kwake, kurudi sebleni nikakuta anaongea na boss mama shuu na maongezi yao yalikuwa ni kuhusu kazi zao.

Sikuwa na kitu cha kufanya nikae pale hivyo nikaenda zangu jikoni , mda ukaenda saa zikakatika siku hiyo nayo ikapita .

Sasa kesho yake mida ya jioni tukapokea ugeni wa mdada ,ambae nilikuja kufahamu kuwa ameletwa kwaajili ya kule kazini kwao maana binti aliekuwepo kaondoka.

Basi nilifanya majukumu yangu na baada ya chakula kila mtu akaingia chumbani kwake , sasa mimi kabla ya kulala nikakumbuka sijashusha pazia ya jikoni.

Hivyo nikatoka kwenda jikoni ,ile nafika karibu na chumba cha boss nikasikia wanaongea na kutaja jina langu ,nikawaza hawa watakuwa wanaongea nini.

Embu ngoja nisikilize usikute wananipangia mbinu za kuniangamiza maana sio kwa kunong'ona huku, bwana we nikajibana .

Aunt Vero akasema " hapana sidhani kama Wardah atafaa kwa kazi ile "

Boss akamjibu " kwanini asifae na kuliko apelekwe huyu bora aende Wardah maana huyu aliekuja hana muonekano hata kidogo.

Zaidi tukimpeleka tutapoteza wateja kitu ambacho sitaki kitokee "

"Kuhusu Wardah hapana ,we kama unaona huyu hafai basi arudi kwao tutatafuta mwingine "

"Arudi kwao na hela yangu ya nauli iishie chini ? Na kwanini unamkingia kifua Wardah kwasababu hii si mara ya kwanza nataka kumpeleka unakataa .

Kwani shida iko wapi ?"

"Shida ipo shoga angu Wardah bado ni mdogo na pia anaonekana amelelewa kwenye misingi ya dini sana hivyo ningeomba umuache tu"

"Mdogo , msingi ya dini? Yote hayo yanahusiana nini na mimi au yeye sio mwanamke? Maana tunachokitaka ni mtu mwanamke tena mwenye muonekano wa kuvutia kama alivyo yeye.

Sasa nashangaa unapinga ,we sikia kwanzia kesho nitaanza kutoka na Wardah, huyo aliekuja ndie atabaki na majukumu ya humu ndani basi "

"Kama umeamua haya ila mi naona angebaki tu "

"Abaki iliiweje bwana wewe ,yaani mtu anakila sifa ya kazi alafu abaki si ushamba huo ,embu nipishe nilale zangu mie"

Walimaliza kuongea haraka nikarudi chumbani kwangu kwa kunyata nikafika na kufunga mlango taratibu kisha nikaka kitandani, kichwani nikabaki najiuliza maswali watanaka kunipekea wapi.

Na hiyo kazi ni kazi gani ambayo huyo alieletwa haimfai ila mimi🤔, niliwaza mara mlango ukafunguliwa akaingia...........
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08


SONGA NAYO.................

Mama mtu kuona nimesimama tu akaniongelesha kwa hasira "we mpuuzi mbona umesimama kama sanamu embu toa vitu kwenye gari haraka"

Niliitikia sawa na kufungua buti nikaanza kushusha mizigo wao wakaingia ndani ,,basi nikapeleka yote ndani kisha nikaenda sebleni ili niulize wanahitaji kinywaji gani .

Ajabu nikashangaa kuona Shuu anawaletea🤔 , sikutaka kusimama nikapita na kuingia jikoni dakika mbili nyingi akaja na kuniuliza .

"Ulikuwa na ratiba ya kupika nini leo?"

Nikajibu " wali na samaki "

"Hapana achana na samaki ,tutapika wali kuku alafu tutengeze na juice ya matunda"

🤔tu!!huyu kuingiwa na jini mpenda kazi au nini kimempata mbona anaanza kujishughulisha hivi🤨🤔.

Niliwaza na kuitikia...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utaniita-shemeji-sehemu-ya-08

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utaniita-shemeji-sehemu-ya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘

613
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90

MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90

585
*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92*

*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92*

574
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40

381
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘

312
MIMI SIKUACHI🥰*  *SEASON TWO*   *SEHEMU YA 41*

MIMI SIKUACHI🥰* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 41*

220
MY WANGU❤️ sehemu ya 93

MY WANGU❤️ sehemu ya 93

216
REAL LOVE  Chapter 13

REAL LOVE Chapter 13

168
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07

67
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06

64

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.13K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.88K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.68K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.07K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.3K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

****

  • MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95 15-02-2026 17:40
Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Mama mtu kuona nimesimama tu akaniongelesha kwa hasira "we mpuuzi mbona umesimama kama sanamu embu toa vitu kwenye gari haraka" Niliitikia sawa na kufungua buti nikaanza kushusha mizigo wao wakaingia...

MIMI SIKUACHI🥰*  *SEASON TWO*   *SEHEMU YA 41* Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 41*
@majario LIVE

Daaaah alex akanmbia pole sana kaka. Najua inaumiza sana najua mnoo. Ila ndo ukweli. Mi siwez acha damu yangu. Na ndo mana nimekutafuta mnoo. Ili tuje kuliongelea ili suala. Na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘
@majario LIVE

0742133100 Baada ya hemed kupata likizo tulisafiri kuelekea ufaransa kwa ajiri ya kwenda kumchukua mtoto wangu nice, mom Elizabeth alimkatalia nice 🤣🤣 hata mimi hawakutaka niondoke kwenye familia yao😄😄Tristan ndo...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Taratibu nilifuta machozi na kuinuka nikatoa vyombo na kuendelea na ratiba zingine, sasa wakati nikiwa bize na kazi Alvin akaja na kusimama pembeni yangu. Sikutaka kumsemesha ndo kwanza nikawa bize...

MY WANGU❤️ sehemu ya 93 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
@majario LIVE

Basi jioni tu ya siku iyo iyo bibi mie nikaruhusiwa. Nyieee ilikuwa shereehee. Yani uyo zayd ni furaha mdaaaa wote . Ni kufurahi tu .mda wote kamshika mwanae anambembeleza mtoto...

*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92* Post Mpya
*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92*
@majario LIVE

Basi bwana .mie nikawa busy na maisha yangu. Ile namba za yusta nilisave ila wwala hatukuwa na ushost tena. Na kama baada ya mwez niliona status yusta kapost kaolewa na...

*UTANIITA SHEMEJI.* *1-5* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI.* *1-5*
@majario LIVE

*______________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Utaniita shemeji ☺️aisee hii simulizi sijui nikae mkao gani ili niilete kwa usahihi bila kukwama wala kupunguza radha😊. Ila hii kitu imenionesha kuwa kweli watoto wa elfu mbili wameshindikana...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06
@majario LIVE

SONGA NAYO.................. Nilibaki namuangalia huku nikijiuliza ana maana gani kusema vile ?,🤔na nitakosaje amani eti kisa kutokuwa karibu yake 🤔na niukaribi gani anaoutaka kutoka kwangu na kwanini atake ukaribu na mimi?.🤔 Niliwaza...

MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
@majario LIVE

Basi bwana zayd akaendesha gali mpaka kwake . Akanmbia kumbe uyu boya bado hajaondoka na anakufatilia . Nikasema ndio mi mpaka namshangaa yani sijuh ata anataka nn. Mi simtaki bwana....

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

Nikasema ooh alex. Mama bwana uyo jamaa si tumesoma nae mpama form 4. Sijamzoea sana ila huwa na mazoea nae mama. We mpe tu namba zangu wla hakuna shida. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘
@majario LIVE

Pendo🥹🥹 kwani nilikukoseaga nini mamangu?! Mbona adhabu uliyonipatia haiendani na mwonekano wako?! Kwanini ulinipatia penzi lako kama ulijua ya kwamba utaenda mbali na mimi🥹 haujui ni kwa kiasi gani...

REAL LOVE  Chapter 13 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 13
@majario LIVE

seven aliwasha gari na kuliondoa spidi njia nzima alikuwa akilalamika tu mtu unaiona hali yako lakini unakubari tu kufanya mikazi kwahiyo unataka kulazwa tena hospitari ishindwa kuomb hata sjmu kwa jirani umpigie...

MY WANGU❤️ sehemu ya 88 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
@majario LIVE

Mlige akaipasua ile simu kwa hasira. Akanmbia nilijua tu . Umebadilika sana faridah kumbe una mwanume ana pesa kunizidi sio . Mie nikasema nisamehe mlige acha nikuelezee. Mlige akafoka .akasema...

🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI) Post Mpya
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)
@majario LIVE

SEHEMU YA KWANZA 😭😭 Acha nilie alafu ninyamaze duku duku langu nilimalize maana najiuliza maswali magumu sana ivi serekali inajua hawa wahindi wanatufanyisha kazi za ndani raia wa nchi hii...

REAL LOVE  Chapter 12 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 12
@majario LIVE

kitendo cha fahima kushikwa na seven. kiliwakera sana walikasirika ghafla tu lakini fatuma hakusahau dhamira yake akatoka haraka mpaka kwa fahima na kumsaidia kumshika mkono mwingine lakini mzee fahad akamkemea kabisa "wewe...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest