AAAAH IMETOSHA BOSS ๐๐ N0 59...60๐๐
Baada ya hemed kupata likizo tulisafiri kuelekea ufaransa kwa ajiri ya kwenda kumchukua mtoto wangu nice, mom Elizabeth alimkatalia nice ๐คฃ๐คฃ hata mimi hawakutaka niondoke kwenye familia yao๐๐Tristan ndo kabisa alilia machozi hawakutaka sisi tuondoke lakini ndo hivyo ilikuwa ni lazima kuondoka nisingekaa nao siku zote walitufanyia kisherehe kidogo pale nyumbani cha kutuaga waliyabariki mahusiano yangu na Hemed โคโ๐ฅโคโ๐ฅ baada ya hapo tuliondoka pale nyumbani kwa kina Tristan tukaenda kulala hotel kwa ajiri ya kuianza safari ya kurudi USA siku iliyokuwa inafuatia, tulirudi USA rasmi nikaanza kuishi na Hemed nyumba moja kama mtu na mtuwe๐น๐น paschal si yuko na lia basi namm acha niwe na Hemed muda wa kulia kulia huku mwenzangu anaenjoy hayo ni matumizi mabaya ya siku za kuishi Duniani hemed ananipenda sana lakini zaidi anampenda sana Nice๐ฅ๐ฅtuliishi kwa furaha sana mimi na Hemed yani yule kaka ni mpole sana siyo mwanaume wa mambo mengi mimi nilikuwa naona utata kwenye dini tu๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ Hemed ni Muslim mimi ni msabato hakuna aliyekuwa tyr kubadiri dini ili kumfuata mwenzie nilimuomba yeye abadiri anifuate mimi lakini aliniomba et nilishapazoea huku mamangu kama hautojali we njoo tu huku namm sikuwa tayari kumfuata nishazoea usabatoni......kama vipi wacha tuendelee kuishi atakayenogewa zaidi atamfuata mwenzie......
Tuliendelea kuulea Ujauzito wangu hadi ukafikia miezi tisa nilibahatika kujifungua mtoto wa kiume alipewa jina la Shazil..... uuuw kweli hemed alikokojoa buana๐น๐นmtoto sura ni baba mtupu yani mzee baba hata hakuwa na wasi mambo ya DNA kwetu hayakuwa na nafasi..... shazil ndo mtoto wa kwanza kwa Hemed ile furaha aliyoipata yule mwanaume angekuwa na uwezo wa kunihonga dunia basi angenipatia๐น๐น๐น alininunulia gari la kifahari kama lile la lia๐คธโโ๏ธ๐คธโโ๏ธ alininunulia simu Kali sana ya I phone๐๐ akaniwekea na pesa za kutosha Bank kwenye account yangu alinimilikisha nusu ya Mali zake aliniambia yuko tyr kuitoa hata roho yake kwa ajiri yangu ilimradi tu furaha yangu itimie kila siku hemed alinifanya nienjoy upendo kwake nilienjoy sana..... baada ya shazil kutimiza miezi mitatu my wenu nilirudi ofisini siyo kule ofisini kwa paschal ni sehemu tofauti kabisa na nilijua kung'ara siyo kitoto jamani nilipendeza hadi kero kishepu changu kilirudi mahara pake๐น๐น siku moja mchana ilikuwa ni weekend siku hiyo sikwenda kazini niliamua kufunga safari hadi nyumbani kwa paschal nilifika pale nikaegesha ndinga yangu pembeni nikatelemka nilienda nikabonyeza kengere ya getin then nilirudi pale kwenye gari langu nikawa najisnap huku nikiwa nasubilia kufunguliwa geit..... baada ya muda mchache nilifunguliwa geit aliyenifungulia geit alikuwa ni mlinzi ni tofauti kabisa na yule aliyekuwepo mwanzo kipindi bado nikiwa nakaa hapo......
Hi miss beautiful๐คช๐คช nikusaidie nene๐๐?! Aliniuliza yule mlinzi mmmhh alionekana ni kijana wa ovyo sana vile tu alivyonikaribisha huku akiwa ananikonyeza alionekana ni wa ovyo kupita kiasi..... umependeza sana mrembo vipi naweza kupata namba yako?! Aliendelea kuniongelesha yule mlinzi wa ovyo nami nilikuwa busy kubadirisha mapouzi ili niendelee kujiselfie..... hi ๐ handsome I'm pipi you can call me miss pendo๐๐ wow pipi๐๐ you are very beautiful I like your sexyfigure and your beautiful face your very sexy miss๐ฅฐ๐ฅฐ oh boy๐ thank you๐คช๐คช hey miss can I get your number๐๐ oh boy I'm not your type I'm your boss's wife so jus call me madame boss๐๐ oh no miss please jus give me your number ๐๐ yule kijana wa ovyo aliendelea kuniomba namba yangu nilimsogelea sikioni kwake nikamnong'oneza kwa sauti ya chini nilimwambia kula tu kwa macho au utafute wa hadhi yako nilimpita nikatembea kuelekea kule geitini...... niliingia kule ndani ya geit nilikutana na jibwa kubwa jeusi nilitimka mbio๐คฃ๐คฃ๐คฃ nilienda shikia break ndani ya gari yule mlinzi alicheka๐๐๐ aliniuliza hey madame boss inakuwaje hata mbwa wako wanakubwekea hii inadhihirisha wazi kwamba wewe siyo mwenyeji katika huu mji.......
Nilichokifanya nilichukua cm yangu nikamuonesha yule mlinzi picha zangu za harusi nikiwa na paschal alionesha kushtuka..... kheee๐ณ๐ณ na yule aliyeko ndani ni nani?! At ndani๐คทโโ๏ธ๐คทโโ๏ธ so unamaanisha kuwa huko ndani kuna mwanamke mwingine?! Hapana madame boss ni ulimi tu ndo umeniteleza๐๐ nilichanganua akili yangu haraka nikawaza au paschal yuko na lia huko ndani๐๐ nilichokifanya nilicheza na udhaifu wa yule mlinzi..... yule mlinzi tayari alikuwa ameshaingia tamaa ya kunitamani niliutumilia ule ule udhaifu wake wa yeye kunitamani mimi nilichokifanya sasa nilimpatia namba yangu kisha nikamuahidi kuwa nitampatia nafasi siku moja autumie mwili wangu alilainika alinimwagia siri ya kambi ya kwamba paschal huko ndani yuko na lia na penzi Lao ni la motoooo...... nilimuomba aende akamfungie yule mbwa ili niweze kunyata kuingia kule ndani bila wao kunishtukia.... yule mlinzi alifanya kama nilivyomwelekeza baada ya hapo alikuja akaniambia tyr mbwa nishamfungia unaweza kuingia sasa kuwa makini tafadhari nakuomba usije ukaleta fujo huko ndani utasababisha wote tuwekwe hatiani nakuomba ujizuie kwa kile utakachokikuta huko ndani.....
Mwenzenu nilitembea huku nikiwa na kimuhe muhe cha kwenda kufumania๐๐ nilifika kule ndani nyumba ya paschal ni ghorofa nilifika sitting huku chini sikukuta mtu ikabidi nipande juu kwa kunyata kule juu nilikutana na maajabu๐ณ๐ณ nilimkuta paschal na lia wakiwa wako uchi kwenye sofa sebleni wakiwa wanafanya mapenzi kwani niliweza kujizuia sasa niliwasogelea lia ndo alikuwa juu na walikuwa kwenye chorus hawakuweza kuachana kwa haraka nilimng'ata lia matakoni nikamtoa nyama๐คฃ๐คฃ๐คฃ hapo ndo wakashtuka kila mmoja akamuachia mwenzie๐ณ๐ณ pendo you... ni mimi paschal kwa hiyo saiz hii nyumba umeigeuza gest siyo๐ก๐ก no baby we can talk๐ฅน๐ฅน baby angalia mwanamke wako kaning'ata matako yangu ameniumiza et๐ญ๐ญ๐ญ lia please stop it ondoka hapa niache na mke wangu...... baby hupaswi kusema hivyo yeye ndo anatakiwa kuondoka atuache sisi nyie ila kalia cjy paschal alikalishaga nini๐๐ paschal baada ya kuniona alikafokea lakini hakakuondoka kalipiga hadi magoti kumuomba paschal anifukuze mimi ili kenyewe kabakie๐น๐น nilichukia nilitamani nimng'ate na lile tako la kulia๐๐ kalijaa damu nilikahurumia๐น๐น kalitia huruma pale sebleni hapakuwepo na cha kuwapigia zaidi ya mito nilianza kuwapiga na mito๐คฃ๐คฃ muda huo wote wako uchi nilitamani hata niyarecord lakini tyr paschal ni baba wa mtoto wangu sikuona umuhimu wowote wa kumfanyia vile๐น๐น๐น paschal alivaa nguo haraka akanivuta mkono akanifungia chumbani kisha akamuomba lia avae haraka haraka aondoke.......
Lia aliondoka kule ndani huku akiwa na jeraha kubwa matakoni kwake lakini baby unatakiwa kunipeleka hospital angalia huyo mwanamke kichaa alivyoniumiza๐ญ๐ญ๐ญ Lia I said get out of my house๐ซฐ paschal alimtimua lia bila huruma yani baada ya mimi kumfumania paschal alipanic alichanganyikiwa Fulani hivi kichwani nilicheka tu๐ ๐ nikajiuliza unachanganyikiwa kwa sababu nimekufumania na kimada wako vipi ukija kupata taarifa juu ya mtoto wangu wa pili ambaye nimezaa na mwanaume mwingine?!.....
Je nini kitafuata??
USIIKOSE SEASON YA MWISHO SEASON 04
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
