Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92*
Gonga94 · Stories

*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Basi bwana .mie nikawa busy na maisha yangu. Ile namba za yusta nilisave ila wwala hatukuwa na ushost tena. Na kama baada ya mwez niliona status yusta kapost kaolewa na mlige tena ndoa ya kiislamu. Mh niliona yusta ana furaha sana. Ila mlige wala sokuona furaha ndani ya macho yake. Mie namjua mlige sana tu..nikajua apa yusta ndo kafosi ndoa na watajijua wenyewe .mie nafanya mambo yangu. Na nipo busy na issue zangu mjini apaa. Basi mie ndo nikazidisha mahaba kwa zayd na zayd akazidisha mahaba kwangu. Penzi likachanua aswaaa jijini nikawa natamba mie . Faridah wa zayd. Basi ikawa nikimtumia pesa mama. Hamuwez amini mama hataki kabisa pesa zangu anazirudisha. Yani bado alinikasilikia . Zayd akanmbia tulia watapoa tu . Ukimaliza chuo nakupelekea barua.

Basi bibi mie nikawa busy na chuo. Ila nyie apa kati nikaanza kuumwa nakwambia. Nikila chakura akikai. Nikilala nahema usiku. Yani nasumbuliwa nikamueleza baby juu ya hali yangu. Na akanmbia hakuna shida namuita daktari wa familia atakuja kukuangalia shida nn . Ili tujue mke wangu. Nikasema sawa hakuna shida. Basi shoga yenu kuja kupimwa ni mimba ya mwezi mmoja. Mh mnajua zayd hayupo makini. Yani sio mtu wa kumwagia njeee sana. Ye anapenda utamu ukimnogea basi amwage uko uko. Ila mi sikupenda sikuwa nimeplan kubeba mimba jamni. Ndo kwanza nipo mwaka wa pili wa masomo alafu MD ni miaka mitano. Sio masiharaaa.

Basi zayd akafurahi sana akanmbia yani nimefurahi mnoo. Naona unaenda kuniheshimisha mm. Wooow . Nainjoy sana kuwa na ww jamani . Najivunia sana ww mpenzi wangu. Akanmbia kwa jinsi umenifurahisha ntakupeleka nyumbani sasa .kwa baba akakuone. Apo nilikuwa najua kuwa zayd yeye wala hana mama. Bali ni ana baba tu. Na kaka zake wengine 3. Yani kwao wote wwanume hawana dada na mama yao alifariki mda sana alieleza ayo. Na alinambia bba yake mzazi anaishi masaki ila hakuwahi kunipeleka .ila bada ya kimbebea mimba mwanaume akatangaza kunipeleka kwao. Nilifurahii jamani sitaki kuwaambia . Yani nilifurahi mnoooo. Nilipta rahaaa sanaaa.

Na kweli shoga yenu kesho yake. Baby akanipeleka ukweni . Apo kwenda ukweni baby alinipa mbaibui wa maana ndo nivae. Si unajua waarabu wanakuwa na kma na asiri ya dini ya kiislamu.ndo alinambia ata baba yake ana dini sana so lazima nijistir. Kweli akanipeleka mpkaa masakii. Mh awa wana mawe bwana. Yani hii ni zaidi ya hekalu bonge lanyumba. Nyumba nzuri na ina vutia mnooo. Basi zayd akanmbia apa ndo nyumbani mke wangu. Kikitokea kitu chochote basi unakuja apa ndo anaishi mzeeee. Mh nyumba kubwa .nikamuuliza baba hajaoa tena kwani. Akanmbia mh baba alimpenda sana mama yetu .alivyofariki hakuoa tena . Yupo tu umj na wafanyakazj na sisi tukija kumtembelea mala moja mojaa ndo maisha yake. Basi akaniingiza mpaka ndani na nashukuru nilimuona baba Yake asee uyu baba ni mwarabau aswaa yani manywele yamemjaa mno. Kavaaa kanzu yake safi na tasbiihh yake . Mh anaonekana anajua dini kweli kweli.

Basi zayd alinitambulisha kwa baba yake kuwa mm ni mwanamke wake .ananipenda sana na anaihitaji sana. Na nipo chuo ila nikimaliza tu ananioa. Na apo nilipo ni mjamzito. Nyiee uyu mzee aknifurahia sana. Na akanikaribisha vizuri. Akamwambia zayd fanya haraka umuoe mwenzio bwana. Msizini tu. Kaanza kutuambia na vifungu vya mungu juuu ya zinaa. Mh anajua dini mana apo mkononi tu alikuwa kashika tasbih yake . Basi tukakaa sana na tukala pale chakura cha mchana na usiku sna ndo tukalidi kwetu. Basi bibi mie nikafurahi mpaka nimetambulishwa kwa mkweee aka nikajua mie ndo mke bwana.

Basi nikawa napambana sasa na mimba na chuo. Apo wazazi wamenikasilikia toka issue ya mlige jamni. Tena bola kidogo mama kuna mda nampigia namsalimia ila pesa zangu hataki ila baba hataki ata kunisikia mie. Basi mie nikawa busy tu na mambo yangu. Basi bwana nikaanza sasa kuumwa. Mimba inanisumbua sana. Ata chuo nikawa nashindwa kwenda . Apo ata mama mi sijamwambia kama na mimba naogopa. Na mama anajua mimi nasoma . Kumbe nakaa zangu kwa bwana chuo naenda kwa kusikilizia. Aseeeee mimba ilinisumbua hii.nnilikiwa naumwa mnooooo. Yani mpka inafika miez mitatu ndo inakangamaa sasa. Ndo naacha kuumwa . Ila uzuri zayd ni alikuwa bega na bega na mm mpaka nakaaa sawa.

Yani ile ndo nakaa sawa ndo tunafanya mitihani ya mwisho chuonii. Sikuwa nimesoma na nilikuwa natega sana chuo sababu ya kusumbuliwa na hii mimba. Nyieee sawa nilifanya mtihani . Ila nilifeli mnooo tena nilidisco kabisa chuo. Yani sikuwa na uwezo wa kuendelea tenaaa. Niliumia sana . Ila zayd akanmbia kaa nyumbani tulia na uzae .ukishazaa nakupeleka chuo cha private wala usiwe na shaka mke wangu. Basi bibi mie ndo prresha ikaisha .nikawa nipo tu nyumbani nalea mimba. Apo miguuu inauma mda mwengine. Yani hii minba ni naumwa . Kuna mdaa nakaa sawa. Ikiniamuliaa naumwaa tu ndo maisha yangu ayooo.

Basi apo baba mkwe ananipigia ananisalimia na kunijulia hali sana wala hana shida baba wa watu . Na alishanambia ikitokea zayd kanisumbua basi mie moja kwa moja niende kwake kupeleka kesi. Basi nikaona yes baba mkwe nnae bwana na nnatamaba nae .utanambia nn. Basi nikapambana na mimba yangu mpaka ikafika miez 9. Mama sijamwambia kabisaaa. Apo uyo yista kama ndo sifa. Ni anamposta sana mlige. Sijuh mume wangu. Sijuh rohoo yangu. Mda mwengine alikuwa anajipost yupo nae chumbani et mlige kavaa singlend yeye ana nguo ya kulalia wamepakatana khaaa. Namie namkomesha kwanza nna picha kama zote tena zaa maana sio kama zake. Nampost baby wangu. Ila sikuwa nimepost za sasa hivi naficha mimbaaa . Naju yust akiona ataenda kumwambia mma bule. Ila mlige muelewa hakuwah kunitafuta tena. Ila kuna mda nammis yani mlige ana vitu flan hivi unique sna. Ila kwa kua niliaamua kumove on basi nafanya maisha yangu mm

Basi bibi mie nikakazaa nakwambia mpkaa nikaumwa uchungu . Nikaeingia leba. Nilipelkwa aghakhan hospital.nilizaa kisure. Yani manurse kama wote wananibabaikia mke wa boss chezea mm wewe. Mpaka njaifungua. Jamani nashukuri nilijifungua mtoto wa kiume mashallah alikuwa mzuri jamani kama baba yake. Yani katoto kangu kanavutia mnoo. Mtoto nimemzaaa kakiume ila kazuri kama kakike . Kanavutia mnooo mashallha. Alimfanaa sana zayd kwa kila kitu mashallah❤️


🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92*



Basi bwana .mie nikawa busy na maisha yangu. Ile namba za yusta nilisave ila wwala hatukuwa na ushost tena. Na kama baada ya mwez niliona status yusta kapost kaolewa na mlige tena ndoa ya kiislamu. Mh niliona yusta ana furaha sana. Ila mlige wala sokuona furaha ndani ya macho yake. Mie namjua mlige sana tu..nikajua apa yusta ndo kafosi ndoa na watajijua wenyewe .mie nafanya mambo yangu. Na nipo busy na issue zangu mjini apaa. Basi mie ndo nikazidisha mahaba kwa zayd na zayd akazidisha mahaba kwangu. Penzi likachanua aswaaa jijini nikawa natamba mie . Faridah wa zayd....

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-final-season-91-92

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-final-season
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 88

MY WANGU❤️ sehemu ya 88

626
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘

515
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90

MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90

439
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40

330
REAL LOVE  Chapter 13

REAL LOVE Chapter 13

150
*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92*

*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92*

89
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06

20
*UTANIITA SHEMEJI.* *1-5*

*UTANIITA SHEMEJI.* *1-5*

20
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07

16
MY WANGU❤️ sehemu ya 93

MY WANGU❤️ sehemu ya 93

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.13K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.88K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.68K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.3K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

****

  • MY WANGU❤️ sehemu ya 93 15-02-2026 08:00

****

  • MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95 15-02-2026 17:40
Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Taratibu nilifuta machozi na kuinuka nikatoa vyombo na kuendelea na ratiba zingine, sasa wakati nikiwa bize na kazi Alvin akaja na kusimama pembeni yangu. Sikutaka kumsemesha ndo kwanza nikawa bize...

*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92* Post Mpya
*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92*
@majario LIVE

Basi bwana .mie nikawa busy na maisha yangu. Ile namba za yusta nilisave ila wwala hatukuwa na ushost tena. Na kama baada ya mwez niliona status yusta kapost kaolewa na...

*UTANIITA SHEMEJI.* *1-5* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI.* *1-5*
@majario LIVE

*______________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Utaniita shemeji ☺️aisee hii simulizi sijui nikae mkao gani ili niilete kwa usahihi bila kukwama wala kupunguza radha😊. Ila hii kitu imenionesha kuwa kweli watoto wa elfu mbili wameshindikana...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06
@majario LIVE

SONGA NAYO.................. Nilibaki namuangalia huku nikijiuliza ana maana gani kusema vile ?,🤔na nitakosaje amani eti kisa kutokuwa karibu yake 🤔na niukaribi gani anaoutaka kutoka kwangu na kwanini atake ukaribu na mimi?.🤔 Niliwaza...

MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
@majario LIVE

Basi bwana zayd akaendesha gali mpaka kwake . Akanmbia kumbe uyu boya bado hajaondoka na anakufatilia . Nikasema ndio mi mpaka namshangaa yani sijuh ata anataka nn. Mi simtaki bwana....

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

Nikasema ooh alex. Mama bwana uyo jamaa si tumesoma nae mpama form 4. Sijamzoea sana ila huwa na mazoea nae mama. We mpe tu namba zangu wla hakuna shida. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘
@majario LIVE

Pendo🥹🥹 kwani nilikukoseaga nini mamangu?! Mbona adhabu uliyonipatia haiendani na mwonekano wako?! Kwanini ulinipatia penzi lako kama ulijua ya kwamba utaenda mbali na mimi🥹 haujui ni kwa kiasi gani...

REAL LOVE  Chapter 13 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 13
@majario LIVE

seven aliwasha gari na kuliondoa spidi njia nzima alikuwa akilalamika tu mtu unaiona hali yako lakini unakubari tu kufanya mikazi kwahiyo unataka kulazwa tena hospitari ishindwa kuomb hata sjmu kwa jirani umpigie...

MY WANGU❤️ sehemu ya 88 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
@majario LIVE

Mlige akaipasua ile simu kwa hasira. Akanmbia nilijua tu . Umebadilika sana faridah kumbe una mwanume ana pesa kunizidi sio . Mie nikasema nisamehe mlige acha nikuelezee. Mlige akafoka .akasema...

🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI) Post Mpya
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)
@majario LIVE

SEHEMU YA KWANZA 😭😭 Acha nilie alafu ninyamaze duku duku langu nilimalize maana najiuliza maswali magumu sana ivi serekali inajua hawa wahindi wanatufanyisha kazi za ndani raia wa nchi hii...

REAL LOVE  Chapter 12 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 12
@majario LIVE

kitendo cha fahima kushikwa na seven. kiliwakera sana walikasirika ghafla tu lakini fatuma hakusahau dhamira yake akatoka haraka mpaka kwa fahima na kumsaidia kumshika mkono mwingine lakini mzee fahad akamkemea kabisa "wewe...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi mimi nilikaa home siku 3. Nikapigiwa simu ya kwenda kusaini mkataba katika iyo bank. Na kweli nilienda nikasaini mkataba wa miaka 2. Na mshahara ulikuwa ni mrefu sana ....

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Daaah yani sikuwa naelewa nifurahi pale . Ama ninune. Yani nilikuwa katika hali ambayo ata siielew. Basi zayd akanishika mpaka karibu na ile gari kabisa. Akafungua milango na nikaona...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘
@majario LIVE

Nilitoka kule ndani kwa Tristan bila hata kuwaaga🙈🙈 wenyewe walikuwa wako busy kubebishana😆 nilichukua usafiri nikaenda hadi maeneo ya kule nyumbani kwa Hemed ilikuwa ni mida kama saa tano sita...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest