AAAAH IMETOSHA BOSSππ N0 61ππ
Baada ya paschal kunifungia kule chumbani mwenzenu ata sikuumiaππ nilifurahi namimi nimepata kitu cha kumnyong'onyesha paschal..... baada ya kumfukuza lia paschal alikuja kule chumbani alikonifungia mie nilikuwa zangu nimesimama dirishani nachungulia kwa nje...... Boo alikuja akaketi kitandani kusema kweli alionekana kama mtu anayewaza namna ya kuanza kuniongelesha mimi..... niliona isiwe tabu hebu Acha mimi ndo nianza kumuongeresha niliweka sura ya hasira usoni kwangu then nilimfuata paschal aliyekuwa kaketi kitandani huku mikono yake akiwa ameshika tama nilikuwa siumii wala ila nilifanya maigizo ya hasira tu...... nilipaza sauti huku nikiwa naigiza kama vile nina hasira na kile kitendo alichokifanya......
""π£οΈπ£οΈumefurahi ehπ€·ββοΈπ€·ββοΈ nakuuliza umefurahiπ₯Ή hivi paschal we ni mwanaume wa aina gani we ni baba wa aina ganiβΊοΈβΊοΈ hivi katika kipindi chote hicho nilichokuwa mbali na wewe ni lini ulishawahi kunitafuta?! Hata hujali kuhusu mtoto wako?! Uko busy kubadirisha wanawake ndani ya nyumba yangu huu ndo upuuzi unaokufurahisha wewe siyo?!.. yani cjawahi kumuona baba mwenye mambo ya kipuuzi kama weweππ""
""π₯Ήπ₯Ήpendo tafadhari hebu nyamazaπ°π₯ hivi unajua haya yote yanasababishwa na wewe na wala hata hupaswi kunilaumu hivi unajua ni kwa kiasi gani nimekutafuta wewe na mwanangu?! Unawezaje kuniambia kuwa mimi siyo baba bora na ilihali wewe ndiye mtu uliyeyakatiza mapenzi yangu kwa mtoto wangu?! Wewe ndiye mtu uliyeamua kumpeleka mtoto wangu mbali na macho yangu ulitakaje pendo?!π€·ββοΈπ€·ββοΈ lbda ulifikiria nini?!..... ulitaka nibakie kuwa mtu wa kulia tu kila siku π§π§ ndiyo nilishalia sana tu lakini ilifikia hatua nikaona siwezi kuishi hivyo kila siku ni lazima maisha mengine yaendelee..... ni lia pekee ndo mwanamke aliyejitolea kunifurahisha mimi hata pale ulipoamua kujitenga mbali na mimi...""
""Kwa hiyo unakolezea siyoπ€π€?! Kwa hiyo unanitambia kuwa wewe na lia mna mahusiano siyo?!""
"" nisikilize pendo haya yote yasingetokea endapo kama wewe usingeniacha mimi na kwenda kukutana na mwanaume mwingine usiku kucha ukalala naye alikuachia alama za lovebite mwilini kwako kila kona na bado uliona haitoshi ukaamua kuondoka kwangu bila kuaga ni wapi unakoenda ningejuaje sasa kama huko ulikoenda siyo kwa huyo hawala yako?!""
""Kwa hiyo umefanya maksudi kunilipizia siyo? Basi kwa kuwa mimi ndo mwenye makosa na yote haya yanayotokea ni kwa sababu yangu sina budi kuondoka kwenye maisha yako nikuache uendeleze mahusiano yako na lia..... nitakwenda mahakamani kudai talaka niachane na wewe .....baada ya kumtamkia paschal habari za talaka alijishusha akaacha kabisa kunipazia sauti......alipiga hatua akawa ananisogelea nilimuomba asije akanigusa kwa sababu bado hata alikuwa hajaoga na nilimkuta akiwa ananyanduana na lia.....oh unataka talaka siyo?! Basi nenda kafungue maombi ya talaka huko mahakamani nitakupatia ucjali..... aliongea kwa ustaarabu tu huku akiwa anachekaππ pendo wewe huwezi kuniacha mimiππ Acha kubishana na moyo wako alf kumbuka tyr mimi na wewe tuna mtoto hutokaa ukaenda mbali na mimi kila siku utakuwa unarudi kama hivi......
Nilichukia sana baada ya paschal kuniambia vile..... unajiamini siyoππ nilimuuliza...... aliendelea kucheka nilimsukuma anipishe nipite huyu mwanaume kwa hiyo anafikilia ya kwamba mimi ninampenda kiasi cha kutomwacha mbona ana jeuri hivyo?! Na nitakuonyesha nakwambia ππ nilimtamkia huku nikiwa natoka kule ndani..... alicheka kisha akaniambia wakati mwingine urakaporudi tena basi usiache kuniletea kipenzi changu nice ili aje kunisalimu daddy yake ...... kitu kingine nikuombe hapa ni nyumbani kwako na wewe ni mke wangu siku hasira zako zikiisha ukajisikia kurudi unakaribishwa.......
Nilipanda kwenye gari langu kwa hasira nikaondoka pale nyumbani kwa paschal kichwa changu kilikuwa kinawaka moto nilichukia vibaya mno..... nilifika home nikamcall hemed nilimuomba awahi kuja nyumbani tuongee..... aliniahidi kuwa ndani ya muda mchache atakuwa ameshafika.... cool down sweet heart ni kama vile hauko sawa nini kimetokea..... aliniuliza hemed kwenye simu alinigundua kuwa siko sawa kutokana na vile nilivyokuwa naongea naye kwenye simu sauti yangu ilidhihirisha wazi kabisa kuwa siko sawa basi alivyoniuliza hivyo baba watoto mie si nikaanza kuliaππ aliniomba nitulie yeye yuko njiani anakuja nyumbani tuongee tusolve kila kitu kinachonitatiza...... nilimwambia sawa mine nimeelewa alikata simu nikatulia nimuwait.... hemed alifika nyumbani nilimkimbilia nikaenda muwow alinikumbatia then alinichum.... nakupenda sana my baby mama nini shida kipi kilikufanya ulie et niambie ukweli etβΊοΈβΊοΈ..
My baby daddy namm nakupenda na nimekubali kubadiri dini ili mimi na wewe tuweze kufunga ndoa cwezi kumrudia paschal nahitaji nibakie na wewe...... nakuomba unisaidie kupata talaka yangu kutoka kwa paschal.... baby kwa hiyo paschal ndo aliyekutoa machozi?!..... aliniuliza hemed.....ndiyo nilikwenda kule nyumbani kwenda kuonana naye lakini nilimkuta na mwanamke mwingine..... nazani hana tena mapenzi na mimi ni bora nimuache na maisha yake nimove abakie na yule anayempenda namm nibakie kwako.....
Kwa hiyo unataka kumuacha kwa sababu ya hasira za kumfumania na mwanamke mwingine au unamuacha kwa sababu umenichagua mimi?!.... aliniuliza hemed..... nimekuchagua wewe honey nilimjibu huku nikiwa najilaza kifuani kwake...... pendo najua fika unatambua mapenzi niliyonayo kwako unajua ni kwa kiasi gani vile ninavyokupenda...... moyo wako unaonekana unampenda sana mme wako kuliko mimi na huu uamuzi unaotaka kuufanya najua ni kwa sababu ya hasira tu......hapana baba watoto mimi sina hasira huo ndo uamuzi wangu na niko tayari kufunga ndoa na wewe kama huamini utaamini kesho asubuhi mapema nitakapoenda mahakamani kufungua madai ya talaka.....baada ya kumwambia hivyo hemed alismile then alinikumbatia natumaini huo ndo utakuwa uamuzi sahihi kwako na kwangu I love you mine and I'm ready to marry you......love you too chibaba wangu nilimwambia then nikamkumbatia.....
Siku ilipita nikiwa na hasira sana juu ya paschal usiku mzima nilikuwa nawaza tu kumkomoa yeye nilikuwa natamani kupambazuke ili nimuonyeshe kuwa uwezo wa kuishi bila yeye ninao na siwezi kumrudia tena..... na hatokaa akamuona nice maisha yake yote si ana jeuri nitamkomesha huyu mbwa niliwaza hivyo kichwani..... hatimaye kulipambazuka mimi ndo nilikuwa mtu wa kwanza kuamka...... darling hebu rudi kitandani uendelee kulala bado ni mapema sana saizi....... hemed aliniomba nirudi kulala pakuche kumbe niliamka saa 11 alfajir et...... nilitoa pazia dirishani nikachungulia kwa nje bado kulikuwepo na kigiza cha alfajiri nilijitupia kitandani huku kichwa changu kikiwa kinawaka moto hatari nilitamani hata nimpigie paschal simu ili nimwambie kitu nachotaka kukifanya juu yake lengo langu nilitamani tu kumharibia usingizi wake achanganyikiwe kama mimi..... nilinyanyuka pale kitandani nikaichukua simu yangu nikaanza kutafuta namba ya paschal booshit niligundua hata namba yake pia sina...... my love whats wrong with you nini kinakusumbua?! Aliniuliza hemed niliiweka ile simu pembeni nikarudi pale kitandani nililala nikamkumbatia alianza kunitekenya tekenya katika mwili wangu.... unataka nini baba watotoππ utaja nijaza mimba tena etππ hata ukiniongeza mapacha ni sawa sweetie heart β€οΈ oh hebu kuwa serious mpenzi kwa sasa hivi sitaki kuzaa subiri nice na mdogo wake wakue kwanza..... naelewa my baby mamaa but I need you mamaaa π© hahaha π it's okay hubby π nitakupatia tamuπ«¦....... alfajiri ile Hemed aliniandaa vyema then akanichombeza nilimpa yote tena nilifanya kwa kumkomoa paschal utafikir hata alikuwa ananionaπππ
Kulipambazuka asubuhi tulienda kuoga na baba watoto baada ya hapo tulijiandaa kwenda mahakamani kwa ajiri ya kwenda kufungua madai ya talaka..... Hemed alinisindikiza mahakamani nikafungua kesi ya madai ya talaka....nilifuata taratibu zote baada ya hapo nilipatiwa barua za kumpelekea Mr paschal zilikuwa ni barua ya wito mahakamani..... niliambiwa
nimpatie mwanasheria wake au wangu yeye ndo amfikishie lakini mwenzenu nilitaka kwenda na bei wangu nikamringishie....
Safari ilianza kutokea kule mahakamani hadi nyumbani kwa paschal nilikuwa na kimuhemuhe cha kukutana na huyo baba niceππ baba watoto alipark gari nje ya geit then tulisogea pale getin tukagonga mlinzi alifungua kwa vile ananifaham alituruhusu tukaingia ndani mlinzi alikwenda kumuita paschal alitoka akaja kutusikiliza nilivyomuona paschal nilitembea kwa nyodo nikamfuata nilimkabidhi zile barua nilizopewa mahakamani..... shika soma kisha uniwahishie sitaki kucheleweshwa nataka kufunga ndoa yenye akili siyo hii ya maigizoππ
Itaendeleaaaa.......
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
