MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43
Daktari akanmbia tulia haji. Ulipata ajari mbaya sana. Ila.unaendelea vizuri umepata michubuo sehemu chache tulia asee umeumia maeneo ya kiuno ila itachukua mwez tu utarecover kbisa so kuwa na amani kaka. Na unaendelea vizuri kwa sasa wala haukuumia sana. Pole bwana. Daah ndo nakumbuka nilivyolivaa lile gali. Nikauliza hali ya gari lngu . Daktari alinambia halitamniki.ata wewe kyokuumia sana una mungu sana ww kijana.Basi bwana nilikaa pale hospital week.nzima. ila.sikuongea kabisa na mke wangu. Na akinishika nilikiwa namwambia niache. Yani sikutka aniguse na wala sikuwa najibu chochote aliponiongelesha yani
Daah mpaka mama na dada walikuwa wanashangaa. Waaniuliza mbona umekuwa mkari kwa mwenzio mie kimya wala sikusimulia. Na baada ya week nikaruhisiwa kuludi nyumbani. Nilikuwa na maumivu sana maeneo ya kiuno. Ata kutembea nilikuwa natembea na fimbo. Basi tumefika home . Mi nikaingia chmbani kwangu kupumzika. Lemi akanipigia akanambia daah unaendeleaje mwanangu pole sana . Nimeambiwa unaendelea powa .sikia ntakuja kukuona hii week end mana shemu kanmbia usharuhusiwa upo nyumbani. Nikasema sawa lemi hakuna shida . Lemi alinambia tulia usipanic na wala usifanye maamuzi ya hasira kka.nikasema sawa hakuna shida ntafanya hivyo.
Basi mke wangu akja sasa chumbani . Ananiogopa ile mbaya mana nilikuwa namnyamazia kabisa kule hospitali .so nahisi ata yeye . Alishajua kuwa kuna kitu kanikosea. Akaniuliza mume wangu kuna kitu nimekosea. Nikasema.yaaa kikubwa sana . Kwann unamnyima alex mwanae. Au unahisi mm nisingejua kuwa uyu mtoto sio wangu ila ni wa alex. Ahaa mke wangu alistuka mno. Akapata mpaka na kigugumizi. Nikasema kwaiyo ile siku umenipasulia.simu kulinda uchafu wako.usijulikane sio. Nambie ww mpumbavu. Unajifanya jnaniektia umesikia naongea na princess kumbe unalinda uchafu wako sio. kumbe ulikuwa unalinda usenge wako sio. Sasa nimejua kila kitu . Kuwa ww ni msehnzi na ulikuwa unanaisaliti na wala haukuwa unanivumilia kama.nilivyokuwa nahisi. Na alex anataka damu yako .so.mpigie mzazi mwenzako mumalize shida zenu.
Asee mke wangu akaanza kulia akapiga na magoti..akanmbia nisamehe mume wangu. Tulisex mala.1 tu.ndo nikapata mimba nisamehe.asee nilifoka nikasema.kelele mpumbavu ww. Mda wote napamabna n kila kitu. Nikijua ww ni mwanamke mzuri kwangu. Kumbe muongo mmoja ww. Aseee nilikuwa na hasira .ni vile sikuwa sawa .ila kama ningekuwa powa ile siku ningemdunda uyu mwanamke mpaka angejishangaa wallah. Ila sikuwa sawa kiuno hakikuwa sawa kabisaa. Na mkono wa kushoto mpka nilifungwa pio pio. Yani ulivunjika.na sehemu za kicwani nilifungwa bandage so sikuwa na power ya kumpiga zaidi ya kufoka.nilimfokea kwa hasira mpaka machozi yanatoka.na yeye akwa analia uku anaomba msamaha .mala mlango ukafunguliwa akingia maam na dada. Akasema nini nn mbona kelele ni nyingi. Kuna nn kwani . Nikasema mama yule alex alokuwa anakuja kwako kuomba namba zangu ndo baba yake na araina .mama akasema nini . Sijaelewa ama. Nikasema ndio ipo hivyooo
🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi