Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 62πŸ’˜πŸ’˜
Gonga94 Β· Stories

AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 62πŸ’˜πŸ’˜

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

""Nini hii🀨🀨?""
""Aliniuliza paschal baada ya kumpatia zile barua""
""Fungua usome😏😏""
""Nilimjibu kwa kumnyali""
""Pendo umewaza nini hadi kwenda kufungua madai ya talaka mahakamani🀨🀨""
""Ulitaka niwaze nini Mr paschal 😝😝""
""Kwa hiyo huyu mshenzi ndo ambaye amekushawishi kufanya hivyo?.... aliuliza paschal kwa hasira huku akiwa anamnyooshea hemed kidole😠😠...... kanishawishi juu ya nini?! Uliyenishawishi ni wewe hapo na lia wako we si ulifikiri mimi siwezi kukuacha wewe natamani unionyeshe kiburi chako cha jana 😝😝 huyo mwanaume unayemuona hapo anaitwa hemed ni mme wangu mtarajiwa pia ni baba wa watoto wangu nice na shazilπŸ€ͺπŸ€ͺ unaongea juu ya nini pendo kwa hiyo unamaanisha kuwa tayari una mtoto na huyu mpuuzi hapa😟😟 paschal alimfuata hemed akamkunja walianza kupigana et mimi nilikaa pembeni kwa sababu wala hata sikuwa na nguvu za kuwaamulia ugomvi wao😌😌 walipigana sana tu hadi wakatoana damu aliyekuja kuwaamulia ni yule mlinzi lakini naye alichalazwa ngumi za kutosha.... baada ya mlinzi kuwaachanisha wawili wale nilienda nikamkumbatia hemed wangu nilikuwa nafanya yote hayo ili kumuumiza mwanaume ambaye moyo wangu unampenda kuliko kitu chochote kile...... pendo kwanini unanifanyia hivyo😭😭😭 aliniuliza paschal huku akiwa anapiga magoti chini alilia machozi aliniambia pendo najua bado nina nafasi ndani ya moyo wako please nakuomba usiniache mamangu......

Sikujali maumivu ya paschal ndo kwanza niliendelea kudeka kifuani kwa baba watoto nilimtizama paschal kwa dharau sana wala hata sikujali vile anavyoumia juu yangu...... nakuacha na hutokaa ukamuona mwanangu mwambie lia akuzalie...... nilwambia kisha nikamuomba baba watoto tuondoke pale paschal alilia mno aliniambia ukisikia nimekufa hata usije ukasikitika sioni kama nitaweza kuendelea kuishi kwenye maumivu makubwa kiasi hiki....... nilishtuka baada ya paschal kunitamkia vile nilisimama nikawaza kurudi nimnyanyue pale chini lakini hemed alinivuta mkono wangu hadi kwenye gari panda tuondoke darling aliniambia hemed...... nilipanda kwenye huku macho yangu yakiwa yanatizama nyuma kule tulikomwacha paschal.....njia nzima moyo wangu ulikuwa unaniuma tu ni kweli nilipanga kumuadhibu lakini nimefanya kupita kiasiπŸ₯²πŸ₯² tulifika nyumbani hemed akaniambia nitakutafutia mwanasheria mzuri atakayekusaidia katika maswala yako ya talaka..... hapana baba watoto nahitaji kufikiria vizuri juu ya swala hilo😞😞 unaongea kuhusu nini pendo?! Naongea kuhusu talaka nataka kupata muda mzuri wa kuwaza juu ya hilo..... kwa hiyo bado unampenda mmeo siyo😭😭😭 hemed naye alianza kutoa machozi. ....

Cjamaanisha hivyo baba watoto hakuna haja ya wewe kuniwazia hivyo ni kweli nampenda lakini siwezi kurudiana naye😰😰 kwa hiyo mimi hunipendi pendoπŸ₯ΉπŸ₯Ή nakupenda hemed lakini nahofia vipi kama paschal akijichukulia adhabu mbaya atakuja kujiua naogopa et😧😧.... pendo kama unanipenda basi kubali kupewa talaka na paschal ili mimi na wewe tuweze kufunga ndoa......niahidi ya kwamba utafanya hivyo😦😦..... ni sawa kipenzi changu lakini siyo haraka kama unavyofikiliaπŸ€”πŸ€”...... kwa hiyo pendo kule mahakamani ulinipeleka kunichoresha tu na kule nyumbani kwa mme wako umenipeleka nikafanye nini kama ulijua hutoweza kupokea talaka yake🀨🀨 hemed sikuwahi kumuona akiwa amechukia alikasirika sana siku ile alinyanyuka akapanda kwenye gari akaondoka...... mmmhh hapa nisipoangalia nitaharibu sehemu zote.....niliwaza tu
Nilimtumia hemedi msg nilimwambia usiwe na hasira mme wangu niko tyr kuachana na paschal kwa ajiri yako........

Wivu ulianza kumtafuna hemed vibaya mnoπŸ™„πŸ™„ nilimtuliza hadi akanielewa akarudi Nyumbani nilimpikia chakula kizuri kisha tukaenda kupumzika chumbani nilimpatia mwili wangu akautumia vile atakavyo ili kupunguza hasira zake mawazo yangu na akili zangu bado vilikuwa vinamuwaza paschal atakuwa na hali gani saizi nilitamani hata kumpigia lakini sikuwa na namba yake..... nilijilaza kifuani kwa hemed baada ya kuwa tumemaliza kufanya mapenzi....... mkononi kwangu nilikuwa nimeishikilia simu yangu nikiwa natamani hata nimpigie yule mlinzi ili nimuulize kuhusiana na hali ya paschal.....nikiwa neduwaa hapo simu yangu ilipigiwa na namba ngeni mmmmhh nani huyu😟😟 nilipokea kisha nikaweka sauti ya chini sana ilisikika sauti ya paschal aliniita mke wangu pendo naomba unisamehe mke wangu mwenzio nakupenda et😰😰 nilinyamaza tu sikuweza kuongea chochote pale mbele ya hemed..... nililazimika kuikata ile simu nilizuga nikatoka kule chumbani nilitoka nje ili niweze kuongea na paschal..... alipiga nilipokea bado alikuwa anaendelea kulia na Kuniomba nisije nikamuachaπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilijikuta namm nalia kiukweli nampenda kuliko kitu chochote kile.... paschal aliniambia kuwa pendo nakupenda usiniache nakuomba ufute hiyo kesi ya madai ya talaka kwa sababu haipo siku nitakayokupatia talaka..... tuliongea vingi alinibembeleza mno aliniomba tuonane ili tuweze kuongea live huku tukiwa tunaonana nilimwambia sawa nitakujurisha nikipata muda....

Ilipita kama wiki moja nikiwa nimelikalia kimya swala la talaka kila siku hemed hakuacha kunikumbusha lakini niliendelea kuvunga tu πŸ˜‘ mawasiliano kati yangu na paschal yalirudi tena ilikuwa ni kama vile ndo tunatongozana make penzi lilikuwa πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ siku moja paschal aliniomba nimpelekee mtoto wake akamsalimie nilijiiba siku hiyo nilitoka asubuhi kuelekea kazini nilivyofika kazini niliomba ruhusa nikarudi nyumbani sikumwambia ata hemed nilifanya kwa siri🀣🀣🀣 siku hiyo nilijiiba nikampeleka nice kwa baba yake alikuwa na siku nyingi sana zilizopita bila kumuona daddy ake hadi mtoto alikuwa kmzoea hemed kuwa ndo baba yake baada ya kwenda kuonana na paschal tulitolewa out ya nguvu siku hiyoπŸ˜†πŸ”₯ tuliongea vingi mimi na boo wangu tulisameheana makosa yote nilimuweka wazi juu ya mtoto wangu shazil aliniambia huyo mtoto hana kosa lolote na kama ni makosa tayari ulishakosea natumaini hautoyarudia makosa uliyokwishanitendea hapo nyuma..... nayy aliniahidi kuwa hatorudia makosa yake ya nyuma aliyowahi kunitendea nice alipata muda wa kucheza na baba yake japo alishamsahau et😩😩 alikuwa kamzoea hemed kuliko baba yake.....

Jioni tuliwahi kurudi nyumbani kabla ya hemed ili asijegundua kuwa tayari nishaanza kuwa naenda kuonana na paschal kwa siri..... mwenzenu si nilijikuta kufanya siri sangapi nice asiniumbue🀣🀣🀣 vile tu hemed amerudi taarifa ya kwanza ilikuwa ni hiyo daddy leo mama kanipeleka kwa daddy yangu mwingine katupeleka out katupeleka shopping katupeleka launch tumecheza naye tumeinjoy yule daddy alinikumbatia mimi na Mom akatuchum alimkumbatia mom wakakiss kama vile ambavyo huwa unamchum wewe😁😁 alimnunulia mom zawadi nyingi nzuri hata mimi alininunulia kila kitu nilichokipenda.......hemed alinitizama yeye ni mtu mzima alimwelewa nice alimbeba yule mtoto wakaingia ndani aliendelea kumhoji mom leo katoka kazini sangapi nice akajibu ni mapema asubuhi alikuja kunichukua shule akaniambia kuwa anataka kunipeleka nikamuone daddy yangu..... yani yule mtoto🀣🀣🀣 sa nitajiteteaje yani aliendelea kunifunga bila yeye kujua...... usiku baada ya kwenda chumbani kwetu hemed alininunia hakutaka kunisemesha na wala hata usiku wa siku ile baada ya nice kumwambia zile habari hakuweza hata kula.......

Nilivunga tu kwa kweli make ukweli wote ndo kaishasanuliwa na nice na ukweli nilifanya hivyo sikuona kama kuna umuhimu wa kujitetea kwa lolote.... nilisubilia tu aamue chochote kilicho kichwani kwake kama ananiacha au laaa......

Itaendeleaaaa.....
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 62πŸ’˜πŸ’˜


""Nini hii🀨🀨?""
""Aliniuliza paschal baada ya kumpatia zile barua""
""Fungua usome😏😏""
""Nilimjibu kwa kumnyali""
""Pendo umewaza nini hadi kwenda kufungua madai ya talaka mahakamani🀨🀨""
""Ulitaka niwaze nini Mr paschal 😝😝""
""Kwa hiyo huyu mshenzi ndo ambaye amekushawishi kufanya hivyo?.... aliuliza paschal kwa hasira huku akiwa anamnyooshea hemed kidole😠😠...... kanishawishi juu ya nini?! Uliyenishawishi ni wewe hapo na lia wako we si ulifikiri mimi siwezi kukuacha wewe natamani unionyeshe kiburi chako cha jana 😝😝 huyo mwanaume unayemuona hapo anaitwa hemed ni mme wangu mtarajiwa pia ni baba wa watoto wangu nice na shazilπŸ€ͺπŸ€ͺ unaongea juu ya nini pendo kwa hiyo unamaanisha kuwa tayari una mtoto na...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaah-imetosha-boss-n0-62

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaah-imetosha-boss-n0
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 57...58πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 57...58πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 53...54πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 53...54πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 36πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 36πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 51...52πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 51...52πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 48πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 48πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 50πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 50πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 59...60πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 59...60πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 55...56πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 55...56πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 34πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 34πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 42πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 42πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 44πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 44πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 49πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 49πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 37...38πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 37...38πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 35πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 35πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 33πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 33πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 43πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 43πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜  N0 61πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 61πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 39...40πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 39...40πŸ’˜πŸ’˜
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜  N0 61πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 61πŸ’˜πŸ’˜

428
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 43

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 43

361
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 44 na 45

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 44 na 45

309
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 62πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 62πŸ’˜πŸ’˜

285
REAL LOVE  Chapter 14

REAL LOVE Chapter 14

168
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 46 na 47

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 46 na 47

119
REAL LOVE  Chapter 15

REAL LOVE Chapter 15

113
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

48

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.15K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.89K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.68K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.47K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.41K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.31K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.3K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 46 na 47 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 46 na 47
@majario LIVE

Aseeeee nililudi mpka kwangu. Uko njiani ni fatuma tu ndo ambae ananipigia kweli kweli . Mi.wala sikuangaika nae na nilipoona usumbufu umezidi . Nikablock namba yake . Baada ya kufika...

AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 62πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 62πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

""Nini hii🀨🀨?"" ""Aliniuliza paschal baada ya kumpatia zile barua"" ""Fungua usome😏😏"" ""Nilimjibu kwa kumnyali"" ""Pendo umewaza nini hadi kwenda kufungua madai ya talaka mahakamani🀨🀨"" ""Ulitaka niwaze nini Mr paschal 😝😝"" ""Kwa hiyo huyu mshenzi ndo...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09
@majario LIVE

SONGA NAYO.................. Haraka nilijilaza na kujifanya nimelala, aunt Vero ambae ndo alifungua mlango aliingia na kufika anasimama bila kuongea wala kufanya kitu akaniangaliaa karibu dakika tatu. Kinyonge akashusha pumzi na kuondoka ,...

REAL LOVE  Chapter 15 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 15
@majario LIVE

"unafanya nini wewe unataka kujiua" alisema fahima kwa uchungu *ndio tena uniue wewe ambaye hunipendi si nakukera sana niue nipo hapa" alisema seven. sikia mimi kukuua siwezi na kuishi hapa sitaki alisem...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Mama aksema nini iki nasikia . Ni nn unaongea haji. Nikasema mam mimi uyu mwanamke kanifanyia mambo mengi mazuri ila kwa hili hapna. Mda wote nalea mtoto kwa upendo na...

AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜  N0 61πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 61πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Baada ya paschal kunifungia kule chumbani mwenzenu ata sikuumia😁😁 nilifurahi namimi nimepata kitu cha kumnyong'onyesha paschal..... baada ya kumfukuza lia paschal alikuja kule chumbani alikonifungia mie nilikuwa zangu nimesimama dirishani...

REAL LOVE  Chapter 14 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 14
@majario LIVE

John allikasirika kwelikweli alimuangalia devi kwa hasira sana kisha akamuangalia mwanasheria kwa hasira sana alijiuliza uyo ni mwanasheria wa seven imekuwaje kawa hapa na kafata nini "devi umefuata nini hapa alisema...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 43 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 43
@majario LIVE

Daktari akanmbia tulia haji. Ulipata ajari mbaya sana. Ila.unaendelea vizuri umepata michubuo sehemu chache tulia asee umeumia maeneo ya kiuno ila itachukua mwez tu utarecover kbisa so kuwa na...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Mama mtu kuona nimesimama tu akaniongelesha kwa hasira "we mpuuzi mbona umesimama kama sanamu embu toa vitu kwenye gari haraka" Niliitikia sawa na kufungua buti nikaanza kushusha mizigo wao wakaingia...

MIMI SIKUACHIπŸ₯°*  *SEASON TWO*   *SEHEMU YA 41* Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯°* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 41*
@majario LIVE

Daaaah alex akanmbia pole sana kaka. Najua inaumiza sana najua mnoo. Ila ndo ukweli. Mi siwez acha damu yangu. Na ndo mana nimekutafuta mnoo. Ili tuje kuliongelea ili suala. Na...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 59...60πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 59...60πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Baada ya hemed kupata likizo tulisafiri kuelekea ufaransa kwa ajiri ya kwenda kumchukua mtoto wangu nice, mom Elizabeth alimkatalia nice 🀣🀣 hata mimi hawakutaka niondoke kwenye familia yaoπŸ˜„πŸ˜„Tristan ndo...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Taratibu nilifuta machozi na kuinuka nikatoa vyombo na kuendelea na ratiba zingine, sasa wakati nikiwa bize na kazi Alvin akaja na kusimama pembeni yangu. Sikutaka kumsemesha ndo kwanza nikawa bize...

MY WANGU❀️ sehemu ya 94 na 95 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 94 na 95
@majario LIVE

Nklimuangalia uyu mwanaume kwa hasira kisha nikamuuliza kwamba una maanisha nn wewe. Kwambia mm nikuache u.nifanye nyuma uniharibu. Akannbia sikia nikwambia mama. Kwani nani atajua kuwa mm na wewe tumefanya...

MY WANGU❀️ sehemu ya 93 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 93
@majario LIVE

Basi jioni tu ya siku iyo iyo bibi mie nikaruhusiwa. Nyieee ilikuwa shereehee. Yani uyo zayd ni furaha mdaaaa wote . Ni kufurahi tu .mda wote kamshika mwanae anambembeleza mtoto...

*MY WANGU❀️* *FINAL SEASON* *91-92* Post Mpya
*MY WANGU❀️* *FINAL SEASON* *91-92*
@majario LIVE

Basi bwana .mie nikawa busy na maisha yangu. Ile namba za yusta nilisave ila wwala hatukuwa na ushost tena. Na kama baada ya mwez niliona status yusta kapost kaolewa na...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest