REAL LOVE Chapter 15
"unafanya nini wewe unataka kujiua" alisema fahima kwa uchungu
*ndio tena uniue wewe ambaye hunipendi si nakukera sana niue nipo hapa" alisema seven.
sikia mimi kukuua siwezi na kuishi hapa sitaki alisem fahima.
"utaishi hapa sitakubari kukupeleka sehemu isiyo salama alisema seven
"kama utanilazimisha nitatoroka alisema fahima
***unasemaje wewe rudia tena sasa ondoka nenda njia ile pale nenda alafu uone kama nitakufuata alisema seven kwa sauti ya juu kisha akafungua mlango na kuondoka, akimuacha fahima akiwa amekasirika tu
usiku huo huo john alionekana kukutana na mtu sehemu ya maficho ambapo hawawezi
kuonekana *""vipi umefanikiwa kuwafatilia aliuliza john
ndiyo tena nimewaona vizuri sana devi na cathe pamoja na mr sanju wanmpango wa kubadilisha hati na mali zote ili wazichukue wao alisema kijana huyo ambaye aliziba uso wake kwa kuvaa maski
***kha unauhakika unachokisema? alisema John kwa kushangaa
ndiyo na video nimechukua kwamball pamoja napicha mkuu alisem kijana huyo huku akiitoa kamera yake na kumuonyesha picha na video john aiseeee kijana huyo aliyetumwa na seven awafatilie devi na cathe kujuwa
wanalengo gani alifanya kazi nzuri sana. alirekodi matukio mengi sana huo ulikuwa ni ushahidi tosha kabisa,
kumbe hawa ni wehu inamaana alimsaliti mchumba wake kwasababu ya pesa aahahahh safi sana kazi nzuri kijana ** alisema john kisha akachukua kamera ile na kumpatia pesa laki mbili kiana huo
seven alirudi nyumbani akiwa na hasira sana alifika na kuwasalimia na kumjulia hi mama yake,
hebu kaa chini mwanangu tuzungumze alisema mama seven
"nakusikiliza mama alijibu seven
nasikia unamgonjwa ety unamgonjwa gani?"** isema mama seven
ah mama ni binti mmoja hivi nilimgonga bahati mbaya ila kwasasa yupo sawa kidogo alisema seven
sasa mwanangu kwanini usingetuambia nasisi tukamuone yani upo matatizoni alafu unashindwa kutuambia alisema mama seven
samahan mama sikutaka kukwambia kwakuwa haukuwa kwenye hali nzuri alisema seven
sawa basi kesho utanipeleka nikamuone. mgonjwa alisema mama seven
*"sawa alijibu seven
navipi kuhusu sakata lenu wewe na cathe alisema mama seven.
hivi karibuni nitamuoa mama alisema seven nakufanya mama yake ashangae sana, seven alikuwa amechoka hivo akaamua kunyanyuka kwenda chumbani na muda huohuo simu yake ikaita ujumbe uliingia kutoka kwa john
*DEVI CATHE NA MR SANJU WANASHIRIKIANA NA USHAHIDI WOTE TUSHAUPATA LENGO LAO NIKUCHUKUA MALI ZAKO ZOTE ujumbe uliishia hivo seven itabasan yani hakuwa na wasiwasi kabisa
alienda kuoga zake huku akitabasam
usiku huohuo uku kwa fahima alifungua kile kifuko ambacho alikuja nacho seven na kukuta simu mpya kabisa ikiwa katika boks lake na
pembeni ya simu kulikuwa kuna laini kwamaana na laini kashasajiriwa alichukua simu hiyo na kuiweka laini muda huohuo ukaingia ujumbe kutoka namba ngeni
"JIANDAE KESHO KUNA WAGENI WANAKUJA NA SITAKI MWINGINE APIKE ZAIDI YAKO USIKU MWEMA ujumbe uliishia hivo moja kwa moja akajuwa ni seven tu
"yani sijui kwanini ananiganda hivi si aniache na maisha yangu kanifungia ndani kama mkewe ety ananiletea na wageni kabisa hivi huyu
timamu kweli?" alisema fahima kisha akalzima simh na kulala. zake
asubhi na mapema kulikucha nyumbani kwa mzee fahad siju hiyo hakutoka kabisa kwenda kazini muda wote alikuwa na majonzi tu mpaka machozi yakimtoka
asubhi hiyohiyo siku hiyo seven alisema anamazungumzo rasmi na familia ya catherin kwahiyo aliwataka dada zake na mama yake. wote waende kwa kina cathe kisha ndo wataenda kumuona mgonjwa, basi walijiandaa vizuri kabisa walipendeza sana na wote wakaanza safari ya kuelekea kwakina cathe.
walifika wote na waliwakuta wote pamoja na ndugu mbalimbali, wengi wao walikuwa na furaha sana kwakuwa walijuwa tu itakuwa kuna jambo jema sana ndio maana wameitwa wote, walifika na kumaribishwa
****haya mwanangu babamkwe wangu tunakusikiza maana umetuiata hapa tunaimani unajambo muhimu sana alisema mama cathe kwa tabasam sana
***ndiyi mama nina jambo muhimu sana la kuwaambia leo pia samahani kama nitakuwa nimewakosea mama" alisema seven kwa upole sana
tunakusikiliza alisema baba fahima huku watu wote wakitega sikio kusikiliza
mama na baba sikuile nilimfumania cathe
lakini sikutaka kutamka kwakuwa sikuwa na ushahidi wa kuwaonyesha, na nilitaka nijipe mda ili nijue wanalengo gani na kwanini cathe anisaliti?" sasa nimeshaupata ushahidi cathe
alinisaliti mimi ili azichukue mali zangu zote
wakiambatana na devi na mwanasheria wangu ambaye nilimuamini sana, sina mengi john waoneshe video kwenye camera alisema seven kwa kunyoosha maelezo vizuri sana
kiaa mmoja hakuamini kilichoongelewa hapo
hakuna aliyeamini kilichosemwa na seven cathe akaanza kulia devi aliona aibu sana na mama cathe ndo hakuamini kabisaaaa alizidi kukataa. kuwa mwanae hawezi kifanya hivo ndipo john
akaweka video zote walizokuwa wakizungumza. hotelin dwv na cathe na mr sanju pale walipikutana kimaongezi
hakuna aliyeweza muamini hakuna cathe alipiga magoti haraka kuomba msamaha dada zake seven walichukia sana na kuanza kumtukana
cathe
hivo basi mpaka hapo mshaamini kilichotokea
cathe na devi nawatakia maisha mema cathe
devi atakuoa na devi utatafuta campuni ambayo Inafedha nyingi ili iufilisi vizuri asanteni sana alimaliza kusema seven kisha akatoka na famklia yake wakimuachacathe akiwa analia
sana
Itaendeleaaaaaa
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi