Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MALAIKA  SEHEMU YA 1
Gonga94 · Stories

MALAIKA SEHEMU YA 1

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

“Malaika! Malaika mwanangu!”
“Naam mama... mbona unaniita kwa presha hivi, kuna nini tena?”
Mama mkwe aliingia ndani huku uso umemshuka kama amekula ndimu, yaani kuanzia asubuhi alikuwa na jambo lake limekaa kooni. Miaka mitatu sasa imepita tangu Malaika aolewe na mwanawe kule Mwanza, lakini nyumba imepoa kama jokofu. Hakuna hata kichefuchefu cha uongo, wala tumbo kuchomoza—hakuna kitu kabisa! Na kwa mama mkwe, hili jambo lilikuwa linamfanya apandishe mori.
“Malaika,” mama alianza kumpiga dongo, “hivi wewe kwenye hii nyumba ya mwanangu ni pambo la ndani au mke?”
“Hapana mama,” Malaika alijibu kwa upole huku akitetemeka, maana alishajua tu hapa ni mwendo wa mashambulizi. “Mbona unaniuliza hivyo?”
“Unaniuliza swali ambalo jibu unalo?” Mama akamtolea kibezi cha hali ya juu. “Inaonekana Baraka amekuoa ili uwe unapangusa vumbi kwenye makochi tu hapa Arusha. Maana miaka mitatu sasa, hata dalili ya mjukuu sioni!”
Malaika akashusha pumzi ndefu. “Mama, najua unatamani mjukuu, na mimi pia natamani sana—lakini kila kitu ni mpango wa Mungu.”
“Hebu nistue mwanangu, wewe siyo Hana wala Sara wa kwenye Biblia! Usijifananishe na watu wa kwenye vitabu,” mama alimfokea. “Miaka mitatu inatosha sana Mungu kutoa jibu. Jikague vizuri, labda unajua mwenyewe unachokifanya huko sirini ambacho kimeziba tumbo lako!”
“Mama, jamani... mbona husemi hivyo? Tulienda mpaka hospitali kubwa kule Dar, daktari akasema mimi sina tatizo lolote.”
“Sasa unataka kusema mwanangu ndio ana tatizo?”
“Hapana mama, sijasema hivyo...”
“Basi jiongeze unipe mjukuu! Nataka wa kiume, wa kike, mimi sijali. Nataka kitu cha kubeba mkononi, siyo makochi ya Arusha!”
Malaika alihisi machozi yakimlengalenga. Yaani kila mahali ikawa ni kusemwa tu. Hata kule sokoni, wanawake walikuwa wanamtazama kwa jicho la kando kana kwamba yeye ndiye kirusi cha familia. Siku moja mchana, alimsikia mwanamke mmoja akimnong’oneza mwenzake huku anajua kabisa Malaika anasikia:
“Tazama sisi huku tunahangaika kulisha watoto watano, na huyu mwingine hapa ananunua kilo za nyama na samaki wa bei mbaya lakini hana hata mtoto mmoja wa kula naye. Pesa imepotea kweli!”
Kauli hiyo ilimchoma kama pasi ya mkaa. Alirudi nyumbani akajifungia chumbani, akalia sana.
Malaika alikuwa anaishi kwenye jumba la kifahari, maisha ya kishua, lakini hakuwa na furaha. Alikuwa na kijana wa kazi, Sule, ambaye ndiye alikuwa anafanya kila kitu. Malaika alikuwa na wivu sana, hakutaka kabisa mume wake, Baraka, ahudumiwe na binti wa kazi. Aliamini mabinti wa kazi ni "vicheche", wanaweza kumteka mume wake. Ndio maana akaamua kuajiri kijana wa kiume, Sule, ili awe na amani.
Lakini baada ya miaka mitatu ya ukimya, mume wake Baraka naye akaanza kubadilika. Siku moja jioni, Baraka alirudi nyumbani akiwa amefura kama amemeza nyuki.
“Mpenzi, karibu nyumbani. Umetoka kazini?” Malaika alijisogeza kumbeba begi, akijaribu kumtuliza mume wake.
“Kwani nitakuwa nimetoka wapi kwingine zaidi ya kazini?” Baraka alimfokea kishari.
“Mbona unanifokea mpenzi? Kuna tatizo gani?”
“Tatizo ni wewe, Malaika! Wewe ndio tatizo!”
Malaika alistuka kama amepigwa shoti. “Nimefanya nini mume wangu?”
Baraka akazungusha mikono yake huku akitazama sebule yote. “Tazama huku! Unaona nini?”
“Sioni kitu... zaidi ya makochi na samani nzuri.”
“Na hilo ndio tatizo kubwa! Nina pesa, nina magari, nina kila kitu mwanaume anachotaka. Lakini nikirudi nyumbani nakutana na nini? Samani! Hakuna mtoto anayekuja kunikumbatia, hakuna kelele ya mtoto inayoniita ‘Daddy!’ Nataka ninunue peremende na biskuti nirudi nazo nyumbani nijihisi mwanaume. Nataka uhai kwenye hii nyumba!”
“Mpenzi, tunapambana...” Malaika alinong’ona kwa sauti ya chini.
“Sikiliza Malaika, nakupa mwezi mmoja tu! Usipopata mimba, ninaleta mke wa pili!”
Malaika alihisi kama dunia inampasulia. “Kwa hiyo unanilaumu mimi? Unadhani mimi ndio sipendi mtoto?”
“Nilipokuwa kijana kule Mwanza, nilimpa msichana mimba. Japo mtoto alizaliwa mfu, lakini hiyo ilithibitisha kuwa mimi ni mwanaume kamili! Sasa usinicheleweshe. Kama baada ya mwezi mmoja hali ni hii hii, naoa mke mwingine!”
Malaika alijihisi amesukumwa ukutani. Alimpenda sana Baraka, na wazo la kuletewa mke mwingine lilikuwa linamuumiza kuliko kifo. Aliamua kuendelea kujaribu, akisali muujiza utokee.
Lakini mwezi ukakata... hakuna kitu! Baraka akawa mkali kama mbogo. Usiku mmoja, alirudi nyumbani amechelewa, na Malaika akasikia harufu ya pafyum ya kike ambayo si yake.
“Mbona umerudi muda huu? Na hii harufu ya nini?” Malaika aliuliza kwa wasiwasi.
Baraka akamtazama kwa dharau akasema, “Ni pafyum ya mtu tu. Na ikigeuka kuwa mtoto kwenye tumbo la mwanamke mwingine, ndio utaelewa maana yake.”
Hapo sasa, nguvu zote za Malaika zikaisha. Akili ikamruka. Akahisi kama dunia haina usawa.
Alijua lazima afanye kitu... chochote kile... ili kuokoa ndoa yake. Alikuwa na shauku ya kujua, "Hivi kweli mimi ni tasa, au mume wangu ndio anajigamba bure?"
Pale Sule, yule kijana wa kazi, alipopita sebuleni na kumsalimia, “Shikamoo Aunty,” Malaika alimtazama Sule kwa jicho tofauti. Kijana alikuwa na nguvu, mtanashati, na mbichi.
Wazo moja la ajabu na la hatari likamjia kichwani. Wazo ambalo hakuwahi kuliwaza maishani mwake.
“Labda ninaweza kumtumia huyu kijana wa kazi ili nijipime... nione kama kweli tumbo langu ni tasa.”
ITAENDELEA...

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MALAIKA SEHEMU YA 1


“Malaika! Malaika mwanangu!”
“Naam mama... mbona unaniita kwa presha hivi, kuna nini tena?”
Mama mkwe aliingia ndani huku uso umemshuka kama amekula ndimu, yaani kuanzia asubuhi alikuwa na jambo lake limekaa kooni. Miaka mitatu sasa imepita tangu Malaika aolewe na mwanawe kule Mwanza, lakini nyumba imepoa kama jokofu. Hakuna hata kichefuchefu cha uongo, wala tumbo kuchomoza—hakuna kitu kabisa! Na kwa mama mkwe, hili jambo lilikuwa linamfanya apandishe mori.
“Malaika,” mama alianza kumpiga dongo, “hivi wewe kwenye hii nyumba ya mwanangu ni pambo la ndani au mke?”
“Hapana mama,” Malaika alijibu kwa upole huku akitetemeka, maana alishajua tu hapa ni mwendo wa mashambulizi. “Mbona unaniuliza...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/malaika-sehemu-ya-1

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi malaika-sehemu-ya
MALAIKA SEHEMU YA 2
MALAIKA SEHEMU YA 2
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

542
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

477
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

454
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

441
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

238
REAL LOVE  Chapter 15

REAL LOVE Chapter 15

190
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*

*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*

174
REALLY LOVE* 16

REALLY LOVE* 16

86
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

78
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

71

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.16K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.9K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.31K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50
@majario LIVE

49 MPAKA 50 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi nilimuacha kama mwez lemi anendeelee kumfatilia princess. Akanmbia kila j mosi anakuwa kunduchi beachi. Alafu anaishi kibaha. Na sehemu yake ya kazi ni mikocheni apo ni kutojana...

MALAIKA SEHEMU YA 2 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 2
@majario LIVE

ALIMJARIBU 'BOI' WA NDANI ILI KUHAKIKISHA KAMA NI TASA Hapo ndipo Malaika alipohisi dunia nzima imemuelekea yeye. Kila kona aliyopita ilikuwa ni masengenyo, dharau za ndugu, na minong’ono ya majirani iliyomchoma...

MALAIKA  SEHEMU YA 1 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 1
@majario LIVE

“Malaika! Malaika mwanangu!” “Naam mama... mbona unaniita kwa presha hivi, kuna nini tena?” Mama mkwe aliingia ndani huku uso umemshuka kama amekula ndimu, yaani kuanzia asubuhi alikuwa na jambo lake limekaa kooni....

YENYE KIRUNGU  💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 09 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 09
@majario LIVE

MR AB TULIPOISHIA “Ndio, baba yangu alinipa mbinu za kumrudisha mtu aliyechukuliwa msukule arudi duniani kwa mara nyingine......nilijaribu kufanya hivyo ila wao hawakurudi maana mtaalam alisema kwamba hawakuchukuliwa misukule” “Yesu.....” Nilipagawa huku nikiwaza...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 08 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 08
@majario LIVE

NA MR AB Jerry aliendelea kuninyonya ulimi ndipo ghafla yule mwenzake akaondoka kwa hasira kuelekea mlangoni ** Haya mambo ni kama vile ukichaa, ilinibidi nimuachie Jerry na kusogea nyuma kidogo “Vipi mke wangu?...

YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚  SEHEMU YA 07 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚 SEHEMU YA 07
@majario LIVE

MR. AB TULIPOISHIA Piiiiiiiii, alipiga honi konda, nikasogea na kuchungulia vizuri, kweli ilikuwa kama nimetabiri hivi, nilimshuhudia Jerry anashuka kwenye pikipiki amevaa shati na suruali ya kitambaa akasogea “Mke wangu Anita” Alisema Jerry...

YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️  SEHEMU YA 06 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️ SEHEMU YA 06
@majario LIVE

MR. AB TULIPOISHIA “Wewe Anita......Anitaaaa” Ilikuwa sauti ya baba mmoja jirani aitwaye Ba Masoud. Nilishtuka na kufumbua macho nikatazama “Anitaaaa.....wewe binti” Sauti ya mwenyekiti ilisikika “Yupo kweli au ameshatekwa huyu, usikute ameuawa tuko hapa hapa”...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 05 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 05
@majario LIVE

MR. AB Tulipoishia Ile nimefika sebuleni kulikuwa na giza, nikapapasa swichi na kuwasha taa. Sikuamini, nimewasha taa hivi, naona mwanaume kasimama katikati ya chumba amevaa boxer tu, ana tattoo zake ameinamisha kichwa chini. Kuinua...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️
@majario LIVE

Na Mr AB SEHEMU YA NNE Alifanya kuniwekea kunako, akaisukumiza kikaingia kile kichwa tu “Ooohhh..bhaaan...” Nilihema kwa hisia huku nikijisukumiza nyuma ikawa inaingia taratibu hadi ulipoingia mpaka mwisho. Ilinitekenya halafu akaanza kuchochea...

YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU
@majario LIVE

"Daah mbona haisimami?" Nilimuuliza boss wa mume wangu "Ngoja niondoke nitarudi siku nyingine leo sijisikii vizuri" alijibu akipandisha suruali yake halafu akatoa shilingi elfu 20 akanipatia "shika hii" "Mh asante" nilisema...

YENYE KIRUNGU💛💚❤  SEHEMU YA PILI Post Mpya
YENYE KIRUNGU💛💚❤ SEHEMU YA PILI
@majario LIVE

Tulipoishia Asubuhi ilipofika Nilijikuta namtext boss wa mume wangu "Wewe" nilituma asubuhi na mapema maana niliamka na nye** vile vile "Niambie madam" "Ninahitaji mboo" Nilimuandikia ujumbe huo ili nione atajibuje, yaani akijibu vizuri tu...

YENYE KIRUNGU 💛💚❤ 🔞 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛💚❤ 🔞
@majario LIVE

Sehemu ya kwanza Mume wangu ni mtu msiri sana ambapo ni mara nyingi tumekuwa tukigombana hasa pale ninapogundua kwamba kuna mambo ya muhimu amenificha kwa muda murefu. Hata hivyo ugomvi haijaweza...

Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952. Post Mpya
Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952.
@majario LIVE

Alikuwa ni mwimbaji, mtunzi na mtayarishaji wa muziki kutoka India ambae alifahamika zaidi kama Disco King kwa kutengeneza muziki wa disco unaotumia ala za kielektroniki (synthesizer) kuwa maarufu katika tasnia...

Toss amrithi A.K A, Aingia kwenye pezi jipya na Nadia Nakai Post Mpya
Toss amrithi A.K A, Aingia kwenye pezi jipya na Nadia Nakai
@majario LIVE

Msanii maarufu “Toss”, anayefahamika kama hit maker wa Umlandu, kwa sasa anaripotiwa kuingia kwenye uhusiano mzito wa kimapenzi na aliyewahi kuwa mchumba wa marehemu rapa wa Afrika Kusini, AKA. Mrembo huyo...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘
@majario LIVE

Usiku mzima Hemed hakuniongelesha kitu chochote namm sikutaka kumuongelesha nililala zangu kimya nikajikausha mpaka asubuhi niliwahi kuamka nikamwandalia kiamsha kinywa then nilirudi chumbani kwa ajiri ya kujiandaa kwenda kazini.... nilivyotoka...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest