Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Basi mi nikanyamaza . Nikainuka nikaenda kuoga .nikaja kupumzika na maumivu na mtoto wangu. Yani mtoto ananingalia ananambia pole mama. Pole mama yangu. Basi namwambia usijali sijaumia lala mwanagu. Yani hii siku ata kula sikutaka. Nikajilalia zangu mapema sana. Basi bwana hakuludi nyumbani week 2. Nyieeee yani kama aliama .iyo week ya pili ndo namuona. Kaja tu kachukua nguo zake uyo kasepa .mi wala sikuta kumuongelesha wala kumzuia . Na vile kanidunda ile siku mi wala sikuongea nae kabisaaa. Na vile kanidundaaa. Sikutaka shida nae kabisaaa. Ikawa hivyoo. Basi bwana akawa haeleweki kabisaa. Yani alinibadilikia sana zayd. Yani akawa busy na mambo yake na akiludi ni busy na mwanae. Mie ata kunigusa hataki. Na alishanambia mi sikuingilii mpaka siku amabyo utanipa nyuma na kwa ridhaaa yako. Apo mimi ndo nitatulia na amani italejea kabisa ndani na ntaacha kutoka njeee. Mh mm sikutaka kabisa. Sababu mm nimesomea udaktari japo sikufanikiwa kumaliza chuo.naelewa madhara ya aya mambo. Basi nikakaza kuwa sitaki . Na bwana akanizila kabisaaa

Nyieee nilikonda mawazo . Kwanza sikuwa na rafiki deeply wa kumueleza mambo yangu. Nabaki nagugumia ndani. Bwana akawa hanipi tena pesa. Yani ata ile 100 yake. Hanipi. Ndani aleti chochote. Kuna kipindi Alinifungulia account za bank ila kwa sasa akazifungia zote na akanambia hatanihudumia mpaka nitakapomlizisha kwa anachokitaka. Yani mambo yalikuwa hayaeleweki jamni. Yani shida tupu . Nilijikaza nafanyaje sasa na naenda wapi. Nikawa nayavumilia tu. Siku akichanganikiwa . Nikimjibu kidogo ni ananipiga na mkia wa taaa mpka nakoma . Yani mwili wangu ulikuwa na alama tu. Nilikuwa naumia sana. Apo sasa naona yusta anamplst sana mlige. Sijuh baby . Sijuh mume wangu. Sijuh baba k.wangu. nikahisi shoga sasa ana mimba na kwa muda huu niliona mlige ni kanenepa na yupo kawaida tu. Ana relex maisha yake. Kiukweli nilikuwa namjutia sasa. Aseee mi mlige kweli alikuwa ananipiga ila akinifumani . Ila sio ile tumekosena mdomoni anipige no. Wala hakuwa na hasira hizo. Hivi ushawahi kupigwa lakini unajua uyu ananipiga ila ananipenda ndo mlige. Ananipiga ndo hasira zake . Ila baadae akipoa alokuwa anajutia sana . Na atanibembeleza na huduma ntapewa .ila sio uyu baba ananipiga kikakautili sana zaydd. Anakuwa ananiumiza mnoooo. Aseeee moyo ulikuwa unaniumaa mimi. Nilikuwa naumia sanaaa . Yani sanaa. Ila naanzia wapi kwa uo mdaaa nakwambia nilibaki na viakiba vichache.

Nikapambana mnooo. Apo bwana ata kunigusa hataki na halali nyumbani yani kama kanisusia nyumba. Uyo baba mkwe namuogopa mnooo. Baba mkwe kanitumia sehemu zake za siri nae ni baba mkwe uyo . Nilivumilia ila nilishindwa na iyo siku mm nilimpigia simu mama yangu . Uku nalia..mama akapokea simu .akaniuliza unalia nn faridah na una shida gani.nikasema mama mi nataka kurudi nyumbani. Mama akaniuliza umesahau nn binti yangu uku. Hapana usiludi wewe pambana uko uko na mwanaume wako mzuri mwenye pesa. Na mmeshazaa jamani. We pambania ndoa. Uku ije barua.

Tusherehekeee ndoa yako mi nangoja mahari. Nashangaaa kimya. Nikamsema mama nisamehe .mimi uyu mwanaume anainyanyasa sana. Mama akanmbia wala sio hapa. Mimi nyumbani kwangi wala sikutaki. Yani sikutaki kabisa wewe pambana na mwanaume wako ulete ndoa ya heshima kama ulivyosem kisha mama akanikatia simu . Daaah nililia tu. Nyieeee nikawa navumilia . Niliisha shoga yenu. Niliisha mnoooo. Yani mpaka nikawa namkumbuka mlige ..natamani kumpigi simu mana namba yake naijua vizuri kichwani .ni Miaka 4 imepita ila haijawahi kutoka. Ila naogopa naanzaje mm. Nikaona niendele kupamabna uku uku tu . Nikifanya mpango ata wa kuiba pesa nitoroke apa .sikutaka tena kuendelea kuishi apa. Sikuwa naona rahaa ya maishaa kabisaa mimi

Basi nikawa naendelea kupambana uku naficha pesa. Ila sasa ata iyo pesa nnayoficha nyieee. Uyu baba hakuwa ananipa tena pesa. Ni atamnunulia tu mwanae chakura. Mimi hana mda na mimi. Zayd alikuwa na wanawake jamani. Mpaka nachanganikiwa . Yani ukishika simu yake.unahisi kuwa chizii. Moyooo unauma mnoooo. Na alivyo mshenzi. Anaposta mpaka anawapa wanawake zawadi za magari kama alivyofanya kwangu. Nilikuwa naumia sana na moyo ukawa unauma mnooo. Nafanyajeee
Kuna siku alimpost mwanamke mzuri jamani uyoo. Mimi siingia ata mala 100. Ana mtako huoo wangu cha mtoto. Nyieee. Alikuwa amemzawadia nyumba ni amepost kabisaaa. Tena anajua kabisa naona Na wala hafichi. Kisha akanitumia sms akanambia siku ukinipa iko unachokikatazia na kwa jinsi nakupenda ww nakununulia nyumba kari zaidi ya hii. Mi wala sikumjibu zaidi ya kulia

Na ayo ndo yakwa maisha yangu..aseeee nilikiwa ni mtu wa kujuta sana . Nilikuwa ni mtu wa maumivu sana. Apo sasa mwanangu alikuwa na miaka 4. Anaongea tu vizuri. Basi siku iyo nilikuwa namuogesha mwanangu. Akawa ananambia mama uku kunawasha. Mh nikashangaa mana ananionesha sehemu za matakoni. Nyieeeee nilistuka .nikamuuliza uku ndo kunauma. Akanmbia ndio mama. Kuna uma ila baba atanichapa. Nyieeeee nusu nife. Nikamwanbia kwa nn bana akuchape. Anakufanyaga nini. Nambie mwanagu. Akamyamaza kimya . Nyieeeee nilishaelewa na nikahisi mm kabisa . Zayd anaihalibia mtoto. Nilimuangalia nakwmabia ila naona kupo kuwaid ila mwanangu ananmbia kuna washaaaa nyieeee na anajikuna kabisaa

Nilimvalisha haraka harka..na mimi nikavaa nimamchukua mtoto . Mpaka hospitali. Nilimulezea dr. Kuwa amuangalie mwanangu mana ananmbia anawshwa uku nyuma shida nn. Kweli dr akampima na kumuangalia. Akanmbia kwan nyumban mnaishi na nani . Nikasema mm na baba yake na dada wa kazi. Akanmbia mh uyu mtoto anachezewa nyuma alafu anamwagiwa uchafu. Nyieeee nilistuka mm . Nikasema.eeeh akanmbia ndio. Yule dr akamwambia rahul nani anakushikaga uko. Mwanangu Akaniangalia aksema baba atanichapa nikisema.nyieee nilijibwaga chini nilipiga kelele kweli kweli.nililia miimi yani mpka anamlawiti mtoto kweli. Mtoto wa miaka minnee anamfanyia hivyo na ni mtoto wa kiume. Anataka kumfanya mwanagu awe shogaa . Msengee uyuuu . Nilimind kweli kweli. Yani nilikasilika aswaa mimi.

Yule dr akanmbia tulia na utulize presha . Uyu wala hajamualibu . Hakuwa anamuingiza kwa ndani . Nafikili alikuwa namcheza uku juu na kumwagia uchafu wake. Nilimind uyu msnge. Mi sikutaka maelezo . Yani nilichukua simu nakwambia kwa hasira . Nikampigia simu mda uo uo. Nikamwambia we msenge ushazoe kufira sana. Si ndio. Unataka kunihalibia mtoto mimi. Zayd unataka kumuharibu mwanao wa kumzaa . Ina maana kote una pofira huriziki wew. Unataka kumfanya mwanangu aje kuwa shogaa. Msenge. we kuma la mama yako.kama.we bingwa mfire baba yko mzazi. Msenge wewe.nyiee nikijisahau kama nipo kwa dr. Aseee dr alinambia plsss dada hapa hayaruhusiwi matusi plsss. Aseee ndo nikakata simu nna hasira mnoo naongea mpaka natetemke mimi. Yule dr akanmbia nakupa dawa utakuwa unampaka uko nyuma mtoto mana ameoata fangasi. Aseeee niliumia sana. Yani katika siku zayd aliniumiza basi hiii ilizidi. Kumbe kila siku akiludi anenda kumsalimia mtoto Chumbani kwake kumbe anaenda kumchezea . Niliumia sana. Alafu mtoot wa kiume. Nikaona uyu kama hana huruma na mwanae .ata mimi hawez kunione huruma kabisa.

Basi nilivyotoka hospital nashika simu nakuta kanijibu. Et kama wwe unipi unatka nikamfanye nani. Aseeeee nikampigia tena akwa hajapokea.nikamtumia sms za matusi kweli kweli . Nilimtukana mnoo. Akanipigia akanmbia wewe nikiludi nyumbani leo nakuua.nikamwmabia msennge wew. Sio wewe unajifanya unajua sana kufirea ata wewe utakuwa unafnywa nishakuona..nilimind nikamkatia simu wala sikuongea tena . Mi nikatoa laini katika simu.nikaivunja pale pale.kisha sasa nikajiangalia mkononi nna kama laki 2 tu..nikasema hili jiji mimi limenisha naludi nyumbani kwanza . Yani ata mama sijumwambia nikajua ntaenda kujua uko uko. Siwez kuangaika na nyumbani kupe. Apo nimetoka nna nguo ya kawaida na mwanangu ana nguo ya kawaida tu. Ila mm nikaenda mpaka stand ya mabasi nipanda gari ya kageraa. Weeee sikutamani tenaaa kuhishi na zayd bola nikadhakilike yu nyumbani.ila kwa uyu mwanaume hapana kwa kweli . Hapna kabisaaa.
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97


Basi mi nikanyamaza . Nikainuka nikaenda kuoga .nikaja kupumzika na maumivu na mtoto wangu. Yani mtoto ananingalia ananambia pole mama. Pole mama yangu. Basi namwambia usijali sijaumia lala mwanagu. Yani hii siku ata kula sikutaka. Nikajilalia zangu mapema sana. Basi bwana hakuludi nyumbani week 2. Nyieeee yani kama aliama .iyo week ya pili ndo namuona. Kaja tu kachukua nguo zake uyo kasepa .mi wala sikuta kumuongelesha wala kumzuia . Na vile kanidunda ile siku mi wala sikuongea nae kabisaaa. Na vile kanidundaaa. Sikutaka shida nae kabisaaa. Ikawa hivyoo. Basi bwana akawa haeleweki kabisaa. Yani alinibadilikia sana zayd....

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-96-na-97

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

533
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

461
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

430
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

382
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

187
REAL LOVE  Chapter 15

REAL LOVE Chapter 15

182
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

68
REALLY LOVE* 16

REALLY LOVE* 16

31

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.16K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.9K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.31K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99* Post Mpya
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
@majario LIVE

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴 Basi bibi mie nikaanzaa safari ya kagera uo mdaa ulikuwa jioni . Nakumbuka gari ilitoka pale stand jioni saa 12. Nilikuwa na mawazo mnoo. Rahul ananiuliza mama tunaenda...

REALLY LOVE* 16 Post Mpya
REALLY LOVE* 16
@majario LIVE

waliondoka wakiwaacha familia ya cathe wakiwa na majonzi makubwa sana hawakuamini kabisa kilichotokea walitamani iwe ndoto upande mwingine kwa mama fatuma alikuwa akimshangaa mumewe tangu asubuhi yuko ndani tu hakutaka kula...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Aseeee akanmbia basi sawa hkuna shida. Ntajalibu kufatilia aseeee hii siku .nilipata amani ya moyo ambayo niliikoss kwa mda sana. Mana jamaa alinihakikishia kabisa kuwa ni wanangi na nimefanana...

MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
@majario LIVE

Basi mi nikanyamaza . Nikainuka nikaenda kuoga .nikaja kupumzika na maumivu na mtoto wangu. Yani mtoto ananingalia ananambia pole mama. Pole mama yangu. Basi namwambia usijali sijaumia lala mwanagu....

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47
@majario LIVE

Aseeeee nililudi mpka kwangu. Uko njiani ni fatuma tu ndo ambae ananipigia kweli kweli . Mi.wala sikuangaika nae na nilipoona usumbufu umezidi . Nikablock namba yake . Baada ya kufika...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘
@majario LIVE

""Nini hii🤨🤨?"" ""Aliniuliza paschal baada ya kumpatia zile barua"" ""Fungua usome😏😏"" ""Nilimjibu kwa kumnyali"" ""Pendo umewaza nini hadi kwenda kufungua madai ya talaka mahakamani🤨🤨"" ""Ulitaka niwaze nini Mr paschal 😝😝"" ""Kwa hiyo huyu mshenzi ndo...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09
@majario LIVE

SONGA NAYO.................. Haraka nilijilaza na kujifanya nimelala, aunt Vero ambae ndo alifungua mlango aliingia na kufika anasimama bila kuongea wala kufanya kitu akaniangaliaa karibu dakika tatu. Kinyonge akashusha pumzi na kuondoka ,...

REAL LOVE  Chapter 15 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 15
@majario LIVE

"unafanya nini wewe unataka kujiua" alisema fahima kwa uchungu *ndio tena uniue wewe ambaye hunipendi si nakukera sana niue nipo hapa" alisema seven. sikia mimi kukuua siwezi na kuishi hapa sitaki alisem...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Mama aksema nini iki nasikia . Ni nn unaongea haji. Nikasema mam mimi uyu mwanamke kanifanyia mambo mengi mazuri ila kwa hili hapna. Mda wote nalea mtoto kwa upendo na...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘  N0 61💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 61💘💘
@majario LIVE

Baada ya paschal kunifungia kule chumbani mwenzenu ata sikuumia😁😁 nilifurahi namimi nimepata kitu cha kumnyong'onyesha paschal..... baada ya kumfukuza lia paschal alikuja kule chumbani alikonifungia mie nilikuwa zangu nimesimama dirishani...

REAL LOVE  Chapter 14 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 14
@majario LIVE

John allikasirika kwelikweli alimuangalia devi kwa hasira sana kisha akamuangalia mwanasheria kwa hasira sana alijiuliza uyo ni mwanasheria wa seven imekuwaje kawa hapa na kafata nini "devi umefuata nini hapa alisema...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43
@majario LIVE

Daktari akanmbia tulia haji. Ulipata ajari mbaya sana. Ila.unaendelea vizuri umepata michubuo sehemu chache tulia asee umeumia maeneo ya kiuno ila itachukua mwez tu utarecover kbisa so kuwa na...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Mama mtu kuona nimesimama tu akaniongelesha kwa hasira "we mpuuzi mbona umesimama kama sanamu embu toa vitu kwenye gari haraka" Niliitikia sawa na kufungua buti nikaanza kushusha mizigo wao wakaingia...

MIMI SIKUACHI🥰*  *SEASON TWO*   *SEHEMU YA 41* Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 41*
@majario LIVE

Daaaah alex akanmbia pole sana kaka. Najua inaumiza sana najua mnoo. Ila ndo ukweli. Mi siwez acha damu yangu. Na ndo mana nimekutafuta mnoo. Ili tuje kuliongelea ili suala. Na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘
@majario LIVE

0742133100 Baada ya hemed kupata likizo tulisafiri kuelekea ufaransa kwa ajiri ya kwenda kumchukua mtoto wangu nice, mom Elizabeth alimkatalia nice 🤣🤣 hata mimi hawakutaka niondoke kwenye familia yao😄😄Tristan ndo...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest