Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5
Gonga94 ยท Stories

WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


SEHEMU YA 1
ANZA NAYO.......

Kazi ya ualimu inahitaji moyo sana jamani, msione kwamba watoto wenu wanafaulu vizuri tu lakini upande mwingine huwa wanapitishwa ๐Ÿ˜‚

Sijui mnanielewa bandugu, yani kama sisi walimu wa kiume ni shida tupu ๐Ÿ˜… maana kuna muda unajikuta tu umempenda mwanafunzi wako

Harafu sasa huyo mwanafunzi yeye anachotaka kutoka kwako ni maksi tu aisee ๐Ÿ˜‚ bana bana mimi yalinitokea jamani

Yalinitokea zaidi ya mara tatu nikatoa rushwa ya maksi ๐Ÿ˜… hii siku sitaisahahu binti alinihaidi nikimwekea maksi kubwa kwenye mtihani wake atanipa penzi ambalo sijawahi kupewa maisha yangu yote

Kwakuwa mimi nilikuwa mzee wa kupenda sana totozi na mademu sikupoteza hata muda yani fasta nikawa nimemuwekea maksi 100 ๐Ÿ˜‚

Huyu binti mshenzi kabisa, popote alipo nakuapia nikikukamata sitakupiga bali nitakupeleka geto ambapo nitakushughulikia vibaya mno pamoja na hasiira nilizokuwa nazo

Za muda mrefu ambazo alinidanganya aweee nahakikisha hatembei kabisa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Hahahaha๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜ ndugu zangu na watu wangu leo nawaletea bonge la simulizi, simulizi hii inanihusu mimi hapa Henry Ooh au sir Henry ๐Ÿ˜

Sasa Henry mimi ni mwalimu wa shule ya secondary hapa mwanza, hii shule bana ni shule ya zamani sana yani ya kizamani ila saivi imebadilishwa muonekano wake inapendeza sana

Na inaonekana kama shule mpya ambayo imefunguliwa siku chache zilizopita lakini hii shule inasadikika imesomesha wanafunzi wengi mno ambao baadhi yao wengine wameshazeeka kabisa ๐Ÿ˜‚

Mimi ni mzaliwa wa songea mjini mjini huko, ila nipo mwanza kwa sababu ya kazi kama ambavyo nimewaambia mimi ni mwallimu ndio kwanza nimefika kwenye jiji la mwanza

Jiji ambalo linasifika kwa kuwa na fujo nyingi, aisee yani ninakaa kwa tahadhari kubwa nisije nikayaboronga mie ikiwa sina ndugu kabisa kwenye huu mkoa ๐Ÿ˜†

Eeeh bado sijajitambulisha vizuri, okay love jina langu kamili ni HENRY NESTORY nimezaliwa mkoani songea, mama yangu ni mgonjwa wa miguu ambayo imekuwa ikimsumbua kwa muda mrefu sana ๐Ÿ˜ข

Baba yangu yeye alishafariki nikiwa kidato cha tatu ๐Ÿฅน maisha yetu kule nyumbani ni maisha ya kawaida lakini kuna muda yanakuwa magumu

Sie nyumbani tumezaliwa wawili tu akianzia dada yangu Helen ndio namalizia mimi, yes mimi ndio rast born lakini inasemekana kwamba mama yangu alikuwa anataka kuongeza mtoto mwingine

Lakini alipoanza kusumbuliwa na tatizo la miguu akaairisha ๐Ÿ˜‚ wazazi waacheni tu kama walivyo, dada yangu Helen ni muuguzi kwenye hospital iliyopo huko huko songea ni mtu ambaye hashindi nyumbani .

Kwa sababu ya kazi aliyonayo maana kuna muda anakuwa na shift ya usiku so hapo nyumbani tukaamua kumuweka mdada wa kazi awe anamuangalia mama

Basi maisha yanasonga mbele tukipata kidogo tunamnunulia mama yetu zawadi ili na yeye ajisikie furaha maana amebaki mpweke kweli ๐Ÿ˜ข

Haya upande wangu mimi ndio kwanza nimefika huku mwanza so nimejipangia ka chumba na seble ambako nimelipia karibia miezi tisa huko, ili kasukume maisha mbele

Sehem ambayo nimepanga mimi ni zile nyumba ambazo ujenzi wake ni wa gharama sana, yani nalipia elfu 50 kwa mwezi huo mmoja ๐Ÿฅบ nililazimika tu kupanga hapo maana sikupenda kabisa kujihusiha na nyumba za uswahilini

Maana kule kuna fujo sana nasikia usiku unatangiziwa wakati wa kwenda kuoga unapigwa makasi ya mbavu ๐Ÿ˜† kitu ambacho sikitaki na nakiogopa sana

Sasa Henry mimi nsio kwanza ni siku ya kwanza toka nipange kwenye ile nyumba ambayo ina kila kitu maji yalikuwepo, umeme bila kusahau bafu na choo yani kilikuwa chumba kizuri ๐Ÿฅฐ

Basi nilichofanya ni kununua kitanda changu cha bei sana kile ambacho ukilalia juu yake basi lazima usahau jina lako la ukoo kwa muda ๐Ÿ˜†

Nikanunua na neti zile originally wadada wanapenda kuita sijui neti za zipu ๐Ÿ˜‚ basi nikanunua na gas na ndoo kubwa mbili na sufuria kama tatu hizi na sahani na mwiko

Eeh ili niwe najipikia maana sipendi kula hotelini kabisa, napenda kujipikia ndani, na nikipika chakula alooo ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ nyumba nzima inanukia

Baada ya kila kitu nilipanga vizuri kabisa bila kusahahu feni nayo nilinunua so vitu vile vizuri vilikaa chumbani harafu harafu ndoo na gasi niliweka seblen

Seble ikabaki kubwa haina hata kazi ya kufanya, ๐Ÿ˜† basi baada ya kila kitu nikaoga na kupannda kitandani maana nilikuwa nimeshakula so kitumbo changu kilikuwa ndi

Muda huo ilikuwa saa 12 jioni na ilikuwa siku ya jumapili so kesho nilitakiwa kuriport shuleni, basi Henry mimi nikaingia online

Ambako nilianza kufatilia shule ambayo ndio nilitakiwa kwenda niliangalia na ufauli wa wanafunzi, kweli hii shule ilikuwa inafaulisha vizuri tu maana kwenye mtihani wa taifa wa form four ilishika nafasi ya 28 kitaifa

Basi kijana wenu nilipekua na ambavyo havikutakiwa kabisa baada ya hapo nikaingia whatsapp na kumpigia dada yangu, kwa kuwa siku hiyo ilikuwa weekend dada alikuwa nyumbani

So tuliweza kuzungumza vizuri pamoja na mama yangu, tulipiga sana story nikiwa naongea na ndugu zangu nikaisikia mlango wangu wa seblen ukigongwa

Kwanza moyo ukafanya puh, nikajua tu wazambuli wameingia, nyie hili neno nimelisikia baada ya kufika huku ngoja niwaeleweshe

WAZAMBULI, wazambuli ni kikundi cha watu flani ambao wanajihusisha na uhalifu kama wizi, kubaka, unyang'anyi, n.k

Kwahiyo kwa huku kibaka anafahamika kama mzambuli, mzambuli sio mbaba mkubwa, yani ni vijana wadogo sana wengine bado wanafunzi kabisa harafu wana vuta bangi ile mbaya ๐Ÿ˜…

Nazani mmenielewa sana tuendelee, sasa kitendo cha mimi kusikia mlango wangu unagongwa nikajua tayari nimevamiwa..

Ikabidi kwanza nishuke nikajihakikishie, kweli mwanaume nikashuka huku nikiwwa nimevaa pensi huku juu nikiwa kifua wazi, nilisogea taratibu mpaka kwenye mlango na kuchungulia kwenye kitobo cha kupitishia funguo

Nilimuona mdada akiwa amesimama huku mkononi akiwa amebeba sahani, sikusubili mara mbili mbili nikafungua mlango ๐Ÿ˜…

"Habari yako..??"

Alinisalimia yule dada.

"Salama vipi..??"

Nilimjibu huku nikimkagua juu chini kana kwamba nina msican ๐Ÿ˜‚

"Salama, ah kuna chakula nimekuletea hiki hapa kwa sababu ndio kwanza umehamia hapa hata vyombo hujanunua so nimeona sio mbaya kama nitakupa angalau utulize utumbo.."

( ๐Ÿ™„ kwahiyo unanifanya mimi mjinga sana siwezi nunua vyombo au kiherehere ndio kimekujaa, we kama unanitaka tu si useme. )

Nilijiwazia, kisha nikazungumza

"Aaah hata usijari dada yangu nimeshiba.."

Niliongea huku nikitaka kufunga mlango akanizuia

"Aah sio hivyo bana, unajua hiki chakula nimejitahidi kupika kwa ajiri yako jirani yangu so pokea hata ukila kidogo tu ..."

( mbona unanilazimisha hivyo, isijekuwa ukawa umeniwekea nanii zako huko harafu unipe mimi nile ili nikupende )

"Aah.."

Niliishia kusema hivyo

"Pokea kaka yangu tafadhali.."

Dada alikuwa analazimisha huyu, ikabidi nipokee tu kisha nikakitazama kile chakula, kilikuwa wali samaki.

"Hebu subiri kwanza.."

Nilimwambia baada ya kuona anataka kuondoka, basi mdada wa watu akageuka kisha akaniangalia

"Kula kwanza vijiko viwili hapa.."

"Eeh??"

"Nimesema kula vijiko viwili hapa isijekuwa umeniwekea sumu bure...."

"Aah kaka angu usifike huko me ni mtu mzuri tu na ninasali kabisa so kuwa na amani.."

( kwahiyo kama unasali ndio huwezi kumuwekea mtu sumu, hebu shika chakula chako bwana..)

Nilijiwazia huku nikimrudishia chakula chake, huyu mdada hakutaka maneno mengi alichofanya alichota kijiko cha kwanza na cha pili akala kisha akanitazama

"Haya umeamini sasa.."

Sikumjibu nilichofanya ni kuchukua kile chakula kisha nikamwambia asante na kufunga mlango, nikarudi chumbani nikiwa na hasira sana kwa sababu ya huyu dada kuniletea chakula

Ambacho kwa upande wangu nilikuwa nimshiba, nilifikilia kukimwaga roho iliniuma basi ikabidi nile hivyo hivyo, jamni kumbe mapishi ya mwanza ni mazuri hivi jamani ๐Ÿฅฐ

Yani nilikuwa na mpango wa kula vijiko hata vinne ili kumlizisha lakini kwa utamu wa kile chakula nilikimaliza chote ๐Ÿฅฐ nilikula huku nikimsifia mpikaji, jamani huyu mdada anajua kupika....

ITAENDELEA......
SEHEMU YA 2
SONGA NAYO.....

Baada ya kumalliza kula niliiosha sahani vizuri kisha nikatoka kumpelekea, hapo nilipokuwa naishi kulikuwa na wapangaji watatu ambapo ni mimi na yule mdada lakini na mtu mwingine aambaye simfaham bado

Basi mwamba nikagonga mlango, akafungua akiwa amevaa kinguo kifupi hicho walah shetan naomba uniepushe mbali ๐Ÿ˜…
Nami bila kupepesa macho nikiwa mkavu kama sijaona kitu nikampa sahani yake na kutaka kuondoka akazungumza

"Jamani si ungeacha tu nikaosha mimi.."

( ๐Ÿ™„ we mdada kuwa na mipaka so ulitaka nikuletee sahani ikiwa chafu ili uniroge ) ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿพ

Katika ukuaji wangu wote ninaamini sana uchawi upo, yani ninaamini asimia 80 kuwa kuna watu wanachukuliwa misukule kabisa so nilikuwa makini sana

Nilichofanya mimi ssikumjibu yule dada nikashika njia na kuingia zangu ndani, nikimuacha akiwa ananiangalia tu....

Siku nyingine ikashika nafasi niliamka saa kumi na moja, ๐Ÿ˜† ndio lazima niwahi maana ndio kwanza nina report, basi kijana wenu nikaingia bafuni na kuoga

Nilivyomaliza kuoga nikapigilia pamba zangu kali sana, katika siku ambayo nilijiona nimependeza basi ni hii siku aisee maana niliwaka kama moto ๐Ÿ˜† na kibaya zaidi nina body nzuri awee mdada yoyote akinitazama hawezi kuchomoka walah

Basi Henry mimi nilikuwa tayari nikajipulizia na unyunyu ๐Ÿฅฐ yani nilionekana kama mtoto wa kishua, saa kumi na mbili na nusu niko stendi.

Kwa sababu sehemu niliyokuwa naishi ilikuwa na umbali kidogo na shule ilipo so niliamua kuchukua boda huyoooo mpaka Muhandu Seco.

Kwa mara ya kwanza nikakanyaga kwenye hiyo shule bwana ๐Ÿฅฐ shule ilikuwa nzuri na wanafunzi wake walikuwa na sare nzuri za shule mazingira yalikuwa yametulia na yalivutia

Nilifika nikashuka kwenye boda na kumlipa boda pesa yake, kisha nikaigeukia shule kuitazama, wanafunzi walikuwa wamekaa vikundi vikundi bila shaka walikuwa wanajisomea ilikuwa ni mida ya saa moja kasoro hivi

Nikajiuliza inamaana hawa wanafunzi wanafika shule saangapi maana mazingira yalionekana safi na sijui huo usafi ulifanyika muda gani..

Nikiwa natembea mdogo mdogo mara akaja mwanafunzi wa kiume, huyu mwanafunzi alikuwa mdogo tu kwa makadirio yake basi atakuwa na miaka 15 kama sio basi 16

"Morning sir..??"

Yule mwanafunzi alinisalimia huku akinipokea kibegi changu kidogo hivi cha kiume msije mkazani mkoba wa kike ndio maana nimesema kibegi

Kijana alikuwa na adabu sana, na mimi nikamuitikia ki roho safi tu akaanza kuniongoza njia

"Headmaster ameshafika..??"

Nilimuuliza akanijibu ndio, basi sikuwa na maneno zaidi akanipeleka mpaka ofsini kwa mwalimu mkuu, na muda wote huo wanafunzi walikuwa wananitazama sana walah

Kitendo cha kuangaliwa nilijua bila shaka nimependeza, basi Henry mimi niliingia ofsi ya mwalimu mkuu kwa kuwa alikuwa na habari za ujio wangu

Alinikaribisha vizuri na kunieleza mambo mengi, baadae akaja mwalimu mwingine tena huyu alikuwa wa kiume basi tukasalimiana palle akajitambulisha anaitwa sir Joseph

Basi ili kujuana vizuri na mimi nilijitambulisha pale, baadae kidogo niliweza kusikia kengere ikilia bila shaka ilikuwa ni kengere ya kwenda pared

Wanafunzi walikuwa wanakimbia hovyo hovyo kama kumbikumbi ๐Ÿ˜‚ nilikuwa najionea tu maajabu ya hii shule, basi tulikaa mle ofsini kwa muda kidogo nikasikia wanafunzi wwanaimba wimbo wa taifa

Baadae kidogo wakaimba Tanzania nakupenda, walivyomaliza huo wimbo wakaimba wimbo wa shule aisee bora zile nyimbo za taifa waliimba vizuri ila wimbo wa shule ulinifanya nicheke walah

Yani kuna wengine walikuwa wanaimba kama hawakula usiku, sauti zinatoka ndogo kuna wale wengine wana bess hao, mpaka nikashangaa inamaana kumbe kuna vijana wana bess harafu kuna mimi hapa nina sauti na sio bess ๐Ÿ˜…

Baada ya muda kidogo tulitoka nikiwa nimeongozana na yule Sir ambaye alijitambulisha kama Joseph, nikiwa na mwenyeji wangu tulitembea mpaka pared

Kama zilivyo ratiba nyingi za hapa Tanzania mgeni lazima ajitambulishe ndio ilivyokuwa kwangu, Nikasimama mbele wanafunzi walikuwa wananitazama hatari kuna muda nilikosa kabisa kujiamini ๐Ÿ˜‚

Ka uoga kakiwa kameanza kuninyemelea nikasogea mbele kidogo ili waweze kunipna vizuri..

"Habari zenu wanafunzi, natumaini mko poa, kwa majina yangu naitwa Henry Nestory, we unaweza kuniita sir Henry inatosha, ni mwalimu mpya kuanzia sasa nitafundisha hapa kwa mdarasa yale ya juu, asanteni sana..."

Nilimaliza kujitambulisha huku kijasho kikiwa kinanitoka mwanaume mimi, ๐Ÿ˜… jamani sio kwamba nawaogopa wanafunzi hapana jamni ila kilichokuwa kinaniogopesha na kunifanya niweweseke bila sababu

Ni mabinti ๐Ÿฅฐjamani kwenye hii shule kulikuwa na mabinti wazuri, yani wako smart harafu wengi wao ni slay queen Nyieeee ๐Ÿ˜… kwa namna ninavyopenda mabinti wadogo nitafukuzwa kazi kabisa mungu naomba uniepushe mimi.

Basi bwana mwenyeji wangu akaniambia nimfuate bila ubishi nikaondoka lakini niliacha minong'ono huku nyuma, niliondoka na kwenda ofsini ya walimu huko nilikuta walimu wengi wako kama kumi na mbili hivi dah ๐Ÿ˜…

Harafu wengi ni wadada, jamani kumbe mwanza kuna wadada wazuri hivi na hamsemi tunaendelea kukaa single tu inachosha bana ๐Ÿ˜…....

Basi nilisalimiana nao nikajitambulisha pale kuwa mimi ni mwalimu mgeni lakini pia nipo kwa kipindi kirefu, basi wadada na wakaka wakaitikia tu yani walikuwa seriously sana

Jambo ambalo lilinifanya na mimi kuwa serious na kazi yangu, basi muda ulienda wanafunzi wakaiingia madarasani kuanza vipindi, kila mwalimu akanyanyuka na kwenda kwenye somo lake ambalo alitakiwa kufundisha kwa siku hiyo

Upande wangu nilitakiwa kuingia mchana maana nilikuwa na kipindi kwa form four na nilitakiwa kwenda kukabidhiwa rasmi maana yule aliekuwepo alikuwa na majukumu mengi so nikapewa kwenda kufundisha somo la biology.....

ITAENDELEA.......
SEHEMU YA 3
SONGA NAYO........

Muda ulienda ukafika muda wa break, nikaletewa chai ya nguvu, hata sikujua walinunulia wapi hiyo chai ilikuwa tamu nyie ๐Ÿ˜‹, hatimae muda wa kuingia madarasani tena uliwadia kama kawaida walimu walielekea kwenye majukumu yao

Hapo shuleni kuna mapumziko mawili yani break ya saa nne harafu na lunch ya saa sita, kwahiyo mimi nilitakiwa kwenda kipindi ambacho wanafunzi wametoka lunch

Basi mwamba nikatoa simu na kuanza kupekua pekua na kuangalia angalia hilo somo la biology maana kuna mengine nilikiwa nimeanza kusahau kabisa

"Sir Henry..."

Nikiwa bize na simu yangu nikasikia kuitwa na sauti laini lakini pia ilikuwa tamu nyie, nikainua macho yangu nilishangaa baada ya kumuona mwanafunzi

Tena huyu mwanafunzi alikuwa slay queen binti alikuwa mfasi jamani, mwanzo nilifikiri aliyeniita labda atakuwa mwalimu mwenzangu lakini nilipomuona aaaah mungu alifanya kazi yake sawa kwenye kuumba asiee

Nilibaki namuangalia huyu binti bila kummaliza kabisa, na sijui huyu binti alikuja kwa lengo la kunikomoa sijui maana alianza kunirembulia macho yake yale makubwa yaliyoka kama gololi yalizidi kunichanganya mimi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Mnisaidie jamani huku, ndio kwanza siku ya kwanza nimeanza kutamani mwanafunzi wangu, pepo shindwaaaa ๐Ÿ˜‚

"Nikusaidie nini..??"

Nilimuuliza huku nikijaribu kutomtazama.

"Sir nimeagizwa na sir japhet nije nichukue chark.."

Binti aliongea kwa sauti ya puani yani alikuwa anabana sauti sizani kama huko ndani mbavu zilikuwa salama kweli ๐Ÿ˜…

( sasa chark hujui sehem zinapokaa, mbona unataka kunipanda kichwani..?? )

Niliongea kimoyomoyo huku nikimtazama huyu binti, basi binti akasogea sehemu ambapo chark zilikuwa zikihifadhiwa akafungua kabati na kutoa chark

Muda huo amenipa mgogo namtazama maumbile yake namna yalivyokuwa yanavutia na jinsi ka siketi kake kalivyokuwa kafupi sasa dah

Yani hata sijui ilikuwaje kuwaje nashangaa binti ameangusha boksi la chark na chark zote zikaanguka na kupasuka vipande vipande.

Si binti akainama bana kuokota zile chaki tena hakuinama kwa kuchuchumaa yani aliinama ile ya moja kwa moja sijui mnaita chuma mboga ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ me sijui

Katika siku ambayo nilipata tabu basi ni hii siku walahi, maana huyu binti alikuwa ananifanyia makusudi kabisa, na kibaya zaidi hakuwa amevaa hata taiti humo ndani yani mapaja yote yalikuwa nje na yalivyokuwa meupe sasa dah nilimeza mate taratibu tu

"Wewe.."

Nilimuita akageuka na kunitazama

"Hivi huwezi kushona siketi ndefu kama walivyo wenzako, kwahiyo wewe mapaja yako ni mazuri sana kushinda wenzio sio..??"

Nilimuuliza ila ukweli huyu binti alikuwa anakosea mno, hata kama napenda totozi ila kwa hili hapana kwa kweli, maana mimi niko serious na kazi yangu so ninapokuwa kazini nakuwa kazi kazi

Nilipomuuliza hivyo hakinijibu bali alianza kunichambua kama karanga yani ile ya kuangaliwa juu chini juu chini upo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

"Nakwambiaje mwisho leo, sitaki kukuona na hiyo siketi yako tena.."

Nilimwambia hakunijibu akaondoka zake huku nyuma akichezesha aiseee, yani kazi hizi zina changamoto kubwa, hapo ni kuwa na roho ya ujasiri la sivyo kuna uwezekano wa kumpa mimba mwanafunzi wangu kabisa

Basi niliendelea na kazi yangi, kweli muda ulienda na kipindi kiliisha ikafika kipindi cha lunch napo nikaletewa wali samaki na mboga za majani, aiseee ๐Ÿ˜‹ hawa wana mwanza wanataka kunifanya nisirudi songea

Maana chakula ninachokula toka nifike huku ni kitamu tu mpaka nashindwa kujua nani mpishi.......

ITAENDELEA.......
SEHEMU YA 4
SONGA NAYO........

Hatimae ule muda wa mimi kwenda kukabidhiwa ulifika, na ambaye alikuwa ananikabizi hilo somo alikuwa mwadada tu mrefu mwembaba kidogo lakini alikiwa na shape ya kichokozi mdada alikuwa ๐Ÿ”ฅ

Basi nikaongozana na huyo dada yeye mbele mimi nyuma naangalia namna mungu alivyotulia kuumba aisee ๐Ÿ˜† tulifika darasani tukaingia, wanafunzi wakasimama kutoa salamu

Jamani jamani, watoto walikuwa wadogo ila wana sauti kubwa yani zile bessi mule ndani zilijaa darasa Zima sikujua kama nimesikia sauti za kike kweli ๐Ÿ˜‚

"Karibu sana sir, hili ndio darasa ambalo unatakiwa kufundisha biology " Kisha akawageukia wanafunzi

"Jamani huyu mnaemuona hapa ni mwallimu mpya wa somo la biology na mimi ndio nimeamua kumkabizi yeye maana masomo mengi yamenielemea sana so naombeni kwa heshima na utiifu

Mmuheshimu kama ambavyo mlikuwa mnaniheshimu mimi niwapo darasani, haya wacha mie nitoke, sir Henry kazi njema.."

"Asante madam Penina..."

Nilimjibu basi madam akatoka nikabaki na hao wanafunzi sasa, wananitazama kama wanataka kunimeza vile

"Hamjambo..??"

Niliwasalimia baada ya kuona natazamwa sana, wakanijibu ki roho safi tu basi katika kuangaza si nikamuona yule binti ambaye alikuja ofsini masaa machache yaliyopita tena alikuwa amekaa nyuma kabisa na sehemu ambayo alikuwa amekaa amezungukwa na wavulana tu aisee

"Wewe njoo huku mbele.."

Nilimuita akajifanya hanielewi

"Nani mimi..??"

Aliuliza huku akijinyooshea kidole.

"Ndio wewe kwani kuna mwingine zaidi yako.."

Akanyanyuka na kuja mbele, namna alivyokuwa anatembea sasa dah ๐Ÿ˜ฌ yani anatembea huku anarusha siketi inaenda kulia kushoto ๐Ÿ˜†

Basi kakafika mpaka nilipokuwa kananitazama kwa macho ya mahaba kweli, sasa najiuliza haya macho yako hivi au ni umalaya ndio unamsumbua

"Futa ubao..."

Nilimwambia, akashtuka kwanza na kuniuliza

"Unasema nifute ubao...??

( ๐Ÿ˜ amna, futa makalio yako..)๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

"Kwahiyo hujasikia au..??

"Lakini sir..."

"Nimesema futa ubao.."

Nilisema kwa sauti ya ukali mpaka akaogopa, binti akachukua ufutio wa ubao na kuanza kufuta ndio nikajua macho yake sio ya hivyo bali anayalegeza tu anapokuwa anaongea na mimi mbwa huyu ๐Ÿ˜ƒ

Alifuta akiwa amenuna hatari, basi baada ya kumaliza kufuta akarudi kukaa nikamsimamisha, akageuka na kunitazama

"Kachukie kiti chako na kila kitu chako uje ukae huku mbele.."

"What...??"

"Hujaelewa au unataka niongee kifaransa, nimesema hivi kachukie vitu vyako ukae mbele na marufuku kukaa nyuma kuanzia leo.. "

Nilimwambia akabaki ananiangalia tu sikujali nikageukia ubaoni na kuandika topic ambayo ndio walikuwa wamefikia, yule binti alienda kuamisha vitu vyake na kukaa mbele huku mdomo ukiwa umevimba huo kama ametafuna amira ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿพ

Sikujali kabisa nikaanza kufundisha, aah ukweli hawa wanafunzi walikuwa watulivu sana yani walikuwa wananisikiliza ile mbaya mpaka nikaanza kuhisi labda kwa sababu nimependeza sana leo.

Basi muda ulienda kipindi changu kikaisha nikaondoka zangu na kurudi staff, muda ulisogea kama kawaida ikafika muda wa wanafunzi kurudi makwao

Hii shule ni shule ya kutwa so wanafunzi walienda paredi mwalimu wa zamu akatoa matangazo mafupi na kuwaomba wanafunzi wa form four na two wabaki remedial

Kwa kuwa ilikuwa ni siku yangu ya kwanza hapo shuleni ikanibidi nibaki na nilitakiwa kufundisha kwa muda huo, nilifundisha form four

Kipindi cha remedial kilianza na kila wanafunzi walipangwa makundi tofauti tofauti na kila kundi kulikuwa na mwalimu ambaye alikuwa anawafundisha.......

ITAENDELEA DEARS.....
SEHEMU YA 5
SONGA NAYO........

Basi bwana mimi nae nilikuwa na kundi langu ambalo ndio nilitakiwa kulifundisha history, basi mwamba nikowa nawaka mtoto wa kiume nikaenda kwenye kundi la wanafunzi wangu

Kundi lilikuwa sehemu nzuri yenye upepo mtamu maana shule hiyo ilikuwa na miti mingi ambayo ilileta kivuri na upepo mzuri kipindi cha joto

Basi nikafika pale lilikuwa ni kundi la wasichana tu aiseee ๐Ÿ˜‚, nimefika sasa wote wakasimama na kunipa heshima kama mwalimu nami bila kinyongo nikawaitikia na kuwaomba wakae

Wakaa na kuanza kunisikiliza nikaanza kwanza na kuwauliza maswali kadhaa wa kadha, wakanijibu vizuri tu sasa bana wakati naanza kufundisha macho yangu yakatua kwa binti flani hivi

Huyu binti alikuwa amekaa yani anatia huruma kumtazama alikua amekaa kinyonge nyonge hata lile tabasamu hakuwa nalo kabisa

Mimi kama mwalimunwa kundi ikabidi nimuulize shida nini isije kuwa ananjaa matokeo yake akanifia bure ๐Ÿ˜‚

"Wewe uliekaa huko nyuma simama.."

Nilimsimamisha, kwa kuwa alikuwa amekaa nyuma mwenyewe akawa amejujiua hivyo akasimama hata hakunitazama kabisa akainamisha uso chini dah ๐Ÿ˜ข

"Unaumwa..??"

Nilimuuliza

"Hapana sir."

"Sasa mbona umekaa kinyonge hivyo au labda unanjaa...??"

"Hapana sir..."

"Basi njoo ukae huku mbele ili unielewe vizuri maana umekaa kinyonge sana.."

Basi kakabeba kiti chake na meza yake kakaja huku mbele nilipokuwa mimi so nikawa namtazama kila ninapofundisha, jamni huyu binti hana uwezo wa kunitazama machoni sijui kwanini

Muda wote nafundisha alikuwa ameinamisha uso chini mpaka nikawa najiuliza kwani haumiii?? Basi muda ulienda nilifundisha kwa lisaa limoja wakati huo ilikuwa saa kumi na moja na nusu

So ndio muda wao wa kuondoka ikabidi nifunge somo na kuwasisitiza sana wajifanyie kazi kile nilichowafundisha, huku nikimuomba yule binti anifuate ofsini

Basi baada ya somo kuisha huyo nikaoondoka zangu nikiwa mbele yule mwanafunzi nyuma, kwa kuwa tulikuwa tumebaki walimu wadogo sana na wengine walikuwa bado wanafundisha huko nje

So ofsi ilikuwa haina mtu, nikaingia na yule mwanafunzi nikakaa na kumwambia achukue kitu nae akachukua na kukaa tukawa tunaangaliana, binti hawezi hata kunitazama aisee

"Hivi kuna kitu kinakusumbua labda..??"

Nilianzisha mazungumzo huku nikimuangalia sana usoni lakini ndio hivyo niliishia kuona paji la uso tu ๐Ÿ˜‚

"Hapana sir niko sawa tu.."
Alinijibu huku akiwa bado ameangalia chini

"Unaitwa nani..??"

Nilimuuliza

"Lizy..."

"Lizy vitunguu, nyanya chungu au mchicha..?"

"Elizabeth Nestory..."

( ๐Ÿ™„ mmh kumbe hadi majina tunafanana bana )

"Una umri gani...??"

Nilimuuliza tena

"Miaka 17.."

"Mh mbona mdogo hivi harafu umri mkubwa saivi ungekuwa hata form six huko.."
Niliendelea kumdadisi

"Ni matatizo ndio yalikuwa yananisumbua.."

"Matatizo gani..??"

"Sir Henry kumbe bado hujaondoka..??"

Kabla Lizy hajanijibu kuna mwalimu wa kike aliingia, baada ya kutukuta tukiwa wawili tu mle darasani akamuangalia kwanza lizy tena kwa zarau kisha akazungumza

"Haya na wewe humu unatafuta nini..??"

( ๐Ÿ™„ eeeh sasa kuna ubaya gani wa yeye kuwa humu na ikiwa nimemuita mimi )

Nilijiwazia kisha nikamjibu haraka haraka

"Samahani madam nimemuita mimi, maana yupo kwenye kundi langu kuna vitu nataka kuvijua kuhusu yeye so ndio maana yupo hapa.."

"Unasema yupo kwenye kundi lako..??"

Aliniuliza

"Ndio kwani vipi.."

"Heรจee nikwambie tu huyu mwanafunzi hamnazo yani hana hata ile akili ya kijongeza hapa unamvyomuona anaonekana mpole lakini akifika huko mtaani binti ni mcharuko huyu.."

Alisema yule madam huku akimchoma choma kichwani na kidole chake cha shahada, pamoja na kuchomwa vile binti alikuwa ametulia tuli.

Roho ya huruma iliniingia kabisa, jamani huyu dada hakuwa na adabu kabisa, imagine mwanafunzi nimemuita mimi nina mazungumzo naye lakini anakuja kuingilia mazungumzo yetu na kibaya zaidi anaanza kumchoma choma

Kuna namna nilichukia sana, hivyo basi nilichofanya ni kuweka hasira zangu pembeni

"Madam.."

Nilimuita baada ya kuona anavuka mipakka sasa, akaniangalia tu bila kusema kitu

"Unaweza kuondoka na kutupisha, maana nina mazungumzo naye.."

Nilimwambia akaniangalia tu na kubinua mdomo kisha akaenda kwenye meza yake akachukua mkoba wake akaondoka zake

Baada ya yule madam kuondoka nikamgeukia sana mwanafunzi wangu, yani alikuwa ametulia kuna namna niliona kabisa huyu mwanafunzi hana raha kabisa

Nikachukua maji ya kunywa kwenye droo ya meza na kumpa, akanitazama kisha akapokea hapo sasa ndio nikamuangalia vizuri jamani ๐Ÿฅฐ

Ka binti kalikuwa na uso wa upole yani dah nashindwa hata kuelezea kabisa ๐Ÿฅฐ baada ya kupokea maji akanyanyuka kwa akili zangu nikajua labda anataka kuondoka ile nataka kumwambia rudi.......

ITAENDELEA........

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5



SEHEMU YA 1
ANZA NAYO.......

Kazi ya ualimu inahitaji moyo sana jamani, msione kwamba watoto wenu wanafaulu vizuri tu lakini upande mwingine huwa wanapitishwa ๐Ÿ˜‚

Sijui mnanielewa bandugu, yani kama sisi walimu wa kiume ni shida tupu ๐Ÿ˜… maana kuna muda unajikuta tu umempenda mwanafunzi wako

Harafu sasa huyo mwanafunzi yeye anachotaka kutoka kwako ni maksi tu aisee ๐Ÿ˜‚ bana bana mimi yalinitokea jamani

Yalinitokea zaidi ya mara tatu nikatoa rushwa ya maksi ๐Ÿ˜… hii siku sitaisahahu binti alinihaidi nikimwekea maksi kubwa kwenye mtihani wake atanipa penzi ambalo sijawahi kupewa maisha yangu yote

Kwakuwa mimi nilikuwa mzee wa kupenda sana totozi na mademu sikupoteza hata muda...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/wewe-ni-wangu-1-5

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi wewe-ni-wangu
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 100

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 100

581
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 64๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 64๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

506
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 49 na 50

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 49 na 50

504
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 63๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 63๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

482
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 51

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 51

306
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 65๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 65๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

154
REALLY LOVE* Chapter 17

REALLY LOVE* Chapter 17

126
YENYE KIRUNGU ๐Ÿ’› ๐Ÿ’š โค๏ธ

YENYE KIRUNGU ๐Ÿ’› ๐Ÿ’š โค๏ธ

88
MALAIKA  SEHEMU YA 1

MALAIKA SEHEMU YA 1

65
UTANIITA SHEMEJI*  SEHEMU YA 10

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 10

58

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.18K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.91K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.69K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.09K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.48K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.42K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.32K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.31K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY CRAZY BOSS 1 - 5 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 1 - 5
@majario LIVE

MWANZO "Nikiwa nimeketi kwenye benji mimi pamoja na wenzangu kama ishirini hivi nnje ya kampuni ya All Over iliyopo Mikocheni B , ikiwa ni majira ya saa moja kamili asubuhi ambapo...

๐Ÿšจ ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinรญcius Jรบnior Post Mpya
๐Ÿšจ ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinรญcius Jรบnior
@majario LIVE

AKIWA UWANJANI. โš ๏ธ๐Ÿšซ Mchezaji wa Benfica alimwita NYANI!!! โ€ผ๏ธ VINI AKATAA KUCHEZA!! ๐Ÿ˜คโŒ

WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO....... Kazi ya ualimu inahitaji moyo sana jamani, msione kwamba watoto wenu wanafaulu vizuri tu lakini upande mwingine huwa wanapitishwa ๐Ÿ˜‚ Sijui mnanielewa bandugu, yani kama sisi walimu wa...

๐†๐€๐‹๐€๐“๐€๐’๐€๐‘๐€๐˜ ๐Œ๐€๐Š๐„ ๐ˆ๐“ ๐…๐ˆ๐•๐„! โค๏ธ๐Ÿ’›๐Ÿ–๐Ÿผ  ๐–๐‡๐€๐“ ๐€ ๐†๐€๐Œ๐„! ๐Ÿฟ Post Mpya
๐†๐€๐‹๐€๐“๐€๐’๐€๐‘๐€๐˜ ๐Œ๐€๐Š๐„ ๐ˆ๐“ ๐…๐ˆ๐•๐„! โค๏ธ๐Ÿ’›๐Ÿ–๐Ÿผ ๐–๐‡๐€๐“ ๐€ ๐†๐€๐Œ๐„! ๐Ÿฟ
@majario LIVE

Juventus hoi huko kipogo Cha maana kabisaaa hichi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 65๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 65๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

Mmmhhh kwa hiyo hemed kumbe ni kamalaya๐Ÿ˜ฃ๐Ÿ˜ฃ hebu ngoja nimpigie simu nimuulize yuko wapi๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’ au niende nikamfumanie ili nipate sababu ya kuachana naye kaishaanza kuniudhi et bora niondoke kwake nimuache...

REALLY LOVE* Chapter 17 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 17
@majario LIVE

alisema mama cathe kwa mama usiseme mimba mama huwenda homa tu alisema cathe huku analia sana kwakweli alijutia sana mpumbavu mkubwa wewe hivi unayaona hayo matapishi mjinga mkubwa wewe cathe unatutia aibu...

๐Ÿšจ ๐Ž๐…๐…๐ˆ๐‚๐ˆ๐€๐‹: The Premier League is resuming its procedures for Ramadan. ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ๐ŸŒ™ Post Mpya
๐Ÿšจ ๐Ž๐…๐…๐ˆ๐‚๐ˆ๐€๐‹: The Premier League is resuming its procedures for Ramadan. ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ๐ŸŒ™
@majario LIVE

Short pauses will be allowed during matches to enable Muslim players to break their fast. ๐‘น๐’†๐’”๐’‘๐’†๐’„๐’• ๐Ÿคฒโœจ

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 51 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 51
@majario LIVE

Daaah lemi akaja akanmbia relex. Ndo mala ya kwanza hawez kuelewa . Tulia mwanangu kila kitu kitakua sawa nikasema powa . Basi tukapanda gari tukaludi kwa lemi. Apo mm...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 100 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 100
@majario LIVE

Basi bwana . Mama akapika . Shoga yenu nilikula kidogo mnoo. Mama akamvuta mtot ndio akamlisha na rahul anawahi kuzoea watu . Anaanza kumuuliza mama . We nani . Sijuh...

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 64๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 64๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

Baada ya paschal kuondoka pale Hemed alinichekiiii ๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช kisha nayeye akaondoka akaniacha pale bila kuniongelesha chochote๐Ÿซฃ au ndo nimeachwa na woteโ˜บ๏ธโ˜บ๏ธ sa mbona hivi๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž aah haya mambo ya kumiliki njemba...

Ramadhani 2026 huanza na masaa 12-15 ya kufunga; katika Kizio cha Kaskazini, siku hukua zaidi, huku katika Kizio cha Kusini, Post Mpya
Ramadhani 2026 huanza na masaa 12-15 ya kufunga; katika Kizio cha Kaskazini, siku hukua zaidi, huku katika Kizio cha Kusini,
@majario LIVE

hukua fupi Kufuatia mzunguko wa mwezi wa miaka 33, Ramadhani huhama siku 10-12 mapema kila mwaka - huzingatiwa mara mbili mnamo 2030, na kupindukia mnamo 2031 na 2047. Kupitia Shirika...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 49 na 50 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 49 na 50
@majario LIVE

49 MPAKA 50 ๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก Basi nilimuacha kama mwez lemi anendeelee kumfatilia princess. Akanmbia kila j mosi anakuwa kunduchi beachi. Alafu anaishi kibaha. Na sehemu yake ya kazi ni mikocheni apo ni kutojana...

MALAIKA SEHEMU YA 2 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 2
@majario LIVE

ALIMJARIBU 'BOI' WA NDANI ILI KUHAKIKISHA KAMA NI TASA Hapo ndipo Malaika alipohisi dunia nzima imemuelekea yeye. Kila kona aliyopita ilikuwa ni masengenyo, dharau za ndugu, na minongโ€™ono ya majirani iliyomchoma...

MALAIKA  SEHEMU YA 1 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 1
@majario LIVE

โ€œMalaika! Malaika mwanangu!โ€ โ€œNaam mama... mbona unaniita kwa presha hivi, kuna nini tena?โ€ Mama mkwe aliingia ndani huku uso umemshuka kama amekula ndimu, yaani kuanzia asubuhi alikuwa na jambo lake limekaa kooni....

YENYE KIRUNGU  ๐Ÿ’› ๐Ÿ’š โค๏ธ   SEHEMU YA 09 Post Mpya
YENYE KIRUNGU ๐Ÿ’› ๐Ÿ’š โค๏ธ SEHEMU YA 09
@majario LIVE

MR AB TULIPOISHIA โ€œNdio, baba yangu alinipa mbinu za kumrudisha mtu aliyechukuliwa msukule arudi duniani kwa mara nyingine......nilijaribu kufanya hivyo ila wao hawakurudi maana mtaalam alisema kwamba hawakuchukuliwa misukuleโ€ โ€œYesu.....โ€ Nilipagawa huku nikiwaza...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest